< Mathayo 10 >
1 Yesu akawaita wanafunzi wake kumi na wawili pamoja na kuwapa mamlaka juu ya pepo wachafu, kuwakemea na kuwafukuza na kuponya aina zote za maladhi na aina zote za magonjwa.
Jesu hasupa balutwana vakwe bonse vena ikumi ni vovele, mi cha vaha ziho za ku kalimela ihuho imbi, ni kuzi laela kuzwa, ni ku hoza matuku, ni mi fokolo yose.
2 Majina ya mitume kumi na wawili ni haya. La kwanza simeoni (ambaye pia anaitwa Petro), na Andrea kaka yake, Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana kaka yake:
Lyahanu mazina a valutwana vena ikumi ni vovele nji: We ntanzi, Sayimoni yo sumpwa Pitorosi, ni mwachakwe Andreyasi; Jakovo mwan'a Zevediya, ni mwachakwe Joani;
3 Philipo, na Bartelemayo, Thomaso, na Mathayo mtoza ushuru, Yakobo mwana wa Alfayo, na Tadeo,
Filipi, ni Vartolome; Tomasi, ni Mateu mulihisi wa mitelo; Jakovo mwan'a Alufeya, ni Tadeya;
4 Simoni mkananayo, na Yuda iskariote, ambaye alimsaliti.
Sayimoni yo kanana, ni Judasi Isikariyote, muwuzi wa Jesu.
5 Hawa kumi na wawili Yesu aliwatuma. Naye aliwaelekeza akisema “Msiende sehemu wanakoishi wamataifa na msiingie kwenye miji ya wasamalia.
Aava vena ikumi ni vo vele Jesu cha va tuma. Cha va layela kuti, “Sanzi va yendi kuzivaka za Machava, mi sanzi mwi njili mwi Tolopo ihi ya Masamariya;
6 Badala yake, mwende kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israel.
Kono muyende kwi Ngu zi zovete ze zunvo ya Isilaele.
7 Na mnapokwenda, hubirini na kusema, ufalme wa mbinguni umekaribia.'
Mi chi muyenda, mukutaze ni muuti, “Mubuso wa kwiwulu chiwina hafuhi.”
8 Ponyeni wagonjwa, fufueni wafu, takaseni wenye ukoma na fukuzeni pepo. Mmepokea bure, toeni bure.
Mu hoze valwele, mu vuuse vafwile, mu hooze imbingwa, mu hindike madimona. Mu vahewa bulyo, muhe vulyo.
9 Msichue dhahabu, almasi au shaba kwenye pochi zenu.
Sanzi mu hindi gauda, ni silivera, kapa mashelenyi mu mikotana yenu;
10 Usichukue mkoba katika safari yenu, au nguo za ziada, viatu au fimbo, kwa kuwa mfanyakazi anastahili chakula chake.
Sanzi muhindi mikotana ya zizwato mu misipil yenu, kapa zimwi zizwato, kapa isangu, kapa inkoli, kakuti muveleki u swanelwa zilyo zakwe.
11 Mji wowote au kijiji mtakachoingia, tafuteni ambaye anastahili na mkae pale mpaka mtakapoondoka.
Muleneñi uhi no uhi kapa munzi u mwi njila mwateni, mu buuze yo swanela mwikale mwateni; mwi kale mwateni konji chi mwa funduka.
12 Mtakapoingia katika nyumba salimieni,
Chi mwi njila muzuvo, mu ilumelise.
13 endapo nyumba inastahili, amani yenu ibaki pale, lakini kama nyumba haistahili, amani yenu iondoke pamoja nanyi.
Heva inzuvo iiswanela, musiye inkozo yenu ishale mwateni; kono heva kayi swaneli, musiye inkozo yenu i voole kwenu.
14 Na kwa wale wasiowapokea ninyi au kusikiliza maneno yenu, wakati mnaondoka kwenye nyumba au mji huo, jipanguseni mavumbi ya nyayo zenu mahali hapo.
Kwabo vasena vava mitambuli kapa kutekeleza liinzwi lyenu, ha mu nyamuka kuzwa muzuvo ya vo kapa mu Muleneñi, mu kunkumune imbundu ya ku matende yenu.
15 Kweli ninawaambia, itakuwa ya kustahimili zaidi miji ya Sodoma na Gomorah siku ya hukumu kuliko mji huo.
Che niti ni ta kwenu: Mu ve ni chisemo chihitilize mwi Nkanda ya Sodoma ni Gomora mwi zuva lye nkatulo kuhita lyowo muleneñi.
16 Angalia, ninawatuma kama kondoo katikati ya mbwa mwitu, kwa hiyo iweni na werevu kama nyoka na wapole kama njiwa.
Mu vone, ni mi tuma sina Ngu zina mukati ka Valuwawa, muve vena maano sina nzoka mi mu ve sina va sena maano sina Nkwilimba.
17 Muwe waangalifu na watu, watawapeleka kwenye mabaraza, na watawapiga kwenye masinagogi.
Mu tokomele Vantu! Mu va mitwale havusu bwa va zekisi, mi ka va mishupe mu zivaka za malapelelo avo.
18 Na mtaletwa mbele ya wakuu na wafalme kwa ajili yangu, kama ushuhuda kwao na kwa mataifa.
Mi ka muletwe ha vuusu bwa Mangambela ni va Simwine vakeni changu, kuti mu ve ni vupaki kuvali ni ku Machava.
19 Pindi watakapowashutumu, msiwe na wasiwasi jinsi gani au nini cha kuongea, kwa kuwa kitu cha kusema mtapewa kwa wakati huo.
Chini vati chiva mi kwatisa, sanzi ni mu katazehi kuti ka mu wambe inzi, kakuti cheti ni mu wambe ka mu chihewa mwe yeyeyo inako.
20 Kwa kuwa sio ninyi mtakaoongea, lakini Roho wa Baba yenu ataongea ndani yenu.
Ka kuti keti niyi kuvele unwe mu wamba mi kayi kuvele Luhuho lwe Shenu lweti ni lu ku waamba mweenu.
21 Ndugu atamwinukia ndugu yake kumwua, na baba kwa mtoto wake. Watoto watainuka dhidi ya wazazi, na kuwasababishia kifo.
Muntu mwa kwatise mukwakwe kwifu, mi muzazi a kwatise mwan'a kwe. Vaana mubalwise vazazi va vo, mi va va letele kufwa.
22 Nanyi mtachukiwa na kila mtu kwa sababu ya jina langu. Lakini yeyote atakayevumilia mpaka mwisho mtu huyo ataokolewa.
Mu va mitoye vakeñi che zina lyangu. Mi yata sike ku ma manimani, uzo muuntu mwa puluswe.
23 Pindi wanapowatesa katika mji huu, kimbilieni mji unaofuata, kwa kweli ninawaambia, hamtakuwa mmekwenda kwenye miji yote ya Israeli kabla ya mwana wa Adam hajarudi.
Chi va minyandise bulyo mu Muleneñi, muyende ku mwi ku Muleneñi, Initi ni wamba kuti, ke se mu mane Mileneñi yoose ye Isilaele pili Mwana Muntu na seni kusika.
24 Mwanafunzi si mkuu kuliko mwalimu wake, wala mtumwa aliye juu ya Bwana wake.
Mulutwana kahiti Muluti wa kwe, kapa mutanga kuhita Nfumwe.
25 Inatosha kwa mwanafunzi kwamba awe kama mwalimu wake, na mtumishi kama Bwana wake. Ikiwa wamemwita Bwana wa nyumba Belzabuli, ni kwa kiasi gani zaidi watawakashifu wa nyumba yake!
Ku swanela kuti mulutwana a swane ni muluti wa kwe, ni mutanga ni Nfumwe. Heba vasumpa mukulwana we nzuvo Beelzebule, ka kuve vule venzuvo ya kwe chi va nyasilizwa!
26 Hivyo basi msiwahofu wao, kwa kuwa hakuna jambo ambalo halitafunuliwa, na hakuna lililofichika ambalo halitajulikana.
Linu sanzi mu va tiyi; kakuti kakwina chifupikitwe chi se chi shale ni chi fupikitwe mi ka kwina chipatitwe chi se chipale kwi zibwa.
27 Kile ninachowaambia gizani, mkiseme nuruni, na mnachokisikia kwa ulaini masikioni mwenu, mkitangaze mkiwa juu ya nyumba.
Chi ni mi wambila mwififi, mu chi wambe mwiseli; mi chi muzuwa mu matwi yenu, mu chi wambe mpatalaza ku Vantu.
28 Msiwaogope wale ambao wanaua mwili lakini hawana uwezo wa kuua roho. Badala yake, mwogopeni yule ambaye awezaye kuangamiza mwili na roho kule kuzimu. (Geenna )
Sanzi mu tiyi Vantu ve haya muvili; kono ka va woli kwi haya luhuho. Insini, mu tiye ve haya zoose luhuho ni muvili mwi hele. (Geenna )
29 Je kasuku wawili hawauzwi kwa senti ndogo? Hata hivyo hakuna anayeweza kuanguka chini bila Baba yenu kufahamu.
Heva, tutiti to vele twina heteko ye peene yoke? Kanti ka kwina katiti, niheva konke, ka wila hansi Ireeza wenu na se zivi.
30 Lakini hata idadi ya nywele zenu zimehesabiwa.
Ni heva nsuki za ku mitwi yenu zibalitwe zoose.
31 Msiwe na hofu, kwa kuwa mnathamani zaidi kuliko kasuku wengi.
Sanzi mutiyi. Mu va vu tokwa kuhita tutiti tungi.
32 Hivyo basi kila mmoja atakaye nikiri mbele za watu, nami pia nitamkiri mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.
Muntu ye se yo wamba nzina lyangu ku Vantu, name kani muwambi kwa Tayo wina kwiwulu.
33 Lakini yeye atakaye nikana mbele za watu, nami pia nitamkana mbele ya Baba yangu aliye mbinguni.
Kono yo ni sampula ku vantu, name, kani mu sampule kwa Tayo wina kwiwulu.
34 Msifikiri kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani, lakini upanga.
Sanzi muhupuli kuti ni valete inkozo mwi kaanda. Kena ni va leti inkozo, kono mulinga.
35 Kwa kuwa nilikuja kumweka mtu apingane na baba yake, na binti dhidi ya mama yake, na mkwe dhidi ya mama mkwe wake.
Cwale ni va kezi kwiza kufapanya muntu ni veesi, mi mwnakana ni nyiina, mi mukwenyani wa mwana kazana ni nyinazaala.
36 Adui wa mtu watakuwa wale wa nyumbani mwake.
Muntu zilazakwe, mu va ve, venzubo yakwe.
37 Yeye ambaye anampenda baba au mama zaidi kuliko mimi huyo hanistahili. Na yeye anayempenda kijana au binti zaidi kuliko mimi huyo hanistahili.
I ye yo saka Sii kapa Nyina kuhitiliza mwani sakila, ka ni swaneli. Mi yo saka mwan'akwame kapa mwan'akazana kuhitiliza kani swaneli.
38 Yeye ambaye hatabeba msalaba na kunifuata mimi hanistahili.
I ye ya sa hindi chifapano cha kwe ni ku ni chilila ka ni swaneli. Yo tokomela vuhalo bwa kwe mwa vu sinyehelwe.
39 Yeye atakayetafuta maisha atayapoteza. Lakini yeye atakayepoteza maisha kwa ajili yangu atayapata.
Kono yo sinyehelwa vuhalo vwa kwe vakeñi cangu, mwa vuwane.
40 Yeye atakayewakaribisha amenikaribisha mimi, na yeye atakayenikaribisha mimi amemkaribisha yeye aliyenituma mimi.
Yo mi tambula, u tambula ime, mi yoni tambula ime u tambula yoni tumite.
41 Na yeye atakayemkaribisha nabii kwa sababu ni nabii atapokea thawabu ya nabii. Na yeye atakayemkaribisha mwenye haki kwa sababu ni mtu wa haki atapokea thawabu ya mtu wa haki.
I ye yo tambula mupolofita kakuti mupolofita ka wane mpo ya vupolofita. Mi yo tambula muntu yo shiyeme vakeñi cha kuta kuti muntu yo shiyeme ka wane mpo ya kushiyama.
42 Yeyote atakayempatia mmoja wa wadogo hawa, hata kikombe cha maji ya kunywa ya baridi, kwa sababu yeye ni mwanafunzi, kweli ninawaambia, yeye hawezi kukosa kwa njia yeyote thawabu yake.”
Ye nse yoha ku muntu munini menzi a kuñwa a tontola, chevaka lya kuwamba kuti mulutwana, ni mi wambila kuti, ka kwina mwi se na kangilwe ku wana mpo ya kwe.”