< Mathayo 1 >

1 Kitabu cha ukoo wa Yesu Kristo mwana wa Daudi, mwana wa Ibrahimu.
LEBLON y rasan Jesucristo lajin David, lajin Abraham.
2 Ibrahimu alikuwa baba wa Isaka, na Isaka baba wa Yakobo, na Yakobo baba wa Yuda na ndugu zake.
Si Abraham jalilis si Ysaac; ya si Ysaac jalilis si Jacob; ya si Jacob jalilis si Judas yan y mañeluña.
3 Yuda alikuwa baba wa Peresi na Sera kwa Tamari, Peresi baba wa Hezeroni, na Hezeroni baba wa Ramu.
Ya si Judas jalilis, gui as Tamar, si Fares yan si Sara; ya si Fares jalilis si Esrom; ya si Esrom jalilis si Aram;
4 Ramu alikuwa baba wa Aminadabu, Aminadabu baba wa Nashoni, na Nashoni baba wa Salimoni.
Ya si Aram jalilis si Aminadab; ya si Aminadab jalilis si Naason; ya si Naason jalilis si Salmon;
5 Salimoni alikuwa baba wa Boazi kwa Rahabu, Boazi baba wa Obedi kwa Ruth, Obedi baba wa Yese,
Ya si Salmon jalilis, gui as Rahab, si Boos; ya si Boos jalilis, gui as Rut, si Obed; ya si Obed jalilis si Isai;
6 Yese alikuwa baba wa mfalme Daudi. Daudi alikuwa baba wa Sulemani kwa mke wa Uria.
Ya si Isai jalilis si ray David; ya si ray David jalilis si Salomon ni guinin güiya nii ampmam palaoan Urias;
7 Sulemani alikuwa baba wa Rehoboamu, Rehoboamu baba wa Abiya, Abiya baba wa Asa.
Ya si Salomon jalilis si Roboam; ya si Roboam jalilis si Abias; ya si Abias jalilis si Asa;
8 Asa alikuwa baba wa Yehoshafati, Yehoshafati baba wa Yoramu, na Yoramu baba wa Uzia.
Ya si Asa jalilis si Josafat; ya si Josafat jalilis si Joram; ya si Joram jalilis si Osias;
9 Uzia alikuwa baba wa Yothamu, Yothamu baba wa Ahazi, Ahazi baba wa Hezekia.
Ya si Osias jalilis si Joatam; ya si Joatam jalilis si Acas; ya si Acas jalilis si Esequias;
10 Hezekia alikuwa baba wa Manase, Manase baba wa Amoni na Amoni baba wa Yosia.
Ya si Esequias jalilis si Manases; si Manases jalilis si Amon; ya si Amon jalilis si Josias;
11 Yosia alikuwa baba wa Yekonia na kaka zake wakati wa kuchukuliwa kwenda Babeli.
Ya si Josias jalilis si Joaquim; si Joaquim jalilis si Jeconias, yan y mañeluña anae manmacone guiya Babilonia.
12 Na baada ya kuchukuliwa kwenda Babeli, Yekonia alikuwa baba wa Shatieli, Shatieli alikuwa babu yake na Zerubabeli.
Ya mapos y manmacone guiya Babilonia, si Jeconias jalilis si Salatiel; si Salatiel jalilis si Sorobabel;
13 Zerubabeli alikuwa baba wa Abiudi, Abiudi baba wa Eliakimu, na Eliakimu baba wa Azori.
Ya si Sorobabel jalilis si Abiud; si Abiud jalilis si Eliaquim; si Eliaquim jalilis si Asor;
14 Azori alikuwa baba wa Zadoki, Zadoki baba wa Akimu, na Akimu baba wa Eliudi.
Si Asor jalilis si Sadog; si Sadog jalilis si Achim; si Achim si Eliud;
15 Eliudi alikuwa baba wa Elieza, Elieza baba wa Matani na Matani baba wa Yakobo.
Si Eliud jalilis si Eleasar; si Eleasar jalilis si Matan; si Matan jalilis si Jacob;
16 Yakobo alikuwa baba wa Yusufu mume wa Mariamu, ambaye kwa yeye Yesu alizaliwa, aitwaye Kristo.
Si Jacob jalilis si José, asaguan Maria, na finañago si Jesus na mafanaan si Cristo.
17 Vizazi vyote tangu Ibrahimu hadi Daudi vilikuwa vizazi kumi na vinne, kutoka Daudi hadi kuchukuliwa kwenda Babeli vizazi kumi na vinne, na kutoka kuchukuliwa kwenda Babeli hadi Kristo vizazi kumi na vinne.
Enao mina todo y generasion desde as Abraham asta as David, catotse sija na generasion; ya desde as David asta manmacone guiya Babilonia, catotse na generasion; ya desde qui manmacone guiya Babilonia asta as Cristo, catotse na generasion.
18 Kuzaliwa kwa Yesu Kristo kulikuwa kwa namna hii. Mama yake, Mariamu, alichumbiwa na Yusufu, lakini kabla hawajakutana, alionekana kuwa na mimba kwa uwezo wa Roho Mtakatifu.
Y mafañagon Jesucristo taegüine: Y nanaña as Maria, nobian José, antes de ujadaña, güiya esta masoda mapotgue pot y Espiritu Santo.
19 Mume wake Yusufu, alikuwa mtu mwenye haki hakutaka kumwaibisha hadharani. Aliamua kusitisha uchumba wake naye kwa siri.
Ya si José asaguaña, sa mauleg na taotao, ti malago pinelo güe gui ninamamajlao, lao malagoña upinelo güe gui secreto.
20 Alipokuwa akifikiri juu ya mambo haya, Malaika wa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema,'' Yusufu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Mariamu kama mkeo, kwa sababu mimba aliyonayo ni kwa uweza wa Roho Mtakatifu.
Ya anae jajajaso este, mato para güiya y angjet Señot, anae jagüife gui minaegoña, na ilegña: José, lajin David, chamo maañao na unresibe si Maria asaguamo, sa y gaegue guiya güiya y linilis Espiritu Santo.
21 Atajifungua mtoto wa kiume na utamwita jina lake Yesu, kwa maana atawaokoa watu wake na dhambi zao.''
Ya ufañago un laje ya ufanaan si Jesus; sa güiya unafanlibre y taotaoña nu y isaoñija.
22 Yote haya yalitokea kutimizwa kile kilichonenwa na Bwana kwa njia ya nabii, akisema,
Todo sija masusede para umacumple y esta jasangan y Señot pot y profeta, ni ilegña:
23 “Tazama, bikira atachukua mimba na kuzaa mtoto wa kiume, na watamwita jina lake Imanueli”— maana yake, “Mungu pamoja nasi.”
Estagüe, un vitgen na umapotgue, ya ufañago un laje ya ufanaan si Emanuel, na comoqueilegña na si Yuus gaegue guiya jita.
24 Yusufu aliamka kutoka usingizini na kufanya kama malaika wa Bwana alivyomwamuru na alimchukua kama mkewe.
Anae magmata si José gui minaegoña, jafatinas taegüije y tinago y angjet, ya jaresibe y asaguaña.
25 Hata hivyo, hakulala naye mpaka alipojifungua mtoto wa kiume na alimwita jina lake Yesu.
Ya ti matungo asta qui mañago ni lajiña finenana; ya nae y naanña si Jesus.

< Mathayo 1 >