< Marko 9 >
1 Na alisema kwao, “Hakika nasema kwenu, baadhi yenu kuna watu waliosimama hapa hawataonja mauti kabla ya kuuona ufalme wa Mungu ukija kwa nguvu.”
UYesu akajova akati, “Kyang'haani nikuvavuula, vamonga nkate mulyumue mwe vano muli apa, navalafua kuhanga pano vikuvwagha uvutwa vwa Nguluve vwisile ni ngufu.”
2 Na baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro, Yakobo na Yohana pamoja naye mlimani, pekee yao. Ndipo alianza kubadilika mbele yao.
Ye fikilile ifighono ntanda, uYesu akavatoola uPeteli, uYakovo nu Yohani. Akaluta navoope ku kidunda ikitali, vakijekela, vakava veene. Ye vali pala, uYesu akanduka pamaaso ghaave,
3 Mavazi yake yakaanza kung'aa sana, meupe zaidi, meupe kuliko mng'arishaji yeyote duniani.
nagha menda ghaake ghakava ghivalatika, mavalafu kyongo, nakwale unsukamenda pa iisi apa, juno ndepoonu ivalasia endendiiki.
4 Ndipo Eliya pamoja na Musa walitokea mbele yao, na walikuwa wakiongea na Yesu.
Pe vakasetuka avavili avalongosi uEliya nu Moose, vijova nu Yesu.
5 Petro alijibu akamwambia Yesu, “Mwalimu, ni vyema sisi kuwa hapa, na tujenge vibanda vitatu, kimoja kwa ajili yako, kimoja kwa ajili Musa na kingine kwa ajili ya Eliya.”
Pepano uPeteli akam'buula u Yesu akati, “M'bulanisi, linono usue tukalaghe bahaapa. Lino, tujenge ifyeve fitatu: kimo kiive kyako, kimonga kya Moose, ikingi kiive kya Eliya”
6 (Kwa kuwa hakujua nini cha kusema, waliogopa sana.)
UPeteli nalyalutang'hinie ajove kiki, ulwakuva umwene na vanine vaale nu ludwesi.
7 Wingu lilitokea na kuwafunika. Ndipo sauti ikatoka mawinguni ikisema, “Huyu ni mwanangu mpendwa. Msikieni yeye.”
Pepano likiisa ilifunde likavakupikila, likapulikika ilisio kuhuma mu lifunde liiti, “Uju ghwe Mwanango umughanike, mumpulikilasyaghe umwene!”
8 Ghafla, walipokuwa wakitazama, hawakumuona yeyote pamoja nao, isipokuwa Yesu tu.
Nakalingi vakolola kuno kuno na kuno navakamwagha umuunhu ujunge, looli ju Yesu mwene.
9 Walipokuwa wanateremka kutoka mlimani, aliwaamuru kutokumwambia mtu yeyote yale yote waliyoyaona, mpaka Mwana wa Adamu atakapofufuka kutoka kwa wafu.
Ye vali mu kidunda vikwika, uYesu akavakaana avavulanisivua vaake vala kuuti, navangampangilaghe nambe muunhu sino vasivwene, kuhanga umwene uMwana ghwa Muunhu alaava asyukile kuhuma ku vafue.
10 Ndipo waliyatunza mambo wao wenyewe. Lakini walijadiliana wao kwa wao ni nini maana yake “kufufuliwa kutoka kwa wafu”
Aveene vakaligada ilisio linoajovileuayaesu, kumo vakiposaniagha veene viiti, “Kusyuka ukuo kwekuti kiki?”
11 Walimwuliza Yesu,”Kwa nini waandishi husema lazima Eliya aje kwanza?”
Pepano vakamposia uYesu vakati, “Ongo avavulanisi va ndaghilo sa Moose viiti aliisa taasi uEliya, uKilisite ye akyale kuwkisa?”
12 Akawaambia, “hakika Eliya atakuja kwanza kuokoa vitu vyote. Kwa nini imeandikwa Mwana wa Adamu lazima apate mateso mengi na achukiwe?
UYesu akavamula akati, “Se seene, aliisa taasi uEliya, kuuti aling'hanie vunono sooni. kange nalilembilue mu Malembe aMimike kuuti, une ne Mwana ghwa Muunhu nilapmusivua kyongo na kubedua?
13 Lakini nasema kwenu Eliya alikwisha kuja, na walimfanya kama walivyopenda, kama vile maandiko yasemavyo kuhusu yeye.”
Lino nikuvavuula niiti, uEliya alisile, neke avaanhu vakam'bombela sino vakighanile aveene, ndavule lilembilue vwimila umwene.”
14 Na waliporudi kwa wanafunzi, waliona kundi kubwa limewazunguka na Masadukayo walikuwa wanabishana nao.
ye vifika, vakavaagha avavulanisivua avange vikaning'hana na vavulanisi va ndaghilo, vasyungutilue ni lipugha ilya vaanhu.
15 Na mara walipomwona, kundi lote lilishangaa na kumkimbilia kumsalimia.
Avaanhu vala ye vikum'bona uYesu vakadegha kyongo, vakaguuna kwa mwene, vakamhungila.
16 Aliwauliza wanafunzi wake, “Mnabishana nao juu ya nini?”
Uyesu akavaposia akati, “Mukaning'hana kiki”
17 Mmoja wao katika kundi alimjibu, “Mwalimu, nilimleta mwanangu kwako; ana roho chafu ambayo humfanya asiweze kuongea,
Jumonga nkate mu Kipugha, akamula akati, “Ghwe M'bulanisi, nimuletile umwanango kulyuve, ali lipepo lino likumpelela kuuva kinuunu.
18 na humsababishia kutetemeka na kumwangusha chini, na kutoka povu mdomoni na kusaga meno na kukakamaa. Niliwaomba wanafunzi wako kumtoa pepo, lakini hawakuweza.
Jaatu pano lim'bwene likumughwisa paasilikumpelela ahumyaghe ilitotofulo mu mulomo na kughwenula amiino, neke um'bili ghuswatuka. Navasuuma avavulanisivua vaako valihumie, vakunua.”
19 Aliwajibu, “Kizazi kisichoamini, nitakaa nanyi kwa muda gani? Nitachukuliana nanyi hadi lini? Mleteni kwangu.”
Neke uYesu akavavuula akati, “Mwe kisina ikisina ikisila lwitiko! Nikalile numue unsiki ghwoni ughu, mukyale kukunhang'ania? Nikale ndaani numue? Muleete kulyune!”
20 Walimleta mtoto wake. Roho mchafu alipomwona Yesu, ghafla ilimtia katika kutetemeka. Mvulana alianguka chini na kutoa povu mdomoni.
Vakam'besia kwa Yesu. Pe ilipepo lila likamughwisia paasi unsoleka jula, akasaghalatagha na kuhumia ilitotofulo mu mulomo.
21 Yesu alimwuliza baba yake, “Amekuwa katika hali hii kwa muda gani?” Baba alisema, “Tangu utoto.
Pepano uYesu akamposia uviise akati, “Ulu lulyamwandile lighi?” Akamwamula akati, “Kuhuma pa vwana.
22 Mara nyingine huanguka katika moto au kwenye maji, na kujaribu kumwangamiza. Kama unaweza kufanya chochote tuhurumie na utusaidie.”
Kekinga lintupiike pa mwoto, pamonga likuntaangha mu malenga, Uvufumbue vwake lim'bude. ghwe Yesu, lino nave uli ngufu kuvomba lumonga, sivuo utusungukile, ututange.
23 Yesu alimwambia, “Kama uko tayari? Kila kitu kinawezekana kwa yeyote aaminiye.”
“UYesu akamwamula akati, “Ghwire nave nili ni ghufu kuvoma lumonga! Sooni sivobeka kwa muunhu unya lwitiko.”
24 Ghafla baba wa mtoto alilia na kusema, “Naamini! Nisaidie kutokuamini kwangu.”
Apuo unya mwana jula akajova fiijo.”
25 Wakati Yesu alipoona kundi linakimbilia kwao, alimkemea roho mchafu na kusema, “wewe roho bubu na kiziwi, nakuamuru mwache, usiingie kwake tena.”
UYesu ye ilola ilipugha ivona avaanhu vifikwongelela, pepano akalidalikila ilipepo iliamafu akati, “Ghwe lipepo ghw ukumpelela umwana uju kuuva kinuunu na mapule, nikukuvuula niiti, huma mwa muunhu uju nungamwingilaghe kange!
26 Alilia kwa nguvu na kumhangaisha mtoto na roho alimtoka. Mtoto alionekana kama amekufa, Ndipo wengi walisema, “Amekufa,”
Neke ilipepo ilio likakoola, likansukania kyongo, pe likahuma. Unsleke jula akahwana mfimba, vamona vakati, “Afwile!”
27 Lakini Yesu alimchukua kwa mkono akamwinua, na mtoto alisimama.
Pepano uYesu akankola uluvoko, akamwinula unsokela jula, akiima.
28 Wakati Yesu alipoingia ndani, wanafunzi wake walimwuliza faragha, “Kwa nini hatukuweza kumtoa?”
UYesu akingingila mu nyumba, avavulanisivua avaake ye vijekiile naghwope, vakamposia vakati, “Ongo usue tuveele tukunilue kukulidaga ilipepo lila?”
29 Aliwaambia, “kwa namna hii hatoki isipokuwa kwa maombi.”
UYesuakavamula akati, “Amapepo ndavule agha naghihuma vule vule, looli lulufuunyo lwene.”
30 Walitoka pale na kupitia Galilaya. Hakutaka mtu yeyote ajue walipo,
UYesu na vavulanisivua v, ulwakuva akavavulanisia aake, vakavuuka viluta kukilila ku Galilaya. Neke uYesu anakalagha umunhuu ujunge akagule pano pwale,
31 kwa kuwa alikuwa anafundisha wanafunzi wake. Aliwaambia, “Mwana wa Adamu atafikishwa mikononi mwa watu, na watamuua. Atakapokuwa amekufa, baada ya siku tatu atafufuka tena.”
ulwakuva akava ikuvavulanisia avavulanisivua vaake kuuti, “Une ne Mwana ghwa Muuunhu nitapivikua mu mavoko gha vaanhu vano kyavikumbuda, neke ikighono ikya vutatu nisyuka.”
32 Lakini hawakuelewa maelezo haya, na waliogopa kumwuliza.
Avavulanisivua vaake navakalutang'hania luno ijova, vakoghopa kukumposia.
33 Ndipo walifika Karperinaumu. Wakati akiwa ndani ya nyumba aliwauliza, ''Mlikuwa mnajadili nini njiani”?
UYesu na vavulanisivua vaake ye vali mu sila, avavulanisivua vakava vikaning'hana. Vakafika mu likaaja ilya Kapelenaumu. Ye vingiile mu nyumba, Yesu akavvaposia akati, “Muveele mukaning'hana kiki ye muli mu sila?
34 Lakini walikuwa kimya. Kwani walikuwa wanabishana njiani kwamba nani alikuwa mkubwa zaidi.
Aveene vakajika kihihe, ulwakuva vakakaning'hanagha kuuti ghwe veeni vakajika kimihe, ulwakuva vakakaning'hanagha kuuti ghwe veeni um'baha nkkate mu veene.
35 Alikaa chini akawaita kumi na wawili pamoja, na alisema nao, “Kama yeyote anataka kuwa wa kwanza, ni lazima awe wa mwisho na mtumishi wa wote.”
UYesu ye ikallile, akavakemeela vala kijigho na vavili akavavuula akati “Umuunhu juno ilonda kuuva ghwa kwanda avisaghe ghwa vusililo, kange m'bombi ghwa vooni.”
36 Alimchukua mtoto mdogo akamweka katikati yao. Akamchukua katika mikono yake, akasema,
Pepano akantoola umwana un'debe, akam'biika pakate, akamughumbatila, neke akavavuula akati,
37 “Yeyote ampokeaye mtoto kama huyu kwa jina langu, pia amenipokea mimi, na ikiwa mtu amenipokea, hanipokei mimi tu, lakini pia aliyenituma.”
“Umuunhu juno ikumwupila umwana ndavule uju mu vughane veagho, ikunyupila une. Kange juno ikunyupila une, naiiva anyupiile, looli iiva amwupiile naju Nhaata juno asung'hile.”
38 Yohana alimwambia, “Mwalimu tulimwona mtu anatoa pepo kwa jina lako na tukamzuia, kwa sababu hatufuati.”
jumonga idagha amapeo mu litavua lyako, neke usue twankaana ulwakuva naghwa kipugha kiitu.”
39 Lakini Yesu alisema, “Msimzuie, kwa kuwa hakuna atakayefanya kazi kubwa kwa jina langu na ndipo baadaye aseme neno baya lolote juu yangu.
UYesu akati “Namungankanaghe, ulwakuva nakwale jun ivomba ifidegho mu litavua lyango, neke kange anjove fivi une.
40 Yeyote asiyekuwa kinyume nasi yuko upande wetu.
Umuunhu ghweni juno namulugu ghwitu, ali lubale lwitu.
41 Yeyote atakayekupa kikombe cha maji ya kunywa kwa sababu uko na Kristo, kweli nawaambia, hatapoteza thawabu yake.
Kange Umuunhu ghweni juno kuvapeela nambe utulenga, ulwakuva muli vaanhu va Kilisite, kyang'haani nikuvuvavuula, uNguluve nangaleke kukumpeela.
42 Yeyote anayewakosesha hawa wadogo waniaminio mimi, ingekuwa vyema kwake kufungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutupwa baharini.
UYesu akajova kange akati, “Umuunhu juno ikumwambusia kuvomba inyivi jumonga mu vadebe ava vano vikunyitika une, lwale luuva kuba kwa muunhu ujuo kupinyilisivua ulwa ku singo na kutaghua pa kyogho munyanja.
43 Kama mkono wako ukikukosesha ukate. Ni heri kuingia katika uzima bila mkono kuliko kuingia kwenye hukumu ukiwa na mikono yote. Katika moto “usiozimika”. (Geenna )
Uluvoko lwako lungakwambusie, dumula. Yekuba kukwingila ku vwumi ni Lukovo lumo kukila kujigha na mavoko ghe ghaviili neke ulete ku lupumuko lwa mwoto ghuno naghusima lusiku. (Geenna )
44 (Zingatia: Mstari hii, “Mahali ambapo funza hawafi na moto usiozimika.” haumo katika nakala za kale).
Muno amang'onyo ghaake naghifua, nambe umwoto naghusima.
45 Kama mguu wako ukikukosesha, ukate. Ni vyema kwako kuingia uzimani ukiwa kilema, kuliko kutupwa hukumuni na miguu miwili. (Geenna )
Nalu lughulu lukakwambusie, dumula. Yekuba kukwingilia ku vwumi uli mulema kukila kujigha na maghulu ghe ghaviili neke utaghue ku lupumuko lwa mwoto ghuno naghusima lusiku. (Geenna )
46 (Zingatia: Mstari huu, “Mahali ambapo funza hawafi na moto usioweza kuzimika” haumo kwenye nakala za kale).
Muno amango'nyo ghaake naghifua, nambe naghumwoto naghusima.
47 Kama jicho lako likikukosesha ling'oe. Ni vyema kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili na kutupwa kuzimu. (Geenna )
Kange iilisio lyako lingakwambusie, ng'omotola, utaaghe. Yekuba kukwingilia ku vutwa vwa Nguluve ni liiso limo kukila kujigha na maaso ghe ghavili neke utaghue ku lupumuko lwa mwoto ghuno naghusima lusiku, (Geenna )
48 Mahali palipo na funza wasiokufa, na moto usiozimika.
Muno 'amang'onyo ghaake naghifua, nambe naghumwoto naghusima.
49 Kwa kuwa kila mmoja atakolezwa na moto.
“Avaanhu vooni vilivalasivua nu mwoto, ndavule ilitekelo vule livalasivua nu mwinyo.
50 Chumvi ni nzuri, kama chumvi ikipoteza ladha yake, utaifanyaje iwe na ladha yake tena? Muwe na chumvi miongoni mwenu wenyewe, na muwe na amani kwa kila mmoja.”
Umwinyo mnofu, leelo nave ghusupuke lwoni, uviike kiki neke ghukolele? Muvisaghe nu mwinyo nkate mulyumue, mukalaghe nu lutrngaano.”