< Marko 9 >

1 Na alisema kwao, “Hakika nasema kwenu, baadhi yenu kuna watu waliosimama hapa hawataonja mauti kabla ya kuuona ufalme wa Mungu ukija kwa nguvu.”
Male a la ti banga an kôm han, “Nangni ki ril, hi taka om senkhat ngei hih chu Pathien Rêngram hah a sinthotheina leh a juong tung an mu mâka chu thi no ni ngei” a tia.
2 Na baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro, Yakobo na Yohana pamoja naye mlimani, pekee yao. Ndipo alianza kubadilika mbele yao.
Sûnruk suole chu Jisua'n Peter, Jacob le John a tuong ngeia, an theivaiin an omna muol insânga han a ruoi ngeia. An mitmu chungchakin Jisua mêl ahong inthûla,
3 Mavazi yake yakaanza kung'aa sana, meupe zaidi, meupe kuliko mng'arishaji yeyote duniani.
male a puonsilngei khom achekin ântêrdapa rammuola mîn tutên madôr ha rusûk minsâi thei no ni ngei.
4 Ndipo Eliya pamoja na Musa walitokea mbele yao, na walikuwa wakiongea na Yesu.
Hanchu ruoisi inthum ngei han Elijah le Moses'n Jisua an chongpuilâitak an mua.
5 Petro alijibu akamwambia Yesu, “Mwalimu, ni vyema sisi kuwa hapa, na tujenge vibanda vitatu, kimoja kwa ajili yako, kimoja kwa ajili Musa na kingine kwa ajili ya Eliya.”
Peter'n Jisua kôm, “Minchupu, hi taka om hi ei ta rangin idôra asa mo ni zoi! Puon in inthum sin kin ta nangma rang inkhat, Moses rang inkhat, Elijah rang inkhat sin kin tih” a tia.
6 (Kwa kuwa hakujua nini cha kusema, waliogopa sana.)
Ama le adangngei ha an chi rai sikin a ti rang tak khom riet mak ngeia.
7 Wingu lilitokea na kuwafunika. Ndipo sauti ikatoka mawinguni ikisema, “Huyu ni mwanangu mpendwa. Msikieni yeye.”
Hanchu sûmphâi ajuong oma anni ngei hah sûmphâiin ajuong mukhu ngeia, sûmphâi renga hah chong ajuong inringa, “Ama hih ka Nâipasal moroitak ani, a chong rangâi roi!” a tia.
8 Ghafla, walipokuwa wakitazama, hawakumuona yeyote pamoja nao, isipokuwa Yesu tu.
Inrangin an en titira hannirese tute an kôla adang mu khâi mak ngeia; Jisua vai ke an kôm aom zoi.
9 Walipokuwa wanateremka kutoka mlimani, aliwaamuru kutokumwambia mtu yeyote yale yote waliyoyaona, mpaka Mwana wa Adamu atakapofufuka kutoka kwa wafu.
Muol chung renga an juong chuma Jisua'n an kôm, “Miriem Nâipasal hi thina renga ânthoinôk mâka chu nin neinun mu hi tute kôm ril no roi duo” tiin chong a bê ngeia.
10 Ndipo waliyatunza mambo wao wenyewe. Lakini walijadiliana wao kwa wao ni nini maana yake “kufufuliwa kutoka kwa wafu”
A chongbe ha an jôma, aniatachu ma roi ha an lâia, “‘Thina renga inthoinôk’ ti hih khoi tina mi hi?” tiin an injêk khôm phut zoi.
11 Walimwuliza Yesu,”Kwa nini waandishi husema lazima Eliya aje kwanza?”
Male anni han Jisua kôm, “Ithomo Balam minchupungeiin, Elijah a juong bak rang an ti?” tiin an rekela.
12 Akawaambia, “hakika Eliya atakuja kwanza kuokoa vitu vyote. Kwa nini imeandikwa Mwana wa Adamu lazima apate mateso mengi na achukiwe?
Ama'n an kôm, “Neinun murdi cherêl rangin Elijah chu a juong bak ngêt rang ani. Hankhoma, ithomo Pathien Lekhabu'n, Miriem Nâipasalin la tuong ok a ta, hengpaiin la om atih, a tia?
13 Lakini nasema kwenu Eliya alikwisha kuja, na walimfanya kama walivyopenda, kama vile maandiko yasemavyo kuhusu yeye.”
Nikhomrese, nangni ki ril Elijah chu a juong suo kêng ani zoi, male a chungroi Pathien Lekhabu'n ati anghan mingeiin a chunga an nuom lamtakin an lo zoi,” a tia.
14 Na waliporudi kwa wanafunzi, waliona kundi kubwa limewazunguka na Masadukayo walikuwa wanabishana nao.
Ruoisingei kôm an juong tungin chu an kôla loko tamtak ngei le Balam minchupungei senkhatin an lei inkhalpui lâitak an juong mua.
15 Na mara walipomwona, kundi lote lilishangaa na kumkimbilia kumsalimia.
Mingei han Jisua an mu lehan an kamâm sabaka, male ama tieng an tânna chibai an va pêka.
16 Aliwauliza wanafunzi wake, “Mnabishana nao juu ya nini?”
Jisua'n a ruoisingei kôm, “Anni ngei lehan khoi thurchi mo nin lei inkhal ha?” tiin a rekel ngeia.
17 Mmoja wao katika kundi alimjibu, “Mwalimu, nilimleta mwanangu kwako; ana roho chafu ambayo humfanya asiweze kuongea,
Lokongei lâia mi inkhatin a kôm, “Minchupu, ka nâipasal ratha saloi a dôna male a chongloi sikin no kôm ko hong tuong tiin a thuona.
18 na humsababishia kutetemeka na kumwangusha chini, na kutoka povu mdomoni na kusaga meno na kukakamaa. Niliwaomba wanafunzi wako kumtoa pepo, lakini hawakuweza.
Ratha saloi ahong tôn racham nuoia ânlet kelen ngâia, a cherhuon a suoka, a hâ a riela, angarjêt ngâi. Ratha saloi ha rujûlpai rangin nu ruoisingei ke ngênna, aniatachu thei mak ngei,” a tia.
19 Aliwajibu, “Kizazi kisichoamini, nitakaa nanyi kwa muda gani? Nitachukuliana nanyi hadi lini? Mleteni kwangu.”
Jisua'n an kôm, “Kho anga mi iemnaboi mo nin ni! Idôrsôt mo nin kôm omin nangni ko donsûi thei ranga? Pasalte hah ko kôm hong tuong roi!” a tia.
20 Walimleta mtoto wake. Roho mchafu alipomwona Yesu, ghafla ilimtia katika kutetemeka. Mvulana alianguka chini na kutoa povu mdomoni.
Ama ha Jisua kôm an hong tuonga. Ratha saloi han Jisua a hong mûn chu pasalte hah a nunuom alo bita, masikin nuoia ân leta, a vânluoi ahônluoia, a cherhuon a suoka.
21 Yesu alimwuliza baba yake, “Amekuwa katika hali hii kwa muda gani?” Baba alisema, “Tangu utoto.
Jisua'n a pa kôm, “Hi anga a om phutna hih khotik renga mo ani zoi?” tiin a rekela. “Nâipang a chang renga” tiin chong a melea.
22 Mara nyingine huanguka katika moto au kwenye maji, na kujaribu kumwangamiza. Kama unaweza kufanya chochote tuhurumie na utusaidie.”
“Ratha saloi hin ama that rang pûtin vêl tamtak meia le tuia a meleta. Ne thei ngâiin chu inrieng mi mu inla, mi san roh!” tiin a rila.
23 Yesu alimwambia, “Kama uko tayari? Kila kitu kinawezekana kwa yeyote aaminiye.”
Jisua'n a kôm, “Ani,” “nangmananâkin ni ni theiin chu! Taksônna dôn mingei ta rangin chu neinuntin anithei let,” a tia.
24 Ghafla baba wa mtoto alilia na kusema, “Naamini! Nisaidie kutokuamini kwangu.”
A pa han harenghan, ân ieka, “Taksônna ko dôn, hannirese hun zoi mak. Taksônna ko dôn uol theina rangin mi san roh!” a tia.
25 Wakati Yesu alipoona kundi linakimbilia kwao, alimkemea roho mchafu na kusema, “wewe roho bubu na kiziwi, nakuamuru mwache, usiingie kwake tena.”
Jisua'n lokongei ama tieng an hong nâi titir a mua, masikin ratha saloi kôm han, “Ratha kuorsêt le chongloi,” ama han, “Pasalte sûng renga hong jôk roh, male a sûnga lût nôk tet khâiloi rangin chong nang ke pêk!” a tia.
26 Alilia kwa nguvu na kumhangaisha mtoto na roho alimtoka. Mtoto alionekana kama amekufa, Ndipo wengi walisema, “Amekufa,”
Ratha saloi hah ân ieka, pasalte hah a vôrra a nunuom a lo bita, male a hong jôk paia. Pasalte hah athi angin angarzata, male mitinin, “Ama hih athi zoi!” an tia.
27 Lakini Yesu alimchukua kwa mkono akamwinua, na mtoto alisimama.
Hannirese Jisua'n a kuta a sûra, a kaithoia, male ânding zoi.
28 Wakati Yesu alipoingia ndani, wanafunzi wake walimwuliza faragha, “Kwa nini hatukuweza kumtoa?”
Masuole Jisua in sûnga a lûta, a ruoisingeiin inrûkten an rekela, “Ithomo keinin ratha saloi ha kin rujûlpai theiloi?” an tia.
29 Aliwaambia, “kwa namna hii hatoki isipokuwa kwa maombi.”
Jisua'n an kôm, “Ma jât hi chu chubaithona niloiin chu, itên rujûl thei nimak,” tiin a thuon ngeia.
30 Walitoka pale na kupitia Galilaya. Hakutaka mtu yeyote ajue walipo,
Jisua le a ruoisingeiin ha mun hah an mâka male Galilee ram palin an sea. Jisua'n a omna tutên an riet rangin nuom maka,
31 kwa kuwa alikuwa anafundisha wanafunzi wake. Aliwaambia, “Mwana wa Adamu atafikishwa mikononi mwa watu, na watamuua. Atakapokuwa amekufa, baada ya siku tatu atafufuka tena.”
“Miriem Nâipasal hih a that rangpu ngei kuta bangin om atih. Nikhomrese, sûnthum suole chu aringin inthoinôk atih” ti chong hih a ruoisingei a minchu ngei sikin.
32 Lakini hawakuelewa maelezo haya, na waliogopa kumwuliza.
Aniatachu hi minchuna aomtie hih rietthei mak ngeia, male ama rekel rang khom an chia.
33 Ndipo walifika Karperinaumu. Wakati akiwa ndani ya nyumba aliwauliza, ''Mlikuwa mnajadili nini njiani”?
Hanchu Capernaum an hong tunga, insûnga an lût suole chu a ruoisingei kôm, “Lampuia han khoi roi mo nin rila nin inkhal hah?” tiin a rekel ngeia.
34 Lakini walikuwa kimya. Kwani walikuwa wanabishana njiani kwamba nani alikuwa mkubwa zaidi.
Hannirese anni han thuon mak ngeia, lampuia an hong inkhalna hah ei lâia hin tumo alientak rang? ti roi hah ani sikin.
35 Alikaa chini akawaita kumi na wawili pamoja, na alisema nao, “Kama yeyote anataka kuwa wa kwanza, ni lazima awe wa mwisho na mtumishi wa wote.”
Jisua ânsunga, ruoisi sômleinik ngei hah a koia, male an kôm, “Tukhom alientak ani nuomin chu achîntak changin mi murdi tîrlâm ani masa ngêt rang ani” a tia.
36 Alimchukua mtoto mdogo akamweka katikati yao. Akamchukua katika mikono yake, akasema,
Hanchu nâipangte a koia, an motona a minding pe ngeia, a kuo ira, an kôm,
37 “Yeyote ampokeaye mtoto kama huyu kwa jina langu, pia amenipokea mimi, na ikiwa mtu amenipokea, hanipokei mimi tu, lakini pia aliyenituma.”
“Tukhom ki riming sika hi anga nâipangte inkhat khom a modômpu chu, keima mi modôm ania; male tukhom keima mi modômpu chu, keima mi modôm vai niloiin ni tîrpu khom a modôm sa ani” a tia.
38 Yohana alimwambia, “Mwalimu tulimwona mtu anatoa pepo kwa jina lako na tukamzuia, kwa sababu hatufuati.”
John'n a kôm, “Minchupu, mi inkhat ni riminga ramkhoringei rujûl kin mua, male ei pâla mi ani loi sikin kin hong khap” a tia.
39 Lakini Yesu alisema, “Msimzuie, kwa kuwa hakuna atakayefanya kazi kubwa kwa jina langu na ndipo baadaye aseme neno baya lolote juu yangu.
Jisua'n an kôm, “Ama ha khap rang pût no roi,” tute ki riminga sininkhêl a sina harenghan ku chungroia neinun saloi ngei ti thei kelen rang reng omak ngei, tiin a ril ngeia.
40 Yeyote asiyekuwa kinyume nasi yuko upande wetu.
Tukhom mi chakal loi chu ei tienga kop ani.
41 Yeyote atakayekupa kikombe cha maji ya kunywa kwa sababu uko na Kristo, kweli nawaambia, hatapoteza thawabu yake.
Adiktakin nangni ki ril, tukhom ki mi nin ni sika tuidâi kilât khat khom nangni a min nêkin chu râisânman a man ngêt rang ani.
42 Yeyote anayewakosesha hawa wadogo waniaminio mimi, ingekuwa vyema kwake kufungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutupwa baharini.
“Tukhom keima taka taksônna dôn mi achînte ngei lâia inkhat khom a taksônna minmang pe chu a ringa bunôinalung lienpa orrin tuikhangliena inchôm senla ata rangin sa uol atih.”
43 Kama mkono wako ukikukosesha ukate. Ni heri kuingia katika uzima bila mkono kuliko kuingia kwenye hukumu ukiwa na mikono yote. Katika moto “usiozimika”. (Geenna g1067)
Masikin nu kutin na taksônna aminmangin chu tan pai roh! Kutngei inik dôna dûkmun meidîla, mei thi tet ngâiloia se nêkin chu kut boia ringna taka lût nata rangin asa uol. (Geenna g1067)
44 (Zingatia: Mstari hii, “Mahali ambapo funza hawafi na moto usiozimika.” haumo katika nakala za kale).
45 Kama mguu wako ukikukosesha, ukate. Ni vyema kwako kuingia uzimani ukiwa kilema, kuliko kutupwa hukumuni na miguu miwili. (Geenna g1067)
Male ne kengei han na taksônna aminmangin chu, tan pai kelen roh! Kengei inik dôna dûkmuna paia om nêkin chu ke boia ringna taka lût chu nata rangin asa uol. (Geenna g1067)
46 (Zingatia: Mstari huu, “Mahali ambapo funza hawafi na moto usioweza kuzimika” haumo kwenye nakala za kale).
47 Kama jicho lako likikukosesha ling'oe. Ni vyema kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili na kutupwa kuzimu. (Geenna g1067)
Male ni mitin na taksônna aminmangin chu kêl pai roh! Mitngei inik dôna dûkmuna paia om nêkin chu mit inkhat dôna Pathien Rêngrama lût nata rangin asa uol. (Geenna g1067)
48 Mahali palipo na funza wasiokufa, na moto usiozimika.
Ha muna han chu anni ngei sâk ngâi, “rulungngei ha khom thi tet ngâi mak ngeia, mei khom thi tet ngâi mak.”
49 Kwa kuwa kila mmoja atakolezwa na moto.
“Inbôlna michi alin aminthieng ngâi anghan mi murdi meiin la minthieng nîng an tih.”
50 Chumvi ni nzuri, kama chumvi ikipoteza ladha yake, utaifanyaje iwe na ladha yake tena? Muwe na chumvi miongoni mwenu wenyewe, na muwe na amani kwa kila mmoja.”
“Michi hih a ala; aniatachu a alna hah adongin chu ile mo nin min al nôk ranga? “Nin lâia malinchangna michi dôn ungla, male insûk irrin om roi” a tia.

< Marko 9 >