< Marko 9 >
1 Na alisema kwao, “Hakika nasema kwenu, baadhi yenu kuna watu waliosimama hapa hawataonja mauti kabla ya kuuona ufalme wa Mungu ukija kwa nguvu.”
Yesu akayendelela kuvajovela, “Chakaka nikuvajovela, vavi vandu vangi penapo yati vifwa lepi changamlola Chapanga ilongosa kwa makakala munjila ndalindali.”
2 Na baada ya siku sita, Yesu aliwachukua Petro, Yakobo na Yohana pamoja naye mlimani, pekee yao. Ndipo alianza kubadilika mbele yao.
Pegamaliki magono sita, Yesu avatolili Petili na Yakobo na Yohani vene ndu kuhamba kunani ya chitumbi. Kwenuko Yesu ndi agewiki pamihu palongolo yavi.
3 Mavazi yake yakaanza kung'aa sana, meupe zaidi, meupe kuliko mng'arishaji yeyote duniani.
Nyula zaki yang'asimi yikavya yamsopi pehe, avi lepi mchapa nyula yeyoha pamulima mweihotola kuganyambisa ngati ago.
4 Ndipo Eliya pamoja na Musa walitokea mbele yao, na walikuwa wakiongea na Yesu.
Kangi vawuliwa vadatu vala vavawene Eliya na Musa vilongela na Yesu.
5 Petro alijibu akamwambia Yesu, “Mwalimu, ni vyema sisi kuwa hapa, na tujenge vibanda vitatu, kimoja kwa ajili yako, kimoja kwa ajili Musa na kingine kwa ajili ya Eliya.”
Petili akamjovela Yesu, “Muwula wangu, chabwina tete kuvya bahapa. Mbanga tete tijenge vindanda vidatu. Chimonga cha veve na chingi cha Musa na chingi cha Eliya.”
6 (Kwa kuwa hakujua nini cha kusema, waliogopa sana.)
Amanyili lepi chakujova, ndava mwene na vayaki wogohi wavayingili.
7 Wingu lilitokea na kuwafunika. Ndipo sauti ikatoka mawinguni ikisema, “Huyu ni mwanangu mpendwa. Msikieni yeye.”
Kangi likahumila lihundi likavagubika, na lwami lukayuwanika kuhuma mulihundi mula, “Mwenuyu ndi Mwana mwenimganili, mumyuwanila.”
8 Ghafla, walipokuwa wakitazama, hawakumuona yeyote pamoja nao, isipokuwa Yesu tu.
Bahapo vawuliwa vala vakalola kuni na kuni, nambu vamuwene lepi mundu yeyoha, nga Yesu pamonga na vene.
9 Walipokuwa wanateremka kutoka mlimani, aliwaamuru kutokumwambia mtu yeyote yale yote waliyoyaona, mpaka Mwana wa Adamu atakapofufuka kutoka kwa wafu.
Hinu, pavahelelayi kuchitumbi, Yesu akavabesa vakotoka kumjovela mundu mambu gevagaweni mbaka Mwana wa Mundu peiyuka.
10 Ndipo waliyatunza mambo wao wenyewe. Lakini walijadiliana wao kwa wao ni nini maana yake “kufufuliwa kutoka kwa wafu”
Vakakamula malagizu gala, nambu vakatumbula kukotana vene kwa vene, “Kuyuka mana yaki kyani?”
11 Walimwuliza Yesu,”Kwa nini waandishi husema lazima Eliya aje kwanza?”
Kangi vakamkota Yesu, “Ndava kyani Vawula va Malagizu vijova yiganikiwa hoti Eliya abwela?”
12 Akawaambia, “hakika Eliya atakuja kwanza kuokoa vitu vyote. Kwa nini imeandikwa Mwana wa Adamu lazima apate mateso mengi na achukiwe?
Mwene akavayangula, “Ena, Eliya ibwela hoti kutendelekela kila chindu. Pamonga na ago, ndava kyani yiyandikiwi mu Mayandiku Gamsopi kuvya Mwana wa Mundu gakumkolela mang'ahiso neju na kuveveswa?
13 Lakini nasema kwenu Eliya alikwisha kuja, na walimfanya kama walivyopenda, kama vile maandiko yasemavyo kuhusu yeye.”
Nambu nikuvajovela, Eliya amali kubwela, na vene vakamkitili chavaganili ngati Mayandiku Gamsopi chegijova kumvala mwene.”
14 Na waliporudi kwa wanafunzi, waliona kundi kubwa limewazunguka na Masadukayo walikuwa wanabishana nao.
Lukumbi Yesu na vawuliwa vadatu pavawuyili pandu pevavi vawuliwa vangi vala. Vauweni msambi uvaha wa vandu pamonga na Vawula va Malagizu vijovesana.
15 Na mara walipomwona, kundi lote lilishangaa na kumkimbilia kumsalimia.
Bahapo msambi wa vandu pawamuweni Yesu, vakakangasa neju, vakamjumbalila na kumjambusa.
16 Aliwauliza wanafunzi wake, “Mnabishana nao juu ya nini?”
Yesu akavakota vawuliwa, “Mjovesana nawu kyani?”
17 Mmoja wao katika kundi alimjibu, “Mwalimu, nilimleta mwanangu kwako; ana roho chafu ambayo humfanya asiweze kuongea,
Penapo mundu mmonga mu msambi wa vandu wula akamyangula, “Muwula, nimletili mwana vangu mweavi na mzuka weumkita kuvya ngajova.
18 na humsababishia kutetemeka na kumwangusha chini, na kutoka povu mdomoni na kusaga meno na kukakamaa. Niliwaomba wanafunzi wako kumtoa pepo, lakini hawakuweza.
Kila peukumkamula ukumgwisa pahi na kumuhumisa lihuluhulu mumlomo, kuni iyaga minu na kuvya myumu higa yoha. Nivayupili vawuliwa vaku vauvinga mzuka wenuwo nambu vahotwili lepi.”
19 Aliwajibu, “Kizazi kisichoamini, nitakaa nanyi kwa muda gani? Nitachukuliana nanyi hadi lini? Mleteni kwangu.”
Yesu akavajovela, “Mwe vandu va chiveleku changali sadika! Yati nitama na nyenye mbaka ndali? Nikuvasindimalila hati ndali? Mumleta kwa nene.”
20 Walimleta mtoto wake. Roho mchafu alipomwona Yesu, ghafla ilimtia katika kutetemeka. Mvulana alianguka chini na kutoa povu mdomoni.
Vampeliki msongolo kwa Yesu. Kanyata mzuka wula paumuweni Yesu, wamuhindwisi mwana yula na kumgwisa pahi akabilinduka na kuhuma lihuluhulu mumlomo.
21 Yesu alimwuliza baba yake, “Amekuwa katika hali hii kwa muda gani?” Baba alisema, “Tangu utoto.
Yesu akamkota dadi wa msongolo yula, “Mambu genaga gampatili ndali?” Akamyangula, “Gatumbwili kuhuma uwana waki.
22 Mara nyingine huanguka katika moto au kwenye maji, na kujaribu kumwangamiza. Kama unaweza kufanya chochote tuhurumie na utusaidie.”
Lukumbi lungi mzuka uwu ukumgwisa pamotu na mumanji, muni umkomekesa. Hinu ngati uhotola utihengela lipyana na kutitangatila!”
23 Yesu alimwambia, “Kama uko tayari? Kila kitu kinawezekana kwa yeyote aaminiye.”
Yesu akamjovela, “Ukotoka kujova, ‘Ngati nihotola?’ Mambu goha gihotoleka kwa mundu mweisadika.”
24 Ghafla baba wa mtoto alilia na kusema, “Naamini! Nisaidie kutokuamini kwangu.”
Penapo dadi yula akajova kwa lwami luvaha, “Nisadika, nambu sadika yangu yidebe! Nitangatilayi, sadika yangu yiyonjokesa!”
25 Wakati Yesu alipoona kundi linakimbilia kwao, alimkemea roho mchafu na kusema, “wewe roho bubu na kiziwi, nakuamuru mwache, usiingie kwake tena.”
Yesu pauweni msambi wa vandu wiyonjokeseka kanyata palongolo yaki, akauhakalila mzuka wula, “Mzuka weukumkita mwana kuvya ngayuwa na ngajova, nikulagazila muwukayi mwana uyu kotoka kumyingila kavili!”
26 Alilia kwa nguvu na kumhangaisha mtoto na roho alimtoka. Mtoto alionekana kama amekufa, Ndipo wengi walisema, “Amekufa,”
Penapo mzuka wula ukakwesa lwami, ukamgwisa mwana yula pahi na kumuwuka. Mwana awonikini ngati mtuhi, ndi vangi vakajova, “Afwili!”
27 Lakini Yesu alimchukua kwa mkono akamwinua, na mtoto alisimama.
Nambu Yesu akamkamula chiwoko, akamyinula namwene akayima.
28 Wakati Yesu alipoingia ndani, wanafunzi wake walimwuliza faragha, “Kwa nini hatukuweza kumtoa?”
Hinu Yesu peayingili mu nyumba, vawuliwa vaki vakamkota pachiepela, “Ndava kyani tete tahotwili lepi kuvinga mzuka wula?”
29 Aliwaambia, “kwa namna hii hatoki isipokuwa kwa maombi.”
Mwene akavajovela, “Mzuka ngati wenuwu uhotoleka lepi kuwusiwa ndu, nambu kwa njila ya kumuyupa Chapanga.”
30 Walitoka pale na kupitia Galilaya. Hakutaka mtu yeyote ajue walipo,
Yesu na vawuliwa vaki vakawuka penapo na kuyendelela na lugendu lwavi kuvedukila mulima wa ku Galilaya. Yesu aganili lepi mundu yeyoha amanyayi kweavili,
31 kwa kuwa alikuwa anafundisha wanafunzi wake. Aliwaambia, “Mwana wa Adamu atafikishwa mikononi mwa watu, na watamuua. Atakapokuwa amekufa, baada ya siku tatu atafufuka tena.”
ndava muni avawulayi vawuliwa vaki. Avajovili, “Mwana wa Mundu yati igotolewa kwa vandu vevakumkoma, nambu pa ligono la datu yati iyuka.”
32 Lakini hawakuelewa maelezo haya, na waliogopa kumwuliza.
Nambu vawuliwa vamanyili lepi mana ya mawuliwu gala. Ndi vakayogopa kumkota.
33 Ndipo walifika Karperinaumu. Wakati akiwa ndani ya nyumba aliwauliza, ''Mlikuwa mnajadili nini njiani”?
Hinu, vakahika muji wa Kapelanaumu na kuyingila mu nyumba, Yesu akavakota vawuliwa vaki, “Mwajovisini kyani munjila?”
34 Lakini walikuwa kimya. Kwani walikuwa wanabishana njiani kwamba nani alikuwa mkubwa zaidi.
Nambu vene vakaguna, muni munjila vakalikotana yani mweavi mkulu pagati yavi.
35 Alikaa chini akawaita kumi na wawili pamoja, na alisema nao, “Kama yeyote anataka kuwa wa kwanza, ni lazima awe wa mwisho na mtumishi wa wote.”
Yesu akatama pahi na kuvakemela vawuliwa kumi na vavili vala, akavajovela, “Mundu akagana kuvya mkulu ndi yikumgana avyai mdebe kavili avyai mtumisi wa voha.”
36 Alimchukua mtoto mdogo akamweka katikati yao. Akamchukua katika mikono yake, akasema,
Ndi akamtola mwana mdebe akamyimika pagati yavi akamkumbatila kangi akavajovela,
37 “Yeyote ampokeaye mtoto kama huyu kwa jina langu, pia amenipokea mimi, na ikiwa mtu amenipokea, hanipokei mimi tu, lakini pia aliyenituma.”
“Mweakumpokela mwana ngati uyu ndava ya nene, akunipokela nene, na mweakunipokela nene, akunipokela lepi namwene ndu, nambu akumpokela mewa na yula mweanitumili.”
38 Yohana alimwambia, “Mwalimu tulimwona mtu anatoa pepo kwa jina lako na tukamzuia, kwa sababu hatufuati.”
Yohani akamjovela Yesu, “Muwula, tamuweni mundu mmonga ivinga mizuka kwa kuhengela liina lako, tikambesa, muni lepi wa chikundi chitu.”
39 Lakini Yesu alisema, “Msimzuie, kwa kuwa hakuna atakayefanya kazi kubwa kwa jina langu na ndipo baadaye aseme neno baya lolote juu yangu.
Nambu Yesu akavajovela, “Mkoto kulinga kumbesa, ndava avi lepi mundu mweihenga gachinamtiti kwa liina langu, na bahapo akatumbula kunilongalela gahakau.”
40 Yeyote asiyekuwa kinyume nasi yuko upande wetu.
Ndava mundu mweangapingana na tete avili upandi witu.
41 Yeyote atakayekupa kikombe cha maji ya kunywa kwa sababu uko na Kristo, kweli nawaambia, hatapoteza thawabu yake.
Chakaka nikuvajovela, mundu yeyoha mweakuvapela nyenye chikombi cha manji ga kunywa, ndava nyenye vandu va Kilisitu, chakaka yati ipata njombi yaki.
42 Yeyote anayewakosesha hawa wadogo waniaminio mimi, ingekuwa vyema kwake kufungiwa jiwe la kusagia shingoni na kutupwa baharini.
Ngati mundu yeyoha akumyokesa mmonga wa vadebe ava kuyagisa sadika yaki, ndi mbanga mundu mwenuyo kukungiwa liganga livaha la kuyagila musingu yaki na kutagiwa munyanja kuliku kuhamuliwa na Chapanga.
43 Kama mkono wako ukikukosesha ukate. Ni heri kuingia katika uzima bila mkono kuliko kuingia kwenye hukumu ukiwa na mikono yote. Katika moto “usiozimika”. (Geenna )
Na chiwoko chaku ngati chikubudisa sadika yaku, chidumula! Mbanga kuyingila muwumi changali chiwoko chimonga, kuliku kuvya na mawoko gavili, na kuyingila, kumotu wangajimika magono goha. (Geenna )
44 (Zingatia: Mstari hii, “Mahali ambapo funza hawafi na moto usiozimika.” haumo katika nakala za kale).
Hinu mwenumo masomi gifwa lepi, wala motu waki wijimika lepi.
45 Kama mguu wako ukikukosesha, ukate. Ni vyema kwako kuingia uzimani ukiwa kilema, kuliko kutupwa hukumuni na miguu miwili. (Geenna )
Na chigendelu chaku ngati chikakubudisai, chidumula! Mbanga kuyingila muwumi changali chigendelu chimonga kuliku kuvya na magendelu goha gavili na kutagiwa kumotu wangajimika magono goha. (Geenna )
46 (Zingatia: Mstari huu, “Mahali ambapo funza hawafi na moto usioweza kuzimika” haumo kwenye nakala za kale).
Mwenumo masomi gifwa lepi na motu waki wijimika lepi.
47 Kama jicho lako likikukosesha ling'oe. Ni vyema kwako kuingia katika Ufalme wa Mungu ukiwa na jicho moja, kuliko kuwa na macho mawili na kutupwa kuzimu. (Geenna )
Na lihu lako likayagisa sadika yaku litupulai! Ulitaga, mbanga kuyingila Muunkosi wa Chapanga na lihu limonga kuliku kuvya na mihu gavili na kutagiwa kumotu wangajimika wa magono goha. (Geenna )
48 Mahali palipo na funza wasiokufa, na moto usiozimika.
Mwenumo, masomi gaki gifwa lepi na motu waki wijimika lepi.
49 Kwa kuwa kila mmoja atakolezwa na moto.
“Muni kila mundu yati inyambiswa kwa motu ngati luteta cheyinyambiswa kwa mwinyu.”
50 Chumvi ni nzuri, kama chumvi ikipoteza ladha yake, utaifanyaje iwe na ladha yake tena? Muwe na chumvi miongoni mwenu wenyewe, na muwe na amani kwa kila mmoja.”
“Mwinyu wabwina, nambu ngati iyagisi lunyong'onyo lwaki, yati iyonjokeswa na kyani?” “Muvya na mwinyu wa unkozi mugati yinu na kusindimalisa na uteke pagati yinu.”