< Marko 7 >

1 Mafarisayo na baadhi ya waandishi ambao walikuwa wametokea Yerusalemu walikusanyika kumzunguka yeye.
Pharisi nyia Hootthe nyootte loong Jerusalem nawa ra rum taha loong ah Jisu jiinni thok kookchap rum taha.
2 Na waliona kuwa baadhi ya wanafunzi wake walikula mkate kwa mikono najisi; ambayo haikuoshwa.
Pharisi loong ih Jisu liphante loong mararah ih neng lak enyaan ih phaksah arah jatjoh rumta erah langla neng laktiimuh ih phaksah rumta eno erah ah Pharisi loong ih kah nyoot rumta jun ih tah angta. (
3 (kwa Mafarisayo na Wayahudi wote hawali mpaka wameosha mikono yao vizuri; wanashikilia utamaduni wa wazee. Wakati
Pharisi, nyia Jehudi, nok hah ih nengte nengwah ih nyootta banlam ah phan rumta: neng ih laktiimuh ih laphaksat jih,
4 Mafarisayo wanaporudi kutoka mahali pa soko, hawali mpaka wameoga kwanza. Na kuna sheria zingine ambazo wanazifuata kabisa, ikiwa ni pamoja na kuosha vikombe, masufuria, vyombo vya shaba, na hata viti vinavyotumika wakati wa chakula.)
adoleh thaangsang theng nawa tumjaat thok huiha bah uh jaakhoh saachot muh doh tajen phaksata. Erah damdi uh neng ih ephoop teewah banlam loong ah phan rumta, Jengthaak ih lookkep khaplang, khuung akhaak nyia juptheng loong ah uh saachot muh ih tamaak rumta.)
5 Mafarisayo na waandishi walimuuliza Yesu, “Kwa nini wanafunzi wako hawaishi kulingana na tamaduni za wazee, kwani wanakula mkate pasipo kunawa mikono?”
Erah raangtaan ih Pharisi nyia Hootthe nyootte loong eh Jisu suh cheng rumta, “An liphante loong ih sengte sengwah ih kota banlam ah laphan mamet rumha, neng laktiimuh ih mamet phaksah rumha?”
6 Lakini yeye aliwaambia, “Isaya alitabiri vizuri kuhusu ninyi wanafiki, aliandika, 'Watu hawa wananiheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali na mimi.
Jisu ih ngaakbaat rumta, “Isaia ih sen loong tiit ah mamet punbaat kota! Heh ih raangthiinta likhiik sen loong ah lonoite: ‘Rangte ih liita, arah miloong eh bah, neng tuikhoop nawa ih soomtu rumhang, amiimi doh bah neng tenthun ah nga jiin nawa haloh dook ang ah.
7 Wananifanyia ibaada zisizo na maana, wakifundisha sheria za wanadamu kama mapokeo yao.'
Nga rangsoom rumha ah thaangmuh ang ah, tumeah neng eh mina ih hoon arah Hootthe ah nyoot rumha. Nga Hootthe ang arah likhiik ah!’
8 Mmeiacha sheria ya Mungu na kushikilia kwa wepesi tamaduni za wanadamu.”
“Sen ih Rangte jengdang ah thiinhaat anno mina ih nyootsoot ha ah kap han.”
9 Na akasema kwao, “Mmeikataa amri ya Mungu kwa urahisi ili kwamba mtunze tamaduni zenu!
Jisu ih toombaat ruh etta, “Sen ih Rangte hootthe ah mongwah maakwah tenthun lam ih dut haat han eno sen ih nyootsoot han banlam ah toonjoh han.
10 Kwa kuwa Musa alisema, 'mheshimu baba yako na mama yako,' na 'Yeye asemaye mabaya juu ya baba yake au mama yake hakika atakufa.'
Moses jengdang ni raangta, ‘Annuh anwah jengkhaap ah echaat etheng,’ erah damdi, ‘O ih heh nuh heh wah suh jengthih jengla erah etek haat etheng.’
11 Lakini mnasema, 'kama mtu akisema kwa baba yake au mama, “Msaada wowote ambao mngepokea kutoka kwangu ni hazina ya Hekalu,”' (hiyo ni kusema kwamba, 'imetolewa kwa Mungu')
Enoothong sen ih amet nyoot han, heh nuh heh wah chosok suh tumjih tumjih je abah, heh ih liita ‘Arah Korban’ (erah langla Rangte lakbi),
12 hivyo haumruhusu kufanya jambo lolote kwa ajili ya baba au mama yake.
Erah likhiik sen Pharisi loong ah ih sennuh senwah lajap sokboi suh liitan.
13 Mnaifanya amri ya Mungu kuwa bure kwa kuleta tamaduni zenu. Na mambo mengi ya jinsi hiyo mnayoyafanya.”
Emamah sen ih wahoh loong asuh ki nyootsoot anno Rangte jengkhaap ah takap thuk kan. Erah damdi uh jaatrep sen ih emamah moong reeraang kah anrah ephoop je ah.”
14 Aliwaita makutano tena na kuwaambia, “Mnisikilize mimi, ninyi nyote, na mnielewe.
Eno Jisu ih miloong ah we lompoon rum ano baatta, “Loongtang ih, nga jeng ah boichaat anno, samjat et an.
15 Hakuna chochote kutoka nje ya mtu ambacho chaweza kumchafua mtu kiingiapo kwake. Bali ni kile kimtokacho mtu ndicho kimchafuacho.
Tumjih bah uh sen sak ni rangkhoh nawa wangla rah ih sen ah tanyaan siit ran. Erah nang ih senten senmong nawa ra hala rah ih thong nyaansiit halan.”
16 (Zingatia: mstari huu, “kama mtu yeyote ana masikio ya kusikia, na asikie” haumo kwenye nakala za kale).
Sen na je anbah, chaat et an!
17 Yesu alipowaacha makutano na kuingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kuhusu mfano huo.
Midung nawa heh nok ni wangta adi, heliphante loong ah ih tiitthaak ah tumjih suh liita rah hukbaat suh cheng rumta.
18 Yesu akasema, “Na ninyi pia bado hamjaelewa? Hamuoni kwamba chochote kimuingiacho mtu hakiwezi kumchafua,
“Sen ah mihoh loong nang ih jatwah maakwah taboh angkan,” Jisu ih liirumta. “Sen ih tanih samjat kan? Sen sak ni rangkhoh nawa wangla rah ih bah amiimi di tanyaan siit ran,
19 kwa sababu hakiwezi kwenda kwenye moyo wake, lakini kinaingia katika tumbo lake na kisha kinapita kwenda chooni.” Kwa maelezo haya Yesu alivifanya vyakula vyote kuwa safi.
tumeah erah sen ten ni tawangka wok ni ba wangla eno ewe ngaakkaat ela.” (Erah jen baat ano Jisu ih jaatrep phaksat ejen phaksah et ah ih dokbaat korumta.)
20 Alisema, “Ni kile ambacho kinamtoka mtu ndicho kimchafuacho.
Eno Jisu ih boot baat rumta, “Sen ten nawa tumjaat dong ra hala rah ih ba thetsiit halan.
21 Kwa kuwa hutoka ndani ya mtu, nje ya moyo, hutoka mawazo maovu, zinaa, wizi, mauaji,
Tumeah sen mong nawa ethih mongtham dong hala rah ih, sen ah jootthih mootkaat ni siit halan, mih put tenthun, etek haat tenthun,
22 uasherati, tamaa mbaya, uovu, udanganyifu, kujamiiana, wivu, kashfa, majivuno, ujinga.
mih minuh miwah damdoh roomjup tenthun, nyamnyook tenthun, nyia jaatrep ethih loong tenthun; mookwaan mui tenthun, lapun lalam tenthun, miksuk mui tenthun, mih thetbaat tenthun, engaampo tenthun, nyia elang lalang ih reeraang tenthun loong adi siit halan—
23 Maovu haya yote yanatoka ndani, ndiyo yale yamchafuayo mtu.”
erah ethih tenthun loong ah sen ten seng mong nawa dong hala eno sen ah enyaan ih hoon thuk halan.”
24 Aliamka kutoka pale na kuondoka kwenda katika mkoa wa Tiro na Sidoni. Aliingia ndani na hakutaka mtu yeyote ajue kuwa alikuwa hapo, lakini haikuwezekana kumficha.
Eno Jisu erah dowa dokkhoom ano Tairi samnuthung re ko ih kata. Nok esiit ni heh ah nop wangta eno heh erah di oih uh naktoom jat ah ih thunta, ang abah uh heh tajen hottongta.
25 Lakini ghafla mwanamke, ambaye mtoto wake mdogo alikuwa na roho mchafu, alisikia habari zake, akaja, na akaanguka miguuni pake.
Minuh esiit, heh sah minusah sak ni chiithih laakhah pan ang arah, ih Jisu raak ah chaat ano echaan ih heh lathong ni kotbon kata.
26 Mwanamke huyo alikuwa Myunani, wa kabila la Kifoeniki. Alimsihi yeye amfukuze pepo kutoka kwa binti yake.
Erah nuh rah hahote angta Phonisia deek Siria hadaang ni tup arah ah. Minuh rah ih heh sah sak nawa chiithih laakhah rah dokphan raangtaan ih Jisu lasih ah jota.
27 Yesu akamwambia mwanamke, “Waache watoto walishwe kwanza, kwa kuwa sio sawa kuuchukua mkate wa watoto na kuwatupia mbwa.”
Eno Jisu ih ngaakbaatta, “Jaakhoh noodek asuh phaksat raang kottheng. Noodek phaksat ah nge ano hui suh haatkoh ah tapunka.
28 Lakini mwanamke akamjibu na kusema, “Ndiyo Bwana, hata mbwa chini ya meza hula mabaki ya chakula cha watoto.”
“Minuh ah ih ngaak liita, “Chuupha,” “Teebun nawa phaksat thaaja arah botseh hui ih katoon sah ah!”
29 Akamwambia, “Kwa kuwa umesema hivi, uko huru kwenda. Pepo ameshamtoka binti yako.”
Eno Jisu ih minuh asuh liita, “Epun baat et hu, an nok nah ngaak wang uh, an sah sak nawa chiithih laakhah rah doksoon cho tupwang uh!”
30 Mwanamke alirudi nyumbani kwake na akamkuta binti yake amelala kitandani, na pepo alikuwa amemtoka.
Eno erah nuh ah nok ni wang ano heh sah ah juptheng ni jup arah japtup wangta; chiithih laakhah rah heh sak nawa doksoon cho angta.
31 Yesu alitoka tena nje ya mkoa wa Tiro na kupitia Sidoni kuelekea Bahari ya Galilaya mpaka kanda ya Dikapolisi.
Eno Jisu Tairi hadaang re ko nawa dokkhoom ano Sidoon lam ih Galili juungsitum ko ni nyia Samthung Hah Asih ko ih kata.
32 Na wakamletea mtu aliyekuwa kiziwi na alikuwa hawezi kuzungumza vizuri, walimsihi Yesu aweke mikono juu yake.
Erah di mararah ih Jisu reeni naabaang nyia jengtah ang arah siitjah rum taha, eno Jisu suh an lak ih taajoh weeuh ih heh lasih joh rumta.
33 Alimtoa nje ya kusanyiko kwa siri, na akaweka vidole vyake kwenye masikio yake, na baada ya kutema mate, aligusa ulimi wake.
Erah thoidi Jisu ih midung nawa heh laklak ih doksiit kaatta, eno heh laktiik ih heh na adi kepta, heh took ah phoh ano heh tuihih adi taajota.
34 Alitazama juu mbinguni, akahema na kumwambia, “Efata,” hiyo ni kusema “funguka!”
Eno Jisu ah rangko ih toonsok ano, thungthet lam ih erah mih asuh liita, “Ephphatha,” erah langla “Laang uh!” ih liita.
35 Na muda ule ule masikio yakafunguka, na kilichokuwa kimezuia ulimi kiliharibiwa na akaweza kuongea vizuri.
Erah damdam heh na ah laangta, heh jeng uh laangloolo ih miijengta, eno latanyah thang ih waantiitta.
36 Na aliwaamuru wasimwambie mtu yeyote. Lakini kadri alivyowaamuru, ndivyo walivyotangaza habari hizo kwa wingi.
Jisu ih erah tiitwaan ah o suh uh nak baat an ih miloong asuh baat rumta; erah bah uh mathan taat haam ah, erah thanthan ih jaawaan karumta.
37 Hakika walishangazwa, na kusema, “Amefanya kila kitu vizuri. Hata amewafanya viziwi kusikia na mabubu kuongea.”
O mina ih japchaatta loong ah rapne ih paatja rumta. “Erathan mame jen re la!” neng ih liita. “Engong nyia naabaang anep jen jeng thuk ha nyia jen chaat thuk ha!”

< Marko 7 >