< Marko 7 >
1 Mafarisayo na baadhi ya waandishi ambao walikuwa wametokea Yerusalemu walikusanyika kumzunguka yeye.
Yerusalaameppe yida guutha Farisaawetinne higge asttamaareti Yesuusa matan shiiqidosona.
2 Na waliona kuwa baadhi ya wanafunzi wake walikula mkate kwa mikono najisi; ambayo haikuoshwa.
Yesuusa tamaaretappe issoti issoti geeyonna kushiyan, hessika kushe meecettonna kathi meyssata be7idosona.
3 (kwa Mafarisayo na Wayahudi wote hawali mpaka wameosha mikono yao vizuri; wanashikilia utamaduni wa wazee. Wakati
Farisaawetinne Ayhude asay ubbay bantta aawata wogaatho bantta kushiya meecettonna mokkonna.
4 Mafarisayo wanaporudi kutoka mahali pa soko, hawali mpaka wameoga kwanza. Na kuna sheria zingine ambazo wanazifuata kabisa, ikiwa ni pamoja na kuosha vikombe, masufuria, vyombo vya shaba, na hata viti vinavyotumika wakati wa chakula.)
Hessadakka, entti giyappe shamettidabaa meecconna de7ishe mokkonna. Qassi entti bantta aawatappe ekkida hara daro wogi de7ees: Hessika siniya, keriya, biraata miishetanne arssaa meecciya wogaa naageyssa.
5 Mafarisayo na waandishi walimuuliza Yesu, “Kwa nini wanafunzi wako hawaishi kulingana na tamaduni za wazee, kwani wanakula mkate pasipo kunawa mikono?”
Farisaawetinne higge asttamaareti Yesuusa, “Ne tamaareti ays aawata wogaa menthidi bantta kushiya meecettonna kathi moonna?” yaagidi oychchidosona.
6 Lakini yeye aliwaambia, “Isaya alitabiri vizuri kuhusu ninyi wanafiki, aliandika, 'Watu hawa wananiheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao iko mbali na mimi.
Yesuusi enttako, “Isayaasi hinttena cubbota, ‘Hayssi asay tana ba inxarssa xalaalan bonchchees, shin entta wozanay taappe haahon de7ees.
7 Wananifanyia ibaada zisizo na maana, wakifundisha sheria za wanadamu kama mapokeo yao.'
Asi medhdhida wogaa Xoossaa higge daanisidi tamaarssiya gisho, entti taw mela goynnosona’” gidi xaafidayssi tuma.
8 Mmeiacha sheria ya Mungu na kushikilia kwa wepesi tamaduni za wanadamu.”
“Hintte Xoossaa kiitaa aggidi asa wogaa minthidi naageeta” yaagis.
9 Na akasema kwao, “Mmeikataa amri ya Mungu kwa urahisi ili kwamba mtunze tamaduni zenu!
Qassika Yesuusi, “Hinttee hintte wogaa naagidi Xoossaa kiitaa yeggi agganaw lo77o oge demmideta.
10 Kwa kuwa Musa alisema, 'mheshimu baba yako na mama yako,' na 'Yeye asemaye mabaya juu ya baba yake au mama yake hakika atakufa.'
Musey, ‘Ne aawanne ne aayiw bonchcha’, qassi ‘Ba aawanne ba aayiw cayeyssi hayqqanaw bessees’ yaagis.
11 Lakini mnasema, 'kama mtu akisema kwa baba yake au mama, “Msaada wowote ambao mngepokea kutoka kwangu ni hazina ya Hekalu,”' (hiyo ni kusema kwamba, 'imetolewa kwa Mungu')
Shin issi asi ba aawa woykko ba aayiw maaddanayssa aggidi, ‘Hessi Xoossaa yarshsho’ giikko,
12 hivyo haumruhusu kufanya jambo lolote kwa ajili ya baba au mama yake.
I ba aawa woykko ba aayiw maaddonna mela ootheeta.
13 Mnaifanya amri ya Mungu kuwa bure kwa kuleta tamaduni zenu. Na mambo mengi ya jinsi hiyo mnayoyafanya.”
Hessadakka, hintte harata tamaarssida hintte wogan Xoossaa qaala kadhideta. Hessa mela hara darobaa ootheeta” yaagis.
14 Aliwaita makutano tena na kuwaambia, “Mnisikilize mimi, ninyi nyote, na mnielewe.
Yesuusi daro asaa qassika baakko xeegidi, “Ubbay taani odeyssa si7itenne akeekite.
15 Hakuna chochote kutoka nje ya mtu ambacho chaweza kumchafua mtu kiingiapo kwake. Bali ni kile kimtokacho mtu ndicho kimchafuacho.
Asa wozanappe keyaabay ase tuniseesippe attin kareppe asa ulo gelidi ase tunisiyabay aybikka baawa.
16 (Zingatia: mstari huu, “kama mtu yeyote ana masikio ya kusikia, na asikie” haumo kwenye nakala za kale).
Si7iya haythi de7iya oonikka si7o” yaagis.
17 Yesu alipowaacha makutano na kuingia nyumbani, wanafunzi wake wakamwuliza kuhusu mfano huo.
Yesuusi daro asaa yeggi aggidi soo gelin iya tamaareti he leemisuwabaa iya oychchidosona.
18 Yesu akasema, “Na ninyi pia bado hamjaelewa? Hamuoni kwamba chochote kimuingiacho mtu hakiwezi kumchafua,
I enttako, “Hinttewuka qassi gelibeennee? Kareppe asa wozanan geliyabay aybikka ase tunisanaw dandda7onnayssa akeeketii?
19 kwa sababu hakiwezi kwenda kwenye moyo wake, lakini kinaingia katika tumbo lake na kisha kinapita kwenda chooni.” Kwa maelezo haya Yesu alivifanya vyakula vyote kuwa safi.
Ays giikko, kathi asa ulo giddo gelidi kanthidi aadhdheesippe attin asa wozana giddo gelenna” yaagis. Hessan Yesuusi kathi ubbay geeshshi gideyssa erisis.
20 Alisema, “Ni kile ambacho kinamtoka mtu ndicho kimchafuacho.
Kaallidikka, Yesuusi, “Asa tunisiyabay asa wozana giddofe keyaabaa.
21 Kwa kuwa hutoka ndani ya mtu, nje ya moyo, hutoka mawazo maovu, zinaa, wizi, mauaji,
Asa wozana giddofe keyaabay iita qofa, laymatethi, kayso, ase wodho, laame,
22 uasherati, tamaa mbaya, uovu, udanganyifu, kujamiiana, wivu, kashfa, majivuno, ujinga.
iita amo, iitatethi, gene, qayxe, cimo, qanaate, cashshe, otoronne boozatethi.
23 Maovu haya yote yanatoka ndani, ndiyo yale yamchafuayo mtu.”
Ha iitabay ubbayka asa wozana giddofe keyidi ase tunisees” yaagis.
24 Aliamka kutoka pale na kuondoka kwenda katika mkoa wa Tiro na Sidoni. Aliingia ndani na hakutaka mtu yeyote ajue kuwa alikuwa hapo, lakini haikuwezekana kumficha.
Yesuusi yaappe keyidi, Xiiroosa katama matan de7iya biittaa bis. I issi keethi gelidi yan de7eyssa oonikka erana mela koyibeenna. Shin qosettidi gam77anaw dandda7ibeenna.
25 Lakini ghafla mwanamke, ambaye mtoto wake mdogo alikuwa na roho mchafu, alisikia habari zake, akaja, na akaanguka miguuni pake.
Shin I guutha na7iw tuna ayyaanay oykkida issi maccasiya Yesuusabaa si7ada ellesa iyaakko yada iya tohuwa bolla kunddasu.
26 Mwanamke huyo alikuwa Myunani, wa kabila la Kifoeniki. Alimsihi yeye amfukuze pepo kutoka kwa binti yake.
Iya Ayhude maccasi gidukku; iya yelettiday Siroofinqe giya biittana. Iya, ba na7eeppe tuna ayyaanaa kessana mela Yesuusa woossasu.
27 Yesu akamwambia mwanamke, “Waache watoto walishwe kwanza, kwa kuwa sio sawa kuuchukua mkate wa watoto na kuwatupia mbwa.”
Shin Yesuusi zaaridi, “Nayti koyrottidi kathaa kallo; nayta kathaa ekkidi kanatas yeggeyssi lo77o gidenna” yaagis.
28 Lakini mwanamke akamjibu na kusema, “Ndiyo Bwana, hata mbwa chini ya meza hula mabaki ya chakula cha watoto.”
Maccasiya zaarada, “Ta Godaw hessi tuma, shin gaytaa matan de7iya kanati naytappe wodhdhiya tiifiya moosona” yaagasu.
29 Akamwambia, “Kwa kuwa umesema hivi, uko huru kwenda. Pepo ameshamtoka binti yako.”
Yesuusi qassi iikko, “Ha ne qaala gisho, ne soo ba; tuna ayyaanay ne na7eeppe keys” yaagis.
30 Mwanamke alirudi nyumbani kwake na akamkuta binti yake amelala kitandani, na pepo alikuwa amemtoka.
Maccasiya ba soo biya wode tuna ayyaanay iippe keyin hiixan zin77idaaro demmasu.
31 Yesu alitoka tena nje ya mkoa wa Tiro na kupitia Sidoni kuelekea Bahari ya Galilaya mpaka kanda ya Dikapolisi.
Yesuusi Xiiroosa katamatappe keyidi, Sidoonaranne Tammu Katamata giya biittaara kanthidi Galiila Abbaako bis.
32 Na wakamletea mtu aliyekuwa kiziwi na alikuwa hawezi kuzungumza vizuri, walimsihi Yesu aweke mikono juu yake.
Asay tullenne waayidi odettiya asi Yesuusakko ehidi, ba kushiya iya bolla wothana mela iya woossidosona.
33 Alimtoa nje ya kusanyiko kwa siri, na akaweka vidole vyake kwenye masikio yake, na baada ya kutema mate, aligusa ulimi wake.
Yesuusi barkka he uraa daro asappe gaxa kessidi, ba biradhdhiya iya haythan yeddis. Qassi cuchchi cuttidi iya inxarssaa bochchis.
34 Alitazama juu mbinguni, akahema na kumwambia, “Efata,” hiyo ni kusema “funguka!”
Salo pude xeellidi, tooki shemppidi, “Eftah” gis. Birshshethaykka “Dooyetta” guussu.
35 Na muda ule ule masikio yakafunguka, na kilichokuwa kimezuia ulimi kiliharibiwa na akaweza kuongea vizuri.
Uraa haythay ellesidi dooyettis, qashettida inxarssaykka birshshettis, uray geeshshidi odettis.
36 Na aliwaamuru wasimwambie mtu yeyote. Lakini kadri alivyowaamuru, ndivyo walivyotangaza habari hizo kwa wingi.
Yesuusi asa ubbaas, “Hayssa oodeskka odoppite” yaagis. Shin I daro minthidi odoppite gin, asay odaa yaa darssis.
37 Hakika walishangazwa, na kusema, “Amefanya kila kitu vizuri. Hata amewafanya viziwi kusikia na mabubu kuongea.”
Hessa si7ida asay ubbay daro malaalettidi, “Ubbabaa I loythi oothees. Hari attoshin, tulliya sissees, muumiya odisees” yaagidosona.