< Marko 6 >

1 Na akaondoka hapo na kwenda mjini kwao, na wanafunzi wake wakamfuata.
Na ahepa ipo nabhale humuji ni wabho asundwa abhakwe bhahadaga.
2 Sabato ilipofika, alianza kufundisha katika Sinagogi. Watu wengi walimsikia na wakashangazwa. Wakasema, “Amepata wapi mafundisho haya?” “Ni hekima gani hii aliyopewa?” “Anatendaje miujiza hii kwa mikono yake?”
Ulutuyo palwahafiha, ali anza amanyizywe mwi Sinagogi. Abhantu abhinji bhahamuvhaga. Naswijiziwe bhahayaga, “Azwajile wihiizi izywa manyizwa?” “Liphana ashi ili ilwapewilwe?” “Abhomba amanjele iga humakhono gakwe?”
3 “Je huyu si yule seremala, mwana wa Mariamu na ndugu yao kina Yakobo, Yose, Yuda na Simioni? Je dada zake si wanaishi papa hapa pamoja nasi?” Na hawakufurahishwa na Yesu.
“Ishi unu sawa selemala, umwana wa Maria uholo wabho aYakobo, Yose, Yuda na Simoni? Je adada bhakwe tukhalanabho mumu nanthi?” Hakufulaisha nu Yesu.
4 Yesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima, isipokuwa katika mji wake na miongoni mwa ndugu zake na nyumbani mwake.”
U Yesu abhabhula, “Ukuwa haga akosa awogopwe, ilakati yikhaya yakwe na mubhamo muholo bhakwe na munyumba mwakwe.”
5 Hakuweza kutenda miujiza hapo, ila aliwawekea mikono wagonjwa wachache akawaponya.
Hagawezyaga abhombe amanjele epo, lelo abheha amakhono abhini bhashe abhaponwa.
6 Alishangazwa sana kwa sababu ya kutokuamini kwao. Kisha alivitembelea vijiji vya jirani akifundisha.
Ahaswiga sana pasaga wamini wabho. Ajendelela ikhaya izywapalamani ahamanyizya.
7 Aliwaita wale wanafunzi kumi na wawili akaanza kuwatuma wawili wawili. Aliwapa mamlaka juu ya pepo wachafu,
Ahabha kuga asudwa bhakwe ilongo limo nabhantu bhabhili ahanda atume bhabhili bhabhili. Apela amulaka juu yipepo ichafu,
8 na kuwaamuru wasichukue chochote wanapokwenda isipokuwa fimbo tu. Wasichukue mkate, wala mkoba, wala fedha kibindoni;
na bhamulile bhaanganje aweje hahunti pabhajenda ila ulusansotu bhanganda aweje ibumunda wala ifhulushi wala ihela pahosi;
9 lakini wavae viatu, na siyo kanzu mbili.
lelo bhakwataje ishilato, lelo siyo amakanzu gabhili.
10 Na akawaambia, “Nyumba yoyote mtakayoingia, kaeni hapo mpaka mtakapoondoka.
Ahabhabhula, “Nyumba yayundti iyamunza winjile, khalanji upa pamwaishila.
11 Na mji wowote usipowapokea wala kuwasikiliza, ondokeni kwao, kung'uteni mavumbi ya miguu yenu, iwe ushuhuda kwao.”
Ikhaya yayundti iyasi habhejela wala abhuvhe, shilaji pabhene, kunyu ntaji amakundi agamagaga genyu, bhawiloleje abene.”
12 Nao wakaenda wakitangaza watu watubu na kuacha dhambi zao.
Nabhope bhahashila bhatangazwa abhantu bhalambaje imbivhi zyabho.
13 Waliwafukuza pepo wengi, na waliwapaka mafuta wagonjwa na wakaponywa.
Bhanyi ipepo inyinji, na bhapahaga amafuta abhinu bhaponaga.
14 Mfalme Herode aliposikia hayo, kwa kuwa jina la Yesu lilikuwa limejulikana sana. Baadhi walisema, “Yohana mbatizaji amefufuka na kwa sababu hiyo, hii nguvu ya miujiza inafanya kazi ndani yake.”
Utawala uHalode pahuvhwa ingo, afutane itawa lwa Yesu lwamanyishe sana. Bhamo bhayanga, “U Yohana uyabhozwa azyushile pipo isho inkuniimaanjele ibhomba imbombo mhati yakwe.”
15 Baadhi yao wakasema, “Huyu ni Eliya,” Bado wengine wakasema, “Huyu ni nabii, kama mmoja wa wale manabii wa zamani.”
Bhamo bhahayanga huje, “Unu yu Eliya,” Lelo bhamo bhayanga, “Unu yukuwa, uwali nishi bhala akuwa abhimandi.”
16 Lakini Herode aliposikia haya akasema, “Yohana, niliyemkata kichwa amefufuliwa.”
Lelo uHalode pahuvhaigo ahayanga, “Ahaga uYohana, uwihandumule itwe azywushile.”
17 Maana Herode mwenyewe aliagiza Yohana akamatwe na alimfunga gerezani kwa sababu ya Herodia (mke wa kaka yake Filipo) kwa sababu yeye alikuwa amemuoa.
Lelo Helode yuyo alajizwe huje uYohana akhatwe ahapinya nahubhishe mwigeleza hunongwa Herodia (ushi wa kuluwakwe Filipo) pipo lelo umwene ali agojile.
18 Kwa maana Yohana alimwambia Herode, “Si halali kumuoa mke wa kaka yako.”
Lelo uYohana ali abhulile uHerode, “Sagashizha aweje ushi uwa khulubho.”
19 Lakini Herodia alianza kumchukia na alikuwa akitaka kumuua, lakini hakuweza,
Lelo uHerodia ahanda huvhitililwe na azaga ahugoje, lelo haga awezizwe,
20 maana Herode alimwogopa Yohana; alijua kwamba ni mwenye haki mtu mtakatifu, na alimwacha salama. Na alipoendelea kumsikiliza alihuzunika sana, lakini alifurahi kumsikiliza.
lelo uHerode amwogupe uYohana; amenye muntu wana lwoli nzhelu ahaleha huwinza, pahendelela hu mwuvhe. Asulumana sana lelo ahamoga hutejelezywe.
21 Hata ilipofika wakati mwafaka ikiwa imekaribia siku ya kuzaliwa Herode akawaandalia moafisa wake karamu, na makamanda, na viongozi wa Galilaya.
Po uhafi uwakati uwene pabhelaga isiku ilwa papwe Herode abhandalila atalamu abhakwe ishelehe, na adadamu nalongozi ami Galialaya.
22 Ndipo binti wa Herodia akaingia na kucheza mbele yao, akamfurahisha Herode na wageni walioketi wakati wa chakula cha jioni. Ndipo mfalme akamwambia binti, “Niombe chochote unachotaka nami nitakupa.”
Phipo ulendu wa Herodia ahinjila nacheze witazi wabhene, afulaiswa uHarode na jenyu abhakhile uwakati uwishalwe shalwevhela. Epo utawala abhula ulendu, “Undavhe hahondti uwaza nani izahupele.”
23 Akamwapia na kusema, chochote utakachoniomba, nitakupa, hata nusu ya ufalme wangu.”
Alapilizya huje, hahudi hubha ndavhe, izahupele, ahata inusu iyitala wani.”
24 Akatoka nje akamuuliza mama yake, “Niombe nini?” Akasema, “Kichwa cha Yohana Mbatizaji.”
Afuma huzi avhuzya anyina wakwe, “Indavhe yenu?” Abhula, “Itwe ilwa Yohana uwa Wonza.”
25 Na mara moja akaingia kwa mfalme akaanza kusema, “Nataka unipatie ndani ya sahani, kichwa cha Yohana Mbatizaji.”
Shisho ahinjila watawala ahanda ayanje, “Iwaza muhati musahani, itwe lwa Yohana uyawozwa.”
26 Mfalme alisikitishwa sana, lakini kwa sababu ya kiapo chake na kwa ajili ya wageni, hakuweza kumkatalia ombi lake.
Utawala aswiga sana, lelo ululapo ulwalapile na ajenyi, haga hawezywa hukhanile ilwa labhile.
27 Hivyo, mfalme akatuma askari kati ya walinzi wake na kuwaagiza kwenda kumletea kichwa cha Yohana. Mlinzi alikwenda kumkata kichwa akiwa kifungoni.
Isho, mutawala ahatuma asinjala abha gulaga abhalajizywe abhale alilete itwelwa yahanaulizi abhatile adumule wijela.
28 Akakileta kichwa chake kwenye sahani na kumpatia binti, na binti akampa mama yake.
Ahaleta itwe kwenye sahani na hupele ulindu ulindu apela unyina wakwe.
29 Na wanafunzi wake waliposikia hayo, walikwenda kuuchukua mwili wake wakaenda kuuzika kaburini.
Asundwa bhakwe pabha huvha isho, bhahabhala abhale aweje ubhilyi gwakwe bhala asywile hunghugwa.
30 Na mitume, walikusanyika pamoja mbele ya Yesu, wakamweleza yote waliyofanya na waliyoyafundisha.
Atumwa bha bhungana witazi wa Yesu, bhabhula gunthi agabhombile na gabhamanyizyaga.
31 Naye akawaambia, “Njooni wenyewe mahali pa faragha na tupumzike kwa muda.” Watu wengi walikuwa wanakuja na kuondoka, hata hawakupata nafasi ya kula.
Wope abhabhula, “Izaji mwemwe pasili tutuye hashe.” Abhantu abhinji bhali bhahweza nashile wala habhapata inafusi iyolye.
32 Hivyo wakapanda mashua wakaenda mahali pa faragha peke yao.
Bhinjila mumashuwa bhala amahali pasili bhene.
33 Lakini waliwaona wakiondoka na wengi wakawatambua, kwa pamoja walikimbia kwa miguu kutoka miji yote, nao wakafika kabla yao.
Lelo bhahabha lola pabhashila bhahabhamanya abhahanyila lwimagaga upaka humiji guthi, bhope bhafiha shavhasili abhene.
34 Walipofika pwani, aliona umati mkubwa na akawahurumia, kwa sababu walikuwa kama kondoo wasiokuwa na mchungaji. Na akaanza kuwafundisha mambo mengi.
Pahafiha pwani, bhalola ibhuga ingosi bhahabhasajila, pipo bhali nishi ingole izwasazili nu ndimii. Ahanda abha manyizye amambo aminji.
35 Muda ulipoendelea sana, wanafunzi wakamjia wakamwambia,”Hapa ni mahali pa faragha na muda umeendelea.
Abhazyo pahedelela sana, asudwa abhahemwizila bhaha bhula,”Ipa tuli mahali pisili umuda gubhalile.
36 Uwaage waende miji ya jirani na vijiji ili wakajinunulie chakula.”
Ubhalaje bhashilaje aweze ishalye humiji hujiji ivipipi.”
37 Lakini akawajibu akisema, “Wapeni ninyi chakula.” Wakamwambia, “Tunaweza kwenda na kununua mikate yenye thamani ya dinari mia mbili na kuwapa wale?”
Lelo abhajibhula ayanga, “Bhapeli amwe ishalye.” Tugawezwa awepe nakale amabumunda angisamani na mimbili tubhapele hahalye?”
38 Akawambia,” Mna mikate mingapi? Nendeni mkaangalie.” walipopata wakamwambia, “Mikate mitano na samaki wawili.”
Ahabhabhula,” Muna amabumunda galinga? Mubhale mwenye.” pabhavhaga bhahabhula, “Amabumunda gasanu ni samaji nsivhile.”
39 Akawaamuru watu waketi katika makundi juu ya majani mabichi.
Bhahamuliswa abhantu bhakhale mumasole amolo.
40 Wakawaketisha katika makundi; makundi ya mamia kwa hamsini.
Bhaha khazywa makundi; makundi mamia na amhamsini.
41 Kisha akachukua mikate mitano na samaki wawili, na kutazama mbinguni, akaibariki kisha akawapa wanafunzi waweke mbele ya umati. Na kisha aligawa samaki wawili kwa watu wote.
Ahenga amabumunda gasanu na samaki zibhili, na wenye humwanya, ahasanya aha pela asudwa waweke mbele ya umati. Bhabhishe nasamaki zibhili, na zitatu wabhathu bhuthi.
42 Walikula wote hadi wakatosheka.
Bhahalya bhuthi bhayile.
43 Walikusanya vipande vya mikate iliyobaki, Vikajaa vikapu kumi na viwili, na pia vipande vya samaki.
Bhabhunganya amabumuda sangile, Vyaha mema ivitundu vhibhele, nivindumushila ivisamaki.
44 Na walikuwa wanaume elfu tano waliokula mikate.
Bhali alume elufuzisanu abhalile amabunda.
45 Mara akawaambia wapande kwenye mashua waende sehemu nyingine, hadi Bethsaida, wakati Yeye akiwaaga makutano.
Abhabhula huje bhande mashua bhabhale isemu iyinji, Bethsaida, uwakati abhalaga ulubhungano.
46 Walipokuwa wamekwisha kuondoka, akaenda mlimani kuomba.
Pabha habha bhashila, abhala wi gamba alavhe.
47 Kulipokuwa jioni, na mashua yao wakati huo ikiwa katikati ya bahari, naye alikuwa peke yake nchi kavu.
Pawahahavha shalyevhela na mashua yabho ulwo ili pahati pazhumbi alimwene panzi inyumu.
48 Na aliwaona wakitaabika kupiga makasia kwa sababu upepo uliwazuia. Ilipokaribia asubuhi akawaendea, akitembea juu ya maji, na alitaka kuwapita.
Ahalola bhatamiwa akhome makasiapipo ihala ihapingaga. Pahuhabha hupambazuha nashaphii abha bhalila, ajendaga amizi ahazaga ashizanye.
49 Lakini walipomwona anatembea juu ya maji, wakaingiwa na wasiwasi wakidhani ni mzimu hata wakapiga kelele.
Lelo pahalola ajenda amwanya iyimeze, bhapata uwasi wasi bhagazimu hata bhakhola.
50 kwa sababu walimwona wakajawa na hofu. Mara akasema nao akawaambia, “Muwe wajasiri! ni mimi! Msiwe na hofu.”
pipo bhahalola vhahijila ishaka. Ahagana yanje anabho abhabhula, “Mubhanje bhadadamu! nene! Mganje abhe nihofu.”
51 Akaingia ndani ya mashua, na upepo ukaacha kuvuma, nao wakamshangaa kabisa.
Ahinjila muhati mumashua, na ihala ihaleha avungume na haswiga kabisa.
52 Hivyo hawakuwa wameelewa maana ya ile mikate. Maana akili zao zilikuwa na uelewa mdogo.
Haga bhahelewa imana iyagala amabumunda. Injele zhwabho zyalidodo.
53 Nao walipovuka ng'ambo, walifika nchi ya Genesareti mashua ikatia nanga.
Bhope pali bhaloushe isyila bhafiha insi ya Genesareti mashua ikati nanga.
54 Walipotoka nje ya mashua, mara wakamtambua.
Pabhahaguma huzi iye mashua, bhahatabula.
55 Wakakimbia kutangaza katika mkoa mzima na wakaanza kuwaleta wagonjwa kwa machela, kila waliposikia anakuja.
Bhahanyila atangazwe mkowa gwundhi bhahandu abhalete avhinu mzego mzega, shila pahuvhaga huje awiza.
56 Popote alipoingia katika vijiji, au mjini, au katika nchi, waliwaweka wagonjwa mahali pa soko, na wakamsihi awaruhusu kugusa pindo la vazi lake. Na wote waliomgusa waliponywa.
Pundi pahinjilaga huvijiji, au mumiji, au munzhi, bhabhihaga avhinu pasoko, bhalamba huje bhapala mazhwaje amenda gakwe. Na bhundti abhakhete bhaponile.

< Marko 6 >