< Marko 5 >
1 Walikuja mpaka upande mwingine wa bahari, katika mkoa wa Gerasi
Bhakahidili hadi lubhafu l'ongi lwa bahari mu mkoa ghwa Gerasi
2 Na ghafla wakati Yesu alipokuwa akitoka nje ya mtumbwi, mtu mwenye roho chafu alikuja kwake kutoka makaburini.
Ni ghafla bhwakati Yesu ipita mugati mu bhuatu, munu jhaajhele ni roho chafu akahida kwa muene kuhomela kumakaburi.
3 Mtu huyu aliishi makaburini. Hakuna aliyeweza kumzuia zaidi, hakuna hata kwa minyororo.
Munu ojhu atameghe ku makaburi. Ajhelepi jhaabhwesili kunsifila, ajhelepi hata ku minyororo.
4 Alikuwa amefungwa nyakati nyingi kwa pingu na minyororo. Aliikata minyororo na pingu zake zilivunjwa. Hakuna hata mmoja aliyekuwa na nguvu za kumshinda.
Akongibhu bhwakati bhwingi ni p'engu ni minyororo. Ahidumuili minyororo ni p'engu syake syadumuiki. Ajhelepi hata mmonga jha ajhe ni nghofu sya kun'shinda.
5 Usiku na mchana akiwa makaburini na milimani, alilia na kujikata yeye mwenyewe kwa mawe makali.
Pakilu ni pamusi ajhele kumakaburi ni kufidonda alelili ni kwidumula muene kwa maganga makali.
6 Alipomwona Yesu kwa mbali, alikimbilia kwake na kuinama mbele yake.
Bho ambwene Yesu kwa patali ojumbili kwa muene ni kujhinama mbele jha muene.
7 Alilia kwa sauti kuu, “Wataka nikufanyie nini, Yesu, Mwana wa Mungu aliye Juu sana? Ninakusihi kwa Mungu mwenyewe, usinitese.”
Al'elili kwa sauti mbaha, “Ghwilonda nikubhombilayi kiki, Yesu, Mwana ghwa K'yara j'haajhele kunani Sana? Nikus'okha kwa K'yara muene usin'tesi.”
8 Kwa kuwa alikuwa amemwambia, “Mtoke mtu huyu, wewe roho mchafu.”
Kwa kujha amali kun'jobhela, “Umbokajhi bhebhe roho n'chafu.”
9 Naye alimwuliza, “Jina lako ni nani?” Naye alimjibu, “Jina langu ni Legion, kwa kuwa tuko wengi.”
Nu muene akan'kota, “Lihina lya bhebhe niani?” Nu muene akan'jibu, “Lihina lya nene ni Legion, kwa kujha tujhe twebhingi.”
10 Alimsihi tena na tena asiwapeleke nje ya mkoa.
Akan'sihi kabhele asibhap'eleki kwibhala ku mkoa.
11 Sasa kundi kubwa la nguruwe lilikuwa likilishwa juu ya kilima,
Henu likundi libhaha lya maghorobhi likajhele lilasibhwa panani pa kid'onda,
12 nao walimsihi, wakisema, “Tutume kwa nguruwe; tuingie ndani yao.”
naghu ghakan'sihi ni kujobha, “Tutumajhi ku maghorobhi; tujhingilayi mugati mwa bhene.”
13 Hivyo aliwaruhusu; roho wachafu waliwatoka na kuingia ndani ya nguruwe, nao walikimbilia chini ya kilima mpaka baharini, na karibia nguruwe elfu mbili walizama baharini.
Efyo akagharuhusu; roho bhachafu bhakabhoka kulota ku maghorobhi, naghu ghakajumba pasi pa kid'onda mpaka mu masi ni karibila maghorobhi elfu mbili ghajiembili mu bahari.
14 Na wale waliokuwa wakiwalisha nguruwe walikimbia na kutoa taarifa ya kilichotokea katika mji na katika nchi. Ndipo watu wengi walitoka kwenda kuona kilichotokea.
Nibhala bhabhajhele bhikaghalesya maghorobhi bhakajumba ni kupisya taarifa jha kyah'omili mu mji ni mundu. Ndipo bhanu bhingi bhakahoma kulota kulola kya kutokili.
15 Ndipo walikuja kwa Yesu na walimwona mtu aliyepagawa na pepo—aliyekuwa na Jeshi—amekaa chini, amevikwa, na akiwa katika akili yake timamu, nao waliogopa.
Ndipo bhakahida kwa Yesu na bhambwene munu jha apagewe ni pepo— ajhele ni jeshi — atamili pasi, afwekibhu, na ajhele ni luhala lwa muene timamu, na bhakatila.
16 Wale waliokuwa wameona kilichotokea kwa mtu aliyekuwa amepagawa na pepo waliwaambia kilichotokea kwake na pia kuhusu nguruwe.
Bhala bhabhabhuene kya kyah'omili kwa jha apagewe ni pepo bhabhajobhili Kya kih'omili kwa bhene ni pia kuhusu maghorobhi.
17 Nao walianza kumsihi aondoke katika mkoa wao.
Nabhu bhakajhanda kun'sihi abhokayi mu mkoa ghwa bhene.
18 Na alipokuwa akiingia ndani ya mtumbwi, mtu aliyekuwa amepagawa na mapepo alimsihi kwamba aende pamoja naye.
Na bhoijhingila mubhwatu, munu jha apagewe ni mapepo an'sokili bhalotayi pamonga ni muene.
19 Lakini hakumruhusu, lakini alimwambia, “Nenda nyumbani kwako na kwa watu wako, na uwaambie alikufanyia Bwana, na rehema aliyokupa.”
Lakini ambelekelili, lakini an'jobhili, “Lotajhi kunyumba jha jhobhi ni kwa bhanu bha j'hobhi, na ubhajobhilayi akibhombili Bwana, ni rehema jha akup'elili.”
20 Hivyo alienda na alianza kutangaza mambo makuu ambayo Yesu amefanya kwake katika Dekapoli, na kila mmoja alistaajabu.
Efyu akalota ni kujhanda kutangasya mambo mabhaha ambagho Yesu aghabhombili kwa muene mu Dekapoli, na khila mmonga ashangele.
21 Na wakati Yesu alipovuka tena upande mwingine, ndani ya mtumbwi, umati mkubwa ulikusanyika kumzunguka, alipokuwa kando ya bahari.
Na bhwakati Yesu ilobhoka kabhele lubhafu lwa bhubhele, mugati mu bhuatu, bhumati mbaha bhwa syonguiki kumbonganila, bho ajhele kando jha bahari.
22 Na mmoja wa kiongozi wa sinagogi, aliyeitwa Yairo, alikuja, na alipomwona, alianguka miguuni pake.
Na mmonga ndongosi ghwa sinagogi jhaakutibhweghe Yairo, ahidili, na bho ambwene, abinili mu magolo gha muene.
23 Akamsihi zaidi na zaidi, akisema, “Binti yangu mdogo anakaribia kufa. Ninakusihi, njoo na uweke mikono yako juu yake ili kwamba aweze kupata afya na kuishi.”
Akan'soka zaidi ni zaidi, akajobha, “Mwalibhangu n'debe mkaribishaji kufwa. Nikus'oka uhidayi na ubhekayi mabhokho gha jhobhi panani pa muene ili abhwesiayi afya jha kutama au kuishi.”
24 Hivyo alikwenda pamoja naye, na umati mkubwa ulimfuata nao walimzonga karibu wakimzunguka.
Efyo akalota pamonga naku, ni bhumati mbaha bhwan'kesisi nabhu bhandondamili karibu bhakajha bhan'syonguiki
25 Kulikuwa na mwanamke ambaye damu yake ilikuwa imetoka kwa miaka kumi na miwili.
Kwa jhele ni n'dala ambajhe lilopa lya muene kyah'omili kwa miaka kumi na mibhele.
26 Aliteseka vya kutosha chini ya matabibu wengi na alitumia kila kitu alichokuwa nacho. Hata hivyo hakusaidika kwa chochote, lakini badala yake alizidi kuwa na hali mbaya.
Atesiki fya kutosha kwa matibabu mingi na atumili khila khenu kya ajhele nakhu. Hata efyu asaidiki lepi kwa kyokyoha khela, lakini badala jhiake ajhongesiki kujha ni hali jhibhibhi.
27 Alisikia habari kuhusu Yesu. Hivyo alikuja nyuma yake wakati alipokuwa akitembea ndani ya umati, naye aliligusa vazi lake.
Ap'eliki habari kuhusu Yesu. Hivyo akahida kunyuma jha muene bhwakati igenda mu bhumati, nu muene aligusili liguanda lya muene.
28 Kwa kuwa alisema, “Kama nikiyagusa mavazi yake tu, nitakuwa mzima.”
Kwa kujha ajobhili, “kama nighakamuili maguanda gha muene tu, nibetakujha n'sima.”
29 Alipomgusa, kutokwa damu kulikoma, na alijisikia katika mwili wake kwamba aliponywa kutoka kwenye mateso yake.
Bho arikamuili kuh'oma lilopa kabhele kwa lekili, na akip'eliki mu mb'ele ghwa muene kujha aponisibhu kuh'omela mu malombosi gha muene.
30 Na ghafla Yesu aligundua ndani yake mwenyewe kwamba nguvu zimemtoka. Na aligeuka huku na huku katika umati wa watu na kuuliza, “Ni nani aliyeligusa vazi langu?”
Ni ghafla Yesu agunduili mu mb'ele ghwa muene kujha nghofu lip'onguiki. Na ageuke khoni ni khoni ni mu bhumati bhwa bhanu ni kukhota, “Niani jha akamuili liguanda lya nene?”
31 Wanafunzi wake walimwambia, “Unaona umati huu umekusonga ukikuzunguka, nawe wasema, 'Ni nani aliyenigusa?'”
Bhanafunzi bha muene bhakan'jobhela, “Ulolili bhumati obho bhukulundamili, bhukulundamili, ni bhabhe ghwi jobha, Niani akukamuili?”'
32 Lakini Yesu alitazama huku na huku kuona ambaye aliyekuwa amefanya hili.
Lakini Yesu akalenga khoni ni khoni ili ambonayi jha abhombili ele.
33 Mwanamke, akijua kilichotokea kwake, aliogopa na kutetemeka. Alikuja na alianguka chini mbele yake na kumwambia ukweli wote.
N'dala, amanyili kya kih'omili kwa muene atilili ni kutetemeka. Ahidili ni kubina chini mbele jha muene ni kun'jobhela bhukweli bhuoha.
34 Alisema kwake, “Binti, imani yako imekufanya uwe mzima. Enenda kwa amani na uponywe kutoka kwenye ugonjwa wako.”
Akajobha kwa muene “Mwalibhangu, imani jha jhobhi jhikubhombili ujhiaghe ghwa n'sima. Ujhendelelayi kujha ni imani na uponyisibhwayi matamu gha jhobhi ghoha”
35 Alipokuwa akizungumza, baadhi ya watu walikuja kutoka kwa kiongozi wa Sinagogi, wakisema, “Binti yako amekufa. Kwa nini kuendelea kumsumbua mwalimu?”
Bho ilongela, baadhi jha jha bhanu bhahidili kuh'oma kwa te ndongosi ghwa sinagogi, bhakajha bhijobha “Mwalibhu afuili. Kwandabha jhakiki ghwijhendelela ku ndombosya mwalimu?”
36 Lakini Yesu aliposikia ambacho walikisema, alimwambia kiongozi wa Sinagogi, “Usiogope. Amini tu.”
Lakini Yesu bho ap'eliki kya bhilongela, akan'jobhela ndo ngosi ghwa sinagogi, “Usitili. Aminiayi tu”
37 Hakumruhusu yeyote kuongozana naye, isipokuwa Petro, Yakobo, na Yohana, ndugu yake Yakobo.
Anduhuswili lepi j'hejhioha jhola kulongosana naku, isipokujha Petro, Yakobo, ni Yohana, ndongu munu Yakobo.
38 Walikuja nyumbani kwa kiongozi wa Sinagogi naye aliona vurugu, kulia kwingi na kuomboleza.
Bhakahida kunyumba kwa kiongozi ghwa sinagogi nu muene akabhona fuju, kulela kwingi ni kuombolesya.
39 Alipoingia nyumbani, aliwaambia, “Kwa nini mmesikitika na kwa nini mnalia? Mtoto hajafa bali amelala.”
Bho ajhingili mugati munyumba, akabhajobhela “Kwandabha jha kiki mwisikitika na kwandabha jha kiki mwilela? Muana afuili lepi bali agonili.”
40 Walimcheka, lakini yeye, aliwatoa wote nje, alimchukua baba wa mtoto na mama na wale waliokuwa pamoja naye, na aliingia ndani alimokuwa mtoto.
Bhakan'heka, lakini muene, akabhahomesya bhoha kwibhala, akan'tola dadi ghwa muene ni mabhu ni bhala bhabhajhe pamonga nakhu, ni kujhingila mugati mwa ajhele muana.
41 Aliuchukua mkono wa mtoto na alimwambia, “Talitha koum,” ambayo ni kusema, “Binti mdogo, nakuambia, amka.”
Aukamuili kibhoko kya muana ni kun'jobhela, “Talitha koum,” ambayo ni kujobha, “Mmenja n'debe, nikujobhela, jhumukai.”
42 Ghafla mtoto aliamka na kutembea (kwa kuwa alikuwa na umri wa miaka kumi na miwili). Na ghafla walishikwa na mshangao mkubwa.
Ghafla muana akajhumuka ni kugenda (kwandabha ajhele ni miaka kumi ni mibhele). Ni ghafla bhakamuliki ni mshangao mbaha.
43 Aliwaamuru kwa nguvu kwamba hakuna yeyote anapaswa kujua kuhusu hili. Na aliwaambia wampatie yule binti chakula.
Akabhaamuru kwa nghofo kujha ajhelepi jhejhioha jhailondeka kumanya kuhusu ele. Na abhajbhili bhampelayi m'meja yola kyakulya.