< Marko 3 >

1 Na tena aliingia ndani ya sinagogi na mle palikuwa na mtu mwenye mkono uliopooza.
In zopet vnide v shajališče, in bil je tam človek, kteri je imel suho roko.
2 Baadhi ya watu walikuwa wakimfuatilia kwa ukaribu kuona kama atamponya siku ya Sabato ili kwamba wamshitaki.
In pazili so na-nj, če ga bo uzdravil v soboto, da bi ga zatožili.
3 Yesu alimwambia mtu mwenye mkono uliopooza, “Inuka na usimame katikati ya umati huu.”
Pa reče človeku, kteri je imel suho roko: Stopi na sredo!
4 Kisha akawaambia watu, “Je ni halali kutenda tendo jema siku ya Sabato au kutenda yasiyo haki; kuokoa maisha, au kuua?” Lakini walibaki kimya.
In reče jim: Ali se sme v soboto dobro storiti, ali hudo storiti? življenje oteti, ali pogubiti? Oni so pa molčali.
5 Akawaangalia kwa hasira, akihuzunika kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao, na akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako”. Akaunyoosha na Yesu akamponya mkono wake.
In pogledavši po njih okoli z jezo, milovaje trdovratnost njih srca, velí človeku: Stegni roko svojo! Pa stegne, in roka njegova je bila zdrava kakor druga.
6 Mafarisayo wakaenda nje na mara wakafanya njama pamoja na Maherode dhidi yake ili kumuua.
In Farizeji izidejo, ter se precej s Herodovci za-nj posvetujejo, kako bi ga pogubili.
7 Kisha Yesu, pamoja na wanafunzi wake, walienda baharini, na umati mkubwa wa watu uliwafuata ukitokea Galilaya na Uyahudi
Ali Jezus odide z učenci svojimi k morju; in velika množica iz Galileje je šla za njim, in iz Judeje,
8 na kutoka Yerusalemu na kutoka Idumaya na mbele ya Yorodani na jirani ya Tiro na Sidoni, umati mkubwa, uliposikia kila kitu alichokuwa anakifanya, walikuja kwake.
In iz Jeruzalema, in iz Idumeje, in z one strani Jordana: in kteri so prebivali okoli Tira in Sidona: množica velika, ko so slišali, kakošne rečí dela, prišli so k njemu.
9 Na aliwaambia wanafunzi wake kuandaa mtubwi mdongo kwa ajili yake kwa sababu ya umati, ili kwamba wasije wakamsonga.
Pa reče učencem svojim, naj mu bo ladjica pripravljena, za voljo ljudstva, da ga ne bi stiskali.
10 Kwa kuwa aliponya wengi, ili kila mtu aliyekuwa na mateso alikuwa na shauku ya kumfikia ili amguse.
Kajti veliko jih je uzdravil, tako, da so padali na-nj, da bi se ga dotikali, kterikoli so imeli bolezni;
11 Popote roho wachafu walipomwona, walianguka chini mbele yake na kulia, na walisema, “Wewe ni Mwana wa Mungu”.
In nečisti duhovi, ko so ga videli, padali so pred njim, in kričali so, govoreč: Ti si sin Božji.
12 Aliwaamuru kwa msisitizo wasifanye ajulikane.
In zeló jim je pretil, naj ga ne razglasé.
13 Alienda juu ya mlima, na akawaita aliowataka, na wakaenda kwake.
In izide na goro, in pokliče k sebi, ktere je on hotel; ter pridejo k njemu.
14 Akawachagua kumi na wawili (aliowaita mitume), ili kwamba wawe pamoja naye na aweze kuwatuma kuhubiri,
In postavi jih dvanajst, da bi bili ž njim, in da bi jih poslal oznanjevat;
15 na kuwa na mamlaka ya kutoa mapepo.
In bi imeli oblast uzdravljati bolezni, in izganjati hudiče.
16 Na akawachagua kumi na wawili: Simoni, aliyempa jina la Petro,
Simona, in dá mu ime Peter;
17 Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana ndugu yake Yakobo, aliyepewa jina la Bonagesi, hao ni, wana wa ngurumo,
In Jakoba sina Zebedejevega, in Janeza brata Jakobovega; in dá jima ime Boanerges, to je: Sinova gromova.
18 na Andrea, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo,
In Andreja, in Filipa, in Jerneja, in Matevža, in Tomaža, in Jakoba sina Alfejevega, in Tadeja, in Simona Kananičana.
19 na Yuda Iskariote, ambaye atamsaliti.
In Juda Iškarijana, kteri ga je tudi izdal.
20 Kisha alienda nyumbani, na umati wa watu wakaja pamoja tena, hata wasiweze kula hata mkate.
In pridejo v hišo; in snide se zopet ljudstvo, tako, da še kruha niso mogli pojesti.
21 Familia yake waliposikia habari hiyo, walienda kumkamata, kwani walisema, “Amerukwa na akili”.
In slišavši to rojaki njegovi, šli so, da bi ga vjeli; kajti govorili so: Iz sebe je.
22 Waandishi waliokuja kutoka Yerusalemu walisema, “Amepagawa na Beelzebuli,” na, “Kwa mtawala wa mapepo anatoa mapepo”.
In pismarji, kteri so bili prišli iz Jeruzalema, pravili so: Belzebula ima, in: S poglavarjem hudičev izganja hudiče.
23 Yesu aliwaita kwake na kusema nao kwa mifano, “Jinsi gani Shetani aweza kumtoa Shetani?
In poklicavši jih k sebi, govoril jim je v prilikah: Kako more satan satana izganjati?
24 Kama ufalme ukigawanyika wenyewe, ufalme huo hauwezi kusimama.
In če se kraljestvo samo zoper sebe razdvojí, ne more ostati to kraljestvo;
25 Kama nyumba ikigawanyika yenyewe, nyumba hiyo haiwezi kusimama.
In če se dom sam zoper sebe razdvojí, ne more ostati ta dom;
26 Kama Shetani atainuka kinyume chake mwenyewe na kugawanyika, hawezi kusimama, na atakuwa amefika mwisho wake.
In če je vstal satan sam zoper sebe, in se je razdvojil, ne more ostati, nego po njem je.
27 Lakini hakuna hata mmoja awezaye kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuiba vitu vyake bila kumfunga mwenye nguvu kwanza, na kisha kukusanya kilichomo nyumbani.
Nikdor ne more močnemu vniti v hišo in mu posode pobrati, če poprej močnega ne zveže, in tedaj bo okradel hišo njegovo.
28 Kweli nawambieni, dhambi zote za wana wa watu zitasamehewa, pamoja na kufuru ambazo wanatamka,
Resnično vam pravim, da se bodo vsi grehi odpustili sinovom človečjim, tudi kletvine, s kterimikoli bi prekleli Boga;
29 lakini yeyote atakaye mkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, bali ana hatia ya dhambi ya milele”. (aiōn g165, aiōnios g166)
Kdor se pa zarotí proti svetemu Duhu, nima odpuščanja na vekomaj, nego kriv je večne sodbe. (aiōn g165, aiōnios g166)
30 Yesu alilisema hili kwa sababu walikuwa wakisema, “Ana roho chafu”.
Kajti govorili so: Nečistega duha ima.
31 Kisha mama yake na ndugu zake walikuja na kusimama nje. Wakamtuma mtu, kumwita.
Ter pridejo bratje njegovi in mati njegova, in stoječ zunej, pošljejo k njemu, da ga pokličejo.
32 Na umati wa watu uliokuwa umekaa karibu naye wakamwambia, “mama yako na ndugu zako wako nje, na wanakutafuta wewe”.
In sedelo je ljudstvo okoli njega; in rekó mu: Glej, mati tvoja in bratje tvoji te zunej iščejo.
33 Aliwajibu, “Ni nani mama yangu na ndugu zangu?”
In odgovorí jim, govoreč: Kdo je mati moja, ali bratje moji?
34 Aliwaangalia waliokuwa wamekaa wamemzunguka, na akasema, “Tazama, hawa ni mama zangu na ndugu zangu!
In ozré se okrog po tistih, ki so sedeli okoli njega, in reče: Glej mati moja in bratje moji!
35 Yeyote afanyaye mapenzi ya Mungu, mtu huyo ni ndugu yangu, na dada yangu, na mama yangu”.
Kajti kdorkoli storí voljo Božjo, on je brat moj in sestra moja in mati.

< Marko 3 >