< Marko 3 >
1 Na tena aliingia ndani ya sinagogi na mle palikuwa na mtu mwenye mkono uliopooza.
Hanchu Jisua ha Synagog a se nôka, mahan mi inkhat a kut phalkhatthi a lei oma.
2 Baadhi ya watu walikuwa wakimfuatilia kwa ukaribu kuona kama atamponya siku ya Sabato ili kwamba wamshitaki.
Sabbathni ani sikin Jisua râlngeiin a tho minchâia an nôn theina rangin; Sabbathni mi a mindam pupui mo tiin mi senkhat ngeiin an en richika.
3 Yesu alimwambia mtu mwenye mkono uliopooza, “Inuka na usimame katikati ya umati huu.”
Jisua'n kut phalkhatthi kôm han, “Moton tieng hong inding roh,” a tipea.
4 Kisha akawaambia watu, “Je ni halali kutenda tendo jema siku ya Sabato au kutenda yasiyo haki; kuokoa maisha, au kuua?” Lakini walibaki kimya.
Hanchu Jisua'n mingei kôm han, “Ei Balamin Sabbathnin imo ei tho rangin mi phal? San rang mo, aninônchu minna rang mo? Mi ringna mojôk rang mo, aninônchu mi minmang mo?” tiin a rekel ngeia. Hannirese ite ti mak ngeia.
5 Akawaangalia kwa hasira, akihuzunika kwa sababu ya ugumu wa mioyo yao, na akamwambia yule mtu, “Nyoosha mkono wako”. Akaunyoosha na Yesu akamponya mkono wake.
Jisua'n an tieng a en ngeia a taksi oka, aniatachu an mulungngar raina le an dikloi raina hah a riet sikin asân a jâm a manzala. Hanchu amapa kôm han, “Nu kut lâng roh” a tipea. A kut a lânga male a dam nôk zoia.
6 Mafarisayo wakaenda nje na mara wakafanya njama pamoja na Maherode dhidi yake ili kumuua.
Masikin Phariseengei hah synagog renga an jôka, Herod pâla mi senkhatngei leh an intonga, Jisua an that rang lam mintuonangei an sin zoia.
7 Kisha Yesu, pamoja na wanafunzi wake, walienda baharini, na umati mkubwa wa watu uliwafuata ukitokea Galilaya na Uyahudi
Jisua le a ruoisingei ha Galilee dîl tieng an se kelena, male loko tamtakin ama an jûi sa. Anni ngei ha Galilee ram renga, Judea ram renga,
8 na kutoka Yerusalemu na kutoka Idumaya na mbele ya Yorodani na jirani ya Tiro na Sidoni, umati mkubwa, uliposikia kila kitu alichokuwa anakifanya, walikuja kwake.
Jerusalem renga, Idumea ram renga, Jordan râl nisuo tieng renga, male Tyre le Sidon khopuilienngei kôlrevêla hong ngei an ni. Hi mingei murdi hih Jisua neinun tho ngei an lei riet sika hong an ni.
9 Na aliwaambia wanafunzi wake kuandaa mtubwi mdongo kwa ajili yake kwa sababu ya umati, ili kwamba wasije wakamsonga.
Lokongei an tam rai sika han ama an neng loina rangin Jisua'n a ruoisingei kôm, ama rang rukuong inkhat lei dar rangin chong a be ngeia.
10 Kwa kuwa aliponya wengi, ili kila mtu aliyekuwa na mateso alikuwa na shauku ya kumfikia ili amguse.
Mi tamtak a mindama, male ana ngei murdi ama an tôn theina rangin an inbûmlula.
11 Popote roho wachafu walipomwona, walianguka chini mbele yake na kulia, na walisema, “Wewe ni Mwana wa Mungu”.
Male an sûnga ramkhori dôn ngei khomin ama an mu racham inbokin, “Nangma ha Pathien Nâipasal ni ni!” tiin an iniek ngâi.
12 Aliwaamuru kwa msisitizo wasifanye ajulikane.
Jisua'n ramkhoringei kôm han, tumo ani ha tute kôm an misîr loina rangin chongnazatin, chong a pêk ngei zoi.
13 Alienda juu ya mlima, na akawaita aliowataka, na wakaenda kwake.
Hanchu Jisua muol chunga a kala, ama'n a nuom ngei kai a koia. Anni ngei ha an jûia,
14 Akawachagua kumi na wawili (aliowaita mitume), ili kwamba wawe pamoja naye na aweze kuwatuma kuhubiri,
male sômleinik ngei a thanga, “Mangei ha tîrtonngei tiin riming a phuoa, an kôm, ko kôma om rangin nangni ka thang zoi ani,” male, “Thurchi misîr rang khomin nangni tîr suok ka ta,
15 na kuwa na mamlaka ya kutoa mapepo.
male ramkhoringei rujûlpai theina rachamneina khom dôn nin tih,” tiin a ril ngeia.
16 Na akawachagua kumi na wawili: Simoni, aliyempa jina la Petro,
Sômleinik a thang ngei ha hi ngei hih an ni: Simon (Jisua'n, Peter tia riming a phuo pe ha);
17 Yakobo mwana wa Zebedayo, na Yohana ndugu yake Yakobo, aliyepewa jina la Bonagesi, hao ni, wana wa ngurumo,
Zebedee nâipasal Jacob le a nâipa John (Jisua'n, Boanerges tia riming a phuo pe ngei ha, maha aomtie chu “Khuonri Miriemngei tina ani”);
18 na Andrea, Filipo, Bartholomayo, Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Thadayo, Simoni Mkananayo,
Andrew, Philip, Bartholomew, Matthew, Thomas, Alphaeus nâipasal Jacob, Thaddeaus, Canan mi Simon (an ram lungkham le inpâkpui ngâipu, )
19 na Yuda Iskariote, ambaye atamsaliti.
male a minsûrpu Judas Iscariot.
20 Kisha alienda nyumbani, na umati wa watu wakaja pamoja tena, hata wasiweze kula hata mkate.
Hanchu Jisua ha in tieng a kîr sir zoia. Lokongei hah an juong intûp nôka, Jisua le a ruoisingei ha sâknêk zora luo man mak ngeia.
21 Familia yake waliposikia habari hiyo, walienda kumkamata, kwani walisema, “Amerukwa na akili”.
Mingeiin, “Achâng ke ani zoi!” an ti roi ha a insungmingei an riet lehan, ama tuong rangin an inthoka.
22 Waandishi waliokuja kutoka Yerusalemu walisema, “Amepagawa na Beelzebuli,” na, “Kwa mtawala wa mapepo anatoa mapepo”.
Balam minchupu senkhat Jerusalem renga juong ngei han, “A sûnga Beelzebul a dôn ani! Ramkhoringei ulientak kêng, ramkhori rujûlpai theina rangin sinthotheina a kôma pêk ngâi” an tia.
23 Yesu aliwaita kwake na kusema nao kwa mifano, “Jinsi gani Shetani aweza kumtoa Shetani?
Masikin Jisua'n anni hah a koia, chongmintêkin a chongpui ngeia; “Kho angin mo Soitan'n Soitan a rujûl thei ranga?
24 Kama ufalme ukigawanyika wenyewe, ufalme huo hauwezi kusimama.
Rambung khom athenin apâlin insenin inkhat le inkhat an indoi inlômin chu, ma rambung hah inlet atih.
25 Kama nyumba ikigawanyika yenyewe, nyumba hiyo haiwezi kusimama.
Insûngkuo khom athenin apâlin insenin inkhat le inkhat an indoi inlômin chu, ma insûngkuo hah inlet atih.
26 Kama Shetani atainuka kinyume chake mwenyewe na kugawanyika, hawezi kusimama, na atakuwa amefika mwisho wake.
Masikin Soitan rêngram khom athenin apâlin an insenin chu, ma hah asôt dier no nia, inlet a ta male ânmang rang ani.
27 Lakini hakuna hata mmoja awezaye kuingia ndani ya nyumba ya mtu mwenye nguvu na kuiba vitu vyake bila kumfunga mwenye nguvu kwanza, na kisha kukusanya kilichomo nyumbani.
“Tutên mi rât ina lûtin a neinunngei lâk pe thei ngâi mak ngei, mi rât hah an khitbel masa vaiin ke; a neinunngei an muruk thei ngâi.
28 Kweli nawambieni, dhambi zote za wana wa watu zitasamehewa, pamoja na kufuru ambazo wanatamka,
“Adiktakin nangni ki ril mingei hih an sietnangei murdi le asaloi neinunngei an ti ngei murdi chu la ngâidam thei nîng a ta.
29 lakini yeyote atakaye mkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa kamwe, bali ana hatia ya dhambi ya milele”. (aiōn , aiōnios )
Aniatachu tukhom Ratha Inthieng doia asaloi neinunngei a ti ngei hah chu ngâidamin om tet no ni, kumtuonga sietna a sin ani sikin” a tia. (aiōn , aiōnios )
30 Yesu alilisema hili kwa sababu walikuwa wakisema, “Ana roho chafu”.
(Mahi Jisua'n mingei senkhatin, “Ratha saloi a dôn” an ti sika a ti ani.)
31 Kisha mama yake na ndugu zake walikuja na kusimama nje. Wakamtuma mtu, kumwita.
Hanchu Jisua nû le lâibungngei an hongtunga. Khalâia an indinga, ama koi rangin mi an tîra.
32 Na umati wa watu uliokuwa umekaa karibu naye wakamwambia, “mama yako na ndugu zako wako nje, na wanakutafuta wewe”.
Jisua rihîlin lokongei an insunga, male ha ngei han a kôm, “En roh, Nu nû le na lâibungngei le na sarnungeiin nang an roka, khalâia son an oma, nang intongpui rang an nuom,” an tipea.
33 Aliwajibu, “Ni nani mama yangu na ndugu zangu?”
Jisua'n an kôm, “Tu mo ku nû? Tu ngei mo ka lâibungngei?” Tiin a thuona.
34 Aliwaangalia waliokuwa wamekaa wamemzunguka, na akasema, “Tazama, hawa ni mama zangu na ndugu zangu!
A rihîla an sung ngei hah a en ngeia, an kôm, “En ngei roi! Hi ngei hih ku nû le ka lâibungngei an ni!
35 Yeyote afanyaye mapenzi ya Mungu, mtu huyo ni ndugu yangu, na dada yangu, na mama yangu”.
Tukhom Pathien nuom lama sintho ngei kai chu ka lâibungngei, ka sarnungei, le ku nûngei an ni” a tia.