< Marko 2 >
1 Aliporudi Kaperinaumu baada ya siku chache, ilisikika kwamba alikuwa nyumbani.
Mõne päeva pärast naasis Jeesus koju Kapernamas ja levis kuuldus, et ta on seal.
2 Watu wengi sana walikuwa wamekusanyika pale na haikuwepo nafasi tena, hata ile ya pale mlangoni, na Yesu alisema neno kwao.
Majja kogunes nii palju rahvast, et see oli tulvil täis, seisti lausa ukse taga, ning Jeesus kuulutas neile sõnumit.
3 Kisha baadhi ya watu walikuja kwake waliomleta mtu aliyekuwa amepooza; watu wanne walikuwa wamembeba.
Neli meest olid toonud kaasa ühe halvatud mehe,
4 Wakati waliposhindwa kumkaribia kwa sababu ya umati wa watu, waliondoa paa juu ya mahali pale alipokuwa. Na walipokuwa wamekwishatoboa tundu, walishusha kitanda ambacho mtu aliyepooza alikuwa amelala.
kuid nad ei pääsenud rahvahulga tõttu Jeesuse lähedale. Niisiis ronisid nad üles katusele ja võtsid selle lahti. Kui nad olid Jeesuse kohale ava teinud, lasksid nad sealt alla mati, mille peal lamas halvatud mees.
5 Alipoiona imani yao, Yesu alimwambia mtu aliyepooza, “mwanangu, dhambi zako zimesamehewa.”
Kui Jeesus nägi nende meeste kindlat usku, ütles ta halvatule: „Sõber, sinu patud on andeks antud.“
6 Lakini baadhi ya waandishi wale waliokuwa wamekaa pale walijihoji mioyoni mwao,
Mõned seal istunud vaimulikud õpetajad mõtlesid endamisi:
7 “Anawezaje mtu huyu kusema hivi? Anakufuru! Nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?”
„Miks ta niimoodi räägib? Ta teotab Jumalat! Kes saab patte andeks anda? Ainult Jumal saab seda teha!“
8 Mara Yesu alijua rohoni mwake walichokuwa wakifikiri miongoni mwao wenyewe. Aliwaambia, “Kwa nini mnafikiri hivi mioyoni mwenu?
Jeesus teadis kohe, mida nad mõtlesid. Ta ütles neile: „Miks te nii mõtlete?
9 Lipi ni jepesi zaidi kusema kwa mtu aliyepooza, 'Dhambi zako zimesamehewa' au kusema 'Simama, chukua kitanda chako, na utembee?'
Kumb on lihtsam: kas öelda halvatule „Sinu patud on andeks antud“või „Tõuse üles, võta oma matt ja kõnni?
10 Lakini ili wapate kujua ya kuwa Mwana wa Adamu ana mamlaka ya kusamehe dhambi katika dunia, alimwambia yule aliyepooza,
Aga et veenda teid, et inimese Pojal on õigus patte andeks anda,
11 “Nakuambia wewe, inuka, chukua mkeka wako, na uende nyumbani kwako.”
ütlen ma sulle (halvatule): tõuse üles, võta oma matt ja mine koju.““
12 Alisimama na mara moja akachukua mkeka wake, na alikwenda nje ya nyumba mbele ya kila mtu, hivyo wote walishangaa na walimpa Mungu utukufu, na wakasema “Kamwe, hatujawahi kuona jambo kama hili.”
Mees tõusis, võttis oma mati ja läks kõigi silme all välja. Kõik olid hämmastunud, ülistasid Jumalat ning ütlesid: „Me ei ole kunagi midagi seesugust näinud!“
13 Alienda tena kando ya ziwa, na umati wote wa watu walikuja kwake, na akawafundisha.
Jeesus läks veel kord välja mere äärde ja õpetas inimesi, kes tema juurde tulid.
14 Alipokuwa akipita alimwona Lawi mwana wa Alfayo ameketi kwenye sehemu ya kukusanyia kodi na akamwambia, “Nifuate.” Alisimama na kumfuata.
Kui ta kõndis, nägi ta Leevit, Alfeuse poega, maksukoguja putkas istumas. „Järgne mulle, “ütles Jeesus talle. Leevi tõusis ja järgnes Jeesusele.
15 Na wakati Yesu alipokuwa akipata chakula katika nyumba ya Lawi, wakusanya kodi wengi na watu wenye dhambi walikuwa wakila na Yesu na wanafunzi wake, kwa kuwa walikuwa wengi nao walimfuata.
Sel õhtul sõi Jeesus õhtust Leevi majas. Koos Jeesuse ja tema jüngritega tuli sööma palju maksukogujaid ja „patuseid“, sest nende hulgas oli palju neid, kes Jeesusele järgnesid.
16 Wakati waandishi, ambao walikuwa Mafarisayo, walipoona kwamba Yesu alikuwa akila na watu wenye dhambi na wakusanya kodi, waliwaambia wanafunzi wake, “Kwa nini anakula na wakusanya kodi na watu wenye dhambi?”
Kui variseride vaimulikud juhid nägid Jeesust selliste inimestega koos söömas, küsisid nad Jeesuse jüngritelt: „Miks ta sööb koos maksukogujate ja patustega?“
17 Wakati Yesu aliposikia hivi aliwaambia, “Watu walio na afya katika mwili hawamhitaji tabibu; ni watu wagonjwa pekee ndio wanamhitaji. Sikuja kuwaita watu wenye haki, lakini watu wenye dhambi.”
Kui Jeesus seda kuulis, ütles ta neile: „Arsti ei vaja terved, vaid haiged. Ma ei ole tulnud kutsuma neid, kes elavad õigesti, vaid neid, kes ei ela õigesti − patuseid.“
18 Wanafunzi wa Yohana na Mafarisayo walikuwa wakifunga. Na baadhi ya watu walikuja kwake na kumwambia, “Kwa nini wanafunzi wa Yohana na mafarisayo hufunga, lakini wanafunzi wako hawafungi?
Johannese jüngrid ja variserid paastusid. Mõned neist tulid Jeesuse juurde ja küsisid talt: „Miks on nii, et Johannese jüngrid ja variserid paastuvad, kuid sinu jüngrid ei paastu?“
19 Yesu aliwaambia, “Je waliohudhuria harusini wanaweza kufunga wakati bwana harusi bado akiwa pamoja nao? Kwa vyovyote bwana harusi akiwa bado yuko pamoja nao hawawezi kufunga.”
„Kas pulmakülalised paastuvad sel ajal, kui peigmees on nende juures?“küsis neilt Jeesus. „Ei. Sel ajal kui peigmees on nende juures, ei saa/või nad paastuda.
20 Lakini siku zitakuja wakati bwana harusi atakapoondolewa kwao, na katika siku hizo wao watafunga.
Aga tuleb aeg, mil peigmees võetakse nende juurest ära ja siis nad paastuvad.
21 Hakuna mtu ashonaye kipande kipya cha nguo kwenye vazi kuukuu, vinginevyo kiraka kitabanduka kutoka katika hilo, kipya kubanduka kutoka katika kikuukuu, na kutakuwepo mpasuko mbaya.
Keegi ei pane vanale rõivale paika, mis ei ole vanunud. Muidu uus riidetükk tõmbab vana rõiva peal kokku ja rebib augu suuremaks.
22 Hakuna mtu atiaye divai mpya katika viriba vikuukuu, vinginevyo divai itavipasua viriba na vyote viwili divai na viriba vitapotea. Badala yake, weka divai mpya katika viriba vipya.”
Keegi ei pane uut veini vanadesse nahklähkritesse. Muidu rebestab vein lähkrid ja nii vein kui ka lähkrid lähevad raisku. Ei, uus vein pannakse uutesse lähkritesse.“
23 Katika siku ya Sabato Yesu alipita kwenye baadhi ya mashamba, na wanafunzi wake walianza kuchukua baadhi ya masuke ya ngano.
Ühel hingamispäeval, kui Jeesus läks läbi viljapõllu, hakkasid jüngrid kõndides viljapäid korjama.
24 Na Mafarisayo walimwambia, “Tazama, kwa nini wanafanya kitu ambacho ni kinyume cha sheria katika siku ya Sabato?”
Variserid küsisid Jeesuselt: „Vaata! Miks nad teevad seda, mis on hingamispäeval keelatud?“
25 Aliwaambia, “Hamkusoma kile alichofanya Daudi alipokuwa katika uhitaji na njaa—yeye pamoja na watu waliokuwa pamoja naye?
„Kas te ei ole kunagi lugenud, mida tegi Taavet, kui temal ja ta meestel oli nälg ja süüa ei olnud?“küsis Jeesus neilt.
26 Jinsi alivyoenda katika nyumba ya Mungu wakati Abiathari alipokuwa kuhani mkuu na akala mkate uliowekwa mbele—ambao ilikuwa kinyume cha sheria kwa mtu yeyote kula isipokuwa makuhani—na aliwapa hata baadhi ya wale waliokuwa pamoja naye?”
„Nad läksid Jumala kotta, kui Ebjatar oli ülempreester, ning sõid pühitsetud leiba, mida ei tohtinud süüa keegi peale preestrite, ning ta andis seda ka oma meestele.
27 Yesu alisema, “Sabato ilifanywa kwa ajili ya mwanadamu, siyo mwanadamu kwa ajili ya Sabato.
Hingamispäev tehti teie jaoks, mitte teie hingamispäeva jaoks, “vastas ta neile.
28 Kwa hiyo, Mwana wa Adamu ni Bwana, hata kwa Sabato.”
„Niisiis on inimese Poeg hingamispäeva Isand.“