< Marko 16 >

1 Wakati sabato ilipokwisha, Mariamu Magdalena na Mariamu mama yake na Yakobo, na Salome, walinunua manukato mazuri, ili waweze kuja na kuupaka mafuta mwili wa Yesu kwa ajili ya maziko.
A gdy minął sabat, Maryja Magdalena, i Maryja, matka Jakóbowa, i Salome, nakupiły wonnych rzeczy, aby przyszedłszy namazały go.
2 Asubuhi na mapema siku ya kwanza ya juma, walienda kwenye kaburi wakati jua lilipochomoza.
A bardzo rano pierwszego dnia po sabacie przyszły do grobu, gdy weszło słońce.
3 Wakisemezana wao kwa wao, “Nani ataliviringisha jiwe kwa ajili yetu ili tuingie kaburini?”
I mówili do siebie: Któż nam odwali kamień ode drzwi grobowych?
4 Wakati walipotazama, walimuona mtu amekwisha kulivingirisha jiwe, ambalo lilikuwa kubwa sana.
(A spojrzawszy ujrzały, iż był kamień odwalony; ) bo był bardzo wielki.
5 Wakaingia kwenye kaburi na wakamwona kijana amevaa joho jeupe, ameketi upande wa kulia, na wakashangazwa.
I wszedłszy w grób, ujrzały młodzieńca, siedzącego na prawicy, odzianego szatą białą; i ulękły się,
6 Akawaambia, “Msiogope. Mnamtafuta Yesu, wa Nazareti, aliyesulibiwa. Amefufuka! Hayupo hapa. Tazama mahali pale walipokuwa wamemweka.
Ale im on rzekł: Nie lękajcie się; Jezusa szukacie onego Nazareńskiego, który był ukrzyżowany; wstał z martwych, nie masz go tu; oto miejsce, gdzie go było położono.
7 Nendeni, mkawaambie wanafunzi wake na Petro ya kuwa amewatangulia kuelekea Galilaya. Huko mtamwona, kama alivyokua amewaambia.”
Ale idźcie, a powiedzcie uczniom jego, i Piotrowi, że was uprzedza do Galilei; tam go oglądacie, jako wam powiedział.
8 Wakaondoka na kukimbia kutoka kwenye kaburi; walitetemeka na walishangazwa. Hawakusema chochote kwa mtu yeyote sababu waliogopa sana.
A wyszedłszy prędko, uciekły od grobu: albowiem zdjęło je drżenie i zdumienie, a nikomu nic nie powiadały; bo się bały.
9 (note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Mapema katika siku ya kwanza ya juma, baada ya kufufuka, alimtokea kwanza Mariamu Magdalena, ambaye kutoka kwake alimtoa mapepo saba.
(note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) A Jezus, gdy zmartwychwstał raniuczko pierwszego dnia po sabacie, ukazał się naprzód Maryi Magdalenie, z której był wygnał siedm dyjabłów.
10 Aliondoka na kuwaambia wale ambao walikuwa pamoja naye, wakati walipokuwa wakihuzunika na kutoa machozi.
A ona szedłszy, opowiedziała tym, co z nim bywali, którzy się smucili i płakali.
11 Walisikia kwamba ni mzima na ameonekana naye, lakini hawakumwamini.
A oni usłyszawszy, iż żyje, a iż jest widziany od niej, nie wierzyli.
12 (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Baada ya hayo, akajitokeza katika namna tofauti kwa watu wengine wawili, wakati walipokuwa wakitembea kutoka katika nchi.
Potem się też dwom z nich idącym ukazał w innym kształcie, gdy szli przez pole.
13 Walienda na kuwaambia wanafunzi wengine waliobaki, lakini hawakuwaamini.
A ci szedłszy opowiedzieli drugim; i tym nie uwierzyli.
14 (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Yesu baadaye akajitokeza kwa wale kumi na mmoja walipokuwa wameegama katika meza, na akawakemea kwa kutokuamini kwao na ugumu wa mioyo, kwa sababu hawakuwaamini wale waliomwona baada ya kufufuka kutoka kwa wafu.
Na ostatek się też onym jedenastu wespół siedzącym ukazał, i wyrzucał im na oczy niedowiarstwo ich, i zatwardzenie serca, iż tym, którzy go widzieli wzbudzonego, nie wierzyli.
15 Akawaambia, “Enendeni ulimwenguni mwote, na kuhubiri injili kwa viumbe vyote.
I rzekł im: Idąc na wszystek świat, każcie Ewangieliję wszystkiemu stworzeniu.
16 Yeyote aaminiye na kubatizwa ataokolewa, na yule asiyeamini atahukumiwa.
Kto uwierzy, a ochrzci się, zbawion będzie; ale kto nie uwierzy, będzie potępion.
17 (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Ishara hizi zitaambatana na wote waaminio. Kwa jina langu watatoa pepo. Watasema kwa lugha mpya.
A znamiona tych, co uwierzą, te naśladować będą: W imieniu mojem dyjabły wyganiać będą, nowemi językami mówić będą;
18 Watashika nyoka kwa mikono yao, na hata wakinywa kitu chochote cha kufisha hakitawadhuru. Wataweka mikono kwa wagonjwa, nao watakuwa wazima”.
Węże brać będą, a choćby co śmiertelnego pili, nie zaszkodzi im; na niemocne ręce kłaść będą, a dobrze się mieć będą.
19 Baada ya Bwana kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni na ameketi mkono wa kuume wa Mungu.
A tak Pan przestawszy z nimi mówić, wzięty jest do nieba, i usiadł na prawicy Bożej.
20 Wanafunzi wakaondoka na kuhubiri kila mahali, wakati Bwana akifanya kazi nao na kulithibitisha neno kwa miujiza na ishara zikifuatana nao.
A oni wyszedłszy kazali wszędy, a Pan im pomagał, i słowa ich potwierdzał przez cuda, które czynili.

< Marko 16 >