< Marko 16 >

1 Wakati sabato ilipokwisha, Mariamu Magdalena na Mariamu mama yake na Yakobo, na Salome, walinunua manukato mazuri, ili waweze kuja na kuupaka mafuta mwili wa Yesu kwa ajili ya maziko.
במוצאי שבת הלכו מרים המגדלית, שלומית ומרים (אמו של יעקב) לקנות בשמים ומרקחות כדי למשוח את גופתו של ישוע.
2 Asubuhi na mapema siku ya kwanza ya juma, walienda kwenye kaburi wakati jua lilipochomoza.
ביום ראשון השכם בבוקר הן הלכו לקבר,
3 Wakisemezana wao kwa wao, “Nani ataliviringisha jiwe kwa ajili yetu ili tuingie kaburini?”
ובדרך שאלו את עצמן:”מי יזיז לנו את האבן מפתח הקבר?“
4 Wakati walipotazama, walimuona mtu amekwisha kulivingirisha jiwe, ambalo lilikuwa kubwa sana.
אולם כשהגיעו אל הקבר גילו להפתעתן הרבה שמישהו הזיז את האבן הכבדה והקבר פתוח.
5 Wakaingia kwenye kaburi na wakamwona kijana amevaa joho jeupe, ameketi upande wa kulia, na wakashangazwa.
הנשים נכנסו פנימה וראו בחור צעיר לבוש כולו לבן יושב בצד ימין. הנשים נחרדו.
6 Akawaambia, “Msiogope. Mnamtafuta Yesu, wa Nazareti, aliyesulibiwa. Amefufuka! Hayupo hapa. Tazama mahali pale walipokuwa wamemweka.
”אל תתפלאו כל כך“, אמר המלאך.”האם אינכן מחפשות את ישוע מנצרת שנצלב? הוא איננו כאן, הוא קם לתחייה! הנה, כאן הייתה גופתו.
7 Nendeni, mkawaambie wanafunzi wake na Petro ya kuwa amewatangulia kuelekea Galilaya. Huko mtamwona, kama alivyokua amewaambia.”
לכו למסור את ההודעה הזאת לתלמידים, במיוחד לפטרוס:”’ישוע הולך לפניכם לגליל. אתם תראו אותו שם ממש כפי שאמר לכם לפני מותו‘.“
8 Wakaondoka na kukimbia kutoka kwenye kaburi; walitetemeka na walishangazwa. Hawakusema chochote kwa mtu yeyote sababu waliogopa sana.
הנשים ברחו משם כל עוד רוחן בהן, מבוהלות ומפוחדות מכדי למסור את ההודעה.
9 (note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Mapema katika siku ya kwanza ya juma, baada ya kufufuka, alimtokea kwanza Mariamu Magdalena, ambaye kutoka kwake alimtoa mapepo saba.
(note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) כאשר קם ישוע לתחייה ביום ראשון השכם בבוקר, פגש תחילה את מרים המגדלית שממנה גירש שבעה שדים.
10 Aliondoka na kuwaambia wale ambao walikuwa pamoja naye, wakati walipokuwa wakihuzunika na kutoa machozi.
מרים הלכה אל התלמידים ומצאה אותם מתאבלים ובוכים.”ישוע חי!“קראה בהתרגשות.”ראיתי אותו“אך איש לא האמין לה.
11 Walisikia kwamba ni mzima na ameonekana naye, lakini hawakumwamini.
12 (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Baada ya hayo, akajitokeza katika namna tofauti kwa watu wengine wawili, wakati walipokuwa wakitembea kutoka katika nchi.
לאחר מכן נגלה ישוע לשני תלמידים שהלכו בדרך מירושלים לכיוון השדות. השניים לא הכירו אותו בהתחלה, משום שהמראה שלו השתנה במידת מה.
13 Walienda na kuwaambia wanafunzi wengine waliobaki, lakini hawakuwaamini.
לבסוף, כאשר הבינו מי הוא, מיהרו לירושלים וסיפרו לאחרים, אך איש לא האמין להם.
14 (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Yesu baadaye akajitokeza kwa wale kumi na mmoja walipokuwa wameegama katika meza, na akawakemea kwa kutokuamini kwao na ugumu wa mioyo, kwa sababu hawakuwaamini wale waliomwona baada ya kufufuka kutoka kwa wafu.
מאוחר יותר נגלה ישוע לאחד־עשר התלמידים בשעת הארוחה. הוא הוכיח אותם על חוסר אמונתם, ועל העקשנות שלהם לא להאמין לעדים שסיפרו כי ראו את ישוע קם לתחייה.
15 Akawaambia, “Enendeni ulimwenguni mwote, na kuhubiri injili kwa viumbe vyote.
לאחר מכן הוא ציווה עליהם:”לכו אל כל העולם להכריז על הבשורה לכל אדם.
16 Yeyote aaminiye na kubatizwa ataokolewa, na yule asiyeamini atahukumiwa.
מי שיאמין וייטבל ייוושע; מי שיסרב להאמין יואשם בעיני אלוהים.
17 (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Ishara hizi zitaambatana na wote waaminio. Kwa jina langu watatoa pepo. Watasema kwa lugha mpya.
”למאמינים בשמי אתן סמכות לגרש שדים; הם ידברו בלשונות חדשות;
18 Watashika nyoka kwa mikono yao, na hata wakinywa kitu chochote cha kufisha hakitawadhuru. Wataweka mikono kwa wagonjwa, nao watakuwa wazima”.
הם אף יוכלו להחזיק נחשים בידיהם ולא יקרה להם דבר; הם יוכלו לסמוך את ידיהם על אנשים חולים ולרפא אותם.“
19 Baada ya Bwana kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni na ameketi mkono wa kuume wa Mungu.
וכאשר סיים האדון ישוע לדבר אליהם, הוא נלקח לשמים לשבת לימין האלוהים.
20 Wanafunzi wakaondoka na kuhubiri kila mahali, wakati Bwana akifanya kazi nao na kulithibitisha neno kwa miujiza na ishara zikifuatana nao.
התלמידים הלכו לכל מקום והכריזו את הבשורה. האדון חיזק ועודד אותם, וחולל באמצעותם ניסים ונפלאות אשר אישרו וחיזקו את עדותם.

< Marko 16 >