< Marko 16 >
1 Wakati sabato ilipokwisha, Mariamu Magdalena na Mariamu mama yake na Yakobo, na Salome, walinunua manukato mazuri, ili waweze kuja na kuupaka mafuta mwili wa Yesu kwa ajili ya maziko.
Chuin Cholngahni nilhah ahung hia, cholngah nit akichai jouvin, Mary Magdalene, James nu Mary, chule Salome chu apotdoh'un thaonamtui gachoh-a Yeshua tahsaa nu ding in akigong uve.
2 Asubuhi na mapema siku ya kwanza ya juma, walienda kwenye kaburi wakati jua lilipochomoza.
Hapta nimasapen jingpi matah niso kon vel in, amaho lhan lama chun agacheuvin ahi.
3 Wakisemezana wao kwa wao, “Nani ataliviringisha jiwe kwa ajili yetu ili tuingie kaburini?”
Lampiah amaho akihouvun, “Lhankot song chu kon eitahdohpeh tauvintem?” aki tiuvin ahi.
4 Wakati walipotazama, walimuona mtu amekwisha kulivingirisha jiwe, ambalo lilikuwa kubwa sana.
Chuin ahung lhun phat'un avet uleh song chu tahdohsa'a anaum chu amutauve. Asong chu lenpitah ahi.
5 Wakaingia kwenye kaburi na wakamwona kijana amevaa joho jeupe, ameketi upande wa kulia, na wakashangazwa.
Hichun lhan sunga chu alut'ule gollhang khat ponbangleh kisil'a jetlam'a tou amu'uvin chuin amaho chu atijalheh jengun ahi.
6 Akawaambia, “Msiogope. Mnamtafuta Yesu, wa Nazareti, aliyesulibiwa. Amefufuka! Hayupo hapa. Tazama mahali pale walipokuwa wamemweka.
Ahivangin vantil chun amaho jah-ah, “Nangho tijahih'un, nanghon thingpela kithat Nazareth Yeshua chu nahol'u ahi. Ama hikoma aumtapoi! Ama thinaa konin athoudohtai! Hungun, hung veuvin, hilai hi alonglupna chu ahi.
7 Nendeni, mkawaambie wanafunzi wake na Petro ya kuwa amewatangulia kuelekea Galilaya. Huko mtamwona, kama alivyokua amewaambia.”
Tun cheuvinlang Peter le aloiho komah Aman athi masanga anasei bang chun Galilee gam'a namasanguvah anache masatai, chua chu Ama namu diu ahi, ti gaseipeh tauvin,” ati.
8 Wakaondoka na kukimbia kutoka kwenye kaburi; walitetemeka na walishangazwa. Hawakusema chochote kwa mtu yeyote sababu waliogopa sana.
Numeiho chu atijauvin, kihot pumin lhan'a konin ahung potdoh'un, akichat behseh jeh-un imasei je jong ahepouve. Chuin amahon agan'a gangin seijuiho—Peter le aloiho komah agaseipeh tauvin ahi.
9 (note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Mapema katika siku ya kwanza ya juma, baada ya kufufuka, alimtokea kwanza Mariamu Magdalena, ambaye kutoka kwake alimtoa mapepo saba.
(note: The most reliable and earliest manuscripts do not include Mark 16:9-20.) Hapta nimasapen jingkah-a Yeshua athodohkit jouva akimutopi masatpen chu Mary Magdalene, asunga thilha sagi anodohpeh nu chu ahi.
10 Aliondoka na kuwaambia wale ambao walikuwa pamoja naye, wakati walipokuwa wakihuzunika na kutoa machozi.
Amanu chun seijui lunghemtah'a anaumho jah'a chun thilsoh umdolho chu agaseipeh tai.
11 Walisikia kwamba ni mzima na ameonekana naye, lakini hawakumwamini.
Ahivangin amahon athusei chu atahsanpouvin ahi.
12 (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Baada ya hayo, akajitokeza katika namna tofauti kwa watu wengine wawili, wakati walipokuwa wakitembea kutoka katika nchi.
Phat chomkhat jouvin lim chombeh-in aseijuiteni Jerusalema kipan'a thinglhang lama cheteni komah akilah-in ahi.
13 Walienda na kuwaambia wanafunzi wengine waliobaki, lakini hawakuwaamini.
Amani achelhon in seijui dangho jah-a agasei lhon leh amahon atahsandeh pouve.
14 (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Yesu baadaye akajitokeza kwa wale kumi na mmoja walipokuwa wameegama katika meza, na akawakemea kwa kutokuamini kwao na ugumu wa mioyo, kwa sababu hawakuwaamini wale waliomwona baada ya kufufuka kutoka kwa wafu.
Chuin ankong aum laitah'un seijui somlekhat-ho hengah Yeshua akilah-in athodohkit nunga amuho thusei atahsanlou jeh-u le alungtah jeh-un asosalin ahi.
15 Akawaambia, “Enendeni ulimwenguni mwote, na kuhubiri injili kwa viumbe vyote.
Chuin Aman ajah uva, “Nangho vannoi leiset gamjouseah cheuvin lang thilsem mihem namtin jah-a hiche Kipana Thuphahi gahil lhang leuvin.
16 Yeyote aaminiye na kubatizwa ataokolewa, na yule asiyeamini atahukumiwa.
Koihileh, atahsan'a baptize chang chu sohcha ding ahi. Atahsanlou vang chu themmo hange umding ahi.
17 (Zingatia: Nakala za kale hazina Marko 16: 9-20) Ishara hizi zitaambatana na wote waaminio. Kwa jina langu watatoa pepo. Watasema kwa lugha mpya.
Chule atahsante chu melchihna kidangin ajuipeh dingu ahi: Keima min'a thilha anodoh dingu, paothah, pao choma pao dingu,
18 Watashika nyoka kwa mikono yao, na hata wakinywa kitu chochote cha kufisha hakitawadhuru. Wataweka mikono kwa wagonjwa, nao watakuwa wazima”.
Gul akhut'a adop dingu, Thinathei ima don ongleur ima tilou ding ahiuve. Chule ana-damlou chunga khut ngamleu ana chu damding ahi,” ati. Yeshua Vanna Akaltou
19 Baada ya Bwana kusema nao, akachukuliwa juu mbinguni na ameketi mkono wa kuume wa Mungu.
Chuin Yeshuan ajah uva chucheng asei jouvin van'ah lahtouvin aumin, Pathen jetlam'ah atoutai.
20 Wanafunzi wakaondoka na kuhubiri kila mahali, wakati Bwana akifanya kazi nao na kulithibitisha neno kwa miujiza na ishara zikifuatana nao.
Chuin amaho achedoh'un muntin'ah ahillhangleuvin anatohna chan'uvah Pakaiyin akithopiuvin, chule melchih nain ajuisah-in athuseiyu chu aphudetpeh-in ahi.