< Marko 14 >

1 Ilikuwa siku mbili tu baada ya sikukuu ya Pasaka na ya Mikate Isiyotiwa Chachu. Makuhani wakuu na waandishi walikuwa wakitafuta namna ya kumkamata Yesu kwa hila na kumuua.
Dva dny před židovskými Velikonocemi byl Ježíš v Betanii hostem u Šimona, zvaného Malomocný.
2 Kwa kuwa walisema, “Sio wakati huu wa sikukuu, watu wasije wakafanya ghasia.”
Právě byli u stolu, když do domu přišla žena s alabastrovou nádobkou drahocenného vonného oleje z pravého nardu. Otevřela ji a olej vylila na Ježíšovu hlavu.
3 Wakati Yesu alipokuwa Bethania nyumbani kwa Simoni mkoma, na alipokuwa akielekea mezani, mwanamke mmoja alikuja kwake akiwa na chupa ya marashi ya nardo safi yenye gharama kubwa sana, aliivunja chupa na kuimimina juu ya kichwa chake.
Některým se to zdálo přehnané a říkali si mezi sebou: „K čemu takové plýtvání? Vždyť ten olej měl cenu přes tři sta denárů. Mohli jsme ho prodat a výtěžek rozdat chudým.“
4 Lakini kulikuwa na baadhi yao waliokasirika. Waliambiana wao kwa wao wakisema, “Ni nini sababu ya upotevu huu?
Vyčetli to i té ženě. Ale Ježíš se jí ujal: „Nechte ji. Proč jí kazíte radost? Vždyť ona to myslí dobře.
5 Manukato haya yangeweza kuuzwa kwa zaidi ya dinari mia tatu, na wakapewa maskini.” Nao walimkemea.
Chudých bude vždycky dost a budete mít příležitost jim pomáhat, ale já od vás odejdu.
6 Lakini Yesu alisema, “Mwacheni peke yake. Kwa nini mnamsumbua? Amefanya jambo zuri kwangu.
Udělala, co mohla. Vlastně předem ošetřila moje tělo, jako se to dělá před pohřbem.
7 Siku zote maskini mnao, na wakati wowote mnapotamani mnaweza kufanya mazuri kwao, lakini hamtakuwa nami wakati wote.
Poslyšte, co vám teď řeknu: Kdekoliv po světě se bude mluvit o mně, tam se také bude připomínat tento její čin.“
8 Amefanya kile anachoweza: ameupaka mwili wangu mafuta kwa ajili ya maziko.
Mezitím se radili velekněží a učitelé zákona, jak by Ježíše nenápadně zatkli a odstranili.
9 Kweli nawaambia, kila mahali injili inapohubiriwa katika ulimwengu wote, kile alichofanya mwanamke huyu kitazungumzwa kwa ukumbusho wake.
Usnesli se: „Nesmíme to udělat o svátcích, aby nevznikly nepokoje, když je v Jeruzalémě mnoho poutníků.“
10 Kisha Yuda Iskariote, mmoja wa wale kumi na wawili, alikwenda kwa wakuu wa makuhani ili kwamba apate kumkabidhi kwao.
Jidáš Iškariotský, jeden z dvanácti Ježíšových učedníků, nabídl vedoucím židovským kněžím, že jim Ježíše vydá, až bude na nějakém opuštěném místě.
11 Wakati wakuu wa Makuhani waliposikia hivyo, walifurahi na wakaahidi kumpa fedha. Alianza kutafuta nafasi ya kumkabidhi kwao.
To právě potřebovali, a tak mu za to slíbili peněžitou odměnu. Od té chvíle čekal Jidáš na svou příležitost.
12 Katika siku ya kwanza ya mkate usiotiwa chachu, wakati walipotoa mwanakondoo wa pasaka, wanafunzi wake walimwambia, “Unataka twende wapi tukaandae ili upate kula mlo wa Pasaka?”
První den svátků, kdy se zabíjel a jedl velikonoční beránek, zeptali se učedníci Ježíše: „Kde máme připravit velikonoční večeři?“
13 Aliwatuma wanafuzi wake wawili na kuwaambia, “Nendeni mjini, na mwanamume ambaye amebeba mtungi ataonana nanyi. Mfuateni.
Ježíš poslal dva z nich do města; měli potkat člověka se džbánem vody
14 Nyumba atakayoingia, mfuateni na mmwambie mwenye nyumba hiyo, 'Mwalimu asema, “Kiko wapi chumba cha wageni mahali nitakapokula Pasaka na wanafunzi wangu?”
a sledovat ho až do domu. Majiteli toho domu měli říci: „Mistr prosí, abys nám ukázal místnost, kde máme jíst velikonoční večeři.“
15 Atawaonesha chumba cha juu kikubwa chenye samani ambacho kiko tayari. Fanyeni maandalizi kwa ajili yetu pale.”
A on jim měl ukázat velikou jídelnu v patře, zařízenou a připravenou. Tam měli prostřít k jídlu.
16 Wanafunzi waliondoka wakaenda mjini; walikuta kila kitu kama alivyokuwa amewaambia, na wakaandaa mlo wa Pasaka.
Dva z učedníků šli tedy do města, podle Ježíšova návodu našli dům a připravili velikonočního beránka.
17 Wakati ilipokuwa jioni, alikuja na wale Kumi na wawili.
Večer tam přišel Ježíš s ostatními.
18 Na walipokuwa wakiikaribia meza na kula, Yesu alisema, “Kweli nawaambia, mmoja kati yenu anayekula pamoja nami atanisaliti.”
Při večeři se na ně obrátil: „Poslyšte, co vám řeknu: Jeden z vás, kteří jste se mnou u stolu, mě zradí.“
19 Wote walisikitika, na mmoja baada ya mwingine walimwambia, “Hakika siyo mimi?”
Zaraženě na sebe pohlédli: „Koho tím míní? Snad ne mne?“
20 Yesu alijibu na kuwaambia, “Ni mmoja wa Kumi na wawili kati yenu, mmoja ambaye sasa anachovya tonge katika bakuli pamoja nami.
Opakoval jim: „Je to jeden z vás dvanácti, který si nabírá ze stejné mísy se mnou.
21 Kwa kuwa Mwana wa Adamu atakwenda kama vile maandiko yasemavyo juu yake. Lakini ole wake mtu yule ambaye kupitia yeye Mwana wa Adamu atasalitiwa! Ingekuwa vizuri zaidi kwake kama mtu yule asingezaliwa.”
Jdu cestou, která je mi určena, ale běda tomu člověku, který se propůjčil ke zradě. Bylo by pro něho lépe, kdyby se byl nenarodil.“
22 Na walipokuwa wakila, Yesu alichukua mkate, akaubariki, na kuumega. Aliwapa akisema, “Chukueni. Huu ni mwili wangu.”
Na závěr večeře vzdal Ježíš díky Bohu za chléb, lámal ho a podával kousky stolovníkům se slovy: „Jezte, to je moje tělo!“
23 Alichukua kikombe, akashukuru, na akawapatia, na wote wakakinywea.
Pak se pomodlil nad kalichem vína a podával jim ho všem se slovy:
24 Aliwaambia, “Hii ni damu yangu ya agano, damu imwagikayo kwa ajili ya wengi.
„To je moje krev, prolitá za mnohé jako pečeť nové smlouvy mezi Bohem a člověkem.
25 Kweli nawaambia, sitakunywa tena katika zao hili la mzabibu mpaka siku ile nitakapokunywa mpya katika ufalme wa Mungu.”
A já vám říkám, že už neokusím jiného vína až do té doby, než s vámi zasednu k hostině v Božím království.“
26 Walipokwisha kuimba wimbo, walikwenda nje katika Mlima wa Mizeituni.
Nakonec zazpívali píseň a vyšli ven na Olivovou horu.
27 Yesu aliwaaambia, “Ninyi nyote mtajitenga mbali kwa sababu yangu, kwa kuwa imeandikwa, 'Nitampiga mchungaji na kondoo watatawanyika.'
Cestou jim Ježíš řekl: „Tuto noc mě všichni opustíte. Prorok o tom napsal: ‚Zabijí pastýře a ovce se rozprchnou.‘
28 Lakini baada ya kufufuka kwangu, nitawatangulia mbele yenu Galilaya.”
Ale vstanu z mrtvých a půjdu napřed do Galileje, kde se setkáme.“
29 Petro alimwambia, “Hata kama wote watakuacha, mimi sitakuacha.”
„I kdyby tě všichni zradili, já tě neopustím, “prohlásil Petr.
30 Yesu alimwambia, “Kweli nakuambia, usiku huu, kabla jogoo hajawika mara mbili, utakuwa umenikana mara tatu.”
„Poslyš, co ti řeknu, “odvětil Ježíš. „Dřív než kohout ráno podruhé zakokrhá, třikrát mne zapřeš.“
31 Lakini Petro alisema, “Hata itanilazimu kufa pamoja nawe, sitakukana.” Wote walitoa ahadi ile ile.
„Kdybych měl i zemřít, nezapřu tě, “zapřísahal se Petr. Ostatní slibovali podobně.
32 Walikuja kwenye eneo lililoitwa Gethsemane, na Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa wakati nasali.”
Přišli do olivového sadu, zvaného Getsemane. „Počkejte tady na mne, než se pomodlím, “požádal Ježíš učedníky.
33 Aliwachukua Petro, Yakobo, na Yohana pamoja naye, akaanza kuhuzunika na kutaabika sana.
Vzal s sebou jenom Petra, Jakuba a Jana. Ti viděli, že Ježíše se zmocňuje strach a tíseň.
34 Aliwaambia, “Nafsi yangu ina huzuni sana, hata kufa. Bakini hapa na mkeshe.”
Netajil se tím: „Je mi těžko až k smrti. Zůstaňte tady a bděte se mnou.“
35 Yesu alienda mbele kidogo, akaanguka chini, akaomba, kama ingewezekana, kwamba saa hii ingemwepuka.
Odešel kousek dál, padl na zem a modlil se, aby byl ušetřen nastávajících hodin, kdyby to bylo možné.
36 Alisema, “Aba, Baba, Mambo yote kwako yanawezekana. Niondolee kikombe hiki. Lakini siyo kwa mapenzi yangu, bali mapenzi yako.”
„Otče, Otče, “volal, „ty máš všechny možnosti. Ušetři mne toho kalicha utrpení. Nehleď však na to, co chci já, podrobím se poslušně tvé vůli.“
37 Alirudi na kuwakuta wamelala, na akamwambia Petro, “Simoni, je umelala? Hukuweza kukesha hata saa moja?
Vrátil se k těm, které vzal s sebou, a viděl, že spí. Probudil Petra: „Šimone, jak můžeš spát? To nedokážeš se mnou bdít ani tu chvíli?
38 Kesheni na muombe kwamba msije mkaingia katika majaribu. Hakika roho i radhi, lakini mwili ni dhaifu.”
Probuďte se a modlete se, abyste obstáli v přicházející zkoušce. Odhodlání nestačí, když člověk nemá dost sil.“
39 Alienda tena na kuomba, na alitumia maneno yaleyale.
A opět odešel a modlil se jako předtím.
40 Alikuja tena akawakuta wamelala, kwa kuwa macho yao yalikuwa mazito na hawakujua nini cha kumwambia.
Když se k nim vrátil podruhé, spali zase, protože byli velmi unaveni. Nevěděli, co říci na svou omluvu.
41 Alikuja mara ya tatu na kuwaambia, “Bado mmelala na kupumzika? Yatosha! Saa imefika. Tazama! Mwana wa Adamu atasalitiwa mikononi mwa wenye dhambi.
Když přišel potřetí, řekl jim: „Ještě spíte? Ještě odpočíváte? Už dost! Přichází chvíle, kdy Syn člověka bude vydán do rukou zlých lidí.
42 Amkeni, twendeni. Tazama, yule anayenisaliti yuko karibu.”
Vstaňte a pojďte, můj zrádce už je zde.“
43 Mara tu alipokuwa bado anaongea, Yuda, mmoja wa wale kumi na wawili, alifika, na kundi kubwa kutoka kwa wakuu wa makuhani, waandishi na wazee wenye mapanga na marungu.
Jen to dořekl, přicházel Jidáš – jeden z dvanácti nejbližších, a s ním velký zástup mužů, ozbrojených meči a obušky. Byla to chrámová stráž, poslaná velekněžími.
44 Wakati huo msaliti wake alikuwa amewapa ishara, akisema, Yule nitakayembusu, ndiye. Mkamateni na kumpeleka chini ya ulinzi.”
Aby se ve tmě nezmýlili, zrádce si s nimi smluvil toto znamení: „Kterého z nich políbím na pozdrav, to je on. Chyťte ho a dobře držte.“
45 Wakati Yuda alipofika, moja kwa moja alienda kwa Yesu na kusema, “Mwalimu!” Na akambusu.
Přistoupil tedy k Ježíši a se slovem „Mistře“ho políbil.
46 Kisha wakumtia chini ya ulinzi na kumkamata.
Ozbrojenci Ježíše popadli a zajali ho.
47 Lakini mmoja kati yao aliyesimama karibu naye alichomoa upanga wake akampiga mtumishi wa kuhani mkuu na kumkata sikio.
Jeden z jeho učedníků vytasil meč a sekl po jednom z útočníků tak, že mu uťal ucho.
48 Yesu aliwaambia, “Mmekuja kunikamata kwa mapanga na marungu kama mnyang'anyi?
Ježíš se hájil pouze slovy: „Cožpak jsem zločinec, že jste na mne přitáhli jako do boje?
49 Wakati kila siku nilikuwa nanyi na nikifundisha hekaluni, hamkunikamata. Lakini hili limefanyika ili maandiko yatimie.
Každý den jsem přece učíval v chrámu, ale tam jste se na mne neodvážili. Ani nevíte, jak přesně plníte proroctví řečená o mně.“
50 Na wale wote waliokuwa na Yesu walimwacha na kukimbia.
Ježíšovi učedníci se rozprchli.
51 Kijana mmoja alimfuata, aliyekuwa amevaa shuka tu aliyokuwa amejifunika kumzunguka; walimkamata lakini
Pouze jeden chlapec narychlo oblečený sledoval Ježíše z povzdálí. Strážci ho chytili za plášť,
52 aliwaponyoka akaiacha shuka pale akakimbia uchi.
ale on se z něj vyvlékl a utekl nahý.
53 Walimwongoza Yesu kwa kuhani mkuu. Pale walikusanyika pamoja naye makuhani wakuu wote, wazee, na waandishi.
Ježíše odvedli k veleknězi, který ihned svolal nejvyšší židovskou radu.
54 Petro naye alimfuata Yesu kwa mbali, kuelekea kwenye ua wa kuhani mkuu. Aliketi pamoja na walinzi, waliokuwa karibu na moto wakiota ili kupata joto.
Petr se opatrně vydal za nimi, a tak se dostal až na nádvoří veleknězova paláce. Posadil se k ohni strážců a hřál se s nimi.
55 Wakati huo makuhani wakuu wote na Baraza lote walikuwa wakitafuta ushahidi dhidi ya Yesu ili wapate kumwua. Lakini hawakuupata.
Mezitím velekněz a jeho poradní sbor marně hledali člověka, který by dosvědčil, že Ježíš spáchal nějaký hrdelní zločin.
56 Kwa kuwa watu wengi walileta ushuhuda wa uongo dhidi yake, lakini hata ushahidi wao haukufanana.
Měli dost falešných svědků, ale jejich výpovědi si příliš odporovaly.
57 Baadhi walisimama na kuleta ushahidi wa uongo dhidi yake; wakisema,
Několik se jich shodlo na Ježíšově výroku: „Zbořím tento chrám, postavený rukama. Za tři dny pak postavím jiný a nebude k tomu třeba lidských rukou.“
58 “Tulimsikia akisema, 'Nitaliharibu hekalu hili lililotengenezwa kwa mikono, na ndani siku tatu nitajenga lingine lisilotengenezwa kwa mikono.'”
59 Lakini hata ushahidi wao haukufanana.
Ale ani tato svědectví nebyla jednotná.
60 Kuhani mkuu alisimama katikati yao na akamwuliza Yesu, “Je, huna jibu? Watu hawa wanashuhudia nini dhidi yako?”
Velekněz se ujal slova a zeptal se Ježíše: „Jak vyvrátíš tato obvinění?“
61 Lakini alikaa kimya na hakujibu chochote. Mara Kuhani mkuu alimwuliza tena, “Je wewe ni Kristo, mwana wa Mbarikiwa?”
Ježíš však mlčel a nijak se nehájil. „Jsi Kristus, Boží Syn?“dotíral velekněz.
62 Yesu alisema, “Mimi ndiye. Na utamwona Mwana wa Adamu ameketi mkono wa kulia wa nguvu akija na mawingu ya mbinguni.”
„Ano, jsem, “potvrdil Ježíš. „Uvidíte mne, jak sedím po Boží pravici a jak se vracím na zem z nebeských oblaků.“
63 Kuhani mkuu alirarua mavazi yake na kusema, “Je, bado tunahitaji mashahidi?
Teď velekněz roztrhl svoje vnější roucho na znamení pobouření a vykřikl: „Nač ještě svědky?
64 Mmesikia kufuru. Uamuzi wenu ni upi?” Na wote walimhukumu kama mmoja aliyestahili kifo.
Sami jste slyšeli, jak se rouhá. Co si zaslouží?“Jednohlasně ho odsoudili k smrti. Někteří se vrhli dopředu,
65 Baadhi wakaanza kumtemea mate na kumfunika uso na kumpiga na kumwambia, “Tabiri!” Maafisa walimchukua na kumpiga.
plivali na Ježíše, pak mu zavázali oči, políčkovali ho a křičeli: „Hádej, kdo to byl, ty proroku?“A také strážci ho začali bít obušky.
66 Na Petro alipokuwa bado yuko chini uani, mtumishi mmoja wa wasichana wa kuhani mkuu alikuja kwake.
Mezitím jedna z veleknězových služek uviděla Petra u ohně, prohlédla si ho a řekla: „Ty jsi také jeden z těch, co chodili s tím Nazaretským Ježíšem!“
67 Alimwona Petro alipokuwa amesimama akiota moto, na alimtazama kwa kumkaribia. Kisha alisema, “Nawe pia ulikuwa na Mnazareti, Yesu”.
68 Lakini alikataa, akisema, “Sijui wala sielewi kuhusu kile unachosema!” Kisha alitoka akaenda nje uani. (Zingatia; Mstari huu, “Na jogoo akawika” haumo kwenye nakala za kale).
„Nechápu, o čem mluvíš, “zapíral. Vykradl se z nádvoří a tehdy poprvé zakokrhal kohout.
69 Lakini mtumishi wa kike pale, alimwona na alianza kuwaambia tena wale ambao walikuwa wamesimama pale, “Mtu huyu ni mmoja wao!”
Služka ho za chvíli opět zahlédla a začala vykládat okolostojícím: „Je to jeden z jeho přívrženců!“
70 Lakini alikana tena. Baadaye kidogo wale waliokuwa wamesimama pale walikuwa wakimwambia Petro, “Hakika wewe ni mmoja wao, kwa maana wewe pia ni Mgalilaya.”
Petr to však znovu popřel. Kdosi se na něj osopil: „Určitě k nim patříš, máš taky galilejský přízvuk.“
71 Lakini alianza kujiweka mwenyewe chini ya laana na kuapa, “Simjui mtu huyu mnayemsema.”
Tu se Petr začal dušovat a přísahal: „Neznám vůbec toho člověka, o kterém mluvíte.“
72 Kisha jogoo aliwika mara ya pili. Kisha Petro alikumbuka maneno ambayo Yesu aliyokuwa amemwambia: “Kabla jogoo hajawika mara mbili, utanikana mara tatu.” Na alianguka chini na kulia.
A právě tehdy zakokrhal kohout podruhé. To připomnělo Petrovi Ježíšova slova, že ho třikrát zapře, než kohout dvakrát zakokrhá. Vyběhl ven a propukl v pláč.

< Marko 14 >