< Marko 10 >

1 Yesu aliondoka eneo hilo na akaenda katika mkoa wa Uyahudi na eneo la mbele ya Mto Yorodani, na makutano walimfuata tena. Aliwafundisha tena, kama ilivyokuwa kawaida yake kufanya.
Yesu ma ceki ahira aginome ma ha ani kira nu yahudiya ma kuri madusa piit uhana uraba u urdu ni gura na nabu ni kuri ni a hira meme ma zin nu dungura uwe imumbesa maharika u wuzame.
2 Na Mafarisayo walikuja kumjaribu na wakamuuliza, “Ni halali kwa mwanamume kuachana na mke wake?”
Anu bezurusa wa e ahira ame wa ikime, “nani ya wuna uri u ruma “uruma ma harzina nan nu ne umeme?” wa ilime wa iri ini.
3 Yesu akawajibu, “Musa aliwaamuru nini?”
Ma kabirkawe, “ane ni Musa ma inki shi tize?
4 Wakasema, “Musa aliruhusu kuandika cheti cha kuachana na kisha kumfukuza mwanamke.”
Wa gu Musa ma him vana uruma ma nyertike ihori ama cikime madusa.
5 “Ni kwa sababu ya mioyo yenu migumu ndiyo maana aliwaandikia sheria hii,” Yesu aliwaambia.
Yesu magunwe barki ugbas usheni.
6 “Lakini kutoka mwanzo wa uumbaji, 'Mungu aliwaumba mwanamume na mwanamke.'
Usuro utuba Asere a bari vanu ruma nan nu u e.
7 Kwa sababu hii mwanamume atamwacha baba yake na mama yake na ataungana na mke wake,
Barki ani me vanu ruma madi kiri a co nan ka ino wapat ina.
8 na hao wawili watakuwa mwili mmoja; Kwa kuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.
Wa ware wa cukuno binama bi inde aziguna wa kadza anawari wa cukuno binama bi inde.
9 Kwa hiyo alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.”
Vat imumbesa Asere apata unu hara ma zoni.
10 Walipokuwa ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamwuliza tena kuhusu hili.
Uganiya sa wa ra anyumo akura anu tarsa ume wa kura wa ikime abangame.
11 Akawaambia, “Yeyote amwachaye mke wake na kumwoa mwanamke mwingine, anafanya uzinzi dhidi yake.
Ma gunme, vat desa ma gido une umeme ma huza anya nan uru nee ma wuza madini.
12 Mwanamke naye akimwacha mme wake na kuolewa na mwanamme mwingine, anafanya uzinzi.”
Inki vanu e makini uruma ume maka wuza ara nyasas nan ure vanu runa ma wuza madini.
13 Nao walimletea watoto wao wadogo ili awaguse, lakini wanafunzi wakawakemea.
Anabuwa en inna hana acincin madarwe anu tarsa Uyesu wa gwari kawe.
14 Lakini Yesu alipotambua hilo, hakufurahishwa nalo kabisa akawaambia, “Waruhusuni watoto wadogo waje kwangu, na msiwazuie, kwa sababu walio kama hawa ufalme wa Mungu ni wao.
Yesu ma iri ani me ma kunna iriba inwe, ma gun we cekini ahana cincin wa e a hira am, kati ikartuwe ba, akura Ugomo Asere usas-suna uwe uni a nyara.
15 Ukweli nawaambia, yeyote asiyeupokea ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hakika hawezi kuingia katika ufalme wa Mungu.
Ka dure in boshi, vat de sa da makaba tizee ti ugomo sere kasi vana ucin mada ribe me Asesere.
16 Kisha akawachukua watoto mikononi mwake na akawabariki akiwawekea mikono yake juu yao.
Maduku gbemdurko ahana ahabu ameme ma ringir ka we.
17 Na alipoanza safari yake mtu mmoja alimkimbilia na akapiga magoti mbele yake, akamwuliza, “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niweze kurithi uzima ya milele?” (aiōnios g166)
Sa ma tuba tanu, urunu ma sumi mabikime matun guno aje ameme ma iki me “unu dungura nyanini indi wuzi in kim bibeu bu zatu mara? (aiōnios g166)
18 Na Yesu akasema, “Kwa nini unaniita mwema? Hakuna aliye mwema, isipokuwa Mungu peke yake.
Yesu magu “nyanini utisom uni dungara uriri? unu dungura uriri memani Ugoma Asere.
19 Unazijua amri: 'Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo, usidanganye, mheshimu baba na mama yako'.”
Urusa uinko tize udida hunawe udida wuza imum imadin udida wuzawe ni kari udida wuzawe ma cuco udida nokuwe unu nya aconanka ino tina nu”
20 Mtu yule akasema, “Mwalimu, haya yote nimeyatii tangu nikiwa kijana.”
Unume magu “unudugwa vat adodu aginome martarsan ani, ami manyam.
21 Yesu alimwangalia na kumpenda. Akawambia, “Unapungukiwa kitu kimoja. Unapaswa kuuza vyote ulivyo navyo na uwape masikini, na utakuwa na hazina mbinguni. Ndipo uje unifuate.”
Yesu ma irime ma gun me imumu inde ini ya dewe kaziza adodu aweme vat u e utarsum, udikum ani Asesere.
22 Lakini alikata tamaa kwa sababu ya maelezo haya; aliondoka akiwa mwenye huzuni, kwa kuwa alikuwa na mali nyingi.
Sa ma kunna tize tigino nipum niwi me camcam ma kunna gwan-gwan ma suri ma kini ahirame barki me uni mum taritini.
23 Yesu akatazama pande zote na kuwaambia wanafunzi wake, “Ni jinsi gani ilivyo vigumu kwa tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu!
Yesu ma iri anu tarsa umeme magu idi zinijas inimum maribe Asesere.
24 Wanafunzi walishangazwa kwa maneno haya. Lakini Yesu akawaambia tena, “Watoto, ni jinsi gani ilivyo vigumu kuingia katika ufalme wa Mungu!
Ahana utarsa umeme biyau bimikuwe inni gurang me sa mabuka, Yesu ma kuru ma gun we “idi cukono ini jas unukim maribe Asesere!
25 Ni rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano, kuliko mtu tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.”
Idi cukuno sheu bironkomi biribe ani hara na lira inni guna uni kim ma ribe Asesere.
26 Walishangazwa sana na wakasemezana, “Hivyo nani ataokoka”
Innu kunna anime saya kini muruba mu wuwe seke “wagu aveni madikafaa.”
27 Yesu akawaangalia na kusema, “Kwa binadamu haiwezekani, lakini sio kwa Mungu. Kwa kuwa katika Mungu yote yanawezekana.”
“Yesu mahiriwe magu”uhira ushime uwuna imum izoni, vat imum iwuna ini a hira asere.
28 “Petro akaanza kuzungumza naye, “Angalia tumeacha vyote na tumekufuata.”
Bitrus ma gume haru betakini adodu aru ti tar su we.
29 Yesu akasema, “Ukweli nawaambia ninyi, hakuna aliyeacha nyumba, au kaka, au dada, au mama, au baba, au watoto, au ardhi, kwa ajili yangu, na kwa ajili ya Injili,
Yesu madusa ma gume bade sa ma kini, a kura, nihenu, a ino, aco, a hani nani tiru, barki mi nantize tum.
30 ambaye hatapokea mara mia zaidi ya sasa hapa duniani: nyumba, kaka, dada, mama, watoto, na ardhi, kwa mateso, na ulimwengu ujao, uzima wa milele. (aiōn g165, aiōnios g166)
Makabi imum gwardan sa idi tekitimum me sama kini adumo. (aiōn g165, aiōnios g166)
31 Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.”
Anu gwardan sa we wani anu tuba wadi cukuno anu masi za.
32 Walipokuwa njiani, kwenda Yerusalemu, Yesu alikuwa amewatangulia mbele yao. Wanafunzi walishangaa, na wale waliokuwa wanafuata nyuma waliogopa. Ndipo Yesu akawatoa pembeni tena wale kumi na wawili na akaanza kuwaambia ambacho kitamtokea hivi karibuni:
Wara anyimo tuna uhana urshalima yesu mara aje wawuzi imum ibiyau.
33 “Tazama, tunakwenda mpaka Yerusalemu, na Mwana wa Adamu atafikishwa kwa makuhani wakuu na waandishi. Watamhukumu afe na watamtoa kwa watu wa Mataifa.
Tiyen ne ti ha za, u'urshalima adi nya vana, unu atiri tanua dadan dam anu rusa u nyetike litize. Wadi in tize ahume.
34 Watamdhihaki, watamtemea mate, watampiga fimbo, na watamwua. Lakini baada ya siku tatu atafufuka.”
Wa di wuze me ni basa wa tufzi me tobi wa cobi me wahume, inki wa huname madi hiri anyimo atiye titaru.”
35 Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, walikuja kwake na kusema, “Mwalimu, tunakuhitaji utufanyie chochote tukuombacho.”
Yakubu nan yohanna a hana, a zabadi wa'e ahira ame wagu,”unudungara ti nyara uwu zin dura immumbe sata iko we.
36 Aliwaambia, “Mnataka niwatendee nini?”
Magunwe”nyanini nyara in wuzi shiri”?
37 Wakasema, “Turuhusu tukae nawe katika utukufu wako, mmoja katika mkono wako wa kuume na mwingine mkono wako wa kushoto.”
Wagu me kirin duru ti cukuno ani nonzo nowome, unu inde atari tinare uye atinan gure tuweme.
38 Lakini Yesu aliwajibu, “Hamjui mnachoomba. Mnaweza kukinywea kikombe ambacho nitakiywea au kustahimili ubatizo ambao nitabatizwa?”
Yesu ma kabarka magurwe”ida rusa shi imum me sa izunu igizome idake isi ijas me san disi? Wak
39 Wakamwambia, “Tunaweza” Yesu akawaambia, “Kikombe nitakachokinywea, mtakinywea. Na ubatizo ambao kwao nimebatizwa, mtaustahimili.
abirka wadake, Yesu ma kabirikawe rusani ijas me san indisi idi si.
40 Lakini atakayekaa mkono wangu wa kuume au mkono wangu wa kushoto sio mimi wa kutoa, lakini ni kwa wale ambao kwao imekwisha andaliwa.”
Desa madi cukuno atare tinare nan tinan gure da immani indi nya se an de sa anyawe.”
41 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia haya, wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.
Anu kirau anyimo anutarsa ume sa wa kumna anime. watubi kunzuna umu ruba in yakubu nan yohana.
42 Yesu akawaita kwake na kusema, “Mnajua kuwa wale wanaodhaniwa kuwa watawala wa watu wa Mataifa huwatawala, na watu wao mashuhuri huwaonyesha mamlaka juu yao.”
Yesu matit tuwe magunwe,”irusa anuagebe sawazi agomo aweme wa bezizi anu zatu tarsa asere nikara.
43 Lakini haipaswi kuwa hivi kati yenu. Yeyote atakaye kuwa mkubwa kati yenu lazima awatumikie,
Daki ame ani idi cukuno anyimo ashime. vat desa ma nyara ma cukuno unanu anyume ashime memani madi cukuno urere a nyimo ma ashime.
44 na yeyote atakaye kuwa wa kwanza kati yenu ni lazima awe mtumwa wa wote.
Vat desa ma nyara ma cukuno aje shime, ama cukuno urere.
45 Kwa kuwa Mwana wa Adamu hakuja kutumikiwa bali kutumika, na kuyatoa maisha yake kuwa fidia kwa wengi.”
Vana unu ma e uwuza ukatuma ka co me kani, da awuzi meni.
46 Wakaja Yeriko. Alipokuwa akiondoka Yeriko na wanafunzi wake na kundi kubwa, mwana wa Timayo, Batimayo, kipofu mwombaji, alikaa kando ya barabara.
Waribe uyariko sa wa suro uyariko ni gome nan ni go namu tarsa ume. a nyimo atanu tuwe me wasusa wagun na nanurru urubo una ni za bartamawa su sammu timawas ma ciki ani kira nuna.
47 Aliposikia kuwa ni Yesu Mnazareti, alianza kupiga kelele na kusema, “Yesu, Mwana wa Daudi, nihurumie!”
Samakuna yesu banazera mani mayezen nigmyirang magu”yesu vana udauda kunna ugogoni um!”
48 Wengi walimkemea yule kipofu, wakimwambia anyamaze. Lakini alilia kwa sauti zaidi, “Mwana wa Daudi, nihurumie!”
Anume vat wa kwadi me, wagun me wana tik makuri mayeze nigmyirang ukure.
49 Yesu alisimama na kuamuru aitwe. Walimwita yule kipofu, wakisema, “Kuwa shujaa! Inuka! Yesu anakuita.”
Yesu matunno magu atitime wa dusa wa tunno wa titime wagu uni ribahu aye.
50 Akalitupa pembeni koti lake, akakimbia zaidi, na kuja kwa Yesu.
Ma suso udibi ma'hiri matonno ma ha ahira ayeso.
51 Yesu akamjibu na kusema, “Unataka nikufanyie nini?” Yule mwanaume kipofu akamjibu, “Mwalimu, ninataka kuona.”
Yesu ma kabirki me, “nyani ni u nyara in wu zuwe ni?” urubo magu unu rusa in nyara in kin, uhira ahira.
52 Yesu akamwambia, “Nenda. Imani yako imekuponya.” Hapo hapo macho yake yakaona; na akamfuata Yesu barabarani.
Yesu magu dusa u hem u'wo me wa humman hu.”Sama kim u hira ma dusa ma tarsime, wa dusa nigome.

< Marko 10 >