< Marko 10 >
1 Yesu aliondoka eneo hilo na akaenda katika mkoa wa Uyahudi na eneo la mbele ya Mto Yorodani, na makutano walimfuata tena. Aliwafundisha tena, kama ilivyokuwa kawaida yake kufanya.
Ježíš opustil Kafarnaum a prošel Zajordáním do Judska. I zde ho obklopilo množství lidí a on je začal učit jako obvykle.
2 Na Mafarisayo walikuja kumjaribu na wakamuuliza, “Ni halali kwa mwanamume kuachana na mke wake?”
Přišli však za ním farizejové a pokoušeli se ho nachytat: zeptali se ho, zda je dovolen rozvod.
3 Yesu akawajibu, “Musa aliwaamuru nini?”
Místo odpovědi jim dal otázku: „Co řekl o rozvodu Mojžíš?“
4 Wakasema, “Musa aliruhusu kuandika cheti cha kuachana na kisha kumfukuza mwanamke.”
„K tomu, aby manželství bylo zrušeno, podle Mojžíše stačí, když muž napíše ženě rozlukový list.“
5 “Ni kwa sababu ya mioyo yenu migumu ndiyo maana aliwaandikia sheria hii,” Yesu aliwaambia.
„To byl jen Mojžíšův ústupek tvrdosti lidského srdce, “řekl na to Ježíš. „Bůh si to tak nikdy nepřál.
6 “Lakini kutoka mwanzo wa uumbaji, 'Mungu aliwaumba mwanamume na mwanamke.'
Hned na počátku stvořil člověka jako nerozlučnou dvojici, muže a ženu.
7 Kwa sababu hii mwanamume atamwacha baba yake na mama yake na ataungana na mke wake,
Proto muž opustí své rodiče a připojí se ke své manželce;
8 na hao wawili watakuwa mwili mmoja; Kwa kuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.
v tom spojení již nežijí jako dva jedinci, ale stávají se jednou bytostí.
9 Kwa hiyo alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.”
A proto člověk nemá právo rozdělit, co Bůh spojil.“
10 Walipokuwa ndani ya nyumba, wanafunzi wake wakamwuliza tena kuhusu hili.
Později se učedníci znovu k té otázce vrátili.
11 Akawaambia, “Yeyote amwachaye mke wake na kumwoa mwanamke mwingine, anafanya uzinzi dhidi yake.
Vyložil jim to: „Kdo se rozvede se svou ženou a ožení se s jinou, hřeší stejně, jako by měl ženy dvě.
12 Mwanamke naye akimwacha mme wake na kuolewa na mwanamme mwingine, anafanya uzinzi.”
A právě tak rozvede-li se žena se svým mužem a vdá se za jiného, dopouští se cizoložství.“
13 Nao walimletea watoto wao wadogo ili awaguse, lakini wanafunzi wakawakemea.
Lidé nosili k Ježíšovi děti, aby jim žehnal. Učedníci jim domlouvali, aby ho neobtěžovali.
14 Lakini Yesu alipotambua hilo, hakufurahishwa nalo kabisa akawaambia, “Waruhusuni watoto wadogo waje kwangu, na msiwazuie, kwa sababu walio kama hawa ufalme wa Mungu ni wao.
Když to Ježíš slyšel, zlobil se: „Neodhánějte ty děti a nebraňte jim, když chtějí ke mně. I jim přece patří Boží království.
15 Ukweli nawaambia, yeyote asiyeupokea ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hakika hawezi kuingia katika ufalme wa Mungu.
A říkám vám, že kdo nepřijde k Bohu s dětskou prostotou, nestane se občanem toho království.“
16 Kisha akawachukua watoto mikononi mwake na akawabariki akiwawekea mikono yake juu yao.
Bral děti do náruče, hladil je a žehnal jim.
17 Na alipoanza safari yake mtu mmoja alimkimbilia na akapiga magoti mbele yake, akamwuliza, “Mwalimu Mwema, nifanye nini ili niweze kurithi uzima ya milele?” (aiōnios )
Když se zase vydali na cestu, dohonil je nějaký muž a padl před Ježíšem na kolena: „Dobrý učiteli, co mám dělat, abych získal věčný život?“ (aiōnios )
18 Na Yesu akasema, “Kwa nini unaniita mwema? Hakuna aliye mwema, isipokuwa Mungu peke yake.
„Proč mi říkáš dobrý? Vždyť dobrý je jen Bůh, “odvětil Ježíš.
19 Unazijua amri: 'Usiue, usizini, usiibe, usishuhudie uongo, usidanganye, mheshimu baba na mama yako'.”
„A k tvé otázce – přikázání přece znáš: nebudeš zabíjet, cizoložit, krást, lhát, podvádět, budeš si vážit svých rodičů.“
20 Mtu yule akasema, “Mwalimu, haya yote nimeyatii tangu nikiwa kijana.”
„Mistře, všechno jsem dodržoval od mládí.“
21 Yesu alimwangalia na kumpenda. Akawambia, “Unapungukiwa kitu kimoja. Unapaswa kuuza vyote ulivyo navyo na uwape masikini, na utakuwa na hazina mbinguni. Ndipo uje unifuate.”
Ježíš ho objal pohledem: „A přece ti něco schází. Jdi a prodej všechno, co máš, peníze rozdej chudým a získáš tak poklad v nebi. Potom se vrať a staň se mým následovníkem.“
22 Lakini alikata tamaa kwa sababu ya maelezo haya; aliondoka akiwa mwenye huzuni, kwa kuwa alikuwa na mali nyingi.
Když to ten člověk vyslechl, zesmutněl a odešel s těžkým srdcem. Byl totiž velmi bohatý.
23 Yesu akatazama pande zote na kuwaambia wanafunzi wake, “Ni jinsi gani ilivyo vigumu kwa tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu!
Ježíš ho mlčky sledoval očima a pak se otočil k učedníkům: „Jak těžké je pro boháče vejít do Božího království!“
24 Wanafunzi walishangazwa kwa maneno haya. Lakini Yesu akawaambia tena, “Watoto, ni jinsi gani ilivyo vigumu kuingia katika ufalme wa Mungu!
To je zarazilo. Není snad majetek důkazem Boží přízně? „Přátelé, do Božího království se těžko dostanou ti, pro které jsou peníze a majetek smyslem života.
25 Ni rahisi kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano, kuliko mtu tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.”
Snáze projde velbloud tou uzoučkou brankou, které říkáte jehelné ucho, než bohatý vejde do Božího království.“
26 Walishangazwa sana na wakasemezana, “Hivyo nani ataokoka”
To jim dodalo. „Má vůbec někdo naději, že se tam dostane?“říkali si mezi sebou.
27 Yesu akawaangalia na kusema, “Kwa binadamu haiwezekani, lakini sio kwa Mungu. Kwa kuwa katika Mungu yote yanawezekana.”
Podíval se na ně. „Člověk na to nestačí, ale Bůh je všemocný.“
28 “Petro akaanza kuzungumza naye, “Angalia tumeacha vyote na tumekufuata.”
Tu promluvil Petr: „Ale my jsme se všeho vzdali a šli za tebou.“
29 Yesu akasema, “Ukweli nawaambia ninyi, hakuna aliyeacha nyumba, au kaka, au dada, au mama, au baba, au watoto, au ardhi, kwa ajili yangu, na kwa ajili ya Injili,
„Ujišťuji vás, “odpověděl Ježíš, „že každému, kdo se z lásky ke mně a pro šíření evangelia něčeho vzdá – ať už domova, života se sourozenci, rodiči, manželkou a dětmi, nebo majetku,
30 ambaye hatapokea mara mia zaidi ya sasa hapa duniani: nyumba, kaka, dada, mama, watoto, na ardhi, kwa mateso, na ulimwengu ujao, uzima wa milele. (aiōn , aiōnios )
se to vrátí stonásobně už zde na zemi (i když neujde pronásledování) a v budoucnosti ho čeká věčný život. (aiōn , aiōnios )
31 Lakini wengi walio wa kwanza watakuwa wa mwisho na walio wa mwisho watakuwa wa kwanza.”
Mnozí, kteří u lidí něco znamenají, budou poslední, a těm nejpohrdanějším se tam dostane čestných míst.“
32 Walipokuwa njiani, kwenda Yerusalemu, Yesu alikuwa amewatangulia mbele yao. Wanafunzi walishangaa, na wale waliokuwa wanafuata nyuma waliogopa. Ndipo Yesu akawatoa pembeni tena wale kumi na wawili na akaanza kuwaambia ambacho kitamtokea hivi karibuni:
Když potom byli na cestě do Jeruzaléma, Ježíš šel vpředu a ostatní se drželi za ním. Co jim Ježíš řekl, to je znepokojilo a naplnilo obavami. Zavolal k sobě svých dvanáct učedníků a znovu je připravoval na to, co ho čeká:
33 “Tazama, tunakwenda mpaka Yerusalemu, na Mwana wa Adamu atafikishwa kwa makuhani wakuu na waandishi. Watamhukumu afe na watamtoa kwa watu wa Mataifa.
„Musíme do Jeruzaléma a tam Syn člověka padne do rukou velekněží a učitelů zákona a ti ho odsoudí a vydají pohanům.
34 Watamdhihaki, watamtemea mate, watampiga fimbo, na watamwua. Lakini baada ya siku tatu atafufuka.”
Budou se mu veřejně vysmívat, plivat na něj, zbičují a zabijí ho. Ale třetí den vstane z mrtvých.“
35 Yakobo na Yohana, wana wa Zebedayo, walikuja kwake na kusema, “Mwalimu, tunakuhitaji utufanyie chochote tukuombacho.”
Přihlásili se Zebedeovi synové Jakub a Jan: „Mistře, chtěli bychom tě o něco poprosit.“
36 Aliwaambia, “Mnataka niwatendee nini?”
„Co si ode mne přejete?“vzhlédl Ježíš.
37 Wakasema, “Turuhusu tukae nawe katika utukufu wako, mmoja katika mkono wako wa kuume na mwingine mkono wako wa kushoto.”
„Až usedneš na trůn, chtěli bychom ti sedět nejblíže se všech, každý z jedné strany vedle tebe.“
38 Lakini Yesu aliwajibu, “Hamjui mnachoomba. Mnaweza kukinywea kikombe ambacho nitakiywea au kustahimili ubatizo ambao nitabatizwa?”
„Nevíte, oč prosíte. Můžete pít z kalicha hořkosti, ze kterého musím pít já, a projít křtem utrpení, který mě čeká?“
39 Wakamwambia, “Tunaweza” Yesu akawaambia, “Kikombe nitakachokinywea, mtakinywea. Na ubatizo ambao kwao nimebatizwa, mtaustahimili.
„Ale jistě, “přisvědčili. „Dobře, budete pít z mého kalicha a budete pokřtěni stejným křtem.
40 Lakini atakayekaa mkono wangu wa kuume au mkono wangu wa kushoto sio mimi wa kutoa, lakini ni kwa wale ambao kwao imekwisha andaliwa.”
Ale není mou věcí určovat vám pořadí v Božím království. To už je stanoveno.“
41 Wale wanafunzi wengine kumi waliposikia haya, wakaanza kuwakasirikia Yakobo na Yohana.
Ostatních deset se zlobilo na Jakuba a Jana.
42 Yesu akawaita kwake na kusema, “Mnajua kuwa wale wanaodhaniwa kuwa watawala wa watu wa Mataifa huwatawala, na watu wao mashuhuri huwaonyesha mamlaka juu yao.”
Ale Ježíš je svolal dohromady a řekl jim: „Víte, že vládcové mají moc nad národy, a kdo vládne, obvykle druhé utlačuje.
43 Lakini haipaswi kuwa hivi kati yenu. Yeyote atakaye kuwa mkubwa kati yenu lazima awatumikie,
Ale mezi vámi to tak být nemá. Naopak, kdo z vás chce být velký, ať všem pokorně slouží.
44 na yeyote atakaye kuwa wa kwanza kati yenu ni lazima awe mtumwa wa wote.
A kdo z vás chce být na předním místě, ať je pomocníkem všech.
45 Kwa kuwa Mwana wa Adamu hakuja kutumikiwa bali kutumika, na kuyatoa maisha yake kuwa fidia kwa wengi.”
Vždyť já – Syn člověka – jsem nepřišel na svět proto, aby mi ostatní sloužili, ale abych já sloužil jim a abych položil život pro záchranu mnoha lidí.“
46 Wakaja Yeriko. Alipokuwa akiondoka Yeriko na wanafunzi wake na kundi kubwa, mwana wa Timayo, Batimayo, kipofu mwombaji, alikaa kando ya barabara.
Procházeli také Jerichem, kde se k nim přidal velký zástup. U cesty seděl slepý žebrák Bartimeus – Timeův syn.
47 Aliposikia kuwa ni Yesu Mnazareti, alianza kupiga kelele na kusema, “Yesu, Mwana wa Daudi, nihurumie!”
Když uslyšel, že to jde Ježíš Nazaretský, křičel: „Ježíši z rodu krále Davida, slituj se nade mnou!“
48 Wengi walimkemea yule kipofu, wakimwambia anyamaze. Lakini alilia kwa sauti zaidi, “Mwana wa Daudi, nihurumie!”
Lidé mu domlouvali, aby mlčel. Ale on volal tím hlasitěji: „Synu Davidův, slituj se nade mnou!“
49 Yesu alisimama na kuamuru aitwe. Walimwita yule kipofu, wakisema, “Kuwa shujaa! Inuka! Yesu anakuita.”
Ježíš ho uslyšel, zastavil se a přikázal, aby slepce zavolali. Vrátili se tedy k Bartimeovi se vzkazem: „Máš štěstí, Ježíš tě volá – vstaň!“
50 Akalitupa pembeni koti lake, akakimbia zaidi, na kuja kwa Yesu.
Slepec odhodil svůj starý kabát, vyskočil a klopýtal k Ježíšovi.
51 Yesu akamjibu na kusema, “Unataka nikufanyie nini?” Yule mwanaume kipofu akamjibu, “Mwalimu, ninataka kuona.”
„Co pro tebe mohu udělat?“dotkl se ho Ježíš. „Mistře, chci vidět!“
52 Yesu akamwambia, “Nenda. Imani yako imekuponya.” Hapo hapo macho yake yakaona; na akamfuata Yesu barabarani.
„Staň se, tvá víra tě zachránila.“V té chvíli se slepci vrátil zrak a on se vydal také za Ježíšem.