< Malaki 1 >

1 Tamko la neno la Bwana kwa Israeki kwa mkono wa Malaki.
The burden of a word of YHWH to Israel by the hand of Malachi:
2 “Nilikupenda, “asema Bwana. Lakini unasema, “kwa jinsi gani ulitupenda?” Esau siyo ndugu yake Yakobo?” asema Bwana. “Na bado nampenda Yakobo,
“I have loved you, said YHWH, And you have said, In what have You loved us?
3 lakini nimemchukia Esau. nimeifanya milima yake kuwa ukiwa, na nimepafanya urithi wake kuwa makao ya mbweha wa jangwani.”
Is not Esau Jacob’s brother?” A declaration of YHWH, “And I love Jacob, and Esau I have hated, And I make his mountains a desolation, And his inheritance for dragons of a wilderness.
4 Kama Edomu husema, “Tumepigwa, lakini tutarudi na kujenga palipoharibiwa; “Bwana wa Majeshi asama hivi, “Watajenga lakini nitaiangusha chini; na wanaume watawaita 'Nchi ya uovu', na 'Watu ambao ambao Mungu ana hasira nao milele.”'
Because Edom says, We have been made poor, And we return and we build the ruins, Thus said YHWH of Hosts: They build, and I destroy, And [men] have called to them, O region of wickedness, O people whom YHWH defied for all time.
5 kwa macho yenu mtaona hili, na mtasema, “Bwana ni mkuu mbele ya mipaka ya Israel.”
And your eyes see, and you say, YHWH is magnified beyond the border of Israel,
6 mtoto amtiibaba yake, na mtumwa amtii bwana wake. ikiwa mimi, ni baba, iko wapi heshima yangu? na kama mimi ni bwana, iko wapi heshima yangu? Bwana wa majeshi asema hivi kwenu, makuhani, mnaodharau jina langu. lakini mnasema, 'tumeridharauje jina lako?
A son honors a father, and a servant his master. And if I [am] a father, where [is] My glory? And if I [am] a master, where [is] My fear? Said YHWH of Hosts to you, O priests, despising My Name! And you have said, In what have we despised Your Name?
7 kwa kutoa mikate iliyonajisi madhabahuni kwangu. Na mnasema kuwa, 'Tumekuradhau kwa namna gani?' Kwa kusema hivyomeza ya Bwana imedharauliwa.
You are bringing defiled bread near on My altar, And you have said, In what have we defiled You? In your saying, The table of YHWH—it [is] despicable,
8 Mkitoa sadaka ya wanyama vipofu, hiyo siyo dhambi? na kama mkitoa vilema na wagonjwa, hiyo siyo dhambi? pelekeni hili kwa liwali; atawakubali au atainua nyuso zetu?” asema Bwana wa Majeshi.
And when you bring the blind near for sacrifice, [saying], There is no evil, And when you bring the lame and sick near, [saying], There is no evil; Now bring it near to your governor—Does he accept you? Or does he lift up your face?” said YHWH of Hosts.
9 Na sasa, mnajaribu kutafuta neema ya Mungu, ili kwamba awe mwema kwetu. “Na aina gani ya sadaka kwa sehemu yenu, ataziinua nyuso zenu? asema Bwana wa Majeshi.
“And now, please appease the face of God, And He favors us; This has been from your own hand, Does He accept your faces?” said YHWH of Hosts.
10 Kama kungekuwa na mtu ambaye angefunga lango la Hekalu, ili kwamba kusewe na mto madhabahuni bure! lakini sina radhi na ninyi, “asema Bwana wa majeshi, “na sitaikubali sadaka yeyote kutoka katika mikono yenu.
“Who [is] even among you, And he shuts the double doors? Indeed, you do not kindle My altar for nothing, I have no pleasure in you,” said YHWH of Hosts, “And I do not accept a present of your hand.
11 Kutoka mawio ya jua mpaka machweo jina langu litakuwa kuu katikati ya mataifa; katika kila sehemu uvumba utatolewa katika jina langu, na pia sadaka safi. Kwa sababu jina langu likuwa kuu sana katikatik ya mataif,” asema Bwana wa majeshi.
For from the rising of the sun to its going in, Great [is] My Name among nations, And in every place incense is brought near for My Name, and a pure present, For great [is] My Name among nations,” said YHWH of Hosts.
12 “lakini ninyi mnachafua mnaposema meza ya Bwana mnainajisi, na matunda yake, na chakula chake kudharauka.
“And you are defiling it in your saying, The table of YHWH—it is defiled, As for its fruit—its food is despicable.
13 Na ninyi pia mwasema, 'jambo hili limetuchosha, nanyi mnalidharau, “asema Bwana wa majeshi. “Mmerudisha kilichokuwa kimechukuliwa na wanyama wa mwitu au vilema au walio wagonjwa; na ndicho mnaleta kuwa sadaka zenu! Je naweza kuikubali hii mikononi mwenu?” asema Bwana.
And you have said, Behold, what a weariness, And you have puffed at it,” said YHWH of Hosts, “And you have brought in plunder, And the lame and the sick, And you have brought in the present! Do I accept it from your hand?” said YHWH.
14 Alaniwe alye mdanganyifu, ambaye anaye mnyama dume katika kundi lake ana akaahidi kunitolea, lakini bado anatoa kwangu, mimi Bwana, ambayo ni kiujanja ujanja; kwa kuwa mimi ni mfalme mkuu,” asema Bwana wa Majeshi, “na jina langu litaogopwa katika mataifa.”
“And a deceiver [is] cursed, who has in his drove a male, And is vowing, and is sacrificing a marred thing to the Lord, For I [am] a great King,” said YHWH of Hosts, “And My Name [is] revered among nations!”

< Malaki 1 >