< Malaki 2 >

1 Sasa, ninyi makuhani, amri hii ni kwa ajili yenu.
Hina Gode Bagadedafa da gobele salasu dunu ilima amane sia: sa, “Amo hamoma: ne sia: Na da dilima sia: sa.
2 Kama hamtasikiliza, na kama hamtalichukua hili mioyoni mwenu na kunipa utukufu kwa jina langu, “asema Bwana wa Majeshi, Kisha nitatuma laana kwenu, na nitalaani baraka zenu. Kiukweli, nilishawalaani tayari, kwa sababu hujaweka sheria zangu moyoni.
Dilia hou ida: iwane hamoma. Amasea, dilia da amoga nodosudafa Nama olelemu. Be dilia Na sia: hame nabasea, Na da dilima gagabusu aligima: ne ilegemu. Wali, dunu eno da dilia hawa: hamomusa: gini, ha: i manu amola muni dilima iaha. Be dilia da Na sia: hame nabasea, Na da amo fidisu dilia mae lama: ne, gagabusu aligima: ne ilegemu. Dafawane! Na da amoga gagabusu aligima: ne ilegei dagoi. Bai dilia da Na hamoma: ne sia: i da hamedei liligi agoane dawa: sa.
3 Tazama, nitakikemea kizazi chako, na nitapaka mavi juu ya uso wako, mavi ya dhabihu zenu, na mtachukuliwa pamoja nayo.
Na da dilia mano ilima se imunu. Amola ohe dilia gobele salimusa: gaguli maha, amo ilia iga amo ganodini dilia odagi dudugimu. Amasea, dilia da enoga gaguli asili, iga gagadosu amoga gala: digi dagoi ba: mu.
4 Na mtajua kwamba nimetuma hii sheria kwenu, kwamba agano langu litakuwa ni juu yangu na Lawi,” asema Bwana wa Majeshi.
Be Na gousa: su amo Na da gobele salasu fi (amo da Lifai egaga fi) ilima i, amo mae fima: ne, Na da amo hamoma: ne sia: i dilima i, amo dilia da dawa: mu.
5 Agano langu na yeye lilikuwa agano la uhai na amani, na nilimpa vitu hivi kama njia ya kuniheshimu. aliniheshima na alisimama akawa na hofu kwa jina langu.
Na gousa: su amo ganodini, Na da ilima esalusu amola hahawane hou ilima imunu ilegele sia: i. Amola amo hou, ilia da Nama nodoma: ne, Na da ilima i dagoi. Amola, amo esoga, musa: ilia da Nama nodosu amola Naba: le beda:
6 Mafundisho ya kweli yalikuwa kwenye kinywa chake, na uovu haukupatikana kinywani mwake. Alitembea na mimi kwa amani na unyoofu, na aliwarudisha wengi kutoka dhambini.
Ilia da wadela: i hou fisili, moloidafa hou fawane olelesu. Ilia Nama olofoiwane esalu. Ilia moloidafa hou hamoi, be amo baligili, ilia da eno dunu wadela: i hou fisili, moloidafa hou hamoma: ne noga: le fidisu.
7 kwa sababu midomo ya makuhani huhifadhi maarifa, na watu watatafuta maagizo kutoka kwenye kichwa chake, kwa sababu ni mjumbe wa Bwana wa Majeshi.
Gobele salasu dunu ilia hawa: hamosudafa da Gode Ea dafawaneyale dawa: su hou eno dunuma olelema: mu. Dunu amola uda da ilima asili, Na hanai dawa: su ilia dawa: mu da defea. Bai ilia da Hina Gode Bagadedafa, amo Ea sia: sia: na ahoasu dunu esala.
8 lakini umepita mbali na njia ya kweli. Umesababisha wengi kuwa na mashaka ya kutii sheria. umeliharifu agano la Lawi,” asema Bwana wa Majeshi.
Be wali, dilia gobele salasu dunu da sinidigili, moloidafa logo yolesi dagoi. Dilia da giadofale olelebeba: le, dunu bagohame da giadofai dagoi. Dilia da gousa: su amo Na da dilima hamoi, amo wadela: lesi dagoi.
9 Kwa hiyo nimewafanya ninyi nanyi kudharauliwa mbele ya watu, kwa sababu hamkutunza njia zangu, lakini badala yake mnapendelea katika maagizo yenu.
Amaiba: le, Na da ilia dogo ganodini olelebeba: le, Isala: ili dunu da dili higamu. Bai dilia da Na hanai amo defele hame hamosa. Amola dilia da Na fi olelesea, dilia dunu huluane afae afae amoma defele hame fidisa.”
10 Sisi sote hatuna baba mmoja? Siyo Mungu yule mmoja aliyetuumba sote? kwa nini tunafanyiana hila kila mtu na ndugu yake, mnariharibu agano la baba zetu?
Ninia huluanedafa da Ada afadafa fawane esala! Gode afadafa fawane da nini huluanedafa hahamoi dagoi. Amaiba: le, ninia da abuliba: le eno dunuma dafawane hamomu sia: i liligi amo hame hamosala: ? Amola gousa: su amo Gode da ninia aowalali ilima hamoi, abuliba: le higasala: ?
11 Yuda amefanya hila na ameona kinyaa kwa vitu vilivyowekwa katika Israeli na Yerusalem. Yuda amenajisi mahali patakatifu pa Bwana ambapo anapapenda, na ameoa binti wa miungu migeni.
Yuda fi dunu ilia Godema sia: i liligi amo ilia da wadela: lesi dagoi. Ilia da Yelusaleme moilai bai bagade ganodini amola Isala: ili soge huluane amo ganodini, wadela: i hou bagadedafa hamoi dagoi. Hina Gode da Ea Debolo amoma bagade asigisa. Be amo Debolo ilia da wadela: lesi dagoi, amola ledo agoane hamoi dagoi. Dunu da uda amo da ga fi ogogosu ‘gode’ ilima sia: ne gadosa, amo ilia da lai dagoi.
12 Mungu akukatilie mbali kutoka kwenye hema ya Yakobo na uzao wa mtu aliyefanya haya, hata yule anayeleta sadaka kwa Bwana wa Majeshi.
Hina Gode da amo dunu Isala: ili fi amoga fadegamu da defea. Amola agoai dunu ilia da Gode Ea oloda da: iya gobele salabe amoga bu hamedafa gilisima: mu.
13 Na wewe pia fanya hivyo. Unafunika madhabahu ya Bwana kwa machozi, kwa kilio na kuugua, kwa sababu hatakubali sadaka na kuzipokea kutoka mikononi mwako.
Dilia da eno hou amola hamobe. Dilia da Hina Gode Ea oloda da: iya gobele salimusa: liligi gaguli masea, bagade disa amola didiga: sa. Bai dilia iasu E da musa: hahawane lai, be wali E da amo higasa.
14 Lakini wasema, ni kwa sababu gani?” Kwa sababu Bwana amekuwa shahidi kati yako wewe na mke wako wa ujana wako, kinyume chake umekuwa si mwaminifu, ingawa yeye ni mwenzako na mke wa agano lako.
E da abuliba: le dilia gobele salabe amo hahawane hame ba: sala: ? dilia da agoane adole ba: sa. Bai E da dawa: i dagoi. Di da goiga udalai amoga sia: i dagoi, amo sia: di da wadela: lesi dagoi. Di da amo udama madelagi dagoi amola di da Gode ba: ma: ne amo uda hamedafa yolesimu sia: i. Be di da ogogoi dagoi.
15 Je yeye hakuwafanya kuwa mmoja, hata kwa sehemu ya roho yake? Sasa ni kwanini aliwafanya ninyi kuwa mmoja? Kwa sababu alikuwa anategemea kupata watoto wacha Mungu. Kwa hiyo jiepushe mwenyewe ndani ya moyo wako, na asiwepo mtu asiye mwaminifu kwa mke wa ujana wake.
Gode da di amola dia uda amo da: i afadafa amola a: silibu afadafa hamoi dagoi. E da abuliba: le, agoane hamobela: ? Bai alia da mano lalelegesea, ilia da Gode Ea fidafa amo ganodini esalumu. Amaiba: le, dilia uda ilima ilegele sia: sia: i liligi maedafa gua: ma.
16 “Nakuchukia kuachana,” asema Bwana, Mungu wa Israel, “afunikizaye nguo yake kwa udhalimu,” asema Bwana wa Majeshi. “Kwa hiyo jilinde ewe mwenyewe ndani ya roho yako na usiwe mtu asiye mwaminifu.”
Isala: ili Hina Gode da amane sia: sa, “Na da uda fisiagasu hou amola dunu fisiagasu hou higasa. Dilia afae da dia uda amoma agoai dodona: gi hou hamosea, Na da bagadewane higasa. Dilia sia: sia: i liligi amo da dia uda di da hamedafa fisiagamu, amo sia: maedafa gua: ma.”
17 Mmechosha Bwana na maneno. Lakini mwasema, “Tumekuchoshaje?” Kwa kusema Kila mmoja aliyefanya uovu ni mzuri kwa upande wa Bwana, na anafuraha nao;” au “Yuko wapi Mungu wa Haki?”
Dilia da bagade sia: beba: le, Hina Gode da nabala helesa. Be dilia da amane adole ba: sa, “Ninia habodane Hina Gode helema: ne hamosala: ?” Dilia da Gode helema: ne agoane hamosa. Dilia da ogogole agoane sia: sa, “Hina Gode Bagadedafa da wadela: i hamosu dunuma hahawane bagade dawa: sa. E da ilima bagadewane asigisa.” O dilia da agoane adole ba: sa, “Dunu da Gode Ea fofada: su hou da moloidafa sia: sa. Be amo Gode da habila: ?”

< Malaki 2 >