< Malaki 1 >

1 Tamko la neno la Bwana kwa Israeki kwa mkono wa Malaki.
Ti pannakaipablaak ti sao ni Yahweh para iti Israel babaen kenni Malakias.
2 “Nilikupenda, “asema Bwana. Lakini unasema, “kwa jinsi gani ulitupenda?” Esau siyo ndugu yake Yakobo?” asema Bwana. “Na bado nampenda Yakobo,
“Inayatkayo,” kuna ni Yahweh. Ngem kunayo, “Kasanonakami nga inayat?” “Saan kadi a kabsat ni Jacob ni Esau?” kuna ni Yahweh.
3 lakini nimemchukia Esau. nimeifanya milima yake kuwa ukiwa, na nimepafanya urithi wake kuwa makao ya mbweha wa jangwani.”
“Ngem inayatko ni Jacob, idinto a ginurak ni Esau. Pinagbalinko a langalang dagiti bantayna, ket pinagbalinko ti tawidna a lugar dagiti atap nga aso ti let-ang.”
4 Kama Edomu husema, “Tumepigwa, lakini tutarudi na kujenga palipoharibiwa; “Bwana wa Majeshi asama hivi, “Watajenga lakini nitaiangusha chini; na wanaume watawaita 'Nchi ya uovu', na 'Watu ambao ambao Mungu ana hasira nao milele.”'
No kuna ti Edom, “Naabaktayo, ngem agsublitayo ket bangonentayo dagiti nadadael;” Kuna ni Yahweh a Mannakabalin amin, “Ibangondanto, ngem duprakekto; ket panagananto ida dagiti lallaki a 'Ti pagilian iti kinadangkes; ken 'Dagiti tattao a kaunget ni Yahweh iti agnanayon.''
5 kwa macho yenu mtaona hili, na mtasema, “Bwana ni mkuu mbele ya mipaka ya Israel.”
Maimatanganto daytoy dagiti mismo a matayo, ket kunaenyonto, “Naindaklan ni Yahweh iti labes dagiti beddeng ti Israel.”
6 mtoto amtiibaba yake, na mtumwa amtii bwana wake. ikiwa mimi, ni baba, iko wapi heshima yangu? na kama mimi ni bwana, iko wapi heshima yangu? Bwana wa majeshi asema hivi kwenu, makuhani, mnaodharau jina langu. lakini mnasema, 'tumeridharauje jina lako?
Raemen ti anak ti amana, ken raemen ti adipen ti amona. Ngarud, no maysaak nga ama, ayanna ti dayawko? Ken no maysaak nga amo, ayanna ti panagraem nga agpaay kaniak. Kasasaonakayo ni Yahweh a Mannakabalin amin, dakayo a papadi, a nangum-umsi iti naganko. Ngem kunaenyo, 'Kasanomi koma nga inumsi ti naganmo?'
7 kwa kutoa mikate iliyonajisi madhabahuni kwangu. Na mnasema kuwa, 'Tumekuradhau kwa namna gani?' Kwa kusema hivyomeza ya Bwana imedharauliwa.
Babaen iti panangidatonyo iti narugit a tinapay iti rabaw ti altarko. Ket kunaenyo, 'Kasano koma a rinugitandaka?' Iti panangibagayo iti dayta nalabit a naumsi ti lamisaan ni Yahweh.
8 Mkitoa sadaka ya wanyama vipofu, hiyo siyo dhambi? na kama mkitoa vilema na wagonjwa, hiyo siyo dhambi? pelekeni hili kwa liwali; atawakubali au atainua nyuso zetu?” asema Bwana wa Majeshi.
No mangisagutkayo kadagiti bulsek nga ayup a maidaton, saan kadi a dakes dayta? Ken no mangidatonkayo iti pilay ken masakit, saan kadi a dakes dayta? Isagutyo dayta iti gobernadoryo; awatennakayo ngata wenno pakitaannakayo ngata iti pabor?” kuna ni Yahweh a Mannakabalin amin.
9 Na sasa, mnajaribu kutafuta neema ya Mungu, ili kwamba awe mwema kwetu. “Na aina gani ya sadaka kwa sehemu yenu, ataziinua nyuso zenu? asema Bwana wa Majeshi.
Ket ita, agkiddawkayo iti pabor ti Dios, tapno paraburannatayokoma. “Babaen iti bukbukodyo a daton, awatenna ngata a siaayat ti siasinoman kadakayo?” kuna ni Yahweh a mannakabalin amin.
10 Kama kungekuwa na mtu ambaye angefunga lango la Hekalu, ili kwamba kusewe na mto madhabahuni bure! lakini sina radhi na ninyi, “asema Bwana wa majeshi, “na sitaikubali sadaka yeyote kutoka katika mikono yenu.
“O, no adda la koma maysa kadakayo a mabalin a mangrikep kadagiti ruangan ti templo, tapno saan koma a masayang ti panangarunyo iti rabaw ti altarko! Saanak a maay-ayo kadakayo,” kuna ni Yahweh a Mannakabalin amin, “ken saankonto nga awaten ti aniaman a daton manipud kadakayo.
11 Kutoka mawio ya jua mpaka machweo jina langu litakuwa kuu katikati ya mataifa; katika kila sehemu uvumba utatolewa katika jina langu, na pia sadaka safi. Kwa sababu jina langu likuwa kuu sana katikatik ya mataif,” asema Bwana wa majeshi.
Ta manipud iti panagsingising ti init agingga a lumnek daytoy, maitan-okto ti naganko kadagiti nasion; iti tunggal disso, maidatonto dagiti insenso iti naganko, kasta met ti nadalus a daton. Ta agbalinto a naindaklan ti naganko kadagiti nasion,” kuna ni Yahweh a Mannakabalin amin.
12 “lakini ninyi mnachafua mnaposema meza ya Bwana mnainajisi, na matunda yake, na chakula chake kudharauka.
Ngem saanyo a raraemen daytoy no ibagayo a narugitan ti lamisaan ti Apo, dagiti bunga ken taraon daytoy ket maumsi.
13 Na ninyi pia mwasema, 'jambo hili limetuchosha, nanyi mnalidharau, “asema Bwana wa majeshi. “Mmerudisha kilichokuwa kimechukuliwa na wanyama wa mwitu au vilema au walio wagonjwa; na ndicho mnaleta kuwa sadaka zenu! Je naweza kuikubali hii mikononi mwenu?” asema Bwana.
Ibagbagayo pay, 'Makabannog unay daytoyen,' ken siuumsiyo nga ibang-es daytoy,” kuna ni Yahweh a Mannakabalin amin. “Inyegyo ti nakimmeg dagiti atap nga ayup wenno pilay wenno masakit; ket inyegyo daytoy a kas datonyo! Rumbeng kadi nga awatek daytoy manipud kadakayo?” kuna ni Yahweh.
14 Alaniwe alye mdanganyifu, ambaye anaye mnyama dume katika kundi lake ana akaahidi kunitolea, lakini bado anatoa kwangu, mimi Bwana, ambayo ni kiujanja ujanja; kwa kuwa mimi ni mfalme mkuu,” asema Bwana wa Majeshi, “na jina langu litaogopwa katika mataifa.”
“Mailunod koma dagiti manangallilaw nga addaan iti kalakian nga ayup iti arbanna ken agsapsapata nga itedna daytoy kaniak, ngem nangidaton kaniak, nga Apo, iti adda pakapilawanna; ta Siak ti naindaklan nga Ari,” kuna ni Yahweh a Mannakabalin amin, “ken pagbutbutngan ti naganko kadagiti nasion.”

< Malaki 1 >