< Luka 1 >

1 Wengi wamejitahidi kuweka katika mpangilio simulizi kuhusu masuala ambayo yametimizwa kati yetu,
Mamih taengah aka soep tangtae hno kah cilol te muep a thuep tih boelrhai vaengah,
2 kama walivyotupatia sisi, ambao tangu mwanzo ni mashahidi wa macho na watumishi wa ujumbe.
oltak kah tueihyoeih la aka om rhoek neh a tongcuek lamloh loh aka hmu rhep rhoek loh mamih taengah m'paek uh vanbangla,
3 Hivyo nami pia, baada ya kuchuguza kwa uangalifu chanzo cha mambo haya yote tokea mwanzo - nimeona ni vema kwangu pia kukuandikia katika mpangilio wake - mheshimiwa sana Theofilo.
kai khaw khaeh khaeh boeih ka thuep koep tih hlangcong Theophilu nang taengah daek ham tluep ka poek.
4 Ili kwamba uweze kujua ukweli wa mambo uliyofundishwa.
Te daengah ni hiluepnah ol loh n'thuituen te khaw na ming eh.
5 Katika siku za Herode, mfalme wa Yudea, palikuwa na kuhani fulani aliyeitwa Zekaria, wa ukoo wa Abiya. Mke wake alitoka kwa binti za Haruni, na jina lake aliitwa Elizabeti.
Judea manghai Herod tue vaeng ah, Abijah rhoihui khosoih pakhat, a ming ah Zekhariah te om tih Elizabeth aka ming nah Aaron canu te a yuu nah.
6 Wote walikuwa wenye haki mbele za Mungu; walitembea bila lawama katika amri zote na maagizo ya Bwana.
Pathen hmaiah a dueng la bok om rhoi. Boeipa kah rhilam neh olpaek cungkuem dongah cuemthuek la pongpa rhoi.
7 Lakini hawakuwa na mtoto, kwasababu Elizabethi alikuwa tasa, na kwa wakati huu wote wawili walikuwa wazee sana.
Tedae Elizabeth tah cakol la om tih camoe a om kolla a kum khaw patong la bok om rhoi coeng.
8 Sasa ilitokea kwamba Zakaria alikuwa katika uwepo wa Mungu, akiendelea na wajibu wa kikuhani katika utaratibu wa zamu yake.
Pathen hmaiah a khosoih vaengkah bangla anih rhoihui te aitlaeng loh a pha.
9 Kulingana na desturi ya kuchagua ni kuhani yupi atakayehudumu, alikuwa amechaguliwa kwa kura kuingia katika hekalu la Bwana na hivyo angefukiza uvumba.
Khosoih kah khosing bangla, Boeipa kah bawkim khuiah kun tih hmueihphum ham a yo.
10 Kundi lote la watu lilikuwa likiomba nje wakati wa kufukizwa kwa ufumba.
Bo-ul tue vaengah pilnam khuikah aka om rhaengpuei boeih khaw poeng ah thangthui uh.
11 Sasa malaika wa Bwana alimtokea na kasimama upande wa kulia wa madhabahu ya kufukizia.
Te vaengah Boeipa kah puencawn tah a taengah a phoe pah tih bo-ul hmueihtuk kah bantang ah pai.
12 Zakaria alitishika alipomuona; hofu ikamwangukia.
Zekhariah loh a thuen doela a sawt dongah rhihnah loh anih a tlak thil.
13 Lakini malaika akamwambia, “Usiogope Zakaria, kwasababu maombi yako yamesikika. Mke wako Elizabeth atakuzalia mwana. Jina lake utamwita Yohana.
Tedae anih te puencawn pakhat loh, “Zekhariah rhih boeh, nang kah rhenbihnah te a hnatun coeng dongah na yuu Elizabeth loh nang ham capa pakhat han cun vetih, a ming te Johan la na khue ni.
14 Utakuwa na furaha na uchangamfu, na wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.
Nang ham omngaihnah neh kohoenah la om vetih anih kah rhuirhong dongah boeih omngaih uh ni.
15 Kwa kuwa atakuwa mkuu mbele ya macho ya Bwana. Hatakunywa divai au kinywaji kikali, na atakuwa amejazwa na Roho Mtakatifu tangu tumboni mwa mama yake.
Boeipa hmaiah a len la om vetih, misurtui neh yu te o loengloeng mahpawh. A manu bung khuiah a om vaengah Mueihla Cim neh baetawt ni.
16 Na watu wengi wa Israel watageuzwa kwa Bwana Mungu wao.
Israel ca rhoek te a Boeipa Pathen taengla muep a mael puei ni.
17 Atakwenda mbele za uso wa Bwana katika roho na nguvu ya Eliya. Atafanya hivi ili kurejesha mioyo ya baba kwa watoto, ili kwamba wasiotii wataenenda katika hekima ya wenye haki. Atafanya hivi kuweka tayari kwa Bwana watu ambao wameandaliwa kwa ajili yake.”
Anih tah a hmaiah Elijah kah mueihla neh thaomnah dongah lamhma ni. Pa rhoek kah thinko te ca rhoek taengla, lokhak rhoek te aka dueng lungcueinah dongla mael ni. Rhoekbah tangtae pilnam tah Boeipa ham a hmoel ni,” a ti nah.
18 Zakaria akamwambia malaika, “Nitawezaje kujua hili? Kwasababu mimi ni mzee na mke wangu miaka yake imekuwa mingi sana.”
Te phoeiah Zekhariah loh puencawn taengah, “Hekah he Ba nen lae ka ming eh? Kai tah patong la ka om coeng tih ka yuu khaw a kum te ham coeng,” a ti nah.
19 Malaika akajibu na kumwambia, “Mimi ni Gabrieli, ambaye husimama mbele za Mungu. Nilitumwa kukwambia, kukuletea habari hii njema.
Te dongah puencawn loh anih te a doo tih, “Kai tah Pathen hmaiah aka pai Gabriel ni, nang taengah he rhoek he phong ham neh thui ham n'tueih.
20 Na tazama, hutaongea, utakuwa kimya, hutaweza kuongea mpaka siku ile mambo haya yatakapotokea. Hii ni kwasababu ulishindwa kuamini maneno yangu ambayo yatatimizwa kwa wakati mwafaka.”
Tedae kai ol te na tangnah pawt dongah he he a soep nah khohnin duela olmueh la na om vetih na cal thai mahpawh ne. Amah tue ah ka ol te soep bit ni,” a ti nah.
21 Sasa watu walikuwa wakimsubiri Zakaria. Walishangazwa kwamba alikuwa anatumia muda mwingi hekaluni.
Te vaengah Zekhariah te aka lamso pilnam a om dongah bawkim khuiah a di te a ngaihmang uh.
22 Lakini alipotoka nje, hakuweza kuongea nao. Wakatambua kwamba alikuwa amepata maono alipokuwa hekaluni. Aliendelea kuonesha ishara na alibaki kimya.
Ha thoeng vaengah tah amih te voek thai voel pawh. Te dongah bawkim khuiah a mangthui a hmuh coeng tila a ming uh. Te dongah Zekhriah loh amih taengah a lu a thuk tih olmueh la phat om.
23 Ikatokea kwamba siku za huduma yake zilipokwisha aliondoka kurudi nyumbani kwake.
Amah kah thothueng khohnin te a cup la a om phoeiah tah amah im la cet.
24 Baada ya Zakaria kurudi nyumbani kutoka kwenye huduma yake hekaluni, mke wake akawa mjamzito. Naye hakutoka nyumbani mwake kwa muda wa miezi mitano. Akasema,
Te khohnin phoeiah a yuu Elizabeth te vawn tih amah khaw hla nga thuh uh.
25 “Hili ndilo amabalo Bwana amefanya kwangu aliponitazama kwa upendeleo ili kuiondoa aibu yangu mbele za watu.”
“Boeipa loh kai ham hnin at neh a saii tangloeng coeng, te nen ni hlang lakliah kai dogkah hnaelnah te khoe hamla n'hip,” a ti.
26 Sasa, katika mwezi wa sita wa mimba ya Elizabeti, Mungu alimwambia malaika Gabrieli kwenda kwenye mji wa Galilaya uitwao Nazareti,
Hla rhuk dongah Pathen taeng lamkah puencawn Gabriel te Galilee khopuei, a ming ah Nazareth la a tueih.
27 kwa bikra aliyekuwa ameposwa na mwanaume ambaye jina lake lilikuwa Yusufu. Yeye alikuwa wa ukoo wa Daudi, na jina la bikra huyo lilikuwa Mariamu.
David imkhui kah hlang pakhat, a ming ah Joseph ham te oila a bae pah. Oila ming tah Mary ni.
28 Akaja kwake na akasema, “Salaam, wewe uliyepokea neema kuu! Bwana amependezwa nawe.”
Te phoeiah huta taengla kun tih, “A lungvat tangtae aw, omngaih lah, Boeipa tah nang taengah om pai,” a ti nah.
29 Lakini maneno ya malaika yalimchanganya na hakuelewa kwa nini malaika alisema salaam hii ya ajabu kwake.
Tedae Mary te tekah olka dongah konglong ngaihit la om tih te toidalnah loh metla a om eh tila a poek.
30 Malaika akamwambia, “Usiogope, Mariamu, maana umepata neema kutoka kwa Mungu.
Puencawn loh anih te, “Mary rhih boeh, Pathen taengkah lungvatnah na dang coeng te.
31 Na tazama, utabeba mimba katika tumbo lako na utazaa mwana. Nawe utamwita jina lake 'Yesu.'
Te dongah bungvawn neh na yom tih capa na cun vaengah a ming te Jesuh sui ne.
32 Atakuwa mkuu na ataitwa Mwana wa Aliye Juu Sana. Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake.
Anih tah tanglue la om vetih Khohni capa tila a khue ni. Boeipa Pathen loh anih te a napa David kah ngolkhoel te a paek ni.
33 Atatawala juu ya ukoo wa Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho. (aiōn g165)
Jakob im ah kumhal due manghai pawn ni. A ram te khaw bawt ti om mahpawh,” a ti nah. (aiōn g165)
34 Mariamu akamwambia malaika, hili litatokea kwa namna gani, maana sijawahi kulala na mwanaume yeyote?
Te vaengah Mary loh puencawn taengah, “Hekah he metlam a om eh? tongpa khaw ka ming moenih,” a ti nah.
35 Malaika akajibu na akamwambia, “Roho Mtakatifu atakujia juu yako, na nguvu ya Aliye Juu Sana itakuja juu yako. Kwa hiyo, mtakatifu atakayezaliwa ataitwa Mwana wa Mungu.
Te dongah anih te puencawn loh a doo tih, “Mueihla Cim loh nang n'thoeng thil vetih, Khohni kah thaomnah te nang m'muek sak ni. Te dongah na cun te aka cim Pathen Capa tila a khue bal ni.
36 Na tazama, ndugu yako Elizabeti anaujauzito wa mwana kwenye umri wake wa uzee. Huu ni mwezi wa sita kwake, ambaye alikuwa anaitwa mgumba.
Te phoeiah namah huiko Elizabeth te a patong soiah, camoe a yom van coeng ke. Te dongah cakol la a khue te tahae ah hla rhuk lo coeng.
37 Maana hakuna lisilowezekana kwa Mungu.”
Pathen kah olka boeih long tah a tloel nah moenih,” a ti nah.
38 Mariamu akasema, “Tazama, mimi ni mtumishi wa kike wa Bwana. Acha iwe hivyo kwangu sawa sawa na ujumbe wako.” Kisha malaika akamwacha.
Te dongah Mary loh, “Boeipa kah salnu he, na olka bangla kai taengah om saeh,” a ti nah. Te phoeiah puencawn tah anih taeng lamloh nong.
39 Ndipo katika siku hizo Mariamu aliondoka na kwa haraka alikwenda katika nchi ya vilima, kwenye mji katika nchi ya Yudea.
Mary tah tekah khohnin ah thoo tih tlang kah Judah kho ah thahluenah neh cet.
40 Alikwenda nyumbani mwa Zekaria na akamsalimia Elizabeti.
Zekhariah im khuiah kun tih Elizabeth te a voek.
41 Sasa, ilitokea kwamba Elizabeti aliposikia salamu ya Mariamu, mtoto tumboni mwake akaruka, na Elizabeti akajazwa na Roho Mtakatifu.
Mary kah toidalnah te Elizabeth loh a yaak vaengah a bung khuikah cahni te soipet tih Elizabeth khaw Mueihla Cim neh baetawt.
42 Akapaza sauti yake na kusema kwa sauti kuu, “umebarikiwa wewe zaidi miongoni mwa wanawake, na mtoto aliyemo tumboni mwako amebarikiwa.
Te vaengah tamlung neh pang khungdaeng tih, “Nang tah huta rhoek lakliah na yoethen coeng tih, nang bung kah a thaih te a yoethen coeng.
43 Na imekuwaje kwangu kwamba, mama wa Bwana wangu ilipasa aje kwangu?
Kai aih he metlam nim, ka boeipa kah a manu kai taengla ha pawk tarha he?
44 Kwa kuwa tazama, iliposikika masikoni mwangu sauti ya kusalimia kwako, mtoto tumboni mwangu akaruka kwa furaha.
Nang kah toidalnah ol te ka hna khuiah a kun vaengah tah, ka bung khuikah cahni loh kohoenah neh soipet he.
45 Na amebarikiwe mwanamke yule ambaye aliamini ya kwamba ungetokea ukamilifu wa mambo yale aliyoambiwa kutoka kwa Bwana.”
Te dongah Boeipa loh a thui te hmakhahnah om ni tila aka tangnah tah a yoethen,” a ti nah.
46 Mariamu akasema, nafsi yangu inamsifu Bwana,
Mary long khaw, “Boeipa te ka hinglu loh a oep.
47 na roho yangu imefurahi katika Mungu Mwokozi wangu.
Ka mueihla tah ka khangkung Pathen dongah hlampan coeng.
48 Kwa maana ameiangalia hali ya chini ya mtumishi wake wa kike. Tazama, tangu sasa katika vizazi vyote wataniita mbarikiwa.
A salnu mathoe he a paelki thil coeng dongah tahae lamkah tah cadil boeih loh kai ng'uem uh pawn ni.
49 Kwa maana yeye aliyemweza amefanya mambo makubwa kwangu, na jina lake ni takatifu.
Kai taengah thaom tloe la a saii dongah, a ming tah cim pai saeh.
50 Rehema yake inadumu toka kizazi hata kizazi kwa wale wanao mheshimu yeye.
A rhennah tah amah aka rhih rhoek kah cadil cahma ham ni.
51 Ameonesha nguvu kwa mkono wake; amewatawanya wale ambao walijivuna juu ya mawazo ya mioyo yao.
A ban neh a thaomnah a saii, a thinko kopoek ah buhueng aka pom te a taekyak.
52 Amewashusha chini wana wa wafalme toka katika viti vyao vya enzi na kuwainua juu walio na hali ya chini.
Mangpa rhoek a ngolkhoel lamloh a hlak tih, tlayae rhoek te a pomsang.
53 Aliwashibisha wenye njaa kwa vitu vizuri, bali matajiri amewafukuza mikono mitupu.
Bungpong rhoek te hno then neh a hah sak tih, khuehtawn rhoek a tlongtlai la a tueih.
54 Ametoa msaada kwa Israeli mtumishi wake, ili kukumbuka kuonesha rehema
A rhennah te poek sak hamla a ca Israel te a bom.
55 (kama alivyosema kwa baba zetu) kwa Abrahamu na uzao wake milele.” (aiōn g165)
A pa rhoek taengah a thui bangla, Abraham neh a tiingan taengah kumhal duela a khueh,” a ti. (aiōn g165)
56 Mariamu alikaa na Elizabeti yapata miezi mitatu hivi ndipo akarudi nyumbani kwake.
Mary te Elizabeth neh hla thum tluk hmaih a naeh phoeiah amah im la bal.
57 Sasa wakati ulikuwa umewadia kwa Elizabeti kujifungua mtoto wake na akajifungua mtoto wa kiume.
Elizabeth te a om tue a pha coeng tih capa a cun.
58 Jirani zake na ndugu zake walisikia jinsi Bwana alivyoikuza rehema kwake, na wakafurahi pamoja naye.
Boeipa loh a rhennah te anih taengah a khueh tih, a oep te a huiko neh imben loh a yaak vaengah anih te a omngaih puei uh.
59 Sasa ilitokea siku ya nane kwamnba walikuja kumtahiri mtoto. Ingewapasa kumwita jina lake, “Zekaria,” kwa kuzingatia jina la baba yake,
Khohnin hnin rhet a lo vaengah camoe te yahvinrhet ham cet uh. Te vaengah anih te a napa ming Zekhariah la a khue uh.
60 Lakini mama yake akajibu na kusema, “Hapana; ataitwa Yohana.”
Tedae a manu loh a doo tih, “Moenih, Johan la a khue ni,” a ti nah.
61 Wakamwambia, hakuna hata mmoja katika ndugu zako anayeitwa kwa jina hili.”
Te vaengah anih taengah, “Hekah ming la a khue te na cako khuiah a om pawt ah,” a ti nauh.
62 Wakamfanyia ishara baba yake kuashiria yeye alitaka jina aitwe nani.
Camoe metla khue a ngaih poek tila a napa te a yavaih uh.
63 Baba yake akahitaji kibao cha kuandikia, na akaandika, “Jina lake ni Yohana.” Wote wakashangazwa na hili.
Te vaengah cabael a hoe tih a daek hatah, “A ming tah Johan ni,” a ti tih boeih a ngaihmang uh.
64 Ghafla mdomo wake ukafunguliwa na ulimi wake ukawa huru. Akaongea na kumsifu Mungu.
Te vaengah a hmui, a lai te khaw pahoi a khui pah dongah cal tih Pathen te a uem.
65 Hofu ikawajia wote walioishi karibu nao. Mambo haya yakaenea katika nchi yote ya vilima vya Yudea.
Te vaengah amih tolvael rhoek boeih te rhihnah loh a pai thil. Te dongah hekah olka loh Judah tlang tom te boeih a ngae uh.
66 Na wote walioyasikia wakayatunza mioyoni mwao, wakisema, “Mtoto huyu kuwa wa namna gani?” Kwasababu mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye.
Aka ya boeih loh a thinko khuiah a dueh uh tih, “Hekah camoe he metlam nim a om ve?” a ti uh. Tedae Boeipa kah kut loh anih te a om puei.
67 Baba yake Zekaria alijazwa na Roho Mtakatifu na akatoa unabii, akisema,
A napa Zekhariah tah Mueihla Cim neh baetawt.
68 “Asifiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa sababu amesaidia na alishughulikia wokovu kwa watu wake.
Te dongah a olphong neh, “A pilnam te a hip tih tlannah a saii dongah, Israel Pathen Boeipa tah uemom pai saeh.
69 Ametuinulia pembe ya wokovu katika nyumba ya mtumishi wake Daudi, kutoka miongoi mwa mwa ukoo wa mtumishi wake Daudi,
A taengom David im khuiah mamih ham khangnah ki a thoh sak.
70 kama alivyosema kwa kinywa cha manabii wake waliokuweko katika nyakati za kale. (aiōn g165)
Khosuen lamloh a tonghma ciim rhoek kah ka dongah a thui vanbangla, (aiōn g165)
71 Atatuoka kutoka kwa adui zetu na kutoka mikononi mwa wote wanaotuchukia.
Mamih kah rhal rhoek neh mamih aka hmuhuet rhoek boeih kut lamkah khangnah,
72 Atafanya hivi kuonesha rehema kwa baba zetu, na kukumbuka agano lake takatifu,
a pa rhoek taengah rhennah tueng sak ham neh a paipi ciim te poek sak ham,
73 kiapo alichokisema kwa Abrahamu baba yetu.
a pa Abraham taengah olhlo neh a toemngam te mamih paek ham,
74 Aliapa kuthibitha kwamba ingewezekana kumtumikia Yeye bila hofu, baada ya kuokolewa kutoka katika mikononi ya adui zetu.
amah taengah thothueng hamla rhal kut lamloh hoel n'hlawt coeng.
75 katika utakatifu na haki mbele zake siku zetu zote.
Mamih kah khohnin rhoek boeih te amah hmaiah duengnah neh cimcaihnah ham ni.
76 Ndiyo, na wewe mtoto, utaitwa nabii wa Aliye Juu Sana, kwa kuwa utaenenda mbele za uso wa Bwana ili kumwandalia njia, kuwaandaa watu kwa ajili ya ujio wake,
Te phoeiah, camoe, nang tah Khohni tonghma la n'khue vetih a longpuei rhoekbah ham Boeipa hmaiah na lamhma ni.
77 kuwafahamisha watu wake kwamba, wataokolewa kwa njia ya kusamehewa dhambi zao.
Amih kah tholh khodawkngainah rhangneh a pilnam taengah khangnah mingnah a paek ni.
78 Hili litatokea kwa sababu ya huruma ya Mungu wetu, sababu ambayo jua tokea juu litatujia,
Mamih Pathen kah rhehnah om. Te nen te a sang lamkah khothoeng loh mamih n'hip.
79 kuangaza kwao wakaao gizani na katika uvuli wa mauti. Atafanya hivi kuiongoza miguu yetu kwenye njia ya amani.”
Dueknah mueihlip neh yinnah khuiah aka ngol rhoek ham te a tue vetih, mamih kah kho te ngaimongnah longpuei la hoihaeng ham ni,” a ti.
80 Sasa, yule mtoto akakua na kuwa mwenye nguvu rohoni na alikaa nyikani mpaka siku ya kujitokeza kwake kwa Israeli.
Camoe tah rhoeng tih mueihla ah khaw rhaang. Te dongah Israel taengah a phoenah khohnin duela khosoek ah om.

< Luka 1 >