< Luka 1 >
1 Wengi wamejitahidi kuweka katika mpangilio simulizi kuhusu masuala ambayo yametimizwa kati yetu,
Ka püi Theophiluh aw; ajana thawn khawikia mawng cun, khyang khawjah naw mi ksunga pyena ngthu yu khai hea ana ktha na khawiki he.
2 kama walivyotupatia sisi, ambao tangu mwanzo ni mashahidi wa macho na watumishi wa ujumbe.
Akcüka ana hmu u lü ngthu ana sang khawiki he naw mi veia ami pyen ana yuki he.
3 Hivyo nami pia, baada ya kuchuguza kwa uangalifu chanzo cha mambo haya yote tokea mwanzo - nimeona ni vema kwangu pia kukuandikia katika mpangilio wake - mheshimiwa sana Theofilo.
Acunakyase nang angvai aw, angsinga ka ngaihkyu käna, acuna mawng cun, angsinga na hama yuk üng daw khaia ngaikyu veng.
4 Ili kwamba uweze kujua ukweli wa mambo uliyofundishwa.
Ajana ngthu ami ning mthei he cen ngthungtak ni ti na ksingnak vaia ka yuka kyaki ni.
5 Katika siku za Herode, mfalme wa Yudea, palikuwa na kuhani fulani aliyeitwa Zekaria, wa ukoo wa Abiya. Mke wake alitoka kwa binti za Haruni, na jina lake aliitwa Elizabeti.
Judah khawa sangpuxang Herod a bawi kcün üng, ktaiyü Abijaha khuikyawng üngka ktaiyü mat Zakharih ngming naki awmki; acun naw ktaiyüa khuikyawng üngka a khyunak, a ngming cun Elizabeta kyaki.
6 Wote walikuwa wenye haki mbele za Mungu; walitembea bila lawama katika amri zote na maagizo ya Bwana.
Ani nghngih Pamhnama mik hmuha akdawa xüngseiki xawi, pyen vai am hlü khaia Bawipa ngthupet la, ngthummkhän avan läki xawi.
7 Lakini hawakuwa na mtoto, kwasababu Elizabethi alikuwa tasa, na kwa wakati huu wote wawili walikuwa wazee sana.
Elizabet cingkia kyase am ca ni lü, aktäa xüki xawi.
8 Sasa ilitokea kwamba Zakaria alikuwa katika uwepo wa Mungu, akiendelea na wajibu wa kikuhani katika utaratibu wa zamu yake.
Mhmüp mat üng Zakharih cun ktaiyüa khüih khawia kba Pamhnama Temple k'uma a khüih k'um üng,
9 Kulingana na desturi ya kuchagua ni kuhani yupi atakayehudumu, alikuwa amechaguliwa kwa kura kuingia katika hekalu la Bwana na hivyo angefukiza uvumba.
ktaiyüa thuma Bawipa Temple k'uma lut lü, ng'uinghnam mkhih khaia xüa kyaki.
10 Kundi lote la watu lilikuwa likiomba nje wakati wa kufukizwa kwa ufumba.
Acunüng, ng'uinghnam a mkhih k'um üng khyang he ami van kpunga ktaiyüki he.
11 Sasa malaika wa Bwana alimtokea na kasimama upande wa kulia wa madhabahu ya kufukizia.
Acunüng, Bawipa khankhawngsä mat Zakhariha veia ngdang law lü, ng'uinghnam mkhihnaka kpat lama ngdüi lawki.
12 Zakaria alitishika alipomuona; hofu ikamwangukia.
Zakharih naw khankhawngsä a hmuh üng kyüh lü ngxetki.
13 Lakini malaika akamwambia, “Usiogope Zakaria, kwasababu maombi yako yamesikika. Mke wako Elizabeth atakuzalia mwana. Jina lake utamwita Yohana.
Acunüng, khankhawngsä naw, “Zakharih, ä kyüa, na ktaiyünak ngjak pänga kya ve, acunakyase na khyu Elizabet naw cangpyang mat ca na se, Johana na sui khai.
14 Utakuwa na furaha na uchangamfu, na wengi watakufurahia kuzaliwa kwake.
Nang jekyai lü na hlim khai, khyang khawjah ania hmi lawa phäha jekyai khai he.
15 Kwa kuwa atakuwa mkuu mbele ya macho ya Bwana. Hatakunywa divai au kinywaji kikali, na atakuwa amejazwa na Roho Mtakatifu tangu tumboni mwa mama yake.
Ani cun Bawipa ngaiha kyäp khai, ju naki i am ei aw khai. A nua puk k'um üng tün lü ngcimcaihkia ngmüimkhya am be khai.
16 Na watu wengi wa Israel watageuzwa kwa Bwana Mungu wao.
Acunüng ani naw Isarela ca he khawjah, ami Bawipa Pamhnama veia jah nghlat sak be khai.
17 Atakwenda mbele za uso wa Bwana katika roho na nguvu ya Eliya. Atafanya hivi ili kurejesha mioyo ya baba kwa watoto, ili kwamba wasiotii wataenenda katika hekima ya wenye haki. Atafanya hivi kuweka tayari kwa Bwana watu ambao wameandaliwa kwa ajili yake.”
Ani naw pa he la ca he alanga jah lawpüi be lü, am cingcaihki he ngsungpyunak ksingnaka lam üng jah nghlat sak be lü, khyang he Pamhnama phäha jah ngtünngceisak khai, Elijaha ngmüimkhya la khyaihbahnak am Pamhnama maa cit khai,” a ti.
18 Zakaria akamwambia malaika, “Nitawezaje kujua hili? Kwasababu mimi ni mzee na mke wangu miaka yake imekuwa mingi sana.”
Acunüng Zakharih naw khankhawngsä üng, “Ikba acun ka ksing vai aw? Kei pakse ni, ka xü pängki, ka khyu pi nukpüi lü, a khawkum xü pängki ni,” a ti.
19 Malaika akajibu na kumwambia, “Mimi ni Gabrieli, ambaye husimama mbele za Mungu. Nilitumwa kukwambia, kukuletea habari hii njema.
Khankhawngsä naw, “Kei Kabriel, Pamhnama ma ngdüikia ka kyaki, nanga veia hina jekyainaka ngthu lawpüi khaia tüih lawa ka kyaki.
20 Na tazama, hutaongea, utakuwa kimya, hutaweza kuongea mpaka siku ile mambo haya yatakapotokea. Hii ni kwasababu ulishindwa kuamini maneno yangu ambayo yatatimizwa kwa wakati mwafaka.”
Cunsepi Ngaia, ka ngthu akcün üng kümkawi law khai am na juma phäha, hina ka ngthu am a kümkawi law ham üng am ngthuhei thei lü, na ang khai,” a ti.
21 Sasa watu walikuwa wakimsubiri Zakaria. Walishangazwa kwamba alikuwa anatumia muda mwingi hekaluni.
Khyang he Zakharih kpunga ana ngängki he, Temple k'uma a di lawa phäha aktäa cäiki he.
22 Lakini alipotoka nje, hakuweza kuongea nao. Wakatambua kwamba alikuwa amepata maono alipokuwa hekaluni. Aliendelea kuonesha ishara na alibaki kimya.
Acunüng, a luh law be üng ami veia am ngthuhei thei lü, a kut am jah kha hü se, Temple k'uma mdannak hmukia ami ksing.
23 Ikatokea kwamba siku za huduma yake zilipokwisha aliondoka kurudi nyumbani kwake.
Acunüng, ktaiyü a binaka kcün ngpäng se a ima cit beki.
24 Baada ya Zakaria kurudi nyumbani kutoka kwenye huduma yake hekaluni, mke wake akawa mjamzito. Naye hakutoka nyumbani mwake kwa muda wa miezi mitano. Akasema,
Acunkäna a khyu Elizabet m’yai law lü im k'uma khya mhma ngküpki.
25 “Hili ndilo amabalo Bwana amefanya kwangu aliponitazama kwa upendeleo ili kuiondoa aibu yangu mbele za watu.”
Acunüng Elizabet naw “Khyang hea ami na ksekhanak Pamhnam naw na kpüi lü a na lawhin pet ni,” a ti.
26 Sasa, katika mwezi wa sita wa mimba ya Elizabeti, Mungu alimwambia malaika Gabrieli kwenda kwenye mji wa Galilaya uitwao Nazareti,
Acunüng, akhya khyuk üng Pamhnam naw khankhawngsä Kabriel Kalile khaw, Nazareta a tüih.
27 kwa bikra aliyekuwa ameposwa na mwanaume ambaye jina lake lilikuwa Yusufu. Yeye alikuwa wa ukoo wa Daudi, na jina la bikra huyo lilikuwa Mariamu.
Acuna nglami cun Davita pakhui üngka, Josep ngming nakia khyu vaia ami mkhyäpa kyaki. Nglamia ngming cun Marih naki.
28 Akaja kwake na akasema, “Salaam, wewe uliyepokea neema kuu! Bwana amependezwa nawe.”
Acunüng, khankhawngsä naw Mariha veia lut lü, “Pamhnama hlüei la jekyainak, dim’yenak am awma, Pamhnam na veia awm ve, nghnumi he avan üng na josen säih ve,” a ti.
29 Lakini maneno ya malaika yalimchanganya na hakuelewa kwa nini malaika alisema salaam hii ya ajabu kwake.
Acuna khankhawngsäng naw i a ti hlünak am ksing lü aktäa cäi lü kyüki.
30 Malaika akamwambia, “Usiogope, Mariamu, maana umepata neema kutoka kwa Mungu.
Acunüng, khankhawngsä naw, “Marih aw, ä kyüa; Pamhnam na veia dawki ni,
31 Na tazama, utabeba mimba katika tumbo lako na utazaa mwana. Nawe utamwita jina lake 'Yesu.'
m’yai lü, kpamica na ca khai, a ngming Jesuha na sui khai.
32 Atakuwa mkuu na ataitwa Mwana wa Aliye Juu Sana. Bwana Mungu atampa kiti cha enzi cha Daudi baba yake.
Ani cun kyäpsawk law se, ak'hlüng säiha Capa ti khai he, Bawipa Pamhnam naw a pu Davita mäiha sangpuxanga pawh law khai.
33 Atatawala juu ya ukoo wa Yakobo milele na ufalme wake hautakuwa na mwisho. (aiōn )
Ani naw Jakopa mjü he angläta jah uk se, a khaw am düt khai ni,” a ti. (aiōn )
34 Mariamu akamwambia malaika, hili litatokea kwa namna gani, maana sijawahi kulala na mwanaume yeyote?
Marih naw, khankhawngsä üng, “Kei am ka ceimahki hin ikba acunkba kya thei khai aw?” a ti.
35 Malaika akajibu na akamwambia, “Roho Mtakatifu atakujia juu yako, na nguvu ya Aliye Juu Sana itakuja juu yako. Kwa hiyo, mtakatifu atakayezaliwa ataitwa Mwana wa Mungu.
Khankhawngsä naw msang lü, “Ngmüimkhya Ngcim na khana pha law se, hlüng säihkia johit naw ning hlawp tawm law khai, acunakyase hmi law khaia khyang ngcim pi Mhnama Capa ti khai he.
36 Na tazama, ndugu yako Elizabeti anaujauzito wa mwana kwenye umri wake wa uzee. Huu ni mwezi wa sita kwake, ambaye alikuwa anaitwa mgumba.
Acunüng ngaia, cingki ami ti khawi na püi Elizabet pi a xü käna kpamica m’yai na se atuh khya khyuk law pängki.
37 Maana hakuna lisilowezekana kwa Mungu.”
Pamhnama am a ti thei i am awm naw,” a ti.
38 Mariamu akasema, “Tazama, mimi ni mtumishi wa kike wa Bwana. Acha iwe hivyo kwangu sawa sawa na ujumbe wako.” Kisha malaika akamwacha.
Marih naw, “Kei Bawipa ana m’ya nu ni, na ngthua kba ka khana kya kawm,” ti se, acunüng khankhawngsä naw a ceh tak.
39 Ndipo katika siku hizo Mariamu aliondoka na kwa haraka alikwenda katika nchi ya vilima, kwenye mji katika nchi ya Yudea.
Acunüng, Marih tho law lü, angxita mcunga awmkia mlüh, Judah khawnu mata cit lü,
40 Alikwenda nyumbani mwa Zekaria na akamsalimia Elizabeti.
Zakhariha ima lutki naw, Elizabet a hnukset.
41 Sasa, ilitokea kwamba Elizabeti aliposikia salamu ya Mariamu, mtoto tumboni mwake akaruka, na Elizabeti akajazwa na Roho Mtakatifu.
Acunüng, Elizabet naw Marih a hnukset a sim la, a puk k'uma naca ngsün law se, Elizabet ngmüimkhya Ngcim am be law lü,
42 Akapaza sauti yake na kusema kwa sauti kuu, “umebarikiwa wewe zaidi miongoni mwa wanawake, na mtoto aliyemo tumboni mwako amebarikiwa.
angsanga, “Nghnumi he avan üng na jo sen säih ve, na canak vai pi a jo sen ve!
43 Na imekuwaje kwangu kwamba, mama wa Bwana wangu ilipasa aje kwangu?
Ka Bawipaa nu, ka veia na lawnak sen vaia ta ia ngjo ni?
44 Kwa kuwa tazama, iliposikika masikoni mwangu sauti ya kusalimia kwako, mtoto tumboni mwangu akaruka kwa furaha.
Na na hnuksetnak ka hnga üng a luh la hnasen jekyai lü ka k'uma ngsün ve.
45 Na amebarikiwe mwanamke yule ambaye aliamini ya kwamba ungetokea ukamilifu wa mambo yale aliyoambiwa kutoka kwa Bwana.”
Jumeikia nghnumi pi a jo sen ve, isetiakyaküng a veia Bawipa naw ngthu a pyen he cun kümkawi law khai hea akya phäha kyaki” a ti.
46 Mariamu akasema, nafsi yangu inamsifu Bwana,
Acunüng Marih naw, “Ka mlungmthin naw Bawipa mküimto ve;
47 na roho yangu imefurahi katika Mungu Mwokozi wangu.
ka ngmüimkhya pi na küikyankia Pamhnama khana aktäa jekyai ve,
48 Kwa maana ameiangalia hali ya chini ya mtumishi wake wa kike. Tazama, tangu sasa katika vizazi vyote wataniita mbarikiwa.
a na m'yanua hnemnak hmu lü, na süm ve; atuh üng tün lü, khyang avan naw a jo senki na ti na khai he.
49 Kwa maana yeye aliyemweza amefanya mambo makubwa kwangu, na jina lake ni takatifu.
Akyan säih naw ka khana akyäp säih na pawh pe ve, A ngming pi, ngcimcaiki ni;
50 Rehema yake inadumu toka kizazi hata kizazi kwa wale wanao mheshimu yeye.
A m’yeneinak cun angsawn täh se amät kyühki hea khana awmsaki.
51 Ameonesha nguvu kwa mkono wake; amewatawanya wale ambao walijivuna juu ya mawazo ya mioyo yao.
“A ban am a kyannak mdang lü, khyang awhcaki he cun ami ngaikyunak am akcea a jah ngtaisak.
52 Amewashusha chini wana wa wafalme toka katika viti vyao vya enzi na kuwainua juu walio na hali ya chini.
“Ami bawingawhnak üng ngawki hea bawi he a hnemnaka jah khya lü, ami mlung hnemsaki he a jah mhlünmtai.
53 Aliwashibisha wenye njaa kwa vitu vizuri, bali matajiri amewafukuza mikono mitupu.
“Ami ei cawiki he, akdaw am jah kphü lü, bawimangki he, ami kut xawnga a jah tüih.
54 Ametoa msaada kwa Israeli mtumishi wake, ili kukumbuka kuonesha rehema
“Mi pupa he, a jah na khyütamnakpüi kümkawisak lü, a m'ya Isarel he jah kpüi khaia law ve.
55 (kama alivyosema kwa baba zetu) kwa Abrahamu na uzao wake milele.” (aiōn )
A jah m'yeneinak Abraham la a ngsawn hea veia angläta süm ve” a ti. (aiōn )
56 Mariamu alikaa na Elizabeti yapata miezi mitatu hivi ndipo akarudi nyumbani kwake.
Acunüng Marih, Elizabeta veia khya kthum awm lü a ima cit beki.
57 Sasa wakati ulikuwa umewadia kwa Elizabeti kujifungua mtoto wake na akajifungua mtoto wa kiume.
Elizabet na a hmi vai kha law se, kpamicaa caki.
58 Jirani zake na ndugu zake walisikia jinsi Bwana alivyoikuza rehema kwake, na wakafurahi pamoja naye.
A impeiloceng he la, a paca he naw, Pamhnam naw a m'yenei ni ti ksing u lü, aktäa ami jekyaipüi.
59 Sasa ilitokea siku ya nane kwamnba walikuja kumtahiri mtoto. Ingewapasa kumwita jina lake, “Zekaria,” kwa kuzingatia jina la baba yake,
Acunüng pat mat küm se, naca a vun mawih vaia law u lü, a ngming a pa ngminga kba Zakhariha sui vaia ami bü.
60 Lakini mama yake akajibu na kusema, “Hapana; ataitwa Yohana.”
Acunüng a nu naw, “Ka! Johana sui vai,” a ti.
61 Wakamwambia, hakuna hata mmoja katika ndugu zako anayeitwa kwa jina hili.”
Acunüng amimi naw, “Na ngsawn, na khui üngka, acunkba ngming naki u am ve khawi naw,” ami ti.
62 Wakamfanyia ishara baba yake kuashiria yeye alitaka jina aitwe nani.
Acunüng a pa ami kut am, “A ngming ua sui üng daw khai aw?” tia ami kthäh.
63 Baba yake akahitaji kibao cha kuandikia, na akaandika, “Jina lake ni Yohana.” Wote wakashangazwa na hili.
Zakharih naw, a yuknak vai lungphek kthäh lü, “A ngming Johan,” ti lü yu se, ami van cäi lawki he.
64 Ghafla mdomo wake ukafunguliwa na ulimi wake ukawa huru. Akaongea na kumsifu Mungu.
Acunüng angxita ngthuhei law be thei lü Pamhnam mküimto lawki.
65 Hofu ikawajia wote walioishi karibu nao. Mambo haya yakaenea katika nchi yote ya vilima vya Yudea.
Acunüng, ami van cäicah lawki he. Acuna mawng cun Judah khaw avan üng ngthang hüki.
66 Na wote walioyasikia wakayatunza mioyoni mwao, wakisema, “Mtoto huyu kuwa wa namna gani?” Kwasababu mkono wa Bwana ulikuwa pamoja naye.
Acun ngjaki avan naw, ami mlung k'uma ta u lü, “Acuna hnasen cun ia mäih vai ni?” ami ti. Ani cun Pamhnam naw a johit am awmpüiki tia ami van naw ksingki he.
67 Baba yake Zekaria alijazwa na Roho Mtakatifu na akatoa unabii, akisema,
Johana pa Zakharih cun ngmüimkhya Ngcim am be lü,
68 “Asifiwe Bwana, Mungu wa Israeli, kwa sababu amesaidia na alishughulikia wokovu kwa watu wake.
“Isarel hea Bawipa Pamhnam cun mi mhlünmtai vai, a khyang he jah law si lü, jah mhlät be ve,
69 Ametuinulia pembe ya wokovu katika nyumba ya mtumishi wake Daudi, kutoka miongoi mwa mwa ukoo wa mtumishi wake Daudi,
A m'ya Davita ngsawn he ak'hlüngtaia Küikyan bawi jah pe ve,
70 kama alivyosema kwa kinywa cha manabii wake waliokuweko katika nyakati za kale. (aiōn )
Acun cun a sahma ngcim he üng ajana a jah na khyütamnaka kba, (aiōn )
71 Atatuoka kutoka kwa adui zetu na kutoka mikononi mwa wote wanaotuchukia.
mi ye he la jah hnengkiea kut üngka naw la küikyan khaia,
72 Atafanya hivi kuonesha rehema kwa baba zetu, na kukumbuka agano lake takatifu,
mi pupa hea veia m'yeneinaka ngthumkhän ana tak a kümsak vai la, a khyütam ngcim a sümnak vaia,
73 kiapo alichokisema kwa Abrahamu baba yetu.
mi pa Abrahama veia a khyütamnaka kba,
74 Aliapa kuthibitha kwamba ingewezekana kumtumikia Yeye bila hofu, baada ya kuokolewa kutoka katika mikononi ya adui zetu.
mi ye hea kut üng mi lät lü, am kyü u lü,
75 katika utakatifu na haki mbele zake siku zetu zote.
mi xüna küt üng ngcimcaihnak la, ngsungpyunak am a ma a khut mi pawhnak vaia,
76 Ndiyo, na wewe mtoto, utaitwa nabii wa Aliye Juu Sana, kwa kuwa utaenenda mbele za uso wa Bwana ili kumwandalia njia, kuwaandaa watu kwa ajili ya ujio wake,
nang ka ca, Bawipa a lam pyang khaia na cit ma khaia kyase, ak'hlüng säih Mhnama sahma ning ti na khai he,
77 kuwafahamisha watu wake kwamba, wataokolewa kwa njia ya kusamehewa dhambi zao.
ami katnak he jah mhlätnak am, küikyanak, a khyang he üng jah ksingsak khai,
78 Hili litatokea kwa sababu ya huruma ya Mungu wetu, sababu ambayo jua tokea juu litatujia,
mi Pamhnam cun m'yeneinak la hniphnawinak am bebang lü mi khana küikyanaka nghngi vai law sak khai,
79 kuangaza kwao wakaao gizani na katika uvuli wa mauti. Atafanya hivi kuiongoza miguu yetu kwenye njia ya amani.”
a nghmüpnak la, thihnaka k'uma awmki he, akvai jah pe khai la, mlung üpnaka lama jah cehpüi khai” a ti.
80 Sasa, yule mtoto akakua na kuwa mwenye nguvu rohoni na alikaa nyikani mpaka siku ya kujitokeza kwake kwa Israeli.
Acunüng, a nghmaw cun ngbaü law lü, a mlung ngaihnak kyan law ksetam lü, Isarel hea veia am a ngdang law hama üng khawkhyawng khawa awmki.