< Luka 9 >

1 Akawaita wale kumi na wawili pamoja, akawapa uwezo na mamlaka juu ya mapepo yote na kuponya magonjwa.
Akaitanga ao ni kumi na abili palung'wi, akaapa uhumi nuukulu mugulya amintunga ihi nukuaguna indwala.
2 Akawatuma waende kuhubiri ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa.
Akatuma alongole kutanantya utemi wang'wi Tunda nukuguna ialwae.
3 Akawaambia, “Msichukue chochote kwa ajili ya safari yenu wala fimbo, wala mkoba, wala mkate, wala pesa wala msichukue kanzu mbili.
Akaila, muleke kuhola kihi kunsoko amuhinzo wanyuata umulanga, ata imbugulu, ata indya, ata ipia, muleke kuhola inkanzu niibili.
4 Nyumba yoyote mtakayo iingia, kaeni humo mpaka mtakapo ondoka mahali hapo.
Nyumba ihi nimukingila mikie mumo kunamukuhegela kung'wanso.
5 Na kwa wale wasio wapokea, mtakapo ondoka mji huo, jikung'uteni vumbi katika miguu yenu kwa ushuhuda juu yao”.
Ingi ngwa ao nisha akumusingilya, nimukahega mukisali nikanso, mipununte ulunkundi mumigulu anyu kunsoko akilingasilyo kao.
6 Wakaondoka na kwenda kupitia vijijini, wakitangaza habari njema na kuponya watu kila mahali.
Ikahega ikalongola nukukiila muisali, nukutanantya upanga nukuguna lantu ni.
7 Sasa Herode, mtawala, alisikia yote yaliyo kuwa yakitokea alitaabika sana, kwa sababuu ilisemekana na baadhi kwamba Yohana mbatizaji amefufuka kutoka wafu,
Itungili Herode, mkulu, aiwigule, ihi naiapumie aiwagile itai, kunsoko aiittambuwe ikatula Yohana mubatisaji uhimbukile kupuma muashi.
8 na baathi kwamba Elia amekwisha tokea, na kwa wengine kwamba mmoja wa manabii wa zamani amefufuka katika wafu tena.
Niakehu ikalunga ue Elia wapumie, niangita ikalunga ung'wi wanyakidagu nia kali wahimbuka muashi hangi.
9 Herode alisema, “nilimchinja Yohana, lakini huyu ni nani ninae sikia habari zake? Na Herode alitafuta njia ya kumwona Yesu.
U Herode, akalunga, ainimusinzile u Yohana, Ingi uyu nyinyu nung'wenso nikija inkani yakwee? u Herode akaduma inzila akumuona U Yesu.
10 Wakati waliporudi wale waliotumwa, wakamwamwambia kila kitu walicho fanya. Akawachukua pamoja naye, akaenda peke yake katika mji uitwao Bethsadia.
Imatungo naiasukile nai atumilwe, ikamuila imantu ihi naitumile. Akahahola palung'winung'wenso akalongola wing'wene muhisali nikitangiwle Bethsadia.
11 Lakini makutano wakasikia kuhusu hili wakamfuata, na aliwakaribisha, na akaongea nao kuhusu ufalme wa Mungu, na aliwaponya wale waliohitaji uponyaji.
Ingi umilundo wikija, ikamutwata, nukuasingilya akaligitwa nienso, utemi wang'wiTunda, au agunile awa naialoitwe kuguma.
12 Siku ikaanza kuisha, na wale kumi na wawili wakaenda kwake na kusema, “Watawanye makutano kwamba waende katika vijiji vya karibu na mijini wakatafute mapumziko na chakula, kwa sababu tupo eneo la nyikani.”
Uluhuki nailandilye, kuhila nao nikumi naibili ikalongola kitalakwe akalunga, ''Usimbailye umilundo ulongole mukisali nia pakupi numuisali adume, usupilyo nindya, kunsoko kukoli mumbuga.
13 Lakini akawaambia, “Nyie wapeni kitu cha kula.” Wakasema “Hatuna zaidi ya vipande vitano vya mikate na samaki wawili, isipokuwa tungeenda na kununua chakula kwa ajili ya kusanyiko hili la watu.”
Ingi akaaila unye api imaintu akulya. ''Ikalunga kutile nimangiza ikoli indya kunsoko amilundo ni antu''.
14 Kulikua na wanaume wapatao elfu tano pale. Akawambia wanafunzi wake. “Wakalisheni chini katika makundi ya watu wapatao hamsini kwa kila kundi.
Aikali itunja magana anzugu ataano pang'wanso. Akaaila iamanyisigwa akwe, Ikalinsi pihi maanza aantu iziakoli hamsini kila lanza
15 Kwa hiyo wakafanya hivyo na watu wa wakaketi chini.
Kuluko ikatenda uu ni antu akikie pihi.
16 Akachukua mikate mitano na samaki wawili na akatazama mbinguni, akavibariki, na kuvimega katika vipande, akawapa wanafunzi wake ili waviweke mbele ya makutano.
Akahola indya itaano ni samaki ibili akagoza milunde, akaikendepa, nukuega ipande, akaapa iamanyisigwa akwe aike kuntongela amilundo.
17 Wote wakala na wakashiba, na vipande vya chakula vilivyo baki viliokotwa na kujaza vikapu kumi na viwili.
Ini ikalya ikikuta, imaminyanguilwa naisigile ikahoela ikizulya itoto ikumi na ibili.
18 Nayo ikawa kwamba, alipokuwa akiomba peke yake, wanafunzi wake walikuwa pamoja naye, na akawauliza akisema, “watu husema mimi ni nani?”
Nung'weso naukulopa wing'wene, lamanyisigwa akwe aiakoli palung'wi nung'wenso, akaakolya akalunga, lantu ilunga une ni nyinyu?
19 Wakijibu, wakasema, “Yohana mbatizaji, lakini wengine husema Eliya, na wengine husema mmoja wa manabii wa nyakati za zamani amefufuka tena.”
Ikasusha, ikalunga, Yohana mubadisaji, niangiza ilunga Eliya, niangiza ilunga ung'wi wanyakidagu wa matungo na kali wahimbuka hangi.
20 Akawambia, “Lakini ninyi mwasema mimi ni nani?” Akijibu Petro akasema, “Kristo kutoka kwa Mungu.”
Akaaila unyenye milunga unene ni nyinyu? Akasusha u petero akalunga, ''kristo kupuma kung'wi Tunda''.
21 Lakini kwa kuwaonya, Yesu akawaelekeza kutomwambia yeyote juu ya hili,
Ingi ngwa u Yesu akaahugolya, alekekumuila wihi kua ili iti.
22 akasema kwamba mwana wa Adamu lazma ateseke kwa mambo mengi na kukataliwa na wazee na Makuhani wakuu na waandishi, na atauawa, na siku ya tatu atafufuka.
Akalunga ng'wana wang'wa Adamu itai ukaga kunkani ni idu nukuhitwa nianyampala ni atemi ni aandiki nukubulagwa, nuluhiku lakatatu ukuhembuna.
23 Akawambia wote, “kama mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe, achukue msalaba wake kila siku, na anifuate.
Akaaila ihi, ang'wi muntu wihi nuloilwe kutyata, Ikanwe ung'wenso, ahole itoka lakwe imahiku ihi na antyate.
24 Yeyote ajaribuye kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini yeyote apotezae maisha yake kwa faida yangu, atayaokoa.
Wihi niwiza kugemakukuna upanga akwe ukuguni.
25 Je kitamfaidia nini mwanadamu, kama akiupata ulimwengu wote, lakini akapoteza au akapata hasara ya nafsi yake?
Kululo ukupata nsao ke umuntu, hangi au one ukumbigulu wihi, ukuliniilya nukuulya Ilioma lakwe.
26 Yeyote atakaye nionea aibu mimi na maneno yangu, kwake yeye mwana wa Adam atamuonea aibu atakapo kuwa katika utukufu wake, na utukufu wa Baba na malaika watakatifu.
Wihi nukuona iminyala kungwana ninganiyane, ng'wenso ng'wana wa ng'wa Adamu ukumuone minyala muuza na nuuzawang'wi ihe.
27 Lakini ninawaambia ukweli, kuna baadhi yenu wasimamao hapa, hawata onja umauti mpaka wauone ufalme wa Mungu.”
Ingi kumuili itai, akehu, niimikile apa, sha akumilulya insha ku utemi wang'wi Tunda.
28 Ikatokea yapata siku nane baada ya Yesu kusema maneno haya kwamba akawachukua pamoja nae Petro, Yohana na, Yakobo, wakapanda mlimani kuomba.
Mahiku munana naiakile u yesu alunga nkani Izi ingi ahela palung'wi nung'weso petro, Yona nu Yakobo, Akanankila mulugulu nukulompa.
29 Na alipokuwa katika kuomba, muonekano wa uso wake ulibadilika, na mavazi yake yakawa meupe na ya kung'aa.
Ingi gwa nakulompa, u usu wakwe ukakailika ni mavazi akwe ikela pee.
30 Na tazama, walikuwepo wanaume wawili wakiongea naye! Walikuwa Musa na Elia,
Ingi goza, aiakali Itunja abili akaziligitya nung'wenso ai Musa nu Eliya.
31 walionekana katika utukufu. Waliongea kuhusu kuondoka kwake, jambo ambalo alikaribia kulitimiza Yerusalem.
Aigee kunso au kendepwa, ai aligitilya kunsoko kuhega kitala kwe, nkani naihuge kumala ku Yerusalem.
32 Sasa Petro na wale waliokua pamoja naye walikuwa katika usingizi mzito. Lakini walipokuamka, waliuona utukufu wake na wanaume wawili waliokuwa wamesimama pamoja nae.
Itungili u petro naiyine palung'wi nung'wenso ainkoti mutulo numulito hangi naiaukile, Ikaona uza wakwe ni itunja abili naimikile palung'wi nung'winso.
33 Ikatokea kwamba, walipokuwa wakiondoka kwa Yesu, Petro akamwambia, “Bwana, ni vizuri kwetu kukaa hapa na inatupasa tutengeneze makazi ya watu watatu. Tutengeneze moja kwa ajili yako, moja kwa ajili ya Musa, na moja kwa ajili ya Eliya.” Hakuelewa alichokuwa akiongelea.
Ikatula naiakuhega kung'wa Yesu, akamuila, ''mukulu, ingi iza kikie kunu kitaitu itakiwe kunoniye imakazi a antu atatu.
34 Alipokuwa akisema hayo, likaja wingu na likawafunika; na waliogopa walipoona wamezunguwa na wamezungukwa na wingu.
Nau ukulunga, nanso, likeuta ilunde lika akunikila, na ikogopa nilkaona apilimili gwa ni lunde.
35 Sauti ikatoka kwenye wingu ikasema, “Huyu ni Mwanangu mteule. Msikilizeni yeye.”
Ululi lika puma milunde ikalunga, uyu ng'wa ana mutemi, mutegeli ng'wenso.
36 Sauti iliponyamaza, Yesu alikuwa peke yake. walikaa kimya, na katika siku hizo hawakumwambia yeyote lolote miongoni mwa waliyoyaona.
Ululi nailukilagilye, u Yesu aiwing'ene du, aiwikie twee imahiku nanso.
37 Siku iliyofuata, baada ya kutoka mlimani, kusanyiko kubwa la watu lilikutana naye.
Luhiku nulukatwata, nika puma mulugulu, mumilunda ukulu nu a antu ikantankana nu ng'winso.
38 Tazama, mwanaume kutoka kwenye kusanyiko alilia kwa sauti, akisema, “Mwalimu ninakuomba umtazame mwanangu, kwa kuwa ni mwanangu wa pekee.
Goza, mitunja mitunja aupumie mumilundo akalila kululi, akalunga, mumanyisi kulopa umugoza ung'wa ane, wingene.
39 Unaona roho chafu humshika, na mara hupiga kelele, na pia humfanya achanganyikiwe na kutokwa povu kinywani. Nayo humtoka kwa shida, ikimsababshia maumivu makali.
Waona ikolo nimbi hapun witule kulia iogo, witula uhaile nukupumai pombalu, N lipuma kushada, nu uwai nu utaki.
40 Naliwasihi wanafunzi wako kuikea itoke. lakini hawakuweza.”
Aini alompile iamanyisigwa ako kukemela Ikaleng'wa.
41 Yesu akajibu akasema, “Enyi kizazi kisichoamini na kilichopotoka, mpaka lini nitkaa nanyi na kuchukuliana nanyi? Mlete mwanao hapa.”
U Yesu akasusha akalunga, unye uileli nu uhuie nuwu nualekile, kizi kikie nalinunye? muleti ungwa apa.
42 Kijana aliokuwa anakuja, roho cha ikamuangusha chini na kumtikisa kwa fujo. Lakini Yesu aliikemea ile roho chafu, alimponya mvulana, na kamkabidhi kwa baba yake.
Muhumba inkolo aiza nimbi aimutagaa pihi nuku muhingisa kungulu.
43 Wote walishangazwa na ukuu wa Mungu. Lakini walipokuwa wakistaajabu wote kwa mambo yote aliyo yaliyotedeka, akasema kwa wanafunzi wake,
Ihi ikapata ikuilwa ukulu wang'wi Itunda hangi ikatula singa ihi inkani naiwatumile, alunga kua manyasigwa akwe.
44 “Maneno yawakae masikioni mwenu, kwa kuwa Mwana wa Adamu atatolewa mikononi mwa wanadamu.”
Inkani yingile mua kutwa anyu kunsako ungwana angwa Adamu ukuhegigwa mumikono a anadamu.
45 Lakni hawakuelewa maana ya maneno hayo, na yalifichwa machoni pao, ili wasije wakalielewa. Waliogopa kumuuliza kuhusu neno hilo.
Ingi shanga aialingile inkani nianso aipihilwe mumiho ao kusoko aleke kulinga akogopa kukolia ulukani nulanso.
46 Kisha mgogoro ulianza ulizuka miongoni mwao i juu ya nani angekuwa mkuu.
Ingi akatula kinyoma kukiila kitalao Ingi gwa nyenyu natule mukulu.
47 Lakini Yesu alipotambua walichokuwa wakihojiana mioyoni mwao, alimchukua mtoto mdogo, na kumuweka upande wake,
Ingi u Yesu akalinga naiakikalia mukalo yao, akamuhola umungenye numunino nukumuika pang'wa kwe.
48 na akasema, “kama mtu yeyote akimpokea mtoto mdogo kama huyu kwa jina langu, anipokea mimi pia, na yeyote akinipokea mimi, ampokea pia aliyenituma, kwa kuwa aliye mdogo kati yenu wote ndiye alie mkuu”
Akulunga umuntu wihi nukumusingilia umung'enya numunino angu uyu kulina lane, ansingilie nune hangi, wihi nukunsingili une amusingili nuyu nautumile, kunsoko munino kung'wanyu wihi yuyo mukulu.
49 Yohana akajibu akasema, “Bwana, tulimuona mtu akifukuza pepo kwa jina lako na tukamzuia, kwa sababu haambatani na sisi.”
Yohana akasusha akulunga, ''mukulu, aikumuine umuntu akazi muzunsa ukintunga kulina lako kikamugili kunsoko shukoli palungwi nuse.
50 Lakini Yesu akamwambia, “Msimzuie, kwa kuwa asiye kinyume na ninyi ni wa kwenu”
Ingi u Yesu akaila lekikumugili, uyu nisingukali palung'wi nunye Ingi wanyu.
51 Ikatokea kwamba, kulinga na siku zilivyokua zikikaribia zsiku zake za kwenda mbinguni, kwa uimara alielekeza uso wake Yerusalemu.
Ikatula imahiku nai ahumbee kullongala kilunge, akahonja u usu wakwe ku Yaruselemu.
52 Akatuma wajumbe mbele yake, nao wakaenda na kuingia katika kijiji cha Wasamaria ili wamtayarishie mahali.
Akatuma lanya mpala akwe, kuntonge la akwe, nienso ikalongola kukisali ka Wasomaria amunonelie pang'wanso.
53 Lakini watu huko hawakumpokea, kwasababu alikua ameelekeza uso wake Yerusalemu.
I antu sanga ikamusingilia, kunsoko au hongilye u usu wakwe ku Yarusalemu.
54 Wanafunzi wake Yakobo na Yohana walipo liona hili, wakasema, “Bwana unahitaji tuamuru moto ushuke chini kutoka mbinguni uwateketeze?”
Iamanyisigwa akwe Yakobo nu Yohana naiaine iti, Ikalunga, mukulu itakile uzume umoto usime pihi kuma milunde ualimili?
55 Lakini aliwageukia akawakemea.
Ingi akapilukila akaakenela.
56 Kisha walikwenda kijiji kingine.
Ingi gwa Ikalongola kisali lingiza.
57 Walipokuwa wakienda katika njia yao, mtu mmoja akamwambia, “Nitakufuata popote uendapo.”
Naiahongile munzila yao, muntu ung'wi akamuila, mahali Ihi nuinzo.
58 Yesu akamwambia, “Mbweha wanamashimo, ndege wa angani wana viota, lakini mwana wa Adamu hana pakulaza kichwa chake.”
Yesu akamuila,'' umulula akete imakombo, Inyonyi yamigulia akete iunyi, kunsoko umuntu mugila pakulala itue lakwe''
59 Ndipo akamwambia mtu mwingine, “Nifuate.” Lakini yeye akasema, “Bwana, niruhusu kwanza niende nikamzika baba yangu,”
Kululo akamuila muntu mungiza, Itiate.''naunso akalungai'' mukulu, ndekele nendemuika utata wane.
60 Lakini yeye akamwambia, “Waache wafu wawazike wafu wao, lakini wewe nenda ukautangaze ufalme wa Mungu kila mahali.”
Nuanso akamuila aleke Iashi aike Iashi ao, kululo uewe longola utanantie utemi wang'wi Itunda kuisali.
61 Pia mtu mwingine akasema. “Nitakufuata, Bwana, lakini niruhusu kwanza nikawaage walio katika nyumba yangu.”
Hangi muntu mungiza akalunga, kutiata, Mukulu, ndulusile hanza nialage niakoli munyumba ane.
62 Laki Yesu akamwambia hakuna mtu, atiaye mkono wake kulima na kuangalia nyuma atakayefaa kwa ufalme wa Mungu.”
Yesu akamuila kutile umuntu, nuika umukono akwe kulima nukugoza kunyuma nukutula Mtemi wang'wi Itunda.

< Luka 9 >