< Luka 8 >

1 Ilitokea muda mfupi baadaye kwamba Yesu alianza kusafiri katika miji na jiji mbalimbali, akihubiri na kutangaza habari njema ya ufalme wa Mungu na wale kumi wawili walikwenda pamoja naye,
Hanchu, môrkhat suole chu, Jisua'n Galilee ram khopuingei le khuongei nâma Pathien Rêngram Thurchi Sa misîrin a chaia. Ruoisi sômleinik ngeiin an jûia.
2 vilevile wanawake fulani waliokuwa wameponywa kutoka kwa roho wachafu na magonjwa mbalimbali. Walikuwa ni Mariamu aliyeitwa Magdalena ambaye alikuwa ametolewa pepo saba.
Nupang senkhat ramkhori sûr renga an natnangeia a dam, Mary Magdalene, a sûng renga ramkhori sari a rujûlpai pe,
3 Yoana mke wa Kuza na meneja wa Herode, Susana, na wanawake wengine wengi, waliotoa mali vyao kwa ajili yao wenyewe.
Herod office'a sin milien Chuza lômnu Joanna ngei, Susanna ngei, le midang nupang tamtak ngeiin an jûi saa. Hi mingei hin an sumin Jisua le a ruoisingei an san ngei ngâi ani.
4 Nabaada ya umati wa watu kukusanyika pamoja, wakiwemo na watu waliokuja kwake kutoka miji mbalimbali, akazungumza nao kwa kutumia mifano.
Khopui ankhat renga adanga mipuingei Jisua kôm an hong intûpkhôma, Jisua'n chongmintêkin a ril ngeia.
5 “mpandaji alienda kupanda mbegu, alipokuwa apanda, baadhi ya mbegu hizo ziliangukia kando ya njia zikakanyagwa chini ya miguu, na ndege wa angani wakazila.
Mi inkhat a bu rît rangin a loilâia a sea. Sachi a rethea, senkhat lampui kôla achula, vangeiin an sâk ripa.
6 Mbegu zingine zilianguka juu ya udongo wa miamba na zilipoota na kuwa miche zilipooza kwa sababu hakukuwa na unyevunyevu.
Senkhat lungpherpha pil chunga achula, a hong mônga, pil an zit loi sikin a rôp nôk ripa.
7 Mbegu zingine ziliangukia kwenye miti ya miiba, nayo hiyo miti ya miiba ikakua pamoja na zile mbegu na zikasongwa.
Senkhat chu riling kâra achula, ahong thuora, rilingin adîp thata.
8 Lakini mbegu zingine ziliangukia kwenye udongo unaofaa na zikazaa mazao mara mia zaidi. “Baada ya Yesu kusema mambo haya, alipaza sauti,”Yeyote aliye na masikio ya kusikia na asikie.”
Senkhat chu pil sana achula, a hong insôna, abâk raza chitin an hong inra zoi. Hanchu hi chongngei hih a rila, Jisua'n, Kuor nin dônin chu rangâi roi, a tipe ngeia.
9 Tena wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo,
A ruoisingeiin hi chongmintêk omtie, Jisua an rekela.
10 Yesu akawaambia, “Mmepewa upendeleo wa kujua siri ya ufalme wa Mungu, lakini watu wengine watafundishwa tu kwa mifano, ili kwamba 'wakiona wasione na wakisikia wasielewe.'
Jisua'n, “Pathien Rêngram chong inthup riettheina nin kôma ipêk ani. Ania midangngei rangin chu, an ena an mu loina rang le an rangâia an rietminthâr loina rangin, chongmintêk vaiin misîr pe rang ani” tiin a thuon ngeia.
11 Na hii ndiyo maana ya mfano huu. Mbegu ni neno la Mungu.
“Chongmintêk omtie chu hi anghin ani; Sachi chu Pathien chong ani.
12 Mbegu zile zilizoanguka kando kando ya njia ndiyo wale watu wanaolisikia neno, na baadaye mwovu shetani hulichukua mbali kutoka moyoni, ili kwamba wasiamini na kuokolewa.
Sachi lampui kôla chul chu, chong chu an rieta, ania, an iem loina rang le minringa an om loina rangin Soitanin an chong riet hah an mulungrîl renga a lâk pe ngâia.
13 Kisha na zile zilizoangukia kwenye mwamba ni watu wale wanaosikia neno na kulipokea kwa furaha lakini hawana mizizi yeyote, wanaamini tu kwa muda mfupi, na wakati wa majaribu huanguka.
Lung chung pila chul chu, an chong riet râisân takin an poma, nikhomrese, an nia han rujung inthuk nei loiin, an chunga minsinna a hongtung tena chu an inlet nôk ngâia.
14 Na mbegu zile zilizoangukia kwenye miiba ni watu wanaosikia neno, lakini wanapoendelea kukua husongwa na huduma na utajiri na ubora wa maisha haya na hawazai matunda.
Riling kâra chul chu, chong an rieta, aniatachu, hi ringnun hoiinhâina le inchongna ngei hin lungkâng a pêka, adîpa, amara reng min phâk ngâi mak.
15 Lakini zile mbegu zilizoangukia kwenye udongo mzuri ni wale watu, ambao ni wanyeyekevu na mioyo mizuri, baada ya kulisikia neno hulishikilia na likawa salama na kuazaa matunda ya uvumilivu.
Pil sana chul chu, chong an riet hah mulungrîla asadimin an dara, an jôma, an inra mâka dier ngei hah anni” a tia.
16 Sasa, hakuna hata mmoja, anayewasha taa na kuifunika kwa bakuli au kuiweka chini ya kitanda. Badala ya kuiweka kwenye kinara cha taa ili kwamba kila mmoja anayeingia apate kuiona.
Tutên châti mochokin bêl nuoia dar ngâi mak ngei, jâlmun nuoia khom dar ngâi mak ngei. A lût murdi'n an mu theina rangin a darna muna kêng an dar ngâi.
17 Kwa kuwa hakuna kitakachojificha ambacho hakitajulikana, au chochote kilicho sirini ambacho hakitajulikana kikiwa kwenye mwanga.
Ânthup murdi khom tâng minsuok nîng a ta, ihîpa om murdi khom avâra la minlangsuok nîng atih.
18 kwa hiyo kuwa makini unapokuwa unasikiliza. Kwa sababu aliye nacho, kwake ataongezewa zaidi, lakini asiye nacho hata kile kidogo alicho nacho kitachukuliwa.”
“Singthei roi, inmo nin rangâi, asikchu, a dônngei chu bôkpe sa nîng a ta, a dônloi chu a dôn vieta ai mindon te ha khom la lâk pe rip an tih,” a tia.
19 baadaye mama yake Yesu na ndugu zake wakaja kwake hawakaribia kwa sababu ya umati wa watu.
Hanchu, a nû le a lâibungngei Jisua kôma an honga, ania mipui sikin a kôma tung thei mak ngeia.
20 Na akataarifiwa, “Mama yako na ndugu zako wako pale nje wanahitaji kukuona wewe.
Mi inkhatin, “Na nû le na lâibungngeiin nang mu nuomin pêntieng an inding” a tipea.
21 Lakini, Yesu akajibu akasema “Mama yangu na ndugu zangu ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”
Hanchu, Jisua'n an kôma, “Ka nû le ka lâibungngei chu Pathien chong rangâia a jômngei hih anni” a tia.
22 Ilitokea siku moja kati ya siku zile Yesu na wanafunzi wake alipanda kwenye mtumbwi, na akawaambia, “Na tuvuke ng'ambo ya pili ya ziwa.” Wakaandaa mashua yao.
Sûnkhat chu Jisua le a ruoisingei rukuonga an chuonga, “Dîl râl tieng son lenkân rei u” a tia, hanchu an inphêta.
23 Lakini walipoanza kuondoka, Yesu akalala usingizi, na dhoruba kali yenye upepo, na mashua yao ikaanza kujaa maji na walikuwa kwenye katika kubwa sana.
Hanchu an se lâiin, Jisua chu a ina. Inningloiin phâivuopui a hong thoa, an rukuong tuiin a sip vavânga, rolo innîkin an oma.
24 baadaye wanafunzi wake wakaja kwake na kumwamsha, wakisema, “Bwana mkubwa! Bwana mkubwa! tuko karibu kufa!” Akaamka na akaukemea upepo na mawimbi ya maji vikatulia na kukawa na utulivu.
Hanchu, ruoisingei Jisua kôma an sea, an kaithoia, “Minchupu, Minchupu! Kin thi suo rang kêng ani zoi” an tia. Hanchu, Jisua ânthoia, Phâivuopui le tuidârinsok hah chong a pêka, an dâiruom zoia.
25 Tena akawaambia, “Imani yenu iko wapi?” Wakaogopa, Walishangaa, wakasemezana kia mmoja na mwenzake,”Huyu ni nani, kiasi kwamba anaamuru hata upepo, na maji na humtii?”
Hanchu, a ruoisingei kôma, “Khonmo, nan taksônna a om?” a tipe ngeia. Kamâmin an chia, Khoi anga miriem mo hi? Phâivuopui le tuidârinsokngei khom chong a pêka a chong an ijôm hi, anin tia.
26 Wakafika kwenye mji wa Gerasini iliyo upande wa nyuma ya Galilaya.
Hanchu Jisua le a ruoisingei hah Galilee dîl râl, Gerasa, ram an tunga.
27 Yesu aliposhuka na kukanya kwenye ardhi, mtu fulani kutoka mjini, akakutana naye, na huyu mtu alikuwa na nguvu za giza. Kwa muda mrefu alikuwa havai nguo, na alikuwa haishi kwenye Nyumba, lakini aliishi kwenye makaburi.
Jisua'n tuipânga a lôn lehan, khopui renga mi inkhat, ramkhori sûr ân tongpuia. Ha mi hah zora sôttak renga, dierboiin, ina khom om ngâi loiin thâna lei om ngâi ania.
28 Alipomwona Yesu akalia kwa sauti, na akaanguka chini mbele yake. kwa sauti kubwa akisema, Nimefanya nini kwako, Yesu mwana wa Mungu aliye juu? Nakusihi, Usiniadhibu mimi”
Jisua a mûn chu ânieka, a ke bula ânboka, ânring takin, Jisua Pathien Ânchungtak Nâipasal, imo ni lo rang ni ti? Dûk ni mintong no roh, tiin a ngêna.
29 Yesu akaamuru roho chafu imtoke mtu yule, kwa kuwa mara nyingi amepamgaa. hata kama alikuwa amefungwa minyororo na kubanwa na kuwekwa chini ya ulinzi, alivunja vifungo na kuendeshwa na mapepo mpaka jangwani.
Jisua'n ratha innim hah chong a pêk sika ma angtaka ai ti ani. Vêl tamtak an sûra, lung ina an khum ngâia, a kut le a ke zingjirûiin an khita chu a potsata, ramkhori han ramchâr tieng han a rujûl ngâi ani.
30 Yesu akamwuliza, “Jina lako nani?” akajibu akisema, “Legioni” Kwa maana mapepo mengi yameingia kwake.
Jisua'n, “Imo ni riming?” tiin a rekela, “Ki riming chu, Mob” tiin a thuona, a sûnga ramkhori tamtak an lût sikin.
31 Wakaendelea kumsihi usituamuru twende kwenye shimo. (Abyssos g12)
Hanchu, ramkhoringei han, khurmongboia tîr loina rangin Jisua an ngêna. (Abyssos g12)
32 Kundi la Nguruwe lilikuwa likichunga juu ya kilima, wakamsihi awaruhusu wakaingie kwa hao nguruwe. Na akawaruhusu kufanya hivyo.
Hanchu, ha muol panga han vok pâl sâk rokin an oma, ramkhoringeiin ha vokngei sûnga lût rangin Jisua an ngêna, a phalpe ngeia.
33 kwa hiyo wale mapepo wakamtoka mtu yule na kuingia kwa wale nguruwe, na lile kundi likakimbia kwenye mwinuko wa mlima mpaka ziwani na wakazama humo.
Mipa sûng renga an jôka, vokngei sûnga an lût zoia. Rôlsôr dîl rakhama an tâna, tuia an tâka an thi let zoi.
34 wale watu waliokuwa wanachunga wale nguruwe walipoona kilichotokea, wakakimbia na wakatoa taarifa pale mjini na nje katika miji iliyowazunguka.
Hanchu, vok avâipungei han neinun omtie an rietin chu, an sea khopuia le loia mingei an va ril ngeia.
35 Watu waliposikia hayo walienda kuona kilichotokea, na wakaja kwa Yesu na wakamwona mtu ambaye mapepo yalikuwa yamemtoka. alikuwa amevaa vizuri na mwenye akili timamu, amekaa kwenye miguu ya Yesu, na waliogopa.
Hanchu, neinun omtie en rangin mingei an suoka, Jisua kôm an hongin chu, ramkhori sûrpu hah, puon silin, ruthuok kipin Jisua ke bula insungin an mua, an rêngin an chia.
36 ndipo mmoja wao aliyeona kilichotokea alianza kuwasimlia wengine jinsi huyu mtu aliyekuwa anaongozwa na mapepo alivyoponywa.
Hanchu, amu nâmin a dam tie mingei kôma an rila,
37 Watu wote wa mkoa wa Wagerasi na maeneo yaliyozunguka walimwomba Yesu aondoke kwao kwa sababu walikuwa na hofu kuu. Na aliingia kwenye mtumbwi ili arudi.
Ha Gerasa rama mingei han an chi sikin Jisua hah an kôm renga rot rangin an ngêna, hanchu Jisua rukuonga a chuonga a mâk ngei zoi.
38 Mtu yule aliyetokwa na pepo alimsihi Yesu kwenda naye, lakini Yesu alimwambia aende na kusema,
Ramkhori a sûng renga a jôka a dampu han, Jisua kôm nang jûi ki tih, a tia.
39 “Rudi kwenye nyumba yako na uhesabu yale yote ambayo Mungu amekutendea” Huyu mtu aliondoka, akitangaza pote katika mji wote yale yote ambayo Yesu aliyofanya kwa ajili yake.
Hanniresea, Jisua'n, “Ni ina senla, nu chunga Pathien sintho tie va misîr roh” a tipea. Hanchu, a sea, khopui sûng pumpuia a chunga Jisua sintho tie hah a misîr zoi.
40 Na Yesu akarudi, makutano wakamkaribisha, kwa sababu wote walikuwa wanamngoja.
Hanchu, Jisua dîl râl tieng a hongtung nôkin chu, mipuingei ama lei ngak sikin an lei modôma.
41 Tazama akaja mtu mmoja anaitwa Yairo ni mmoja kati ya viongozi katika sinagogi. Yairo akaanguka miguuni pa Yesu na kumsihi aende nyumbani kwake,
Ha khuoa synagog ruoipu Jairus a honga, Jisua ke bula ânboka, a ina se rangin a ngêna.
42 kwa sababu alikuwa na mtoto msichana mmoja tu, mwenye umri wa miaka kumi na wibili, na alikuwa katika hali ya kufa. Na alipokuwa akienda, makutano walikuwa wakisongama dhidi yake.
A nâikhât nâinupang, kum sômleinik mi, a thi vavâng sikin. Hanchu, Jisua a sên chu mipuingeiin an ûmhura.
43 Mwanamke mwenye kutokwa damu kwa miaka kumi na miwili alikuwa pale na alitumia pesa zote kwa waganga, lakini hakuna aliyemponya hata mmoja,
Nupang inkhat kum sômleinik piel, hulloi inrik a oma, ai dôn murdi doctora a thâm let zoia, tute lakin mindam thei mak ngeia.
44 alikuja nyuma ya yesu na kugusa pindo la vazi lake, na ghafla kutokwa damu kukakoma.
Mipuingei kâra Jisua nûktieng a honga, a puonmor a tôna, harenghan a dam kelena.
45 Yesu akasema, “Nani ambaye kanigusa?” Walipokataa wote, Petro akasema, Bwana Mkubwa, umati wa watu wanakusukuma na wanakusonga.”
Jisua'n, “Tumo ni tôn?” a tia. Kei chu ni mu-ung an ti chita. Hanchu Peter'n a kôma, “Minchupu, hi dôra mipuiin nang an uop hite” a tipea.
46 Lakini Yesu akasema, “Mtu mmoja alinigusa, maana nilijua nguvu zimetoka kwangu.”
Ania, Jisua'n “tuminin chu min tôn, Keima renga sinthotheina ajôk” a tia.
47 Mwanamke alipoona ya kuwa hawezi kuficha alichokifanya, akaanza kutetemeka, akaanguka chini mbele za Yesu alitangaza mbele ya watu wote sababu zilizofanya amguse na vile alivyoponywa gafla.
Nupangnu ani ti rietsuok ani zoi, ti ânriet tena chu, innîk pumin mipuingei makunga, Jisua ke bula inbokin, a tôna harenghan a dam kelen roi hah misîr zoi.
48 Kisha akasema kwake, “Binti, imani yako imekufanya uwe mzima. Enenda kwa Amani.”
Hanchu, Jisua'n a kôma, “Ka nâinupang, na taksônnân nang a mindam zoi, rathanngam takin se ta roh” a tipea.
49 Alipokuwa akiendelea kusema, mtu mmoja akaja kutoka kwenye nyumba ya kiongozi wa sinagogi, akisema, “Binti yako amefariki. Usimsumbue mwalimu.”
Jisua'n ha a ti lâitakin, ruoipu in renga thangthei a honga, Jairus kôma, “Na nâinupang a thi zoi, Minchupu jêl khâi no roh” a tia.
50 Lakini Yesu aliposikia hivyo, alimjibu, “Usiogope. Amini tu, na ataokolewa.”
Jisua'n a rieta, Jairus kôma, “Chino roh, iem ngit roh, dam a tih,” a tipea.
51 Kisha alipoingia kwenye hiyo nyumba, hakuruhusu mtu yeyote kuingia pamoja naye, isipokuwa Petro, Yohana na Yakobo, baba yake binti, na mama yake.
In ava tungin chu Peter, John, Jacob, nâite nû le pa pêna chu tute dang a kôma lût phal maka.
52 Sasa watu wote walikuwa wanaomboleza na kutoa sauti kwa ajili yake, lakini akasema, “Msipige kelele, hajafa, lakini amelala tu.”
Hataka om murdi nâite chûlin an chapa, Jisua'n, “Chap no roi, athi ni mak, a in kêng” a tia.
53 Lakini wakamcheka kwa dharau, wakijua kuwa amekufa.
Hanchu, nâite hah a thi ani iti an riet sikin an munuisana.
54 Lakini Yeye, akimshika binti mkono, akaita kwa sauti, akisema, “Mtoto, inuka”
Hanchu, Jisua'n a kut a sûra, “Ka nâite, hong inthoi roh” a tia.
55 roho yake ikamrudia, na akainuka wakati huohuo. Akaamrisha kwamba, apewe kitu furani kwa ili ale.
Hanchu, a ringna a juong kîra, harenghan a hon thoia, Jisua'n “sâk rang imokhat pêk roi” a tia.
56 Wazazi wake wakashangaa, lakini aliwaamuru wasimwambie mtu kilichokuwa kimetokea.
A nû le a pa'n kamâm om an ti tataka; nikhomrese, Jisua'n chu a sintho hah tute ril loi rangin chong a pêka zoi.

< Luka 8 >