< Luka 8 >
1 Ilitokea muda mfupi baadaye kwamba Yesu alianza kusafiri katika miji na jiji mbalimbali, akihubiri na kutangaza habari njema ya ufalme wa Mungu na wale kumi wawili walikwenda pamoja naye,
and to be in/on/among the/this/who in order and it/s/he to go through according to city and village to preach and to speak good news the/this/who kingdom the/this/who God and the/this/who twelve with it/s/he
2 vilevile wanawake fulani waliokuwa wameponywa kutoka kwa roho wachafu na magonjwa mbalimbali. Walikuwa ni Mariamu aliyeitwa Magdalena ambaye alikuwa ametolewa pepo saba.
and woman one which to be to serve/heal away from spirit/breath: spirit evil/bad and weakness: ill Mary the/this/who to call: call Magdalene away from which demon seven to go out
3 Yoana mke wa Kuza na meneja wa Herode, Susana, na wanawake wengine wengi, waliotoa mali vyao kwa ajili yao wenyewe.
and Joanna woman: wife Chuza manager Herod and Susanna and other much who/which to serve (it/s/he *N(K)O*) (out from *N(k)O*) the/this/who be already it/s/he
4 Nabaada ya umati wa watu kukusanyika pamoja, wakiwemo na watu waliokuja kwake kutoka miji mbalimbali, akazungumza nao kwa kutumia mifano.
to gather then crowd much and the/this/who according to city to come/go to to/with it/s/he to say through/because of parable
5 “mpandaji alienda kupanda mbegu, alipokuwa apanda, baadhi ya mbegu hizo ziliangukia kando ya njia zikakanyagwa chini ya miguu, na ndege wa angani wakazila.
to go out the/this/who to sow the/this/who to sow the/this/who seed it/s/he and in/on/among the/this/who to sow it/s/he which on the other hand to collapse from/with/beside the/this/who road and to trample and the/this/who bird the/this/who heaven to devour it/s/he
6 Mbegu zingine zilianguka juu ya udongo wa miamba na zilipoota na kuwa miche zilipooza kwa sababu hakukuwa na unyevunyevu.
and other (to fall down *N(k)O*) upon/to/against the/this/who rock and to grow to dry through/because of the/this/who not to have/be moisture
7 Mbegu zingine ziliangukia kwenye miti ya miiba, nayo hiyo miti ya miiba ikakua pamoja na zile mbegu na zikasongwa.
and other to collapse in/on/among midst the/this/who a thorn and to grow with the/this/who a thorn away from to choke it/s/he
8 Lakini mbegu zingine ziliangukia kwenye udongo unaofaa na zikazaa mazao mara mia zaidi. “Baada ya Yesu kusema mambo haya, alipaza sauti,”Yeyote aliye na masikio ya kusikia na asikie.”
and other to collapse (toward *N(k)O*) the/this/who earth: soil the/this/who good and to grow to do/make: do fruit a hundred times this/he/she/it to say to call the/this/who to have/be ear to hear to hear
9 Tena wanafunzi wake wakamuuliza maana ya mfano huo,
to question then it/s/he the/this/who disciple it/s/he (to say *k*) which? this/he/she/it to be the/this/who parable
10 Yesu akawaambia, “Mmepewa upendeleo wa kujua siri ya ufalme wa Mungu, lakini watu wengine watafundishwa tu kwa mifano, ili kwamba 'wakiona wasione na wakisikia wasielewe.'
the/this/who then to say you to give to know the/this/who mystery the/this/who kingdom the/this/who God the/this/who then remaining in/on/among parable in order that/to to see not to see and to hear not to understand
11 Na hii ndiyo maana ya mfano huu. Mbegu ni neno la Mungu.
to be then this/he/she/it the/this/who parable the/this/who seed to be the/this/who word the/this/who God
12 Mbegu zile zilizoanguka kando kando ya njia ndiyo wale watu wanaolisikia neno, na baadaye mwovu shetani hulichukua mbali kutoka moyoni, ili kwamba wasiamini na kuokolewa.
the/this/who then from/with/beside the/this/who road to be the/this/who (to hear *N(k)O*) then to come/go the/this/who devilish/the Devil and to take up the/this/who word away from the/this/who heart it/s/he in order that/to not to trust (in) to save
13 Kisha na zile zilizoangukia kwenye mwamba ni watu wale wanaosikia neno na kulipokea kwa furaha lakini hawana mizizi yeyote, wanaamini tu kwa muda mfupi, na wakati wa majaribu huanguka.
the/this/who then upon/to/against the/this/who rock which when(-ever) to hear with/after joy to receive the/this/who word and this/he/she/it root no to have/be which to/with time/right time to trust (in) and in/on/among time/right time temptation/testing: testing to leave
14 Na mbegu zile zilizoangukia kwenye miiba ni watu wanaosikia neno, lakini wanapoendelea kukua husongwa na huduma na utajiri na ubora wa maisha haya na hawazai matunda.
the/this/who then toward the/this/who a thorn to collapse this/he/she/it to be the/this/who to hear and by/under: by concern and riches and pleasure the/this/who life to travel to choke and no to mature
15 Lakini zile mbegu zilizoangukia kwenye udongo mzuri ni wale watu, ambao ni wanyeyekevu na mioyo mizuri, baada ya kulisikia neno hulishikilia na likawa salama na kuazaa matunda ya uvumilivu.
the/this/who then in/on/among the/this/who good earth: soil this/he/she/it to be who/which in/on/among heart good and good to hear the/this/who word to hold back/fast and to bear fruit in/on/among perseverance
16 Sasa, hakuna hata mmoja, anayewasha taa na kuifunika kwa bakuli au kuiweka chini ya kitanda. Badala ya kuiweka kwenye kinara cha taa ili kwamba kila mmoja anayeingia apate kuiona.
none then lamp to touch to cover it/s/he vessel or under bed to place but upon/to/against lampstand (to place *N(k)O*) in order that/to the/this/who to enter to see the/this/who light
17 Kwa kuwa hakuna kitakachojificha ambacho hakitajulikana, au chochote kilicho sirini ambacho hakitajulikana kikiwa kwenye mwanga.
no for to be hidden which no clear to be nor concealed which no (not *no*) (to know *N(k)O*) and toward clear to come/go
18 kwa hiyo kuwa makini unapokuwa unasikiliza. Kwa sababu aliye nacho, kwake ataongezewa zaidi, lakini asiye nacho hata kile kidogo alicho nacho kitachukuliwa.”
to see therefore/then how! to hear which (if *NK(o)*) for to have/be to give it/s/he and which (if *NK(o)*) not to have/be and which to think to have/be to take up away from it/s/he
19 baadaye mama yake Yesu na ndugu zake wakaja kwake hawakaribia kwa sababu ya umati wa watu.
(to come *N(k)O*) then to/with it/s/he the/this/who mother and the/this/who brother it/s/he and no be able to meet with it/s/he through/because of the/this/who crowd
20 Na akataarifiwa, “Mama yako na ndugu zako wako pale nje wanahitaji kukuona wewe.
(and *k*) to announce (then *no*) it/s/he (to say *k*) the/this/who mother you and the/this/who brother you to stand out/outside(r) to perceive: see to will/desire you
21 Lakini, Yesu akajibu akasema “Mama yangu na ndugu zangu ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulitii.”
the/this/who then to answer to say to/with it/s/he mother me and brother me this/he/she/it to be the/this/who the/this/who word the/this/who God to hear and to do/make: do (it/s/he *k*)
22 Ilitokea siku moja kati ya siku zile Yesu na wanafunzi wake alipanda kwenye mtumbwi, na akawaambia, “Na tuvuke ng'ambo ya pili ya ziwa.” Wakaandaa mashua yao.
(and *k*) to be (then *no*) in/on/among one the/this/who day and it/s/he to climb toward boat and the/this/who disciple it/s/he and to say to/with it/s/he to pass through toward the/this/who other side the/this/who lake and to lead
23 Lakini walipoanza kuondoka, Yesu akalala usingizi, na dhoruba kali yenye upepo, na mashua yao ikaanza kujaa maji na walikuwa kwenye katika kubwa sana.
to sail then it/s/he to fall sleep and to come/go down storm wind toward the/this/who lake and to (ful)fill and be in danger
24 baadaye wanafunzi wake wakaja kwake na kumwamsha, wakisema, “Bwana mkubwa! Bwana mkubwa! tuko karibu kufa!” Akaamka na akaukemea upepo na mawimbi ya maji vikatulia na kukawa na utulivu.
to come near/agree then to arouse it/s/he to say master master to destroy the/this/who then (to arouse *N(k)O*) to rebuke the/this/who wind and the/this/who waves the/this/who water and to cease and to be calm
25 Tena akawaambia, “Imani yenu iko wapi?” Wakaogopa, Walishangaa, wakasemezana kia mmoja na mwenzake,”Huyu ni nani, kiasi kwamba anaamuru hata upepo, na maji na humtii?”
to say then it/s/he where? (to be *k*) the/this/who faith you to fear then to marvel to say to/with one another which? therefore this/he/she/it to be that/since: since and the/this/who wind to command and the/this/who water and to obey it/s/he
26 Wakafika kwenye mji wa Gerasini iliyo upande wa nyuma ya Galilaya.
and to sail toward the/this/who country the/this/who (Gerasene *N(K)O*) who/which to be opposite the/this/who Galilee
27 Yesu aliposhuka na kukanya kwenye ardhi, mtu fulani kutoka mjini, akakutana naye, na huyu mtu alikuwa na nguvu za giza. Kwa muda mrefu alikuwa havai nguo, na alikuwa haishi kwenye Nyumba, lakini aliishi kwenye makaburi.
to go out then it/s/he upon/to/against the/this/who earth: country to go meet (it/s/he *ko*) man one out from the/this/who city (which *ko*) (to have/be *N(k)O*) demon and (out from *k*) (time sufficient *N(k)O*) no (to put on *N(k)O*) clothing and in/on/among home no to stay but in/on/among the/this/who tomb
28 Alipomwona Yesu akalia kwa sauti, na akaanguka chini mbele yake. kwa sauti kubwa akisema, Nimefanya nini kwako, Yesu mwana wa Mungu aliye juu? Nakusihi, Usiniadhibu mimi”
to perceive: see then the/this/who Jesus (and *k*) to yell to fall/beat it/s/he and voice/sound: voice great to say which? I/we and you Jesus son the/this/who God the/this/who Highest to pray you not me to torture: torture
29 Yesu akaamuru roho chafu imtoke mtu yule, kwa kuwa mara nyingi amepamgaa. hata kama alikuwa amefungwa minyororo na kubanwa na kuwekwa chini ya ulinzi, alivunja vifungo na kuendeshwa na mapepo mpaka jangwani.
to order for the/this/who spirit/breath: spirit the/this/who unclean to go out away from the/this/who a human much for time to seize it/s/he and (to bind *N(k)O*) chain and fetter to keep/guard: guard and to tear the/this/who chain to drive (by/under: by *NK(o)*) the/this/who (demon *N(k)O*) toward the/this/who deserted
30 Yesu akamwuliza, “Jina lako nani?” akajibu akisema, “Legioni” Kwa maana mapepo mengi yameingia kwake.
to question then it/s/he the/this/who Jesus (to say *ko*) which? you name to be the/this/who then to say (Legion *N(k)O*) that/since: since to enter demon much toward it/s/he
31 Wakaendelea kumsihi usituamuru twende kwenye shimo. (Abyssos )
and (to plead/comfort *N(k)O*) it/s/he in order that/to not to command it/s/he toward the/this/who abyss to go away (Abyssos )
32 Kundi la Nguruwe lilikuwa likichunga juu ya kilima, wakamsihi awaruhusu wakaingie kwa hao nguruwe. Na akawaruhusu kufanya hivyo.
to be then there herd pig sufficient (to feed *N(k)O*) in/on/among the/this/who mountain and (to plead/comfort *N(k)O*) it/s/he in order that/to to permit it/s/he toward that to enter and to permit it/s/he
33 kwa hiyo wale mapepo wakamtoka mtu yule na kuingia kwa wale nguruwe, na lile kundi likakimbia kwenye mwinuko wa mlima mpaka ziwani na wakazama humo.
to go out then the/this/who demon away from the/this/who a human (to enter *N(k)O*) toward the/this/who pig and to stampede the/this/who herd according to the/this/who cliff toward the/this/who lake and to choke
34 wale watu waliokuwa wanachunga wale nguruwe walipoona kilichotokea, wakakimbia na wakatoa taarifa pale mjini na nje katika miji iliyowazunguka.
to perceive: see then the/this/who to feed the/this/who (to be *N(k)O*) to flee and (to go away *K*) to announce toward the/this/who city and toward the/this/who field
35 Watu waliposikia hayo walienda kuona kilichotokea, na wakaja kwa Yesu na wakamwona mtu ambaye mapepo yalikuwa yamemtoka. alikuwa amevaa vizuri na mwenye akili timamu, amekaa kwenye miguu ya Yesu, na waliogopa.
to go out then to perceive: see the/this/who to be and to come/go to/with the/this/who Jesus and to find/meet to sit the/this/who a human away from which the/this/who demon (to go out *N(k)O*) to dress and be of sound mind from/with/beside the/this/who foot the/this/who Jesus and to fear
36 ndipo mmoja wao aliyeona kilichotokea alianza kuwasimlia wengine jinsi huyu mtu aliyekuwa anaongozwa na mapepo alivyoponywa.
to announce then it/s/he (and *k*) the/this/who to perceive: see how! to save the/this/who be demonised
37 Watu wote wa mkoa wa Wagerasi na maeneo yaliyozunguka walimwomba Yesu aondoke kwao kwa sababu walikuwa na hofu kuu. Na aliingia kwenye mtumbwi ili arudi.
and (to ask *N(k)O*) it/s/he all the/this/who multitude the/this/who region the/this/who (Gerasene *N(K)O*) to go away away from it/s/he that/since: since fear great to hold/oppress it/s/he then to climb toward (the/this/who *k*) boat to return
38 Mtu yule aliyetokwa na pepo alimsihi Yesu kwenda naye, lakini Yesu alimwambia aende na kusema,
(to pray *N(k)O*) then it/s/he the/this/who man away from which to go out the/this/who demon to exist with it/s/he to release: release then it/s/he (the/this/who *k*) (Jesus *K*) to say
39 “Rudi kwenye nyumba yako na uhesabu yale yote ambayo Mungu amekutendea” Huyu mtu aliondoka, akitangaza pote katika mji wote yale yote ambayo Yesu aliyofanya kwa ajili yake.
to return toward the/this/who house: home you and to relate fully just as/how much you to do/make: do the/this/who God and to go away according to all the/this/who city to preach just as/how much to do/make: do it/s/he the/this/who Jesus
40 Na Yesu akarudi, makutano wakamkaribisha, kwa sababu wote walikuwa wanamngoja.
(to be *K*) in/on/among then the/this/who (to return *N(k)O*) the/this/who Jesus to receive it/s/he the/this/who crowd to be for all to look for it/s/he
41 Tazama akaja mtu mmoja anaitwa Yairo ni mmoja kati ya viongozi katika sinagogi. Yairo akaanguka miguuni pa Yesu na kumsihi aende nyumbani kwake,
and look! to come/go man which name Jairus and (this/he/she/it *N(k)O*) ruler the/this/who synagogue be already and to collapse from/with/beside the/this/who foot the/this/who Jesus to plead/comfort it/s/he to enter toward the/this/who house: home it/s/he
42 kwa sababu alikuwa na mtoto msichana mmoja tu, mwenye umri wa miaka kumi na wibili, na alikuwa katika hali ya kufa. Na alipokuwa akienda, makutano walikuwa wakisongama dhidi yake.
that/since: since daughter unique to be it/s/he as/when year twelve and it/s/he to die in/on/among then the/this/who to go it/s/he the/this/who crowd to choke it/s/he
43 Mwanamke mwenye kutokwa damu kwa miaka kumi na miwili alikuwa pale na alitumia pesa zote kwa waganga, lakini hakuna aliyemponya hata mmoja,
and woman to be in/on/among discharge blood away from year twelve who/which (toward *k*) (physician *N(k)O*) to expend all the/this/who life (it/s/he *ko*) no be strong (away from *N(k)O*) none to serve/heal
44 alikuja nyuma ya yesu na kugusa pindo la vazi lake, na ghafla kutokwa damu kukakoma.
to come near/agree after to touch the/this/who edge the/this/who clothing it/s/he and instantly to stand the/this/who discharge the/this/who blood it/s/he
45 Yesu akasema, “Nani ambaye kanigusa?” Walipokataa wote, Petro akasema, Bwana Mkubwa, umati wa watu wanakusukuma na wanakusonga.”
and to say the/this/who Jesus which? the/this/who to touch me to deny then all to say the/this/who Peter (and the/this/who *KO*) (with/after it/s/he *K(o)*) master the/this/who crowd to hold/oppress you and to crowd up to (and to say which? the/this/who to touch me *KO*)
46 Lakini Yesu akasema, “Mtu mmoja alinigusa, maana nilijua nguvu zimetoka kwangu.”
the/this/who then Jesus to say to touch me one I/we for to know power (to go out *N(k)O*) away from I/we
47 Mwanamke alipoona ya kuwa hawezi kuficha alichokifanya, akaanza kutetemeka, akaanguka chini mbele za Yesu alitangaza mbele ya watu wote sababu zilizofanya amguse na vile alivyoponywa gafla.
to perceive: see then the/this/who woman that/since: that no be hidden to tremble to come/go and to fall/beat it/s/he through/because of which cause/charge to touch it/s/he to announce (it/s/he *k*) before all the/this/who a people and as/when to heal instantly
48 Kisha akasema kwake, “Binti, imani yako imekufanya uwe mzima. Enenda kwa Amani.”
the/this/who then to say it/s/he (take heart *K*) (daughter *N(k)O*) the/this/who faith you to save you to travel toward peace
49 Alipokuwa akiendelea kusema, mtu mmoja akaja kutoka kwenye nyumba ya kiongozi wa sinagogi, akisema, “Binti yako amefariki. Usimsumbue mwalimu.”
still it/s/he to speak to come/go one from/with/beside the/this/who synagogue leader to say (it/s/he *ko*) that/since: that to die/be dead the/this/who daughter you (never again *N(K)O*) to trouble the/this/who teacher
50 Lakini Yesu aliposikia hivyo, alimjibu, “Usiogope. Amini tu, na ataokolewa.”
the/this/who then Jesus to hear to answer it/s/he (to say *k*) not to fear alone (to trust (in) *N(k)O*) and to save
51 Kisha alipoingia kwenye hiyo nyumba, hakuruhusu mtu yeyote kuingia pamoja naye, isipokuwa Petro, Yohana na Yakobo, baba yake binti, na mama yake.
(to come/go *N(k)O*) then toward the/this/who home no to release: permit to enter (one *N(k)O*) (with it/s/he *NO*) if: not not Peter and John and James and the/this/who father the/this/who child and the/this/who mother
52 Sasa watu wote walikuwa wanaomboleza na kutoa sauti kwa ajili yake, lakini akasema, “Msipige kelele, hajafa, lakini amelala tu.”
to weep then all and to cut/mourn it/s/he the/this/who then to say not to weep no (for *no*) to die but to sleep
53 Lakini wakamcheka kwa dharau, wakijua kuwa amekufa.
and to mock it/s/he to know that/since: that to die
54 Lakini Yeye, akimshika binti mkono, akaita kwa sauti, akisema, “Mtoto, inuka”
it/s/he then (to expel out/outside(r) all and *K*) to grasp/seize the/this/who hand it/s/he to call to say the/this/who child (to arise *N(k)O*)
55 roho yake ikamrudia, na akainuka wakati huohuo. Akaamrisha kwamba, apewe kitu furani kwa ili ale.
and to turn the/this/who spirit/breath: spirit it/s/he and to arise instantly and to direct it/s/he to give to eat
56 Wazazi wake wakashangaa, lakini aliwaamuru wasimwambie mtu kilichokuwa kimetokea.
and to amaze the/this/who parent it/s/he the/this/who then to order it/s/he nothing to say the/this/who to be