< Luka 7 >

1 Baada ya Yesu kumaliza kila kitu alichokuwa anasema kwa watu waliomsikiliza, akaingia Kapernaumu.
Depois de terminar de falar na audiência do povo, ele entrou em Cafarnaum.
2 Mtumwa fulani wa akida, aliyekuwa wa thamani sana kwake, alikuwa mgonjwa sana na alikuwa karibu ya kufa.
Um criado de um certo centurião, que lhe era querido, estava doente e no ponto da morte.
3 Lakini akiwa amesikia kuhusu Yesu, yule Akida alimtuma kiongozi wa kiyahudi, kumwomba aje kumwokoa mtumwa wake ili asife.
Quando soube de Jesus, enviou-lhe os anciãos dos judeus, pedindo-lhe que viesse e salvasse seu servo.
4 Walipofika karibu na Yesu, walimsihi kwa bidii na kusema, “anastahili kwamba unapaswa kufanya hivi kwa ajili yake,
Quando chegaram a Jesus, imploraram-lhe com fervor, dizendo: “Ele é digno de fazer isto por ele,
5 kwa sababu analipenda taifa letu, na ndiye aliyejenga sinagogi kwa ajili yetu”.
pois ama nossa nação, e construiu nossa sinagoga para nós”.
6 Yesu akaendelea na safari yake pamoja nao. lakini kabla hajaenda mbali na nyumba, afisa mmoja aliwatuma marafiki zake kuzungumza naye. “Bwana, usijichoshe mwenyewe kwa sababu mimi sistahili wewe kuingia kwenye dari yangu.
Jesus foi com eles. Quando já não estava longe de casa, o centurião enviou-lhe amigos, dizendo-lhe: “Senhor, não te incomodes, pois não sou digno de que venhas debaixo do meu teto”.
7 Kwa sababu hii sikufikiria hata mimi mwenyewe kuwa ninafaa kuja kwako, lakini sema neno tu na mtumishi wangu atapona.
Portanto, nem sequer me julguei digno de vir a Ti; mas dize a palavra, e meu servo será curado”.
8 Kwani mimi pia ni mtu niliyewekwa kwenye mamlaka na nina askari chini yangu. Husema kwa huyu “Nenda” na huenda, na kwa mwingine, “Njoo” naye huja, na kwa mtumishi wangu 'Fanya hiki', na yeye hufanya”.
Pois também eu sou um homem colocado sob autoridade, tendo sob minha alçada soldados. Eu digo a este: 'Vá!' e ele vai; e a outro: 'Venha!' e ele vem; e ao meu servo: 'Faça isto' e ele o faz”.
9 Yesu aliposikia haya alishangaa, na kuwageukia makutano waliokuwa wanamfuata na kusema.”Nawaambia, hata katika Israeli, sijawahi kuona mtu mwenye imani kuu kama huyu.
Quando Jesus ouviu estas coisas, ele se maravilhou com ele, voltou-se e disse à multidão que o seguia: “Digo-vos, não encontrei tanta fé, não, não em Israel”.
10 Kisha wale waliokuwa wametumwa walirudi nyumbani na kumkuta mtumishi akiwa mzima.
Aqueles que foram enviados, retornando à casa, descobriram que o servo que havia estado doente estava bem.
11 fulani baada ya haya, ilitokea kuwa Yesu alikuwa anasafiri kwenda mji ulioitwa Naini. wanafunzi wake wakaenda pamoja naye wakiambana na umati wa watu.
Pouco depois, ele foi para uma cidade chamada Nain. Muitos de seus discípulos, juntamente com uma grande multidão, foram com ele.
12 Alipofika karibu na Lango la jiji tazama, mtu aliyekufa alikuwa amebebwa, na ni mtoto wa pekee kwa mama yake. aliyekuwa mjane, na umati wa wawakilishi kutoka kwenye jiji walikuwa pamoja naye.
Quando ele se aproximou do portão da cidade, eis que um morto foi executado, o único filho nascido de sua mãe, e ela era viúva. Muitas pessoas da cidade estavam com ela.
13 Alipomwona, Bwana akamsogelea kwa huruma kubwa sana juu yake na akamwambia, “Usilie”.
Quando o Senhor a viu, ele teve compaixão dela e lhe disse: “Não chore”.
14 Kisha akasogea mbele akaligusa jeneza ambalo walibebea mwili, na wale waliobeba wakasimama akasema “Kijana nasema amka”
Ele se aproximou e tocou o caixão, e os carregadores ficaram parados. Ele disse: “Jovem, eu lhe digo, levante-se!”.
15 Mfu akainuka na kukaa chini na akaanza kuongea. Kisha Yesu akamkabidhi kwa mama yake.
Ele, que estava morto, sentou-se e começou a falar. Depois o deu a sua mãe.
16 Kisha hofu ikawajaa wote. wakaendelea kumtukuza Mungu wakisema “Nabii mkuu ameinuliwa miongoni mwetu” na “Mungu amewaangalia watu wake”
O medo tomou conta de todos, e eles glorificaram a Deus, dizendo: “Um grande profeta surgiu entre nós” e, “Deus visitou seu povo”!
17 Hizi habari njema za Yesu zilienea Yudea yote na kwa mikoa yote ya jirani.
Este relatório foi publicado a respeito dele em toda a Judéia e em toda a região circunvizinha.
18 Wanafunzi wa Yohana walimwamwambia mambo haya yote.
Os discípulos de João lhe falaram sobre todas essas coisas.
19 Ndipo Yohana akawaita wawili wa wanafunzi wake na kuwatuma kwa Bwana kusema “Wewe ndiye yule ajaye, au kuna mtu mwingine tumtazamie?
João, chamando para si dois de seus discípulos, enviou-os a Jesus, dizendo: “Você é aquele que está vindo, ou devemos procurar outro?
20 Walipofika karibu na Yesu hawa wakasema, “Yohana mbatizaji ametutuma kwako kusema, 'Wewe ni yule ajaye au kuna mtu mwingine tumtazamie?”
Quando os homens chegaram até ele, disseram: “João Batista nos enviou a você, dizendo: 'Você é aquele que vem, ou devemos procurar outro?
21 kwa wakati huo aliowaponya watu wengi kutoka katika magonjwa na mateso, kutoka kwa roho wachafu, na kwa watu wenye upofu aliwapa kuona.
Naquela hora ele curou muitas doenças e pragas e espíritos malignos; e a muitos que eram cegos ele deu a visão.
22 Yesu akajibu na kusema kwao. “Baada ya kuwa mmekwenda mlikotoka mtamjulisha Yohana mlichokiona na kukisikia. Wenye upofu wanapokea kuona na viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na kuwa hai tena, masikini wanaambiwa habari njema.
Jesus lhes respondeu: “Ide e dizei a João as coisas que vistes e ouvistes: que os cegos recebam sua visão, os coxos andem, os leprosos sejam limpos, os surdos ouçam, os mortos sejam ressuscitados e os pobres tenham boas novas pregadas a eles.
23 Na mtu ambaye hataacha kuniamini mimi kwa sababu ya matendo yangu amebarikiwa”.
Abençoado aquele que não encontra ocasião para tropeçar em mim”.
24 Baada ya wale waliotumwa na Yohana kurudi walikotoka, Yesu akaanza kusema kwa makutano juu ya Yohana, “Mlikwenda nje kuona nini, mwanzi ukiwa unatikiswa na upepo?
Quando os mensageiros de João partiram, ele começou a contar às multidões sobre João: “O que você saiu para o deserto para ver? Um caniço abalado pelo vento?
25 lakini mlikwenda nje kuona nini, mtu aliyevaa vizuri? tazama watu wale wanaovaa mavazi ya kifalme na kuishi maisha ya starehe wako kwenye nafasi za wafalme.
Mas o que vocês saíram para ver? Um homem vestido com roupas macias? Eis que aqueles que estão lindamente vestidos e vivem delicadamente estão nos tribunais dos reis.
26 lakini mnakwenda nje kuona nini, Nabii? Ndiyo, ninasema kwenu na zaidi sana kuliko nabii.
Mas o que o senhor saiu para ver? Um profeta? Sim, eu lhe digo, e muito mais do que um profeta.
27 Huyu ndiye aliyeandikiwa, “Tazama, namtuma mjumbe wangu mbele ya macho yenu, atakeyeandaa njia kwa ajili yangu,
Este é o profeta de quem está escrito, “Eis que eu envio meu mensageiro diante de seu rosto, que preparará seu caminho diante de você”.
28 Nasema kwenu, kati ya wale waliozaliwa na mwanamke, hakuna mkuu kama Yohana, lakini mtu asiye muhimu sana atakayeishi na Mungu mahali alipo yeye, atakuwa mkuu kuliko Yohana.”
“Pois eu vos digo, entre aqueles que nascem de mulheres não há profeta maior do que João Batista; mas aquele que está menos no Reino de Deus é maior do que ele”.
29 Na watu wote waliposikia haya pamoja na watoza ushuru, walitangaza kuwa Mungu ni mwenye Haki. Walikuwepo kati yao wale waliobatizwa kwa ubatizo wa Yohana.
Quando todo o povo e os cobradores de impostos ouviram isto, declararam que Deus era justo, tendo sido batizado com o batismo de João.
30 Lakini mafarisayo na wataalamu wa sheria za kiyahudi, ambao hawakubatizwa na yeye walikataa hekima za Mungu kwa ajili yao wenyewe.
Mas os fariseus e os advogados rejeitaram o conselho de Deus, não tendo sido batizados por ele mesmo.
31 Tena naweza kuwalinganisha na nini watu wa kizazi hiki? Wakoje hasai?
“A que devo então comparar as pessoas desta geração? Como eles são?
32 Wanafanana na watoto wanaocheza kwenye eneo la soko, wanaokaa na kuitana mmoja baada wa mwingine wakisema, 'Tumepuliza filimbi kwa ajili yenu, na hamkucheza. tumeomboleza na hamkulia.'
Eles são como crianças que se sentam no mercado e ligam umas para as outras, dizendo: 'Nós canalizamos para você, e você não dançou'. Choramos, e vocês não choraram'.
33 Yohana mbatizaji alikuja hakula mkate wala hakunywa divai, na mkasema “Ana pepo.
Para João Batista não veio comer pão nem beber vinho, e você diz: 'Ele tem um demônio'.
34 Mwana wa Mtu amekuja amekula na kunywa na mkasema, “Angali ni mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi!
O Filho do Homem veio comendo e bebendo, e você diz: 'Veja, um glutão e um bêbado, um amigo de cobradores de impostos e pecadores!
35 Lakini hekima imetambulika kuwa ina haki kwa watoto wake wote.”
A sabedoria é justificada por todos os seus filhos”.
36 Mmoja wa mafarisayo alimwomba Yesu aende kula pamoja naye. Baada ya Yesu kuingia kwenye nyumba ya farisayo, aliegemea kwenye meza ili ale.
Um dos fariseus o convidou para comer com ele. Ele entrou na casa do fariseu e sentou-se à mesa.
37 Tazama kulikuwa na mwanamke mmoja katika jiji hilo aliyekuwa na dhambi. Akagundua kuwa alikuwa amekaa kwa Farisayo, akaleta chupa ya manukato.
Eis que uma mulher na cidade que era pecadora, quando soube que ele estava reclinado na casa do fariseu, trouxe um frasco de alabastro com pomada.
38 Alisimama nyuma yake karibu na miguu yake huku akilia. Tena alianza kulowanisha miguu yake kwa machozi, na kuifuta kwa nywele za kichwa chake, akiibusu miguu yake na kuipaka manukato.
De pé a seus pés chorando, ela começou a molhar seus pés com suas lágrimas e os enxugou com os cabelos de sua cabeça, beijou seus pés e os ungiu com o ungüento.
39 Na yule farisayo aliyekuwa amemwalika Yesu alipoona hivyo, akawaza mwenyewe akisema, “Kama huyu mtu angekuwa nabii, angejua huyu ni nani na ni aina gani ya mwanamke anayemgusa, ya kuwa ni mwenye dhambi.
Agora, quando o fariseu que o havia convidado viu, disse para si mesmo: “Este homem, se fosse profeta, teria percebido quem e que tipo de mulher é esta que o toca, que ela é pecadora”.
40 Yesu akajibu na kumwambia, “Simoni nina kitu cha kukuambia. “Akasema” “Kiseme tu mwalimu!”
Jesus lhe respondeu: “Simão, tenho algo para lhe dizer”. Ele disse: “Professor, diga”.
41 Yesu akasema “Kulikuwa na wadaiwa wawili kwa mkopeshaji mmoja. Mmoja alikuwa anadaiwa dinari mia tano na wa pili alidaiwa dinari hamsini.
“Um certo emprestador tinha dois devedores. Um devia quinhentos denários, e o outro cinqüenta.
42 Na walipokuwa hawana pesa ya kumlipa aliwasamehe wote. Sasa ni nani atampenda zaidi?
Quando eles não puderam pagar, ele perdoou a ambos. Qual deles, portanto, o amará mais?”.
43 Simoni akamjibu na kusema, “Nadhani aliyesamehewa zaidi.”Yesu akamwambia, “Umehukumu kwa usahihi.”
Simon respondeu: “Ele, suponho, a quem ele perdoou mais”. Ele disse a ele: “Você julgou corretamente”.
44 Yesu akamgeukia mwanamke na kusema kwa Simoni, “Unamwona huyu mwanamke. Nimeingia kwenye Nyumba yako. Hukunipa maji kwa ajili ya miguu yangu, lakini huyu, kwa machozi yake, alilowanisha miguu yangu na kuifuta kwa nywele zake.
Voltando-se para a mulher, ele disse a Simon: “Você vê esta mulher? Entrei em sua casa e você não me deu água para meus pés, mas ela molhou meus pés com suas lágrimas e os enxugou com os cabelos de sua cabeça.
45 Hukunibusu, lakini yeye, tangu alipoingia humu hakuacha kunibusu miguu yangu.
Você não me deu nenhum beijo, mas ela, desde que entrei, não cessou de beijar meus pés.
46 Hukuipaka miguu yangu kwa mafuta, lakini ameipaka miguu yangu kwa manukato.
Você não ungiu minha cabeça com óleo, mas ela ungiu meus pés com pomada.
47 Kwa jambo hili, nakwambia kwamba alikuwa na dhambi nyingi na amesamehewa zaidi, na pia alipenda zaidi. Lakini aliyesamehewa kidogo, hupenda kidogo tu.”
Portanto, eu lhe digo que seus pecados, que são muitos, são perdoados, pois ela amava muito. Mas aquele a quem pouco é perdoado, pouco ama”.
48 Baadaye akamwambia mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa”
Ele disse a ela: “Seus pecados são perdoados”.
49 Wale waliokaa mezani pamoja naye wakaanza kusemezana wao kwa wao, “Huyu ni nani mpaka anasamehe dhambi?”
Aqueles que se sentaram à mesa com ele começaram a dizer para si mesmos: “Quem é este que perdoa os pecados?
50 Na Yesu akamwambia mwanamke, “Imani yako imekuokoa. Enenda kwa amani”
Ele disse para a mulher: “Sua fé o salvou. Vá em paz”.

< Luka 7 >