< Luka 7 >
1 Baada ya Yesu kumaliza kila kitu alichokuwa anasema kwa watu waliomsikiliza, akaingia Kapernaumu.
U Yesu naiwakondya kuligitya imaintu izi iantu naiamutegeye, akingila ku Kapernaumu.
2 Mtumwa fulani wa akida, aliyekuwa wa thamani sana kwake, alikuwa mgonjwa sana na alikuwa karibu ya kufa.
Mtungwa ung'wa ung'wi wang'wa akida, aimuza nangulu kitalakwe ai mulwae tai hangi aukuhiaukusha.
3 Lakini akiwa amesikia kuhusu Yesu, yule Akida alimtuma kiongozi wa kiyahudi, kumwomba aje kumwokoa mtumwa wake ili asife.
Ingi aiwijaa itendo yang'wa Yesu, uyo u Akida akamutuma umomboi wa kiyahudi, kumulompa aze kumuguna umutugwa akwe aleke kusha.
4 Walipofika karibu na Yesu, walimsihi kwa bidii na kusema, “anastahili kwamba unapaswa kufanya hivi kwa ajili yake,
Naiapikile kakupi nu Yesu, ikamlompa akalunga, utakiwe witume uu kunsoko akwe.
5 kwa sababu analipenda taifa letu, na ndiye aliyejenga sinagogi kwa ajili yetu”.
Kunsoko umiloilwe izi itu, ng'wenso akazenga itekeelo kunsoko itu.”
6 Yesu akaendelea na safari yake pamoja nao. lakini kabla hajaenda mbali na nyumba, afisa mmoja aliwatuma marafiki zake kuzungumza naye. “Bwana, usijichoshe mwenyewe kwa sababu mimi sistahili wewe kuingia kwenye dari yangu.
U Yesu akendelea ni muhinzo wakwe palung'wi ni enso naiwakuli kulongola kuli ni nyumba, mukulu wang'wi auatumile lahumba uya aligitye nu ng'wenso tata iekakukatala uewe kunsoko unene singa faile iewe kingila mudari ane.
7 Kwa sababu hii sikufikiria hata mimi mwenyewe kuwa ninafaa kuja kwako, lakini sema neno tu na mtumishi wangu atapona.
Kunsoko iyi shaaza singie unene ung'wenso kutula faile kuza kitalako, ingi tambula ulukani du umitumi wane akomye.
8 Kwani mimi pia ni mtu niliyewekwa kwenye mamlaka na nina askari chini yangu. Husema kwa huyu “Nenda” na huenda, na kwa mwingine, “Njoo” naye huja, na kwa mtumishi wangu 'Fanya hiki', na yeye hufanya”.
Kuniki unene hangi ni muntu nuikilwe muukulu hangi nyenyu nitalishi pihi ane. Wilunga kung'wa uyo, “Longola” na ulongole, nukumungiza, “Nzuu” nung'wenso wizaa nukumitumi wane itume iki nung'wenso wituma.
9 Yesu aliposikia haya alishangaa, na kuwageukia makutano waliokuwa wanamfuata na kusema.”Nawaambia, hata katika Israeli, sijawahi kuona mtu mwenye imani kuu kama huyu.
U Yesu naiwigule aya akakuilwa, nukuapilukila umilondo naumtyatile nukulunga kumuila ata ku Israeli iza nkili kuona umuntu nukite uhuili nukulu anga uyu.
10 Kisha wale waliokuwa wametumwa walirudi nyumbani na kumkuta mtumishi akiwa mzima.
Ingi awaite naiatumilwe aiasukile kito ikamuhanga umukulu mupangau.
11 fulani baada ya haya, ilitokea kuwa Yesu alikuwa anasafiri kwenda mji ulioitwa Naini. wanafunzi wake wakaenda pamoja naye wakiambana na umati wa watu.
Naitumile nanso, aeipumie u Yesu aulongoe mukisali nikitangwa Naini, iamanyisigwa akwe ikalongola palung'wi nung'wenso ikakuile niauntu idu.
12 Alipofika karibu na Lango la jiji tazama, mtu aliyekufa alikuwa amebebwa, na ni mtoto wa pekee kwa mama yake. aliyekuwa mjane, na umati wa wawakilishi kutoka kwenye jiji walikuwa pamoja naye.
Naupikile pakupi nitanilyo lakisali goza, muntu nukule akizukekilwe, hangi ng'wana wing'wene kung'wa nyinya akwe, naukali muhimbi numilundo ikatuula palung'wi nung'wenso.
13 Alipomwona, Bwana akamsogelea kwa huruma kubwa sana juu yake na akamwambia, “Usilie”.
Naumuine, utata akamuhugela kwa uwai nukulu itai migulya akwe nukumuila, liekakulila.”
14 Kisha akasogea mbele akaligusa jeneza ambalo walibebea mwili, na wale waliobeba wakasimama akasema “Kijana nasema amka”
Ingi akahugela akalianka isandiko nailikenkee umuimba, nawanaiakenkile ikimika ikalunga umuhumba nungile uka.
15 Mfu akainuka na kukaa chini na akaanza kuongea. Kisha Yesu akamkabidhi kwa mama yake.
Umushi akauka nukikie pihii nukaza kuligitya hangi u Yesu akamupa unyinya wakwe.
16 Kisha hofu ikawajaa wote. wakaendelea kumtukuza Mungu wakisema “Nabii mkuu ameinuliwa miongoni mwetu” na “Mungu amewaangalia watu wake”
Hangi ikizuilwa nuoa ihi. Ikalongoleka kumukulya Itunda akizilunga “Munyakidagu mukulu uukigwe kukiila kumataitu” nu Itunda ukugozile iantu akwe.
17 Hizi habari njema za Yesu zilienea Yudea yote na kwa mikoa yote ya jirani.
Izinkani ni nzaa ni yang'wa Yesu aisambaie ku Yudea ihi niisali yihi niapakupii.
18 Wanafunzi wa Yohana walimwamwambia mambo haya yote.
Iamanyisigwa ang'wa Yohana aiamuie inkani izi yihi.
19 Ndipo Yohana akawaita wawili wa wanafunzi wake na kuwatuma kwa Bwana kusema “Wewe ndiye yule ajaye, au kuna mtu mwingine tumtazamie?
Ingi Yohana akaitanga abili iamanyisigwa akwe nukuatuma kung'wa tata, kulunga uewe ng'wenso uyu nuzile, ang'wi ukole muntu mungiza kumulindile?
20 Walipofika karibu na Yesu hawa wakasema, “Yohana mbatizaji ametutuma kwako kusema, 'Wewe ni yule ajaye au kuna mtu mwingine tumtazamie?”
Naiapikile pakupi nu Yesu nianso ikalunga, Yohana mubadisigwa ukutumile kitalako kulunge. Uewe u ng'wenso nuzile ang'wi ukole muntu mungiza kumugezele?
21 kwa wakati huo aliowaponya watu wengi kutoka katika magonjwa na mateso, kutoka kwa roho wachafu, na kwa watu wenye upofu aliwapa kuona.
Imatungo yayo auagunile iantu idu, kupuma mdwala numulwago, kupuma mukolo nibii, niantu niakete upoku ikaona.
22 Yesu akajibu na kusema kwao. “Baada ya kuwa mmekwenda mlikotoka mtamjulisha Yohana mlichokiona na kukisikia. Wenye upofu wanapokea kuona na viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na kuwa hai tena, masikini wanaambiwa habari njema.
U Yesu akasukilya nukulunga kitalao, ingi naimulongoe naiapumie mukumulagilwa u Yohana ikinimukiine nukukija, awaniapoku akuona niakitele akugenda, niakite imbili akunona, iagulu ainija, iashi ahimbuka nukutula apanga hangi iahimbi akuilwa ulukani nuluza.
23 Na mtu ambaye hataacha kuniamini mimi kwa sababu ya matendo yangu amebarikiwa”.
Umuntu nushukuleka kunihuila unene kunsoko auitumi wane ukukendepwa.”
24 Baada ya wale waliotumwa na Yohana kurudi walikotoka, Yesu akaanza kusema kwa makutano juu ya Yohana, “Mlikwenda nje kuona nini, mwanzi ukiwa unatikiswa na upepo?
Ao naiatumilwe nu Yohana kusuka naiapumie, Uu Yesu akandya kuligitya numilundo kunsoko ang'wa Yohana, aimendile kunzi kugoza ntuni, uwelu auukuhingisigwa nu ng'wega?
25 lakini mlikwenda nje kuona nini, mtu aliyevaa vizuri? tazama watu wale wanaovaa mavazi ya kifalme na kuishi maisha ya starehe wako kwenye nafasi za wafalme.
Azamendile kunzi kugoza ntuni, muntu nutugae izaane? Goza iantu niatugae inguo yakitemi nukikie ulikalo nuluza akole niang'wi akete ilyoma anga iatemi.
26 lakini mnakwenda nje kuona nini, Nabii? Ndiyo, ninasema kwenu na zaidi sana kuliko nabii.
Ite minzu kunzi kugoza ntuni, muntu mnyakidagu? Ingi kulunga kitalanyu niidu itai kukila umnyakidagu.
27 Huyu ndiye aliyeandikiwa, “Tazama, namtuma mjumbe wangu mbele ya macho yenu, atakeyeandaa njia kwa ajili yangu,
Uyu yuyu nauandikiwe, “Goza, kumtuma mitumi wane ntongela a miho anyu, nukunonelya inzila kunsoko ane.
28 Nasema kwenu, kati ya wale waliozaliwa na mwanamke, hakuna mkuu kama Yohana, lakini mtu asiye muhimu sana atakayeishi na Mungu mahali alipo yeye, atakuwa mkuu kuliko Yohana.”
Nungile kitalanyu, kukiila ao naiatugilwe numusungu, kutile numukulu anga Yohana, ingi umuntu ishanga wati nuhumile kikie nu Itunda kung'wanso nukoli nuanso, ukutula mukulu kukila u Yohana.”
29 Na watu wote waliposikia haya pamoja na watoza ushuru, walitangaza kuwa Mungu ni mwenye Haki. Walikuwepo kati yao wale waliobatizwa kwa ubatizo wa Yohana.
Ni antu ihi naiigulwe aya palung'wi niahoela mpia aiatanantilye Itunda ukete Itai. Aiakoli niang'wi naiabadisigwe nu ubadizo wang'wa Yohana.
30 Lakini mafarisayo na wataalamu wa sheria za kiyahudi, ambao hawakubatizwa na yeye walikataa hekima za Mungu kwa ajili yao wenyewe.
Ingi imafarisayo nia zaa akani ya kiyahudi awa nishaaiabadisigwe nung'wenso aiahitile itai ang'wi Tunda kunsoko ao ienso.
31 Tena naweza kuwalinganisha na nini watu wa kizazi hiki? Wakoje hasai?
Hangi nihumile kumipyana ni ntuni antu nia uleli uwu? Akoli uli hangi?
32 Wanafanana na watoto wanaocheza kwenye eneo la soko, wanaokaa na kuitana mmoja baada wa mwingine wakisema, 'Tumepuliza filimbi kwa ajili yenu, na hamkucheza. tumeomboleza na hamkulia.'
Impyani niangenya, niakigisa mumpelo isoko, niikie nukuitanga ung'wi ung'wi nukulunga, kupembile ipilimbi kunsoko anyu, shanga miginsile kiaiye shanga muliile.
33 Yohana mbatizaji alikuja hakula mkate wala hakunywa divai, na mkasema “Ana pepo.
U Yohana mubadisi auzile shanga aulie hangi shanga aung'wee imagai, mikalunga ukite amitunga.
34 Mwana wa Mtu amekuja amekula na kunywa na mkasema, “Angali ni mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi!
Ung'wa muntu uzile walya nukung'wa mikalunga, “Gozi mulaku mugala ntuli, muhumamuya wa ahoela mpia nia anyamilandu!
35 Lakini hekima imetambulika kuwa ina haki kwa watoto wake wote.”
Ingi uhuili wigeleka kina ukite itai ku anaako ihi.”
36 Mmoja wa mafarisayo alimwomba Yesu aende kula pamoja naye. Baada ya Yesu kuingia kwenye nyumba ya farisayo, aliegemea kwenye meza ili ale.
Ung'wi wa mafarisayo aumulompile u Yesu alongole kulya palung'wi nung'wenso. U Yesu naiwingila munyumba ang'wa farisayo, akahegamila mumeza alye.
37 Tazama kulikuwa na mwanamke mmoja katika jiji hilo aliyekuwa na dhambi. Akagundua kuwa alikuwa amekaa kwa Farisayo, akaleta chupa ya manukato.
Goza aukoli musungu ung'wi mukisali nikanso naukete imilandu, Akalinga kumbi wikie kung'wa farisayo, akaleta insupa na makuta nimaza.
38 Alisimama nyuma yake karibu na miguu yake huku akilia. Tena alianza kulowanisha miguu yake kwa machozi, na kuifuta kwa nywele za kichwa chake, akiibusu miguu yake na kuipaka manukato.
Aiwimikile kunyuma akwe kakupi ni migulu akwe kunu akizilila. Hangi akizitontwa imigulu akwe kulihali, nukupyagula kumasingi amitwe lakwe, akamibusu imigulu akwe nukumipaka imakuta nimaza.
39 Na yule farisayo aliyekuwa amemwalika Yesu alipoona hivyo, akawaza mwenyewe akisema, “Kama huyu mtu angekuwa nabii, angejua huyu ni nani na ni aina gani ya mwanamke anayemgusa, ya kuwa ni mwenye dhambi.
Nung'wenso u farisayo aumanile u Yesu nauine uu, akasiga ung'wenso akalunga, umuntu uyu angaaizi munyakidagu, auziliga uyu nyenyu nu wanamuna ki umusungu nukumupapatwa, ukutula mnyamilandu.
40 Yesu akajibu na kumwambia, “Simoni nina kitu cha kukuambia. “Akasema” “Kiseme tu mwalimu!”
U Yesu akasukilya nukumuila, Simoni nkite kitu kakuuila. “Akalunga” “Kitambule udu ngwalimu!”
41 Yesu akasema “Kulikuwa na wadaiwa wawili kwa mkopeshaji mmoja. Mmoja alikuwa anadaiwa dinari mia tano na wa pili alidaiwa dinari hamsini.
U Yesu akalunga, “Aiakole adaigwa abili kumukopisi ung'wi. Ung'wi audaigwe magana miatano nua akabili dinari hamusini.
42 Na walipokuwa hawana pesa ya kumlipa aliwasamehe wote. Sasa ni nani atampenda zaidi?
Naiatuile agila impia nia kumulipa ikalekelwa ihi. Nuuli nukumulowa mbelee?
43 Simoni akamjibu na kusema, “Nadhani aliyesamehewa zaidi.”Yesu akamwambia, “Umehukumu kwa usahihi.”
U Simoni akasukilya nukulunga, nsigile uyu nutekewe u Yesu akamuila, ulamue itai.”
44 Yesu akamgeukia mwanamke na kusema kwa Simoni, “Unamwona huyu mwanamke. Nimeingia kwenye Nyumba yako. Hukunipa maji kwa ajili ya miguu yangu, lakini huyu, kwa machozi yake, alilowanisha miguu yangu na kuifuta kwa nywele zake.
U Yesu akamupilukila umusungu nukumuila u Simoni umuine ne umusungu uyu. Ningie munyumba ako. Shangaupee imazi kunsoko amigulu ane. Ingi umusungu uyu, kuliholi lakwe akatontwa imigulu ane nukumipyagula kuisingi lakwe.
45 Hukunibusu, lakini yeye, tangu alipoingia humu hakuacha kunibusu miguu yangu.
Shanga azunungie, nuanso nazawingia muno sigulekile kunungila imigulu ane.
46 Hukuipaka miguu yangu kwa mafuta, lakini ameipaka miguu yangu kwa manukato.
Shaazumipakile imigulu ane imakuta, ingi umipakile imigulu ane kumakuta nimaza.
47 Kwa jambo hili, nakwambia kwamba alikuwa na dhambi nyingi na amesamehewa zaidi, na pia alipenda zaidi. Lakini aliyesamehewa kidogo, hupenda kidogo tu.”
Ku lukani uli, nukuuila ingi aukite imilandu nidu ingi wasamihilwa itai, hangi akalowa itai. Ingi uyu nusamihiwe inino, nuilowa inino du.
48 Baadaye akamwambia mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa”
Itungo akamuila umusungu, “Imikindo ako asamihilwa.”
49 Wale waliokaa mezani pamoja naye wakaanza kusemezana wao kwa wao, “Huyu ni nani mpaka anasamehe dhambi?”
Nawa naiikie pameza palung'wi nung'wenso ikandya kiligitya enso ku enso, “Uyu nyenyu nukusamihila imilandu?
50 Na Yesu akamwambia mwanamke, “Imani yako imekuokoa. Enenda kwa amani”
Nu Yesu akamuila umusungu, uhuili wako wakuguna. Longola ku uhuili”