< Luka 7 >
1 Baada ya Yesu kumaliza kila kitu alichokuwa anasema kwa watu waliomsikiliza, akaingia Kapernaumu.
耶穌向民眾講完了道一切話以後,就進了葛法翁。
2 Mtumwa fulani wa akida, aliyekuwa wa thamani sana kwake, alikuwa mgonjwa sana na alikuwa karibu ya kufa.
有一個百夫長,他所喜愛的僕人害病要死。
3 Lakini akiwa amesikia kuhusu Yesu, yule Akida alimtuma kiongozi wa kiyahudi, kumwomba aje kumwokoa mtumwa wake ili asife.
他聽說過耶穌的事,就打發猶太人的幾個長老祂那裏去,求祂來治好自己的僕人。
4 Walipofika karibu na Yesu, walimsihi kwa bidii na kusema, “anastahili kwamba unapaswa kufanya hivi kwa ajili yake,
他們到了耶穌那裏,懇切求祂說:「他堪當你給他做這事,
5 kwa sababu analipenda taifa letu, na ndiye aliyejenga sinagogi kwa ajili yetu”.
因為祂愛護我們的民族,又給我們建築了會堂。」
6 Yesu akaendelea na safari yake pamoja nao. lakini kabla hajaenda mbali na nyumba, afisa mmoja aliwatuma marafiki zake kuzungumza naye. “Bwana, usijichoshe mwenyewe kwa sababu mimi sistahili wewe kuingia kwenye dari yangu.
耶穌就同他們去了。當祂離那家不遠時,百夫長打發僕人向祂說:「主啊! 不必勞駕了! 因為我當不起你到舍下來。
7 Kwa sababu hii sikufikiria hata mimi mwenyewe kuwa ninafaa kuja kwako, lakini sema neno tu na mtumishi wangu atapona.
為此我認為我不堪當親自到你跟前來,只請你說一句話,我的僕人就必好了。
8 Kwani mimi pia ni mtu niliyewekwa kwenye mamlaka na nina askari chini yangu. Husema kwa huyu “Nenda” na huenda, na kwa mwingine, “Njoo” naye huja, na kwa mtumishi wangu 'Fanya hiki', na yeye hufanya”.
因為我雖是受派在人權下的,但是在我下也有士兵;,我對這個說:你去! 他就去;對那個說:你來! 他就來;對我的奴僕說:你作這個! 他就做。」
9 Yesu aliposikia haya alishangaa, na kuwageukia makutano waliokuwa wanamfuata na kusema.”Nawaambia, hata katika Israeli, sijawahi kuona mtu mwenye imani kuu kama huyu.
耶穌一聽這些話,就佩服他,遂轉身對跟髓祂的人說:「我告訴你們:連在以色列,我也沒有見過這樣大的信德。
10 Kisha wale waliokuwa wametumwa walirudi nyumbani na kumkuta mtumishi akiwa mzima.
被派去的人回到家中,見那僕人已痊癒了。
11 fulani baada ya haya, ilitokea kuwa Yesu alikuwa anasafiri kwenda mji ulioitwa Naini. wanafunzi wake wakaenda pamoja naye wakiambana na umati wa watu.
以後,耶穌往一座名叫納因的城去,祂的們徒和許多群眾與祂同行。
12 Alipofika karibu na Lango la jiji tazama, mtu aliyekufa alikuwa amebebwa, na ni mtoto wa pekee kwa mama yake. aliyekuwa mjane, na umati wa wawakilishi kutoka kwenye jiji walikuwa pamoja naye.
臨近城門時,看,正抬出一個死人來,他是母親的獨生子,母親又是寡婦;且有本城的一大夥人陪她。
13 Alipomwona, Bwana akamsogelea kwa huruma kubwa sana juu yake na akamwambia, “Usilie”.
主一看見她,就對她動了憐憫的心,向她說:「不要哭了! 」
14 Kisha akasogea mbele akaligusa jeneza ambalo walibebea mwili, na wale waliobeba wakasimama akasema “Kijana nasema amka”
遂上前按往棺材,抬棺材的人就站往了。祂說:「青年人,我對你說:起來吧! 」
15 Mfu akainuka na kukaa chini na akaanza kuongea. Kisha Yesu akamkabidhi kwa mama yake.
那死者便坐起來,並開口說話;耶穌便把他交給了他的母親。
16 Kisha hofu ikawajaa wote. wakaendelea kumtukuza Mungu wakisema “Nabii mkuu ameinuliwa miongoni mwetu” na “Mungu amewaangalia watu wake”
眾人都害怕起來,光榮天主說:「在失們當中興起了一位大先知,天主眷顧了祂自己的百姓。」
17 Hizi habari njema za Yesu zilienea Yudea yote na kwa mikoa yote ya jirani.
於是,稱述耶穌的這番話,傳遍了猶太和附近各地。
18 Wanafunzi wa Yohana walimwamwambia mambo haya yote.
若翰的門徒把這一切報告給若翰,若翰便叫了自己的兩個門徒來,
19 Ndipo Yohana akawaita wawili wa wanafunzi wake na kuwatuma kwa Bwana kusema “Wewe ndiye yule ajaye, au kuna mtu mwingine tumtazamie?
打發他們到主那裡去說:「你就是要來那位或者我們還要等待另一位?」
20 Walipofika karibu na Yesu hawa wakasema, “Yohana mbatizaji ametutuma kwako kusema, 'Wewe ni yule ajaye au kuna mtu mwingine tumtazamie?”
二人來到耶穌跟前說:「洗者若翰派我們來問你:你就是要來那位或者我們還要等候另一位?」
21 kwa wakati huo aliowaponya watu wengi kutoka katika magonjwa na mateso, kutoka kwa roho wachafu, na kwa watu wenye upofu aliwapa kuona.
正在那時刻,祂治好了許多患有病痛和疾苦的,並附有惡魔的人,又恩賜許多瞎子看見。
22 Yesu akajibu na kusema kwao. “Baada ya kuwa mmekwenda mlikotoka mtamjulisha Yohana mlichokiona na kukisikia. Wenye upofu wanapokea kuona na viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakasika, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa na kuwa hai tena, masikini wanaambiwa habari njema.
祂便回答說:「你們去吧! 把你們所見所聞的報告給若翰:瞎子看見,瘸子行走,癩病人潔淨,聾子聽見,死人復活,貧窮人聽到喜訊。
23 Na mtu ambaye hataacha kuniamini mimi kwa sababu ya matendo yangu amebarikiwa”.
凡不因我而絆倒的,是有福的。」
24 Baada ya wale waliotumwa na Yohana kurudi walikotoka, Yesu akaanza kusema kwa makutano juu ya Yohana, “Mlikwenda nje kuona nini, mwanzi ukiwa unatikiswa na upepo?
若翰的使者走了以後,就對群眾論若翰說:「你們出去到荒野裏是為看什麼呢? 是看一枝被風搖曳的蘆葦嗎?
25 lakini mlikwenda nje kuona nini, mtu aliyevaa vizuri? tazama watu wale wanaovaa mavazi ya kifalme na kuishi maisha ya starehe wako kwenye nafasi za wafalme.
你們出去到底是為看什麼? 為看一位穿細軟衣服的人嗎? 啊! 那衣服華麗和生活奢侈的人是在王宮裏。
26 lakini mnakwenda nje kuona nini, Nabii? Ndiyo, ninasema kwenu na zaidi sana kuliko nabii.
你們出去究竟是為看什麼? 為看一位先知嗎? 是的,我告訴你們:而且他比先知還大。
27 Huyu ndiye aliyeandikiwa, “Tazama, namtuma mjumbe wangu mbele ya macho yenu, atakeyeandaa njia kwa ajili yangu,
關於這人經上記載說:『看,我派遺我的使者在你在面前,他要在你的在前面預備你的道路。』
28 Nasema kwenu, kati ya wale waliozaliwa na mwanamke, hakuna mkuu kama Yohana, lakini mtu asiye muhimu sana atakayeishi na Mungu mahali alipo yeye, atakuwa mkuu kuliko Yohana.”
我告訴你們:婦女所生的,沒有一個比若翰更大的;但在天主的國最小的,也比他大。
29 Na watu wote waliposikia haya pamoja na watoza ushuru, walitangaza kuwa Mungu ni mwenye Haki. Walikuwepo kati yao wale waliobatizwa kwa ubatizo wa Yohana.
聽教的眾百姓和稅吏,都承認天主正義的要求而領受了若翰的洗禮。
30 Lakini mafarisayo na wataalamu wa sheria za kiyahudi, ambao hawakubatizwa na yeye walikataa hekima za Mungu kwa ajili yao wenyewe.
但法利賽人和法學士卻沒有受他的洗,在自己的身上使天主的計劃作廢。
31 Tena naweza kuwalinganisha na nini watu wa kizazi hiki? Wakoje hasai?
我可把這一時代的人比作什麼呢? 他們相似什麼人呢?
32 Wanafanana na watoto wanaocheza kwenye eneo la soko, wanaokaa na kuitana mmoja baada wa mwingine wakisema, 'Tumepuliza filimbi kwa ajili yenu, na hamkucheza. tumeomboleza na hamkulia.'
他們相似坐在街上的兒童,彼此呼喚說:我們給你們吹笛,你們卻不跳舞;我們唱哀歌,你們卻不悲哭。
33 Yohana mbatizaji alikuja hakula mkate wala hakunywa divai, na mkasema “Ana pepo.
因為洗者若翰來了,他不吃餅,也不喝酒,們便說:他附了魔。
34 Mwana wa Mtu amekuja amekula na kunywa na mkasema, “Angali ni mlafi na mlevi, rafiki wa watoza ushuru na wenye dhambi!
人子來了,也吃也喝,你們又說:這是個貪吃嗜酒的人,是個稅吏和罪人的朋友。
35 Lakini hekima imetambulika kuwa ina haki kwa watoto wake wote.”
但一切智慧之子,必彰顯智慧的正義。
36 Mmoja wa mafarisayo alimwomba Yesu aende kula pamoja naye. Baada ya Yesu kuingia kwenye nyumba ya farisayo, aliegemea kwenye meza ili ale.
有個法利賽人請耶穌同他吃飯,祂便進了那法利賽人的家中坐席
37 Tazama kulikuwa na mwanamke mmoja katika jiji hilo aliyekuwa na dhambi. Akagundua kuwa alikuwa amekaa kwa Farisayo, akaleta chupa ya manukato.
那時,有個婦人,是城中的罪人,她一聽說耶穌在法利賽人家中坐席,就帶著一玉瓶香液,
38 Alisimama nyuma yake karibu na miguu yake huku akilia. Tena alianza kulowanisha miguu yake kwa machozi, na kuifuta kwa nywele za kichwa chake, akiibusu miguu yake na kuipaka manukato.
來站在祂背後,靠近祂的腳哭開了,用眼淚滴濕了祂的腳,用自己的頭髮擦乾,又熱切地口親祂的腳,以後抹上香液。
39 Na yule farisayo aliyekuwa amemwalika Yesu alipoona hivyo, akawaza mwenyewe akisema, “Kama huyu mtu angekuwa nabii, angejua huyu ni nani na ni aina gani ya mwanamke anayemgusa, ya kuwa ni mwenye dhambi.
那請耶穌的法利賽人見了,就心裏想:「這人若是先知,必定知道這個摸他的人是誰,是怎樣的女人:是一個罪婦。」
40 Yesu akajibu na kumwambia, “Simoni nina kitu cha kukuambia. “Akasema” “Kiseme tu mwalimu!”
耶穌發言對他說:「西滿,我有一件事要向你說。」西滿說:「師傅,請說吧!
41 Yesu akasema “Kulikuwa na wadaiwa wawili kwa mkopeshaji mmoja. Mmoja alikuwa anadaiwa dinari mia tano na wa pili alidaiwa dinari hamsini.
一個債主有兩個債戶:一個欠五百德納,另一個欠五十。
42 Na walipokuwa hawana pesa ya kumlipa aliwasamehe wote. Sasa ni nani atampenda zaidi?
因為他們都無力償還,債主就開恩,赦免了他們二人。那麼他們中誰更愛他呢? 」
43 Simoni akamjibu na kusema, “Nadhani aliyesamehewa zaidi.”Yesu akamwambia, “Umehukumu kwa usahihi.”
西滿答說:「我想是那多得恩赦的。」耶穌對他說:「你判斷得正對。」
44 Yesu akamgeukia mwanamke na kusema kwa Simoni, “Unamwona huyu mwanamke. Nimeingia kwenye Nyumba yako. Hukunipa maji kwa ajili ya miguu yangu, lakini huyu, kwa machozi yake, alilowanisha miguu yangu na kuifuta kwa nywele zake.
祂遂轉身向那婦人,對西滿說:「你看見這個婦人嗎? 我進了你的家,你沒有給我水洗腳,她卻用眼淚滴濕了我的腳,並用頭髮擦乾。
45 Hukunibusu, lakini yeye, tangu alipoingia humu hakuacha kunibusu miguu yangu.
你沒有給我行口親禮,她卻自從我進來,就不斷地口親我的腳
46 Hukuipaka miguu yangu kwa mafuta, lakini ameipaka miguu yangu kwa manukato.
你沒有用油抹我的頭,她卻用香液抹了我的腳。
47 Kwa jambo hili, nakwambia kwamba alikuwa na dhambi nyingi na amesamehewa zaidi, na pia alipenda zaidi. Lakini aliyesamehewa kidogo, hupenda kidogo tu.”
故此,我告訴你:她的那許多罪得了赦免,因為她愛得多;但那少得赦免的,是愛的少。」
48 Baadaye akamwambia mwanamke, “Dhambi zako zimesamehewa”
耶穌遂對婦人說:「妳的罪得了赦免。」
49 Wale waliokaa mezani pamoja naye wakaanza kusemezana wao kwa wao, “Huyu ni nani mpaka anasamehe dhambi?”
同席的人心中想道:「這人是誰? 他竟然赦免罪過! 」
50 Na Yesu akamwambia mwanamke, “Imani yako imekuokoa. Enenda kwa amani”
耶穌對婦人說:「的信德救了妳,平安回去吧! 」