< Luka 6 >

1 Sasa ilitokea kwenye Sabato kwamba Yesu alikuwa akipita katika ya shamba la nafaka na wanafunzi wake walikuwa wakichuma masuke, wakayasuguasugua kati ya mikono yao wakala nafaka.
Sa: bade eso afaega, Yesu amola ea ado ba: su dunu, ilia da gagoma bugi ganodini lalu. Gagoma faili, ilia loboga gaguli, fadasini, nanu.
2 Lakini baadhi ya Mafarisayo wakasema, “Kwa nini mnafanya kitu ambacho si halali kisheria kukifanya siku ya sabato”?
Be Fa: lisi dunu da amo hou ba: beba: le, ougili amane sia: i, “Dilia abuliba: le Sa: bade Sema wadela: bela: ?”
3 Yesu, akawajibu, akisema, “Hamkuwahi kusoma kile Daudi alifanya alipokuwa na njaa, yeye na wanaume waliokuwa pamoja naye?
Yesu E bu adole i, “Dilia Gode Ea Sia: Dedei hame idibela: ? Da: ibidi amola ea baligia aligisu dunu da ha: i nababeba: le,
4 Alikwenda katika nyumba ya Mungu, na akachukuwa mikate mitakatifu na kuila baadhi, na kuitoa baadhi kwa watu aliokuwa nao kuila, hatakama ilikuwa halali kwa makuhani kuila.”
ilia da Gode Ea diasu ganodini golili sa: ili, agi ga: gi amo Godema imunusa: ligisi, amo Da: ibidi da lale nanu, amola ea fidisu dunuma i dagoi. Amo agi da sema bagade galu. Gobele salasu dunu ilia fawane nasu.”
5 Kisha akawaambia, “Mwana wa Adamu ni Bwana wa Sabato.”
E da ilima eno amane sia: i, “Dunu Egefe da Sa: bade eso amoma Hina esala.”
6 Ilitokea katika Sabato nyingine kwamba alikwenda ndani ya sinagogi na kuwafundisha watu huko. Palikuwa na mtu ambaye mkono wake wa kulia ulikuwa umepooza.
Yesu da Sa: bade eso enoga, sinagoge diasuga sia: olelemusa: , golili sa: i. Dunu ea lobodafa gadoi dialu esalebe ba: i.
7 Waandishi na Mafarisayo walikuwa wanamwangalia kwa makini kuona kama angemponya mtu siku ya Sabato, ili waweze kupata sababu ya kumshtaki kwa kufanya kosa.
Fa: lisi dunu amola sema olelesu dunu ilia da Yesuma E da wadela: i hou hamoi dagoi diwaneya udidimu hanaiba: le, Ea hou ba: musa: sosodo aligi. “E da Sa: bade esoga dunu uhima: bela: ?” ilia wamowane sosodolalu.
8 Lakini alijua nini walikuwa wanafikiri na akasema kwa mtu aliyekuwa amepooza mkono, “Amka, simama hapa katikati ya kila mmoja.” Hivyo huyo mtu akanyanyuka na kusimama pale.
Be Yesu da ilia asigi dawa: su ba: i dagoi. E da lobo gadoi dialu dunuma amane sia: i, “Guiguda: misini, diasu dogoa leloma!” Gadoi dialu dunu da wa: legadole, dunu midadi lelu.
9 Yesu akasema kwao, “Nawauliza ninyi, ni halali siku ya Sabato kufanya mema au kufanya madhara, kuokoa maisha au kuyaharibu?” Kisha aliwaangalia wote na kumwambia yule mtu,
Yesu da Fa: lisi dunuma amane sia: i, “Na da dilima adole ba: sa. Sa: bade esoga hou ida: iwane hamomu da defeala: ? O wadela: i hou hamomu da defeala: ? Sa: bade esoga dunu ea esalusu gaga: mu o wadela: mu da defeala: ?”
10 “Nyoosha mkono wako.” Akafanya hivyo, na mkono wake ulikuwa umeponywa.
Amalalu, Yesu da dunu huluanema ba: le gale, E da lobo gadoi dialu dunuma amane sia: i, “Dia lobo moloma!” Amo sia: nababeba: le, e da ea lobo molole, bu ida: iwane ba: i.
11 Lakini walijawa na hasira, wakaongeleshana wao kwa wao kuhusu nini wanapaswa wafanye kwa Yesu.
Amalalu, Fa: lisi dunu amola sema olelesu dunu ilia ougi heda: le, ilia da Yesuma adi hamoma: bela: le gilisili sia: dasu.
12 Ilitokea siku hizo kwamba alikwenda mlimani kuomba. Aliendelea usiku mzima kumuomba Mungu.
Amo esoha, Yesu da goumiba: le heda: le, amo gasi ganodini gebewane Godema sia: ne gadolalu.
13 Ilipokuwa asubuhi, aliwaita wanafunzi wake kwake, na akawachagua kumi na wawili kati yao, ambao pia aliwaita “mitume.”
Hadigibi galu, E da Ea fa: no bobogesu dunu Ema misa: ne sia: i. Amalalu, E da dunu fagoyale amo ilegei. E da ilima ‘Asunasi Dunu’ dio asuli.
14 Majina ya wale mitume yalikuwa Simoni (ambaye pia alimwita Petro) na Andrea ndugu yake, Yakobo, Yohana, Filipo, Bartolomayo,
Ilia dio da Saimone (Yesu da ea dio afadenene, bu Bida dio asuli) amola Saimone eya A: dalu, Ya: mese, Yone, Filibe, Badolemiu,
15 Mathayo, Tomaso na Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni, ambaye aliitwa Zelote,
Ma: diu, Domase, Ya: mese eno (A: lafiase ea mano), Saimone eno (ema ilia da Selode dio asuli),
16 Yuda mwana Yakobo na Yuda Iskariote, ambaye alikuwa msaliti msaliti.
Yudase (Ya: mese ea mano), amola Yudase Isaga: liode (e fa: no Yesu hohonoi).
17 Kisha Yesu alitelemka pamoja nao toka mlimani na kusimama mahali tambarare. Idadi kubwa ya wanafunzi wake walikuwa huko, pamoja na idadi kubwa ya watu kutoka Uyahudi na Yerusalemu, na kutoka pwani ya Tiro na Sidoni.
Yesu amola Ea Asunasi Dunu ilia da agoloba: le sa: ili, umiga doaga: i. Ema fa: no bobogesu dunu bagohame, eno Yudia dunu, Yelusaleme dunu, amola hano bega: dialu moilai amo Daia amola Saidone, amo dunu huluane da Yesuma gilisi.
18 Walikuja kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao. Watu waliokuwa wakisumbuliwa na pepo wachafu waliponywa pia.
Ilia da Ea sia: nabimusa: , amola ilia oloi Ea loboga uhinisisima: ne, gilisi. Mogili da ilia dogo ganodini Fio liligi aligila sa: iba: le, Ema uhinisisima: ne misi.
19 Kila mmoja kwenye hilo kusanyiko alijaribu kumgusa kwa sababu nguvu za uponyaji zilikuwa zikitokea ndani yake, na aliwaponya wote.
Dunu huluane da Yesu Ea da: i hodo digili ba: musa: dawa: i galu. Bai Ema gasa bagade hou da ahoabeba: le, dunu huluane da uhinisi dagoi ba: i.
20 Kisha akawaangalia wanafunzi wake, na kusema, “Mmebarikiwa ninyi mlio maskini, kwa maana ufalme wa Mungu ni wenu.
Amalalu, Yesu da Ea ado ba: su dunu ba: le, ilima amane sia: i, “Hame gagui dunu! Dilia da hahawane gala! Gode Ea Hinadafa Hou da dilia: !
21 Mmebarikiwa ninyi mlio na njaa sasa, kwa maana mtashibishwa. Mmebarikiwa ninyi mliao sasa, kwa maana mtacheka.
Dilia waha ha: i nabi dunu da hahawane gala! Dilia da sadimu! Dilia waha dinanebe dunu da hahawane gala! Dilia da bagadewane oumu!
22 Mmebarikiwa ninyi ambao watu watakapowachukia na kuwatenga na kuwashutumu ninyi kwamba ni waovu, kwa ajili ya Mwana Adamu.
Dilia da Dunu Egefe Ea hou lalegaguiba: le, dunu eno dilia hou higasea, amola dilia dio lasogole sia: sea, amola dilia da wadela: i dunu ilia da sia: sea, dilia da hahawane bagade ba: mu!
23 Furahini katika siku hiyo na kurukaruka kwa furaha, kwa sababu hakika mtakuwa na thawabu kubwa mbinguni, kwa maana baba zao waliwatendea vivyohivyo manabii.
Ilia agoane hamosea, dilia mae da: i dione, hahawaneba: le, gosa: le imunu da defea! Bai Hebene soge ganodini, dilia bidi bagadewane da momagei diala. Ilia aowalali dunu da amo hou balofede dunu ilima agoane hamosu.
24 Lakini ole wenu mlio matajiri! Kwa maana mmekwisha pata faraja yenu.
Be bagade gagui dunu, dilia da se bagade nabimu! Dilia bidi huluanedafa lai dagoi!
25 Ole wenu mlio shiba sasa! Kwa maana mtaona njaa baadaye. Ole wenu mnaocheka sasa! Kwa maana mtaomboleza na kulia baadaye.
Sadi dunu, dilia da se bagade nabimu! Dilia ha: i bagade nabimu! Oufesega: be dunu! Dilia da se bagade nabimu! Dilia da da: i dioiba: le dinanumu!
26 Ole wenu, mtakaposifiwa na watu wote! Kwa maana baba zao waliwatendea manabii wa uongo vivyohivyo.
Dunu huluanedafa da dilia dio nodone agoane sia: sea, dilia da se bagade nabimu! Bai ilia aowalali fi dunu da amo defele, ogogosu balofede dunuma nodosu!
27 Lakini nasema kwenu ninyi mnaonisikiliza, wapendeni adui zenu na kufanya mema kwa wanao wachukieni.
Be dilia nabasu dunuma Na da amane sia: sa, “Dilima ha lai dunuma asigima! Nowa dunu da dilima higasea, amo dunuma hou ida: iwane dabe agoane ima.
28 Wabarikini wale wanao walaani ninyi na waombeeni wale wanaowaonea.
Nowa dunu dilima gagabusu aligima: ne sia: sea, amo dunuma Gode da ili hahawane dogolegele fidima: ne sia: ma. Nowa dunu dilia hou wadela: sea, amo dunu fidima: ne Godema sia: ne gadoma.
29 Kwake yeye akupigaye shavu moja, mgeuzie na la pili. Kama mtu akikunyang'anya joho lako usimzuilie na kanzu.
Nowa dunu da dia ba: fasea, defea, dia ba: eno la: ididili ea fama: ne, delegili olema! Nowa da dia abula lamusa: sia: sea, defea, amo ema ima. Amola amo baligili, gilisili dia da: i salasu igili ima.
30 Mpe kila akuombaye. Kama mtu akikunyang'anya kitu ambacho ni mali yako, usimuombe akurudishie.
Nowa dunu dima edegesea, ema ima. Dunu da dia liligi lasea, amo liligi bu samogemusa: mae adole ba: ma.
31 Kama mpendavyo watu wawatendee, nanyi watendeeni vivyo hivyo.
Adi hou, dia da eno dunu dima hamomu hanai galea, amo hou defelewane ilima hamoma!
32 Kama mkiwapenda watu wawapendao ninyi tu, hiyo ni thawabu gani kwenu? Kwamaana hata wenye dhambi huwapenda wale wawapendao.
Dilia dogolegei fi ilima fawane asigi hou hamosea, dilia da bidi ida: iwane lama: bela: ? Hame mabu! Wadela: i hou hamosu dunu da ilia na: iyado dunu ilima dabele asigi hou hamosa.
33 Kama mkiwatendea mema wale wanaowatendea ninyi mema, hiyo ni thawabu gani kwenu? Kwa maana hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.
Amola dunu da dilima hou ida: iwane hamosa, amo dunuma dilia dabe hou ida: iwane bu dabe iasea, dilia bidi ida: iwane lama: bela: ? Hame mabu! Wadela: i hou hamosu dunu da amo hou defele hamonana.
34 Kama mkikopesha vitu kwa watu ambao mnategemea watawarudishia, hiyo ni thawabu gani kwenu? Hata wenye dhambi huwakopesha wenye dhambi, na hutegemea kupokea kiasi hicho hicho tena.
Be dunu da dilima bu dabe ima: ne liligi lasea, dilia bidi ida: iwane lama: bela: ? Hame mabu! Wadela: i hou hamosu dunu da wadela: i hou hamosu dunu eno ilima bu dabe amola eno dabe musa lai defelewane lama: ne, liligi iaha!
35 Lakini wapendeni adui zenu na watendeeni mema. Wakopesheni na msihofu kuhusu kurudishiwa, na thawabu yenu itakuwa kubwa. Mtakuwa wana wa Aliye Juu, kwasababu yeye mwenyewe ni mwema kwa watu wasio na shukurani na waovu.
Be dia ha lai dunuma asigima! Hou ida: iwane ilima hamoma! Dabe fa: no di bu lamusa: mae dawa: le, hahawane liligi udigili ilima ima! Amasea dilia da bidi ida: iwane ba: mu, amola dilia da Gode Gadodafa amo Ea mano agoane esalumu. Bai Gode da nodone hame sia: su dunu amola uasu dunu ilima defele, asigi hou olelesa.
36 Iweni na huruma, kama Baba yenu alivyo na huruma.
Amaiba: le, dilia Ada Gode Ea asigili gogolema: ne olofosu hou defelewane, dilia eno dunuma asigima.
37 Msihukumu, nanyi hamta hukumiwa. Msilaani, nanyi hamtalaaniwa. Sameheni wengine, nanyi mtasamehewa.
Dilia eno dunu ilia hou amoma udigili mae fofada: ma. Amasea, Gode da dilia hou amoma udigili hame fofada: mu. Dilia da eno dunuma se dabe ima: ne hame fofada: sea, Gode amola da dilima se ima: ne hame fofada: mu. Dilia da eno dunu ilia hou gogolema: ne olofosea, Gode da dilia hou gogolema: ne olofomu.
38 Wapeni wengine, nanyi mtapewa. Kiasi cha ukarimu - kilichoshindiliwa, kusukwasukwa na kumwagika - kitamwagika magotini penu. Kwa sababu kwa kipimo chochote mnachotumia kupimia, kipimo hicho hicho kitatumika kuwapimia ninyi.”
Dilia da Godema amola eno dunuma iasea, Gode da dilima bu imunu. Gode da bagadedafa dilima imunu. Fedege agoane, E da dilia esa ganodini salawane banenesili, nabaiba: le gugudili sa: imu. Dilia da eno dunuma iabe, amo defelewane Gode da dilima bu imunu.”
39 Kisha akawaambia mfano pia. “Je mtu aliye kipofu aweza kumwongoza mtu mwingine kipofu? Kama alifanya hivyo, basi wote wangalitumbukia shimoni, je wasingetumbukia?
Yesu da fedege sia: eno ilima olelei, “Si dofoi dunu da eno si dofoi dunu ea lobolele, logo olemu da hamedei. Amane hamosea, ela gilisili hano ogai ganodini dafamu.
40 Mwanafunzi hawi mkubwa kuliko mwalimu wake, lakini kila mtu akiisha kufundishwa kwa ukamilifu atakuwa kama mwalimu wake.
Ado ba: su dunu da ea olelesu dunu ea hou amo hame baligisa. Be ado ba: su dunu huluane, ilia olelei huluane lai dagoiba: le, ilia da olelesu dunu ea dawa: su amo defelewane ba: mu.
41 Na kwa nini basi wakitazama kibanzi kilicho ndani ya jicho la ndugu yako, na boriti lililo ndani ya jicho lako huliangalii?
Di abuliba: le ifa su dia sama ea si ganodini dialebe, amo higale ba: sala: ? Be ifa da: fe dia si ganodini dialebe, di abuli hame ba: sala: ?
42 Utawezaje kumwambia ndugu yako, 'Ndugu, naomba nikitoe kibanzi kilicho ndani ya jicho lako,' nawe huangalii boriti iliyo katika jicho lako mwenyewe? Mnafiki wewe! Kwanza itoe boriti katika jicho lako mwenyewe, ndipo utaona vizuri kutoa kibanzi katika jicho la ndugu yako.
Di da ifa da: fe dia si ganodini dialebe hame ba: beba: le, dia sama ema, ‘Ifa su dia si ganodini dialebe na lale fasimu!’ amane sia: mu da hamedei galebe. Di da dabua fawane moloi dunu! Hidadea, ifa da: fe dia si ganodini dialebe fadegale fasili, bu noga: iwane ba: beba: le, fa: no ifa su dia sama ea siga fadegamu da defea.
43 Kwa sababu hakuna mti mzuri uzaao matunda mabaya, wala hakuna mti mbaya uzaao matunda mazuri.
Ida: iwane ifa da fage wadela: i gala legemu hamedei galebe. Wadela: i ifa da fage ida: iwane legemu gogolesa.
44 Kwa sababu kila mti hutambulika kwa matunda yake. Kwa sababu watu hawachumi tini kutoka kwenye miba, wala hawachumi zabibu kutoka kwenye michongoma.
Dunu huluane ilia dawa: Ifa ea fage ba: beba: le, amo ifa ea hou dawa: sa. Esalo dulu faimusa: dawa: sea, dunu da aya: gaga: nomei gagaloboa hame doaga: sa. aya: gaga: nomei amoga dunu da waini fage hame faisa.
45 Mtu mwema katika hazina njema ya moyo wake hutoa yaliyo mema, na mtu mwovu katika hazina mbovu ya moyo wake hutoa yaliyo maovu. Kwa sababu kinywa chake husema yale yaujazayo moyo wake.
Dunu ida: iwane gala da ea ida: iwane gobolo dogo ganodini diala amoga hou ida: iwane olelesa. Wadela: i dunu da ea wadela: i gobolo dogo ganodini diala, amoga wadela: i hou olelesa. Adi liligi amoga dunu ea dogo da nabai galea, amo da gugudili dasea, amoga e da ea lafidili sia: sa.
46 Kwanini mnaniita, 'Bwana, Bwana', na bado hamyatendi yale nisemayo?
Dilia da Na sia: hame nababeba: le, dilia abuliba: le Nama ‘Hina! Hina!’ amo sia: nanabela: ?
47 Kila mtu ajaye kwangu na kuyasikia maneno yangu na kuyatendea kazi, nitawaonyesha jinsi alivyo.
Nowa dunu da Na sia: noga: le nababeba: le, noga: le hamosea, e da dunu afae ea hou agoane.
48 Anafanana na mtu ajengae nyumba yake, ambaye huchimba chini sana, na kujenga msingi wa nyumba juu ya mwamba imara. Mafuriko yalipokuja, maporomoko ya maji yaliipiga nyumba, lakini hayakuweza kuitikisa, kwa sababu ilikuwa imejengwa vizuri.
E da diasu gagusu dunu agoane. Amo dunu da guduwane uli dogole, magufu amoga doaga: le, amo da: iya diasu gagui. Amasea, hano heda: le, gafululi, diasu fai. Be diasu da noga: le gaguiba: le, hame mugului.
49 Lakini yeyote asikiaye neno langu na hakulitii; mfano wake ni mtu aliyejenga nyumba juu ya ardhi pasipokuwa na msingi, mto ulipoishukia kwa nguvu, nyumba ile ilitopata maangamizi makubwa.
Be nowa dunu da na sia: ea gega nabasea, be nabawane hame hamosea, e da eno dunu agoane. Ea diasu e da osobo mae dogole, udigili dasai sa: i da: iya gagui. Amasea, hano heda: le, gafululi, diasu fane, diasu da hedolowane mugululi hamedafa ba: i.”

< Luka 6 >