< Luka 5 >
1 Basi ilitokea wakati watu walipomkusanyikia na kumzunguka Yesu na kusikiliza neno la Mungu, ambapo alikuwa amesimama kando ya ziwa Genesareti.
Halk, Ginnesar Gölü'nün kıyısında duran İsa'nın çevresini sarmış, Tanrı'nın sözünü dinliyordu.
2 Aliona mashua mbili zimetia nanga pembeni mwa ziwa. Wavuvi walikuwa wametoka na walikuwa wakiosha nyavu zao.
İsa, gölün kıyısında iki tekne gördü. Balıkçılar teknelerinden inmiş ağlarını yıkıyorlardı.
3 Yesu akaingia katika mojawapo ya zile mashua, ambayo ilikuwa ya Simoni na kumwomba aipeleke majini mbali kidogo na nchi kavu. Kisha akakaa na kufundisha kutokea kwenye mashua.
İki tekneden Simun'a ait olanına binen İsa, ona kıyıdan biraz açılmasını rica etti. Sonra oturdu, teknenin içinden halka öğretmeye devam etti.
4 kuongea, akamwambia Simoni, “Ipeleke mashua yako mpaka kwenye kilindi cha maji nakushusha nyavu zako ili kuvua samaki.”
Konuşmasını bitirince Simun'a, “Derin sulara açılın, balık tutmak için ağlarınızı atın” dedi.
5 Simon akajibu na kusema, Bwana, tumefanya kazi usiku wote, na hatukukamata chochote, lakini kwa neno lako, nitazishusha nyavu.
Simun şu karşılığı verdi: “Efendimiz, bütün gece çabaladık, hiçbir şey tutamadık. Yine de senin sözün üzerine ağları atacağım.”
6 Walipofanya hivyo walikusanya kiasi kikubwa cha samaki na nyavu zao zikaanza kukatika.
Bunu yapınca öyle çok balık yakaladılar ki, ağları yırtılmaya başladı.
7 Hivyo wakawaashiria washirika wao kwenye mashua nyingine ili waja na kuwasaidia. Walikuja wakazijaza mashua zote, kiasi kwamba zikaanza kuzama.
Öbür teknedeki ortaklarına işaret ederek gelip yardım etmelerini istediler. Onlar da geldiler ve her iki tekneyi balıkla doldurdular; tekneler neredeyse batıyordu.
8 Lakini Simoni Petro, alipoona hivyo, alianguka magotini pa Yesu akisema,”Ondoka kwangu, kwa sababu mimi ni mtu mwenye dhambi Bwana.”
Simun Petrus bunu görünce, “Ya Rab, benden uzak dur, ben günahlı bir adamım” diyerek İsa'nın dizlerine kapandı.
9 Kwa sababu alishangazwa, na wote waliokuwa pamoja naye, kwa uvuvi wa samaki waliokuwa wameufanya.
Kendisi ve yanındakiler, tutmuş oldukları balıkların çokluğuna şaşıp kalmışlardı.
10 Hili liliwajumuisha Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo, ambao walikuwa washirika wa Simoni. Na Yesu akamwambia Simoni, “Usiogope, kwa sababu kuanzia sasa na kuendelea utavua watu.”
Simun'un ortakları olan Zebedi oğulları Yakup'la Yuhanna'yı da aynı şaşkınlık almıştı. İsa Simun'a, “Korkma” dedi, “Bundan böyle balık yerine insan tutacaksın.”
11 Walipokwishazileta mashua zao nchi kavu, waliacha kila kitu na kumfuata yeye.
Sonra onlar tekneleri karaya çektiler ve her şeyi bırakıp İsa'nın ardından gittiler.
12 Ilitokea kwamba alipokuwa katika mji mmojawapo, mtu aliyekuwa amejaa ukoma alikuwa huko. Wakati alipomuona Yesu, alianguka akiinamisha uso kwake mpaka chini na kumuomba, akisema, “Bwana, ikiwa unataka, waweza kunitakasa.”
İsa kentlerden birindeyken, her yanını cüzam kaplamış bir adamla karşılaştı. Adam İsa'yı görünce yüzüstü yere kapanıp yalvardı: “Ya Rab, istersen beni temiz kılabilirsin” dedi.
13 Kisha Yesu alinyoosha mkono wake na kumgusa, akisema, “Nataka. Takasika.” Na saa ileile ukoma ukamwacha.
İsa elini uzatıp adama dokundu, “İsterim, temiz ol!” dedi. Adam anında cüzamdan kurtuldu.
14 “Alimwagiza asimwambie mtu yeyote, lakini alimwambia, “Nenda zako, na ukajionyeshe kwa makuhani na utoe sadaka ya utakaso wako, sawasawa na kile Musa alichokiamuru, kwa ushuhuda kwao.”
İsa ona, bundan kimseye söz etmemesini buyurdu. “Git, kâhine görün ve cüzamdan temizlendiğini herkese kanıtlamak için Musa'nın buyurduğu sunuları sun” dedi.
15 Lakini habari kumuhusu yeye zikaenea mbali zaidi, na umati mkubwa wa watu ukaja pamoja kumsikiliza akifundisha na kuponywa magonjwa yao.
Ne var ki, İsa'yla ilgili haber daha da çok yayıldı. Kalabalık halk toplulukları İsa'yı dinlemek ve hastalıklarından kurtulmak amacıyla akın akın geliyordu.
16 Lakini mara kwa mara alijitenga faraghani na kuomba.
Kendisi ise ıssız yerlere çekilip dua ediyordu.
17 Ilitokea siku moja kati ya hizo siku alikuwa akifundisha, na walikuwapo Mafarisayo na waalimu wa sheria wamekaa hapo ambao walikuja wakitokea vijiji vingi tofauti katika mkoa wa Galilaya na Yudea, na pia kutokea katika mji wa Yerusalemu. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye kuponya.
Bir gün İsa öğretiyordu. Celile'nin ve Yahudiye'nin bütün köylerinden ve Yeruşalim'den gelen Ferisiler'le Kutsal Yasa öğretmenleri O'nun çevresinde oturuyorlardı. İsa, Rab'bin gücü sayesinde hastaları iyileştiriyordu.
18 watu kadhaa walikuja, wamembeba kwenye mkeka mtu aliyepooza, na wakatafuta njia ya kumwingiza ndani ili kumlaza chini mbele ya Yesu.
O sırada birkaç kişi, yatak üzerinde taşıdıkları felçli bir adamı evden içeri sokup İsa'nın önüne koymaya çalışıyordu.
19 Hawakupata njia ya kumwingiza ndani kwa sababu ya umati, hivyo walipanda juu ya paa la nyumba na kumshusha yule mtu chini kupitia kwenye vigae, juu mkeka wake katikati ya watu, mbele kabisa ya Yesu.
Kalabalıktan ötürü onu içeri sokacak yol bulamayınca dama çıktılar, kiremitleri kaldırıp adamı yatakla birlikte orta yere, İsa'nın önüne indirdiler.
20 Akiangalia imani yao, Yesu alisema, “Rafiki, dhambi zako umesamehewa.”
İsa onların imanını görünce, “Dostum, günahların bağışlandı” dedi.
21 Waandishi na Mafarisayo waliaanza kuhoji hilo, wakisema, “Huyu ni nani anayeongea makufuru? Ni nani anaweza kusamehe dhambi ila Mungu pekee yake?”
Din bilginleriyle Ferisiler, “Tanrı'ya küfreden bu adam kim? Tanrı'dan başka kim günahları bağışlayabilir?” diye düşünmeye başladılar.
22 Lakini Yesu, akitambua nini walichokuwa wakifikiri, aliwajibu na kuwaambia, “Kwa nini mnaulizana hili mioyoni mwenu?
Akıllarından geçenleri bilen İsa onlara şöyle seslendi: “Aklınızdan neden böyle şeyler geçiriyorsunuz?
23 Kipi ni rahisi kusema, 'Dhambi zako zimesamehewa' au kusema 'Simama utembee?'
Hangisi daha kolay, ‘Günahların bağışlandı’ demek mi, yoksa ‘Kalk, yürü’ demek mi?
24 Lakini mjue ya kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani ya kusamehe dhambi, Nakwambia wewe, 'Amka, chukua mkeka wako na uende nyumbani kwako.'”
Ne var ki, İnsanoğlu'nun yeryüzünde günahları bağışlama yetkisine sahip olduğunu bilesiniz diye...” Sonra felçli adama, “Sana söylüyorum, kalk, yatağını toplayıp evine git!” dedi.
25 Wakati huo huo akaamka mbele yao na akachukua mkeka wake aliokuwa ameulalia. Kisha akariudi nyumbani kwake akimtukuza Mungu.
Adam onların gözü önünde hemen ayağa kalktı, üzerinde yattığı yatağı topladı ve Tanrı'yı yücelterek evine gitti.
26 Kila mmoja alishangazwa na wakamtukuza Mungu. Walijawa na hofu, wakisema, “Tumeona mambo yasiyo ya kawaida leo.”
Herkesi bir şaşkınlık almıştı. Tanrı'yı yüceltiyor, büyük korku içinde, “Bugün şaşılacak işler gördük!” diyorlardı.
27 Baada ya mambo haya kutokea, Yesu alitoka huko na akamwona mtoza ushuru aliyeitwa Lawi amekaa eneo la kukusanyia kodi. Akamwambia, “Nifuate.”
Bu olaydan sonra İsa dışarı çıktı, vergi toplama yerinde oturan Levi adında bir vergi görevlisini gördü. Adama, “Ardımdan gel” dedi.
28 Hivyo Lawi akanyanyuka na kumfuata, akiacha kila kitu nyuma.
O da kalktı, her şeyi bırakıp İsa'nın ardından gitti.
29 Kisha Lawi akaandaa nyumbani kwake karamu kubwa kwa ajili ya Yesu. Walikuwapo watozaushuru wengi kule na watu wengi walioketi mezani wakila pamoja nao.
Sonra Levi, evinde İsa'nın onuruna büyük bir şölen verdi. Vergi görevlileriyle başka kişilerden oluşan büyük bir kalabalık onlarla birlikte yemeğe oturmuştu.
30 Lakini Mafarisayo na waandishi wao walikuwa wakiwanung'unikia wanafunzi, wakisema, “Kwa nini mnakula na kunywa na watoza ushuru pamoja na watu wengine wenye dhambi?”
Ferisiler'le onların din bilginleri söylenmeye başladılar. İsa'nın öğrencilerine, “Siz neden vergi görevlileri ve günahkârlarla birlikte yiyip içiyorsunuz?” dediler.
31 Yesu akawajibu, “Watu walio katika afya njema hawahitaji tabibu, ni wale tu wanaoumwa ndiyo watakao mhitaji mmoja.
İsa onlara şu karşılığı verdi: “Sağlıklı olanların değil, hastaların hekime ihtiyacı var.
32 Sikuja kuwaita watu wenye haki haki wapate kutubu, bali kuwaita wenye dhambi wapate kutubu.”
Ben doğru kişileri değil, günahkârları tövbeye çağırmaya geldim.”
33 Wakamwambia, “Wanafunzi wa Yohana mara nyingi hufunga na kuomba, na wanafunzi wa Mafarisayo nao hufanya vivyo hivyo. Lakini wanafunzi wako hula na kunywa.”
Onlar İsa'ya, “Yahya'nın öğrencileri sık sık oruç tutup dua ediyorlar, Ferisiler'in öğrencileri de öyle. Seninkiler ise yiyip içiyor” dediler.
34 Yesu akawaambia, “Inawezekana mtu yeyote akawafanya waliohudhuria harusi ya Bwana Arusi kufunga wakati Bwana Arusi bado yu pamoja nao?
İsa şöyle karşılık verdi: “Güvey aralarında olduğu sürece davetlilere oruç tutturabilir misiniz?
35 Lakini siku zitakuja wakati Bwana Arusi atakapoondolewa kwao, ndipo katika siku hizo watafunga.”
Ama güveyin aralarından alınacağı günler gelecek, onlar işte o zaman, o günler oruç tutacaklar.”
36 Kisha Yesu aliongea pia kwao kwa mfano. “Hakuna anayechana kipande cha nguo kutoka kwenye vazi jipya na kukitumia kurekebisha vazi la zamani. Kama akifanya hivyo, ataichana nguo mpya, na kipande cha nguo kutoka vazi jipya kisengefaa kutumika na nguo ya vazi la zamani.
İsa onlara şu benzetmeyi de anlattı: “Hiç kimse yeni giysiden bir parça yırtıp eski giysiyi yamamaz. Yoksa hem yeni giysi yırtılır, hem de o giysiden koparılan yama eskisine uymaz.
37 pia, hakuna mtu ambaye huweka divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Kama akifanya hivyo, divai mpya ingepasua kile chombo, na divai ingemwagika, na viriba vingeharibika.
Hiç kimse yeni şarabı eski tulumlara doldurmaz. Yoksa yeni şarap tulumları patlatır; hem şarap dökülür, hem de tulumlar mahvolur.
38 Lakini divai mpya lazima iwekwe kwenye viriba vipya.
Yeni şarabı yeni tulumlara doldurmak gerek.
39 Na hakuna mtu baada ya kunywa divai ya zamani, hutataka mpya, kwa sababu husema, 'Ya zamani ni bora.”'
Üstelik hiç kimse eski şarabı içtikten sonra yenisini istemez. ‘Eskisi güzel’ der.”