< Luka 5 >

1 Basi ilitokea wakati watu walipomkusanyikia na kumzunguka Yesu na kusikiliza neno la Mungu, ambapo alikuwa amesimama kando ya ziwa Genesareti.
Pwu lino gukhahumila unsikhi avanu upu valundamine nu khunchungula u Yisu nu khupulihicha ilimenyu lya Nguluve, upwu akhimile palukanji mndisiva lya Genesaleti.
2 Aliona mashua mbili zimetia nanga pembeni mwa ziwa. Wavuvi walikuwa wametoka na walikuwa wakiosha nyavu zao.
Akhavuvona uvwato vuvili vwimile khulukanji khulisiva. Avilova vakhavile vahumile pwu valikusukha inyafu cha vene.
3 Yesu akaingia katika mojawapo ya zile mashua, ambayo ilikuwa ya Simoni na kumwomba aipeleke majini mbali kidogo na nchi kavu. Kisha akakaa na kufundisha kutokea kwenye mashua.
UYisu akhingila mmbwato vumo uvwa Simoni nu khudova ahilikhe mundugasi patali padebe na khuvulagafu. Pwu akhatama nu khumanyisya ukhuhumile khuwato.
4 kuongea, akamwambia Simoni, “Ipeleke mashua yako mpaka kwenye kilindi cha maji nakushusha nyavu zako ili kuvua samaki.”
Ukhuchova akhambula u Simoni, “Hilikauwato wako pamagasi pagati nu khwisya inyafu chakho pwalove isomba.”
5 Simon akajibu na kusema, Bwana, tumefanya kazi usiku wote, na hatukukamata chochote, lakini kwa neno lako, nitazishusha nyavu.
USimoni akhanda akhata, Ikuludeva, tuvombile imbombo ikilo yoni, salukhibate, kwu limenyu lyakho, nikwisya inyafu.
6 Walipofanya hivyo walikusanya kiasi kikubwa cha samaki na nyavu zao zikaanza kukatika.
Vavugahile evwo vakhahundamania isomba nyingi ni nyafu chavene chakhatengula ukhudumukha.
7 Hivyo wakawaashiria washirika wao kwenye mashua nyingine ili waja na kuwasaidia. Walikuja wakazijaza mashua zote, kiasi kwamba zikaanza kuzama.
Pwu vakhavavula avayavo avakhuvwato uvunge viche khutangila. Vakhiche vakhadicha uvwato vwoni, chikhatangula ukhuyuvama.
8 Lakini Simoni Petro, alipoona hivyo, alianguka magotini pa Yesu akisema,”Ondoka kwangu, kwa sababu mimi ni mtu mwenye dhambi Bwana.”
Pwu Simoni Petro, avile alolile evo, akhagwa pa mafugamilo ga Yisu akhata, “Hega khuliune, ulwakhuve une nilumunu ntulanongwa Inkuludeva.”
9 Kwa sababu alishangazwa, na wote waliokuwa pamoja naye, kwa uvuvi wa samaki waliokuwa wameufanya.
Ulwakhuva valikudega, ne voni uvuvalipwo nu mwene, pakhulova isomba uvuvakhavombile.
10 Hili liliwajumuisha Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo, ambao walikuwa washirika wa Simoni. Na Yesu akamwambia Simoni, “Usiogope, kwa sababu kuanzia sasa na kuendelea utavua watu.”
Ili likhavalundaminio uyakhobo nu Yohana umwana va Sebedayo, uvu ava vakhale paninie nu Simoni. Nu Yisu akhambula u Simoni, “ulekhe ukhudwada, ulwakuva ukhuhuma lino vulutoga kwilova avanu.”
11 Walipokwishazileta mashua zao nchi kavu, waliacha kila kitu na kumfuata yeye.
Vuvavile valelile vwato khuvuchila lugasi, vakhakhikha kila khinu nu khunkonga umwene.
12 Ilitokea kwamba alipokuwa katika mji mmojawapo, mtu aliyekuwa amejaa ukoma alikuwa huko. Wakati alipomuona Yesu, alianguka akiinamisha uso kwake mpaka chini na kumuomba, akisema, “Bwana, ikiwa unataka, waweza kunitakasa.”
Pwu yikha humila ukhuta ujini gumo, umunu uvia digile iboba ale ukhwa. Unsikhi avile ikhumbona u Yisu, akhagwa akhinamila amiho ga mwene mpakha pasi nu khutova, akhata, “Inkuludeva, ingave vwinogwa, wiwesya ukuhumbalacha.”
13 Kisha Yesu alinyoosha mkono wake na kumgusa, akisema, “Nataka. Takasika.” Na saa ileile ukoma ukamwacha.
Pwu Yisu akhagolola ikhivokho kya mwene nu khumwabasya, akhata, “Ninogwa. Valela.” Unsikhu gula gula ibuba yikhandekha.
14 “Alimwagiza asimwambie mtu yeyote, lakini alimwambia, “Nenda zako, na ukajionyeshe kwa makuhani na utoe sadaka ya utakaso wako, sawasawa na kile Musa alichokiamuru, kwa ushuhuda kwao.”
“Akhandagila alikhe ukhumbula umunu pwu akhambula, “Lutaga ukhavonesye, kumakuhani nu khumie isadaka ya vuvalacho vwakho, khi hwanini nu lulagilo lwa Mose ukhulola khuvene.”
15 Lakini habari kumuhusu yeye zikaenea mbali zaidi, na umati mkubwa wa watu ukaja pamoja kumsikiliza akifundisha na kuponywa magonjwa yao.
Pwu inongwa icha mwene chukhaluta khuvutali ficho, ni khipuga kya vanu khekhicha paninie khukho mpulihicha vwi manyisya nu khuponia amatamu gavene.
16 Lakini mara kwa mara alijitenga faraghani na kuomba.
Pwu imisikhi gyoni alikwiyepusya khuvutitu nu khwisaya.
17 Ilitokea siku moja kati ya hizo siku alikuwa akifundisha, na walikuwapo Mafarisayo na waalimu wa sheria wamekaa hapo ambao walikuja wakitokea vijiji vingi tofauti katika mkoa wa Galilaya na Yudea, na pia kutokea katika mji wa Yerusalemu. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye kuponya.
Pu yeikhava mumanchuva ngala eilinchuva leimo pu amanyisyangha, ava Farisai navamanyisi vanda ngeilo valaamile baho, avuvahumile muvunchenghe vwoni uvwa Mungalileya na mumbu Yuta, na khu Yelusalemu. Pu navuvuvahaha wa Nkuludeva vwalepwo ukhuta pwa ponianghe avatamu.
18 watu kadhaa walikuja, wamembeba kwenye mkeka mtu aliyepooza, na wakatafuta njia ya kumwingiza ndani ili kumlaza chini mbele ya Yesu.
Avanu valive vakhancha, vagegde mulitefu umunu uvei aposinche, vakhalonda einjila ya khu mwing'eincha eigati va gonei pasi khuva longolo khwa Yisu.
19 Hawakupata njia ya kumwingiza ndani kwa sababu ya umati, hivyo walipanda juu ya paa la nyumba na kumshusha yule mtu chini kupitia kwenye vigae, juu mkeka wake katikati ya watu, mbele kabisa ya Yesu.
Pu leino vavile valemilwe apa khunghenda pakhuva pale pafinye pasipali apakhuluta avanu vale vingi eilipungha eilivaha, pu vakhatongha khukyanya khukanu pavakha pelelencha mumapamba angha khukyanya puvakhamwisya utamu mukhei hangha khya mwene panghati pavalongolo upu ale u Yisu.
20 Akiangalia imani yao, Yesu alisema, “Rafiki, dhambi zako umesamehewa.”
Alolile uweedechi wayene, u Yisu akhaachove, “Imanyani, imbivi nchakho usyei khiliwe.”
21 Waandishi na Mafarisayo waliaanza kuhoji hilo, wakisema, “Huyu ni nani anayeongea makufuru? Ni nani anaweza kusamehe dhambi ila Mungu pekee yake?”
Pu leino avamanya kalata nava Farisai valeinkuta, vei veni uyu uveinchova amamenyu ngha imbedo, veni uvyaleinamakha ngha khusyeikheila inogwa, pu nyakhusyei kheila alei yu Nguluve mwene?”
22 Lakini Yesu, akitambua nini walichokuwa wakifikiri, aliwajibu na kuwaambia, “Kwa nini mnaulizana hili mioyoni mwenu?
UYisu, wikhulumanya khekhi ikhyo visaga, akhavanda akhata khekhi mkhivucha vucha ili munumbula chinyo?
23 Kipi ni rahisi kusema, 'Dhambi zako zimesamehewa' au kusema 'Simama utembee?'
Khilekhu khejebepe ukhuta inongwa chakho chisyekheliwe nukhuta 'Ima ugendage?'
24 Lakini mjue ya kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani ya kusamehe dhambi, Nakwambia wewe, 'Amka, chukua mkeka wako na uende nyumbani kwako.'”
Mlamanye ukhuta umwana va Adamu alinago amakha nkilunga ga khusiekhela inongwa, nukuvavula, 'Uveve sisimokha, tola ilitefu lyakho ulutage khu nyumba yakho.”
25 Wakati huo huo akaamka mbele yao na akachukua mkeka wake aliokuwa ameulalia. Kisha akariudi nyumbani kwake akimtukuza Mungu.
Unsikhi gugugwa akhasisimokha kuvulongolo khuvene pwu akhatola ilitefu lya mwene ilyu alikhugonela. Pwu alinkuvuya khu Unguluve.
26 Kila mmoja alishangazwa na wakamtukuza Mungu. Walijawa na hofu, wakisema, “Tumeona mambo yasiyo ya kawaida leo.”
Umunu nu munu alinkhudega nu khunginia Unguluve. Vakhadiga nu uvudwacji, nu khuta, “Tuchiwene imbombo cha khudega ilelo.”
27 Baada ya mambo haya kutokea, Yesu alitoka huko na akamwona mtoza ushuru aliyeitwa Lawi amekaa eneo la kukusanyia kodi. Akamwambia, “Nifuate.”
Imbombo ichi vuchihomile, u Yisu akhahuma ukhwa akhambona unsonga songa uvialikwelangiwa Lawi atamile apakhusongecha isongo. Akhambula, “Ingongege.”
28 Hivyo Lawi akanyanyuka na kumfuata, akiacha kila kitu nyuma.
Pwu u Lawi akhavikha nu khunkonga, akhafilekha kila khinu khunsana.
29 Kisha Lawi akaandaa nyumbani kwake karamu kubwa kwa ajili ya Yesu. Walikuwapo watozaushuru wengi kule na watu wengi walioketi mezani wakila pamoja nao.
Ulawi akhavikha ikhyakha ikhiva na khu nyumbaya mwene iya Yisu. Vakhavepo asonga songo vingi navanu vingi vatamile na vene.
30 Lakini Mafarisayo na waandishi wao walikuwa wakiwanung'unikia wanafunzi, wakisema, “Kwa nini mnakula na kunywa na watoza ushuru pamoja na watu wengine wenye dhambi?”
Ava Mafarisai na vasimbi vavo vali kuvasikhitile avakonga, vali uta, “Khekhi mwilya nu khunywa na vatule nongwa na vasonga songo na vanu avange avatula ningwa?”
31 Yesu akawajibu, “Watu walio katika afya njema hawahitaji tabibu, ni wale tu wanaoumwa ndiyo watakao mhitaji mmoja.
UYisu akavanda, “Avanu avanonu savilonela uganga, vala aratamu vu ya vikhondanda yumo.
32 Sikuja kuwaita watu wenye haki haki wapate kutubu, bali kuwaita wenye dhambi wapate kutubu.”
Sanikhichile kukalonda avayihweli vapale hata nikhuviolanga avatula no ngwa vapele.”
33 Wakamwambia, “Wanafunzi wa Yohana mara nyingi hufunga na kuomba, na wanafunzi wa Mafarisayo nao hufanya vivyo hivyo. Lakini wanafunzi wako hula na kunywa.”
Vakhavavula, “Avakongi va Yohana imisikhi gyoni nu valikhudinda nu khudova, avakongi va Mafarisai navope vivomba vule vule. Pwu avakongi vako vilya nu khunywa.”
34 Yesu akawaambia, “Inawezekana mtu yeyote akawafanya waliohudhuria harusi ya Bwana Arusi kufunga wakati Bwana Arusi bado yu pamoja nao?
UYisu akhavavula, “Yiwesekhana umunu nu munu vala awafikhe khundoa ya nya ndoa widinda wu unyandoa vu bado pu paninie?
35 Lakini siku zitakuja wakati Bwana Arusi atakapoondolewa kwao, ndipo katika siku hizo watafunga.”
Pwu ifigono fikhwicha unsikhi gwa nyandoayavikhung'echa kuvenu pwo ifigono ifyo yavidinda.”
36 Kisha Yesu aliongea pia kwao kwa mfano. “Hakuna anayechana kipande cha nguo kutoka kwenye vazi jipya na kukitumia kurekebisha vazi la zamani. Kama akifanya hivyo, ataichana nguo mpya, na kipande cha nguo kutoka vazi jipya kisengefaa kutumika na nguo ya vazi la zamani.
Khange u Yisu akhachova navene kwu khihwani. “Asikhuli uvilekha na ikhupicha kya mwenda ukhuhuma khumwenda umpya ukhunocha khumwenda ugwa khatale. Ingave ngavombe evwo, ikhugolekha umwenda umpya, na ikhipicha kya mwenda ukhuhuma umwenda umpya sakhinogelanila ukhuvomba nu mwenda unkulu.
37 pia, hakuna mtu ambaye huweka divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Kama akifanya hivyo, divai mpya ingepasua kile chombo, na divai ingemwagika, na viriba vingeharibika.
Khange, asikhuli umunu uvivekha idivai imya kufikopo ifya katale. Ingave ivomba ewo, idivai imya yikhale yibachola ikyombo, nayi divai yikhale yidudekha, ifichupa fikhala finangikho.
38 Lakini divai mpya lazima iwekwe kwenye viriba vipya.
Idivai imya lunonu ukhuvikha mufichupa ifipya.
39 Na hakuna mtu baada ya kunywa divai ya zamani, hutataka mpya, kwa sababu husema, 'Ya zamani ni bora.”'
Mwikho umunu vwa nywile idivai lya khatale, ukhunogwa imya, ulwakhuva ita, 'Iya khatale nonu.'”

< Luka 5 >