< Luka 5 >
1 Basi ilitokea wakati watu walipomkusanyikia na kumzunguka Yesu na kusikiliza neno la Mungu, ambapo alikuwa amesimama kando ya ziwa Genesareti.
Men det skete, da Folkeskaren trængte sig sammen om ham og hørte Guds Ord, og han stod ved Genezareths Sø,
2 Aliona mashua mbili zimetia nanga pembeni mwa ziwa. Wavuvi walikuwa wametoka na walikuwa wakiosha nyavu zao.
da saa han to Skibe staa ved Søen; men Fiskerne vare gaaede fra dem og toede Garnene.
3 Yesu akaingia katika mojawapo ya zile mashua, ambayo ilikuwa ya Simoni na kumwomba aipeleke majini mbali kidogo na nchi kavu. Kisha akakaa na kufundisha kutokea kwenye mashua.
Og han gik om Bord i et af Skibene, som var Simons, og bad ham at lægge lidt fra Land; og han satte sig og lærte Skarerne fra Skibet.
4 kuongea, akamwambia Simoni, “Ipeleke mashua yako mpaka kwenye kilindi cha maji nakushusha nyavu zako ili kuvua samaki.”
Men da han holdt op med at tale, sagde han til Simon: „Far ud paa Dybet, og kaster eders Garn ud til en Dræt!”
5 Simon akajibu na kusema, Bwana, tumefanya kazi usiku wote, na hatukukamata chochote, lakini kwa neno lako, nitazishusha nyavu.
Og Simon svarede og sagde til ham: „Mester! vi have arbejdet hele Natten og fik intet; men paa dit Ord vil jeg kaste Garnene ud.”
6 Walipofanya hivyo walikusanya kiasi kikubwa cha samaki na nyavu zao zikaanza kukatika.
Og da de gjorde det, fangede de en stor Mængde Fisk, og deres Garn sønderreves.
7 Hivyo wakawaashiria washirika wao kwenye mashua nyingine ili waja na kuwasaidia. Walikuja wakazijaza mashua zote, kiasi kwamba zikaanza kuzama.
Og de vinkede ad deres Stalbrødre i det andet Skib, at de skulde komme og hjælpe dem; og de kom, og de fyldte begge Skibene, saa at de vare nær ved at synke.
8 Lakini Simoni Petro, alipoona hivyo, alianguka magotini pa Yesu akisema,”Ondoka kwangu, kwa sababu mimi ni mtu mwenye dhambi Bwana.”
Men da Simon Peter saa det, faldt han ned for Jesu Knæ og sagde: „Gaa bort fra mig, thi jeg er en syndig Mand, Herre!”
9 Kwa sababu alishangazwa, na wote waliokuwa pamoja naye, kwa uvuvi wa samaki waliokuwa wameufanya.
Thi en Rædsel var paakommen ham og alle dem, som vare med ham, over den Fiskedræt, som de havde faaet;
10 Hili liliwajumuisha Yakobo na Yohana wana wa Zebedayo, ambao walikuwa washirika wa Simoni. Na Yesu akamwambia Simoni, “Usiogope, kwa sababu kuanzia sasa na kuendelea utavua watu.”
ligeledes ogsaa Jakob og Johannes, Zebedæus's Sønner, som vare Simons Stalbrødre. Og Jesus sagde til Simon: „Frygt ikke, fra nu af skal du fange Mennesker.”
11 Walipokwishazileta mashua zao nchi kavu, waliacha kila kitu na kumfuata yeye.
Og de lagde Skibene til Land og forlode alle Ting og fulgte ham.
12 Ilitokea kwamba alipokuwa katika mji mmojawapo, mtu aliyekuwa amejaa ukoma alikuwa huko. Wakati alipomuona Yesu, alianguka akiinamisha uso kwake mpaka chini na kumuomba, akisema, “Bwana, ikiwa unataka, waweza kunitakasa.”
Og det skete, medens han var i en af Byerne, se, da var der en Mand fuld af Spedalskhed; og da han saa Jesus, faldt han paa sit Ansigt, bad ham og sagde: „Herre! om du vil, kan du rense mig.”
13 Kisha Yesu alinyoosha mkono wake na kumgusa, akisema, “Nataka. Takasika.” Na saa ileile ukoma ukamwacha.
Og han udrakte Haanden og rørte ved ham og sagde: „Jeg vil; bliv ren!” Og straks forlod Spedalskheden ham.
14 “Alimwagiza asimwambie mtu yeyote, lakini alimwambia, “Nenda zako, na ukajionyeshe kwa makuhani na utoe sadaka ya utakaso wako, sawasawa na kile Musa alichokiamuru, kwa ushuhuda kwao.”
Og han bød ham, at han skulde ikke sige det til nogen, men „gaa bort, og fremstil dig for Præsten, og offer for din Renselse, saaledes som Moses har befalet, til Vidnesbyrd for dem!”
15 Lakini habari kumuhusu yeye zikaenea mbali zaidi, na umati mkubwa wa watu ukaja pamoja kumsikiliza akifundisha na kuponywa magonjwa yao.
Men Rygtet om ham udbredte sig end mere, og store Skarer kom sammen for at høre og for at helbredes for deres Sygdomme.
16 Lakini mara kwa mara alijitenga faraghani na kuomba.
Men han gik bort til Ørkenerne og bad.
17 Ilitokea siku moja kati ya hizo siku alikuwa akifundisha, na walikuwapo Mafarisayo na waalimu wa sheria wamekaa hapo ambao walikuja wakitokea vijiji vingi tofauti katika mkoa wa Galilaya na Yudea, na pia kutokea katika mji wa Yerusalemu. Nguvu ya Bwana ilikuwa pamoja naye kuponya.
Og det skete en af de Dage, at han lærte, og der sad Farisæere og Lovlærere, som vare komne fra enhver Landsby i Galilæa og Judæa og fra Jerusalem; og Herrens Kraft var hos ham til at helbrede.
18 watu kadhaa walikuja, wamembeba kwenye mkeka mtu aliyepooza, na wakatafuta njia ya kumwingiza ndani ili kumlaza chini mbele ya Yesu.
Og se, nogle Mænd bare paa en Seng en Mand, som var værkbruden, og de søgte at bære ham ind og lægge ham foran ham.
19 Hawakupata njia ya kumwingiza ndani kwa sababu ya umati, hivyo walipanda juu ya paa la nyumba na kumshusha yule mtu chini kupitia kwenye vigae, juu mkeka wake katikati ya watu, mbele kabisa ya Yesu.
Og da de ikke fandt nogen Vej til at bære ham ind for Skarens Skyld, stege de op oven paa Taget og firede ham tillige med Sengen ned imellem Tagstenene midt iblandt dem foran Jesus.
20 Akiangalia imani yao, Yesu alisema, “Rafiki, dhambi zako umesamehewa.”
Og da han saa deres Tro, sagde han: „Menneske! dine Synder ere dig forladte.”
21 Waandishi na Mafarisayo waliaanza kuhoji hilo, wakisema, “Huyu ni nani anayeongea makufuru? Ni nani anaweza kusamehe dhambi ila Mungu pekee yake?”
Og de skriftkloge og Farisæerne begyndte at tænke saaledes ved sig selv: „Hvem er denne, som taler Gudsbespottelser? Hvem kan forlade Synder, uden Gud alene?”
22 Lakini Yesu, akitambua nini walichokuwa wakifikiri, aliwajibu na kuwaambia, “Kwa nini mnaulizana hili mioyoni mwenu?
Men da Jesus kendte deres Tanker, svarede han og sagde til dem: „Hvad tænke I paa i eders Hjerter?
23 Kipi ni rahisi kusema, 'Dhambi zako zimesamehewa' au kusema 'Simama utembee?'
Hvilket er lettest at sige: Dine Synder ere dig forladte? eller at sige: Staa op og gaa?
24 Lakini mjue ya kwamba Mwana wa Adamu anayo mamlaka duniani ya kusamehe dhambi, Nakwambia wewe, 'Amka, chukua mkeka wako na uende nyumbani kwako.'”
Men for at I skulle vide, at Menneskesønnen har Magt paa Jorden til at forlade Synder,” saa sagde han til den værkbrudne: „Jeg siger dig, staa op, og tag din Seng, og gaa til dit Hus!”
25 Wakati huo huo akaamka mbele yao na akachukua mkeka wake aliokuwa ameulalia. Kisha akariudi nyumbani kwake akimtukuza Mungu.
Og han stod straks op for deres Øjne og tog det, som han laa paa, og gik hen til sit Hus og priste Gud.
26 Kila mmoja alishangazwa na wakamtukuza Mungu. Walijawa na hofu, wakisema, “Tumeona mambo yasiyo ya kawaida leo.”
Og Forfærdelse betog alle, og de priste Gud; og de bleve fulde af Frygt og sagde: „Vi have i Dag set utrolige Ting.”
27 Baada ya mambo haya kutokea, Yesu alitoka huko na akamwona mtoza ushuru aliyeitwa Lawi amekaa eneo la kukusanyia kodi. Akamwambia, “Nifuate.”
Og derefter gik han ud og saa en Tolder ved Navn Levi sidde ved Toldboden, og han sagde til ham: „Følg mig!”
28 Hivyo Lawi akanyanyuka na kumfuata, akiacha kila kitu nyuma.
Og han forlod alle Ting og stod op og fulgte ham.
29 Kisha Lawi akaandaa nyumbani kwake karamu kubwa kwa ajili ya Yesu. Walikuwapo watozaushuru wengi kule na watu wengi walioketi mezani wakila pamoja nao.
Og Levi gjorde et stort Gæstebud for ham i sit Hus; og der var en stor Skare af Toldere og andre, som sade til Bords med dem.
30 Lakini Mafarisayo na waandishi wao walikuwa wakiwanung'unikia wanafunzi, wakisema, “Kwa nini mnakula na kunywa na watoza ushuru pamoja na watu wengine wenye dhambi?”
Og Farisæerne og deres skriftkloge knurrede imod hans Disciple og sagde: „Hvorfor spise og drikke I med Toldere og Syndere?”
31 Yesu akawajibu, “Watu walio katika afya njema hawahitaji tabibu, ni wale tu wanaoumwa ndiyo watakao mhitaji mmoja.
Og Jesus svarede og sagde til dem: „De raske trænge ikke til Læge, men de syge.
32 Sikuja kuwaita watu wenye haki haki wapate kutubu, bali kuwaita wenye dhambi wapate kutubu.”
Jeg er ikke kommen for at kalde retfærdige, men Syndere til Omvendelse.”
33 Wakamwambia, “Wanafunzi wa Yohana mara nyingi hufunga na kuomba, na wanafunzi wa Mafarisayo nao hufanya vivyo hivyo. Lakini wanafunzi wako hula na kunywa.”
Men de sagde til ham: „Johannes's Disciple faste ofte og holde Bønner og Farisæernes ligesaa; men dine spise og drikke?”
34 Yesu akawaambia, “Inawezekana mtu yeyote akawafanya waliohudhuria harusi ya Bwana Arusi kufunga wakati Bwana Arusi bado yu pamoja nao?
Men Jesus sagde til dem: „Kunne I vel faa Brudesvendene til at faste, saa længe Brudgommen er hos dem?
35 Lakini siku zitakuja wakati Bwana Arusi atakapoondolewa kwao, ndipo katika siku hizo watafunga.”
Men der skal komme Dage, da Brudgommen bliver tagen fra dem; da skulle de faste i de Dage.”
36 Kisha Yesu aliongea pia kwao kwa mfano. “Hakuna anayechana kipande cha nguo kutoka kwenye vazi jipya na kukitumia kurekebisha vazi la zamani. Kama akifanya hivyo, ataichana nguo mpya, na kipande cha nguo kutoka vazi jipya kisengefaa kutumika na nguo ya vazi la zamani.
Men han sagde ogsaa en Lignelse til dem: „Ingen river en Lap af et nyt Klædebon og sætter den paa et gammelt Klædebon; ellers river han baade det nye sønder, og Lappen fra det nye vil ikke passe til det gamle.
37 pia, hakuna mtu ambaye huweka divai mpya kwenye viriba vikuukuu. Kama akifanya hivyo, divai mpya ingepasua kile chombo, na divai ingemwagika, na viriba vingeharibika.
Og ingen kommer ung Vin paa gamle Læderflasker; ellers sprænger den unge Vin Læderflaskerne, og den spildes, og Læderflaskerne ødelægges.
38 Lakini divai mpya lazima iwekwe kwenye viriba vipya.
Men man skal komme ung Vin paa nye Læderflasker, saa blive de begge bevarede.
39 Na hakuna mtu baada ya kunywa divai ya zamani, hutataka mpya, kwa sababu husema, 'Ya zamani ni bora.”'
Og ingen, som har drukket den gamle, vil have den unge; thi han siger: Den gamle er god.”