< Luka 3 >
1 Sasa, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberia, wakati Pontio Pilato alikuwa gavana wa Uyahudi, Herode alikuwa mkuu wa mkoa wa Galilaya, na Filipo ndugu yake alikuwa mkuu wa mkoa wa Iturea na Trakoniti, na Lisania alikuwa mkuu wa mkoa wa Abilene,
U petnaestoj godini vladanja æesara Tiverija, kad bješe Pontije Pilat sudija u Judeji, i Irod èetverovlasnik u Galileji, a Filip brat njegov èetverovlasnik u Itureji i u Trahonitskoj, i Lisanija èetverovlasnik u Avilini,
2 na wakati wa ukuhani mkuu wa Anasi na Kayafa, Neno la Mungu lilimjia Yohana mwana wa Zakaria, jangwani.
Za poglavara sveštenièkijeh Ane i Kajafe, reèe Bog Jovanu sinu Zarijnu u pustinji,
3 Alisafiri katika mkoa wote kuzunguka Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi
I doðe u svu okolinu Jordansku propovijedajuæi krštenje pokajanja za oproštenje grijeha;
4 Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha maneno ya Isaya nabii, “sauti ya mtu aliaye nyikani, “Itengenezeni tayari njia ya Bwana, yatengenezeni mapito yake yaliyoonyoka.
Kao što je napisano u knjizi rijeèi proroka Isaije koji govori: glas onoga što vièe u pustinji: pripravite put Gospodnji; poravnite staze njegove;
5 Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitasawazishwa, barabara zilizopinda zitanyoshwa, na njia zilizoparaza zitalainishwa.
Sve doline neka se ispune, i sve gore i bregovi neka se slegnu; i što je krivo neka bude pravo, i hrapavi putovi neka budu glatki;
6 Watu wote watauona wokovu wa Mungu.”
I svako æe tijelo vidjeti spasenije Božije.
7 Hivyo, Yohana akawaambia makutano makubwa ya watu waliomjia wapate kubatizwa na yeye, “Ninyi uzao wa nyoka wenye sumu, nani aliwaonya kuikimbia gadhabu inayokuja?
Jovan pak govoraše ljudima koji izlažahu da ih krsti: porodi aspidini! ko vam kaza da bježite od gnjeva koji ide?
8 Zaeni matunda yanayoedana na toba, na msianze kusema ndani yenu, “Tunaye Ibarahimu ambaye ni baba yetu; kwa sababu nawaambia ya kwamba, Mungu anaweza kumwinulia Ibrahimu watoto hata kutokana na mawe haya.
Rodite dakle rodove dostojne pokajanja, i ne govorite u sebi: oca imamo Avraama; jer vam kažem da Bog može i od ovoga kamenja podignuti djecu Avraamu.
9 Tayari shoka limeshawekwa kwenye mzizi wa miti. Hivyo, kila mti usiozaa matunda mema, hukatwa na kutupwa motoni.
Jer veæ i sjekira stoji drvetu kod korijena; i svako drvo koje dobra roda ne raða sijeèe se i u oganj se baca.
10 Kisha watu katika makutano walimuuliza wakisema, “Sasa tunatakiwa tufanyeje?”
I pitahu ga ljudi govoreæi: šta æemo dakle èiniti?
11 Alijibu na kuwaambia, “kama mtu ana kanzu mbili anatakiwa atoe kanzu moja kwa mwingine ambaye hana kabisa, na ambaye ana chakula na afanye vivyo hivyo.”
On pak odgovarajuæi reèe im: koji ima dvije haljine neka da jednu onome koji nema; i ko ima hrane neka èini tako.
12 Kisha baadhi ya watoza ushuru walikuja pia kubatizwa, na wakamwambia, “Mwalimu, tunatakiwa kufanya nini?
Doðoše pak i carinici da ih krsti, i rekoše mu: uèitelju! šta æemo èiniti?
13 Akawaambia, “Msikusanye fedha zaidi kuliko mnachotakiwa kukusanya.”
A on im reèe: ne ištite više nego što vam je reèeno.
14 Baadhi ya maaskari pia wakamuuliza wakisema, “Na sisi je? Tunatakiwa tufanye nini?” Akawambia, “Msichukue fedha kwa mtu yeyote kwa nguvu, na msimtuhumu mtu yeyote kwa uongo. Ridhikeni na mishahara yenu.”
Pitahu ga pak i vojnici govoreæi: a mi šta æemo èiniti? I reèe im: nikome da ne èinite sile niti koga da opadate, i budite zadovoljni svojom platom.
15 Sasa, kwa kuwa watu walikuwa na shauku ya kumngojea Kristo atakaye kuja, kila mmoja alikuwa anawaza moyoni mwake kuhusu Yohana kama yeye ndiye Kristo.
A kad narod bješe u sumnji i pomišljahu svi u srcima svojijem za Jovana: da nije on Hristos?
16 Yohana akajibu kwa kuwaambia wote, “Mimi nawabatiza ninyi kwa maji, lakini kuna mmoja ajaye ambaye ana nguvu kuliko mimi, na sisitahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Atawabatiza ninyi kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
Odgovaraše Jovan svima govoreæi: ja vas krstim vodom; ali ide za mnom jaèi od mene, kome ja nijesam dostojan odriješiti remena na obuæi njegovoj; on æe vas krstiti Duhom svetijem i ognjem.
17 Pepeto lake liko mkononi mwake ili kusafisha vizuri uwanda wake wa kupepetea ngano na kuikusanya ngano ghalani mwake. Lakini, atayateketeza makapi kwa moto ambao hauwezi kuzimika.
On ima lopatu u ruci svojoj, i oèistiæe gumno svoje, i skupiæe pšenicu svoju, a pljevu æe sažeæi ognjem vjeènijem.
18 Kwa maonyo mengine mengi pia, alihubiri habari njema kwa watu.
I drugo mnogo koješta javlja narodu i napominja.
19 Yohana alimkemea pia Herode mkuu wa mkoa kwa kumuoa Herodia, mke wa ndugu yake na kwa maovu mengine mengi ambayo Herode alikuwa ameyatenda.
Iroda pak èetverovlasnika koraše Jovan za Irodijadu, ženu brata njegova, i za sva zla što uèini Irod;
20 Lakini baadaye Herode alifanya uovu mwingine mbaya sana. Alimfunga Yohana gerezani.
I svrh svega uèini i to te zatvori Jovana u tamnicu.
21 Kisha ilitokea kwamba, wakati watu wote walipokuwa wakibatizwa na Yohana, naye Yesu alibatizwa pia. Wakati alipokuwa akiomba, mbingu zikafunguka.
A kad se krsti sav narod, i Isus pošto se krsti i moljaše se Bogu, otvori se nebo,
22 Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili kama njiwa, wakati huo huo sauti ikaja kutoka mbinguni ikisema, “Wewe ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa sana na wewe.”
I siðe na nj Duh sveti u tjelesnome obliku kao golub, i èu se glas s neba govoreæi: ti si sin moj ljubazni, ti si po mojoj volji.
23 Sasa Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa na umri upatao miaka thelathini. Alikuwa ni mwana (kama ilivyotadhaniwa) wa Yusufu, mwana wa Eli,
I taj Isus imaše oko trideset godina kad poèe; i bješe, kao što se mišljaše, sin Josifa sina Ilijna,
24 mwana wa Mathati, mwana wa Lawi, mwana wa Melki, mwana wa Yana, mwana wa Yusufu,
Sina Matatova, sina Levijna, sina Melhijna, sina Janejeva, sina Josifova,
25 mwana wa Matathia, mwana wa Amosi, mwana wa Nahumu, mwana wa Esli, mwana wa Nagai,
Sina Matatijna, sina Amosova, sina Naumova, sina Eslijna, sina Nangejeva,
26 mwana wa Maati, mwana wa Matathia, mwana wa Semeini, mwana wa Yusufu, mwana wa Yuda,
Sina Maatova, sina Matatijna, sina Semejina, sina Josifova, sina Judina,
27 mwana wa Yoanani, mwana wa Resa, mwana wa Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, mwana wa Neri,
Sina Joanina, sina Risina, sina Zorovavelova, sina Salatiilova, sina Nirijna,
28 mwana wa Melki, mwana wa Adi, mwana wa Kosamu, mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri,
Sina Melhijna, sina Adijna, sina Kosamova, sina Irova,
29 mwana wa Yoshua, mwana wa Eliezeri, mwana wa Yorimu, mwana wa Matathi, mwana wa Lawi,
Sina Josijna, sina Eliezerova, sina Jorimova, sina Matatova, sina Levijna,
30 mwana wa Simeoni, mwana wa Yuda, mwana wa Yusufu, mwana wa Yonamu, mwana wa Eliyakimu,
Sina Simeunova, sina Judina, sina Josifova, sina Jonanova, sina Eliakimova,
31 mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi,
Sina Melejina, sina Mainanova, sina Matatina, sina Natanova, sina Davidova,
32 mwana wa Yese, mwana wa Obedi, mwana wa Boazi, mwana wa Salmoni, mwana wa Nashoni,
Sina Jesejeva, sina Ovidova, sina Voozova, sina Salmonova, sina Naasonova,
33 mwana wa Abinadabu, mwana wa Aramu, mwana wa Hesroni, mwana wa Peresi, mwana wa Yuda,
Sina Aminadavova, sina Aramova, sina Esromova, sina Faresova, sina Judina,
34 mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Ibrahimu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori,
Sina Jakovljeva, sina Isakova, sina Avraamova, sina Tarina, sina Nahorova,
35 mwana wa Seruig, mwana wa Ragau, mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa Sala,
Sina Seruhova, sina Ragavova, sina Falekova, sina Everova, sina Salina,
36 mwana wa Kenani, mwana wa Arfaksadi, mwana wa Shemu, mwana wa Nuhu, mwana wa Lameki,
Sina Kainanova, sina Arfaksadova, sina Simova, sina Nojeva, sina Lamehova,
37 mwana wa Methusela, mwana wa Henoko, mwana wa Yaredi, mwana Mahalalei, mwana wa Kenani,
Sina Matusalina, sina Enohova, sina Jaredova, sina Maleleilova, sina Kainanova,
38 mwana wa Enoshi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, mwana wa Mungu.
Sina Enosova, sina Sitova, sina Adamova, sina Božijega.