< Luka 3 >
1 Sasa, katika mwaka wa kumi na tano wa utawala wa Kaisari Tiberia, wakati Pontio Pilato alikuwa gavana wa Uyahudi, Herode alikuwa mkuu wa mkoa wa Galilaya, na Filipo ndugu yake alikuwa mkuu wa mkoa wa Iturea na Trakoniti, na Lisania alikuwa mkuu wa mkoa wa Abilene,
Nüüdseks oli Tibeerius olnud keiser viisteist aastat. Pontius Pilaatus oli Juuda maavalitseja. Heroodes oli Galilea valitseja, tema vend Filippus oli Iturea ja Trahhoniitise valitseja ning Lüsaanias Abileene valitseja.
2 na wakati wa ukuhani mkuu wa Anasi na Kayafa, Neno la Mungu lilimjia Yohana mwana wa Zakaria, jangwani.
Hannas ja Kaifas olid hetkel ülempreestrid. See oli aeg, mil Jumala sõna tuli Johannesele, Sakariase pojale, kes elas kõrbes.
3 Alisafiri katika mkoa wote kuzunguka Mto Yordani, akihubiri ubatizo wa toba kwa ajili ya msamaha wa dhambi
Ta käis läbi kogu Jordani piirkonna ja kuulutas kõigile, et nad peaksid laskma end ristida, näitamaks, et nad on kahetsenud ja nende patud on andestatud.
4 Kama ilivyoandikwa katika kitabu cha maneno ya Isaya nabii, “sauti ya mtu aliaye nyikani, “Itengenezeni tayari njia ya Bwana, yatengenezeni mapito yake yaliyoonyoka.
Nagu prohvet Jesaja kirjutas: „Kõrbes kuuldakse häält hüüdvat: „Valmistage Issandale teed, tehke tasaseks tema teerajad.
5 Kila bonde litajazwa, kila mlima na kilima vitasawazishwa, barabara zilizopinda zitanyoshwa, na njia zilizoparaza zitalainishwa.
Täitke kõik orud ja tasandage kõik mäed ja künkad. Tehke kõver sirgeks ja konarlik tee siledaks.
6 Watu wote watauona wokovu wa Mungu.”
Iga inimene näeb Jumala päästet.““
7 Hivyo, Yohana akawaambia makutano makubwa ya watu waliomjia wapate kubatizwa na yeye, “Ninyi uzao wa nyoka wenye sumu, nani aliwaonya kuikimbia gadhabu inayokuja?
Johannes pöördus rahvahulga poole, kes oli tulnud tema juurde, et ristitud saada. „Te rästikute sigitised! Kes hoiatas teid, et te põgeneksite tulevase kohtu eest?“küsis ta.
8 Zaeni matunda yanayoedana na toba, na msianze kusema ndani yenu, “Tunaye Ibarahimu ambaye ni baba yetu; kwa sababu nawaambia ya kwamba, Mungu anaweza kumwinulia Ibrahimu watoto hata kutokana na mawe haya.
„Tõestage, et olete tõeliselt meelt parandanud. Kas te ei ürita ennast õigustada, öeldes: „Me oleme Aabrahami järeltulijad.“Ma ütlen teile, Jumal võib luua Aabrahamile lapsi neist kividest.
9 Tayari shoka limeshawekwa kwenye mzizi wa miti. Hivyo, kila mti usiozaa matunda mema, hukatwa na kutupwa motoni.
Kirves on valmis, et alustada juurte juurest puu raiumist. Iga puu, mis ei kanna head vilja, raiutakse maha ja visatakse tulle.“
10 Kisha watu katika makutano walimuuliza wakisema, “Sasa tunatakiwa tufanyeje?”
„Mida me peame siis tegema?“küsis rahvas temalt.
11 Alijibu na kuwaambia, “kama mtu ana kanzu mbili anatakiwa atoe kanzu moja kwa mwingine ambaye hana kabisa, na ambaye ana chakula na afanye vivyo hivyo.”
„Kui sul on kaks kuube, siis jaga seda kellegagi, kellel pole ühtegi. Kui sul on toitu, jaga seda nendega, kellel ei ole, “rääkis ta neile.
12 Kisha baadhi ya watoza ushuru walikuja pia kubatizwa, na wakamwambia, “Mwalimu, tunatakiwa kufanya nini?
Mõned maksukogujad tulid, et end ristida lasta. „Õpetaja, mida me peame tegema?“küsisid ka nemad.
13 Akawaambia, “Msikusanye fedha zaidi kuliko mnachotakiwa kukusanya.”
„Ärge koguge rohkem maksu, kui on ette nähtud, “vastas ta.
14 Baadhi ya maaskari pia wakamuuliza wakisema, “Na sisi je? Tunatakiwa tufanye nini?” Akawambia, “Msichukue fedha kwa mtu yeyote kwa nguvu, na msimtuhumu mtu yeyote kwa uongo. Ridhikeni na mishahara yenu.”
„Aga meie?“küsisid mõned sõdurid. „Mida meie peame tegema?“„Ärge nõudke raha vägivallaga ähvardades. Ärge esitage süüdistusi, mis pole tõsi. Olge rahul oma palgaga, “vastas ta.
15 Sasa, kwa kuwa watu walikuwa na shauku ya kumngojea Kristo atakaye kuja, kila mmoja alikuwa anawaza moyoni mwake kuhusu Yohana kama yeye ndiye Kristo.
Rahvas oli lootusrikas ja juurdles, kas Johannes ise võiks Messias olla.
16 Yohana akajibu kwa kuwaambia wote, “Mimi nawabatiza ninyi kwa maji, lakini kuna mmoja ajaye ambaye ana nguvu kuliko mimi, na sisitahili hata kufungua kamba za viatu vyake. Atawabatiza ninyi kwa Roho Mtakatifu na kwa moto.
Johannes vastas ja selgitas kõigile: „Jah, mina ristin teid vees. Aga see, kes tuleb, on palju tähtsam kui mina, ja mina pole väärt, et tema sandaale lahti päästa. Tema ristib teid Püha Vaimu ja tulega.
17 Pepeto lake liko mkononi mwake ili kusafisha vizuri uwanda wake wa kupepetea ngano na kuikusanya ngano ghalani mwake. Lakini, atayateketeza makapi kwa moto ambao hauwezi kuzimika.
Tuulamishark on tal käes ja ta on valmis oma rehealuses nisu aganatest eraldama. Ta kogub nisu aita, kuid aganad põletab ära tulega, mida ei saa kustutada.“
18 Kwa maonyo mengine mengi pia, alihubiri habari njema kwa watu.
Johannes esitas veel palju selliseid hoiatusi, kui ta rahvale head sõnumit kuulutas.
19 Yohana alimkemea pia Herode mkuu wa mkoa kwa kumuoa Herodia, mke wa ndugu yake na kwa maovu mengine mengi ambayo Herode alikuwa ameyatenda.
Aga kui Johannes noomis valitseja Heroodest sellepärast, et ta abiellus oma vennanaise Heroodiasega, ja kõigi halbade asjade pärast, mida ta teinud oli,
20 Lakini baadaye Herode alifanya uovu mwingine mbaya sana. Alimfunga Yohana gerezani.
lisas Heroodes oma kuritegude hulka veel selle, et lasi Johannese vanglasse heita.
21 Kisha ilitokea kwamba, wakati watu wote walipokuwa wakibatizwa na Yohana, naye Yesu alibatizwa pia. Wakati alipokuwa akiomba, mbingu zikafunguka.
Kui nüüd kõik olid saanud ristitud, ristiti ka Jeesus. Kui ta palvetas, avanes taevas
22 Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili kama njiwa, wakati huo huo sauti ikaja kutoka mbinguni ikisema, “Wewe ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa sana na wewe.”
ja Püha Vaim laskus tuvi kujul tema peale. Taevast kostis hääl, mis ütles: „Sina oled mu poeg, keda ma armastan. Olen sinu üle väga rõõmus.“
23 Sasa Yesu mwenyewe, alipoanza kufundisha, alikuwa na umri upatao miaka thelathini. Alikuwa ni mwana (kama ilivyotadhaniwa) wa Yusufu, mwana wa Eli,
Jeesus oli umbes kolmekümneaastane, kui ta oma avalikku teenimistööd alustas. Inimesed oletasid, et ta oli Joosepi poeg. Joosep oli Eeli poeg,
24 mwana wa Mathati, mwana wa Lawi, mwana wa Melki, mwana wa Yana, mwana wa Yusufu,
kes oli Mattati poeg, kes oli Leevi poeg, kes oli Malki poeg, kes oli Jannai poeg, kes oli Joosepi poeg,
25 mwana wa Matathia, mwana wa Amosi, mwana wa Nahumu, mwana wa Esli, mwana wa Nagai,
kes oli Mattitjahu poeg, kes oli Aamose poeg, kes oli Nahumi poeg, kes oli Hesli poeg, kes oli Naggai poeg,
26 mwana wa Maati, mwana wa Matathia, mwana wa Semeini, mwana wa Yusufu, mwana wa Yuda,
kes oli Mahati poeg, kes oli Mattitjahu poeg, kes oli Simei poeg, kes oli Jooseki poeg, kes oli Jooda poeg,
27 mwana wa Yoanani, mwana wa Resa, mwana wa Zerubabeli, mwana wa Shealtieli, mwana wa Neri,
kes oli Joohanani poeg, kes oli Reesa poeg, kes oli Serubbaabeli poeg, kes oli Sealtieli poeg, kes oli Neeri poeg,
28 mwana wa Melki, mwana wa Adi, mwana wa Kosamu, mwana wa Elmadamu, mwana wa Eri,
kes oli Melki poeg, kes oli Addi poeg, kes oli Koosami poeg, kes oli Elmadami poeg, kes oli Eeri poeg,
29 mwana wa Yoshua, mwana wa Eliezeri, mwana wa Yorimu, mwana wa Matathi, mwana wa Lawi,
kes oli Jeesuse poeg, kes oli Elieseri poeg, kes oli Joorimi poeg, kes oli Mattati poeg, kes oli Leevi poeg,
30 mwana wa Simeoni, mwana wa Yuda, mwana wa Yusufu, mwana wa Yonamu, mwana wa Eliyakimu,
kes oli Siimeoni poeg, kes oli Juuda poeg, kes oli Joosepi poeg, kes oli Joonami poeg, kes oli Eljakimi poeg,
31 mwana wa Melea, mwana wa Mena, mwana wa Matatha, mwana wa Nathani, mwana wa Daudi,
kes oli Melea poeg, kes oli Menna poeg, kes oli Mattata poeg, kes oli Naatani poeg, kes oli Taaveti poeg,
32 mwana wa Yese, mwana wa Obedi, mwana wa Boazi, mwana wa Salmoni, mwana wa Nashoni,
kes oli Iisai poeg, kes oli Oobedi poeg, kes oli Boase poeg, kes oli Salma poeg, kes oli Nahsoni poeg,
33 mwana wa Abinadabu, mwana wa Aramu, mwana wa Hesroni, mwana wa Peresi, mwana wa Yuda,
kes oli Amminadabi poeg, kes oli Admini poeg, kes oli Arni poeg, kes oli Hesroni poeg, kes oli Peretsi poeg, kes oli Juuda poeg,
34 mwana wa Yakobo, mwana wa Isaka, mwana wa Ibrahimu, mwana wa Tera, mwana wa Nahori,
kes oli Jaakobi poeg, kes oli Iisaki poeg, kes oli Aabrahami poeg, kes oli Terahi poeg, kes oli Naahori poeg,
35 mwana wa Seruig, mwana wa Ragau, mwana wa Pelegi, mwana wa Eberi, mwana wa Sala,
kes oli Serugi poeg, kes oli Reu poeg, kes oli Pelegi poeg, kes oli Eeberi poeg, kes oli Selahi poeg,
36 mwana wa Kenani, mwana wa Arfaksadi, mwana wa Shemu, mwana wa Nuhu, mwana wa Lameki,
kes oli Keenani poeg, kes oli Arpaksadi poeg, kes oli Seemi poeg, kes oli Noa poeg, kes oli Lemeki poeg,
37 mwana wa Methusela, mwana wa Henoko, mwana wa Yaredi, mwana Mahalalei, mwana wa Kenani,
kes oli Metuusala poeg, kes oli Eenoki poeg, kes oli Jeredi poeg, kes oli Mahalaleli poeg, kes oli Keenani poeg,
38 mwana wa Enoshi, mwana wa Sethi, mwana wa Adamu, mwana wa Mungu.
kes oli Enose poeg, kes oli Seti poeg, kes oli Aadama poeg, kes oli Jumala poeg.