< Luka 24 >

1 Mapema sana siku ya kwanza ya juma, walikuja kaburini, wakileta manukato ambayo walikuwa wameyaandaa.
palwakilo kyongo ikighono kya kwasia valisile kumbipa, kuleta ifinu fino finukilila fino valyatendile.
2 Wakakuta jiwe limevingirishwa mbali na kaburi.
vakavona ilivue livungulwike kutali ni mbipa.
3 Wakaingia ndani, lakini hawakuukuta mwili wa Bwana Yesu.
vakingila mu'nkate, neke navakaghwagha um'bili ghwa Mutwa Yesu.
4 Ilitokea kwamba, wakati wamechanganyikiwa kuhusu hili, ghafla, watu wawili walisimama katikati yao wamevaa mavazi ya kung'aa.
jilyahumile kuuti, unsiki ghuno vakachanganyikivue, mu ilio kukenyemukila, avanhhu vamonga vavili vakimile pakate pavanave vafwalile amheenda amavalafu.
5 Wanawake wakiwa wamejaa hofu na wakiinamisha nyuso zao chini, wakawaambia wanawake, “Kwanini mnamtafuta aliye hai miongoni mwa wafu?
avadala valyale vamemile uvwoghofi na kusulamisia amaaso ghave paasi, vakavavula avadala, “kiki mukumulonda umwumi mu vafue?
6 Hayupo hapa, ila amefufuka! Kumbukeni alivyosema nanyi alipokuwa angali Galilaya,
apa napwale, neke asyukile! mukumbukaghe fino alyajovile kulyumue ye ali ku Galilaya, alyatile ndiki, “
7 akisema kwamba Mwana wa Adamu lazima atolewe kwenye mikono ya watu wenye dhambi na asulubishwe, na siku ya tatu, afufuke tena.”
umwana ghwa muunhu anoghile kuvuka mu mavoko gha vaanhu avanya sambi na kupumusivua ni kighono kya vutatu asyuke kange.”
8 Wale wanawake wakakumbuka maneno yake,
avadala vala vakakumbuka amasio ghake,
9 na wakarudi kutoka kaburini na wakawaambia mambo haya yote wale kumi na moja na wengine wote.
vakagomoka kange kumbipa na kum'bula isio sooni vala kijigho na jumo na vange vooni.
10 Basi Maria Magdalena, Joana, Maria mama wa Yakobo, na wanawake wengine pamoja nao wakatoa taarifa hizi kwa mitume.
pe uMaliya Magadalena, uJohana, uMaliya mama ghwa Yakovo, na vadala avange palikimo vakahumia imhola isi isa vusun'gua.
11 Lakini ujumbe huu ukaonekana kama mzaha tu kwa mitume, na hawakuwaamini wale wanawake.
neke imhola isi sikavoneka hwene sa mbedo kuva sung'ua, kange nakavitikile avadala vala.
12 Hata hivyo Petro aliamka, na akakimbia kuelekea kaburini, na akichungulia na kuangalia ndani, aliona sanda peke yake. Petro kisha akaondoka akaenda nyumbani kwake, akistaajabu nini ambacho kimetokea.
nambe lino uPeteli akasimuka, akakimbila na kuluta ku mbipa, akahungila na kulola mu'nkate akaghwagha umwenda um'balafu ghwene. pe aPeteli akavuka na kuluta ku nyumba jake, akale idegha kiki kino kihumile.
13 Na tazama, wawili miongoni mwao walikuwa wakienda siku hiyo hiyo katika kijiji kimoja kiitwacho Emmau, ambacho kilikuwa maili sitini kutoka Yerusalemu.
pe degha, vavili mu vanave valyale viluta ikighono kikikyo mu kikaaja kimonga kikemelua Emmau, kino klyale nu vutali vwa, kuhuma ku Yelusalemu.
14 Wakajadiliana wao kwa wao kuhusu mambo yote yaliyotokea.
vakajofesania vavuo ku vavuo ku sooni sino sihumile.
15 Ikatokea kwamba, wakati walipokuwa wakijadiliana na kuulizana maswali, Yesu akasogea karibu akaambatana nao.
jilyahumile luuti, unsiki ghuno valyale vijofesania na kuposesania, uYesu akavelelela pa vupipi akakolana nave.
16 Lakini macho yao yalizuiliwa katika kumtambua yeye.
neke amaaso ghave ghakasighilue kukun'kagula umwene.
17 Yesu akawaambia, “Nini ambacho ninyi wawili mnakiongelea wakati mnatembea?” Wakasimama pale wakionekana na huzuni.
uYesu akavavula, akati, “umue mwe vavili muvele mujovela kiki un'siki ghuno ye mughenda?” vakima pala neke vakavonike ghwene vaanhu avanya lusukunalo.
18 Mmoja wao, jina lake Cleopa, akamjibu, “Je wewe ni mtu pekee hapa Yerusalemu ambaye hajui mambo yaliyotokea huko siku hizi?”
jumonga mu vanave ilitavua lyake ghwe Cleopa akamwamula akati, pe uve uli muunhu ghwemwene pa Yelusalemu apa, juno naukagwile sino sihumile ukuo ifighono ifi?”
19 Yesu akawaambia, “Mambo gani?” Wakamjibu, “Mambo kuhusu Yesu Mnazareti, ambaye alikuwa nabii, muweza katika matendo na maneno mbele za Mungu na watu wote.
uYesu akam'bula akati, “se nyiki?” vakamwamula, “sooni sino sa Yesu Munasaleti, juno alyale m'bili unya ngufu mu maghendele na masio pa maaso gha Nguluve na vaanhu vooni.
20 Na kwa jinsi ambayo wakuu wa makuhani na viongozi wetu walivyomtoa kuhukumiwa kifo na kumsulubisha.
na fino avatekesi na valongosi vitu valyamwumisie kuhighua kufua na kupumhusivua.
21 Lakini tulitumaini kwamba yeye ndiye atakaye waweka huru Israeli. Ndiyo, mbali na haya yote, sasa ni siku ya tatu tangu mambo haya yatokee.
neke tulyahuvilile kuuti umwene ghwe juno ikuvavika avaanhu huru ava Silaeli. Ena, kutali naghuo lino kighono kya vutatu kuhuma isi sihumile.
22 Lakini pia, baadhi ya wanawake kutoka katika kundi letu walitushangaza, baada ya kuwapo kaburini asubuhi na mapema.
kange pepano avadala vamonga kuhuma mulipugha litu vakatudeghisie ye vali pa mbipa ni lyakilo joni.
23 Walipoukosa mwili wake, wakaja, wakisema kwamba waliona pia maono ya malaika waliosema kwamba yu hai.
vati navaghwaghile um'bili ghwake vakisa na kujova kuuti, vakalolile amavonelo gha vanyaMhola ghiti mwumi.
24 Baadhi ya wanaume ambao walikuwa pamoja nasi walienda kaburini, na kukuta ni kama vile wanawake walivyosema. Lakini hawakumuona yeye.”
pe avaghosi vamonga vano valyale palikimo nusue kakaluta ku mbipa vakavona hwene vadala fino vimile. neke navakamwaghile umwene”
25 Yesu akawaambia, “Ninyi watu wajinga na wenye mioyo mizito ya kuamini yote ambayo manabii wamesema!
uYesu akavavula umue mwe vaanhu vajaasu mwevanya moojo ghano naghikwitika ku sooni sino avavili vijova!
26 Je haikuwa lazima Yesu kuteseka kwa mambo haya, na kuingia katika utukufu wake?”
pe na lukamunoghile uYesu kupumhuka mu agha, na kukwingila mu vwimike vwake?”
27 Kisha kuanzia kutoka kwa Musa na manabii wote, Yesu akawatafsiria mambo yanayomuhusu yeye katika maandiko yote.
pe kutengulila kwa Moose na vavili vooni, uYesu akavavulanisiagha sino sikun'jova umwene mu malembe ghake ghoni.
28 Walipokaribia kile kijiji, huko walikokuwa wakienda, Yesu akafanya kana kwamba anaendelea mbele.
ye vali pipi ni likaaja lila kuno valyale viluta, UYesu akahwana ighendelela kuvulongolo.
29 Lakini walimlazimisha, wakisema, “Kaa pamoja nasi, maana inaelekea jioni na siku ni kama imeisha.” Hivyo Yesu akaingia kwenda kukaa nao.
neke vakan'kwesa vakatisagha, “ikale palikimo nusue, ulwakuva ivwilile ni kilo hwene fisilile” pe uYesu akingila na kukukala navo.
30 Ilitokea kwamba, wakati amekaa nao kula, alichukua mkate, akaubariki, na kuuvunja, akawapa.
jikahumile kuuti, ikalile pilia navo, akatola un'kate na kughufunyila, akaghumenyulania na kukuvapela.
31 Kisha macho yao yakafunguliwa, wakamjua, na akatoweka ghafla mbele ya macho yao.
vakadindula amaaso ghave vakan'kagula pe akasovanika ghafula pa maaso ghave.
32 Wakasemezana wao kwa wao, “Hivi mioyo yetu haikuwaka ndani yetu, wakati alipoongea nasi njiani, wakati alipotufungulia maandiko?”
vakijofesania vavuo ku vavuo,”pe lino amoojo ghitu naghalyale mu n'kate jiitu, unsiki ghuno ijova nusue mu sila ye adindulivue amalembe.
33 Wakanyanyuka saa hiyo hiyo, na kurudi Yerusalemu. Wakawakuta wale kumi na mmoja wamekusanyika pamoja, na wale waliokuwa pamoja nao,
akimile unsiki ghughuo, na kugomoka ku Yelusalemu. vakavagha vala kijigho nu jumo vakong'anile palikimo na vala vano valyale lumo.
34 wakisema, “Bwana amefufuka kwelikweli, na amemtokea Simoni.”
vakatisagha,” kyang'ani uMutwa asyukile amwumile uSimoni”.
35 Hivyo wakawaambia mambo yaliyotokea njiani, na namna Yesu alivyodhihirishwa kwao katika kuumega mkate.
pe musila vakampangila sino sihumile, kange na fino avonike kuvnave ye ienyula un'kate.
36 Wakati wakiongea mambo hayo, Yesu mwenyewe alisimama katikati yao, na akawaambia, “Amani iwe kwenu.”
ye vijova isio uYesu jujuo akimile pakate jave na kukuvavula,”ulutengano luvisaghe numue”.
37 Lakini waliogopa na kujawa na hofu, na wakafikiri kwamba waliona roho.
neke vakoghopa a kusagha kuuti vakajaghile inumbula.
38 Yesu akawaambia, Kwanini mnafadhaika? Kwanini maswali yanainuka mioyoni mwenu?
uYesu akavavula, kiki musukulana? kiki mukuposia mu moojo ghinu?
39 Angalieni mikono yangu na miguu yangu, kwamba ni mimi mwenyewe. Niguseni na muone. Kwa maana roho haina nyama na mifupa, kama mnionavyo mimi kuwa navyo.”
lola amavoko ghango na maghulu ghango, kuuti nene june. munyabasie mulole. ulwakuva inumbula jisila nyama na mafupa, ndavule fino mukunyagha une.”
40 Alipokwisha kusema hivi, akawaonyesha mikono yake na miguu yake.
ati amalile kujova ndiki, akavasona amavoko na maghulu ghake.
41 Walipokuwa bado na furaha iliyochanganyikana na kutokuamini, na kustaajabu, Yesu akawaambia, “Je mna kitu chochote cha kula?”
ye vali nulukelo luno luhasing'ine na kisila vwitiki na kudegha, uYesu akavavula kuuti, “pe muli ni kinu kyokyoni kulia?
42 Wakampa kipande cha samaki aliyechomwa.
pe vakampela ikipande kya swi kino kinyanyilue.
43 Yesu akakichukua, na kukila mbele yao.
uYesu akatoola na kulia pa maaso ghavanave.
44 Akawaambia, “Nilipokuwa nanyi, niliwaambia kwamba yote yalioandikwa kwenye sheria ya Musa na manabii na Zaburi lazima yatimilike.”
akavaavula, “ye nilyale numue nikavavulagha kuuti sooni sino silembilue mu ndaghilo sa Moose na vavili ni Sabuli sinoghile kuhumila”
45 Kisha akafungua akili zao, kwamba waweze kuyaelewa maandiko.
pe akavapela kukaguala amalembe.
46 Akawaambia, “Kwamba imeandikwa, Kristo lazima ateseke, na kufufuka tena kutoka katika wafu siku ya tatu.
akavavula, akati,” jilembilue, uKilisite anoghile kupumhuka na kusyuluka kange kuhuma ku vafue ikighono kya vutatu.
47 Na toba na msamaha wa dhambi lazima ihubiriwe kwa jina lake kwa mataifa yote, kuanzia kutokea Yerusalemu.
uvulato nu lusaghilo lwa sambi lunoghile kudalikivua ku litavua lyake ku iisi sooni kutengulila ku Yelusalemu.
48 Ninyi ni mashahidi wa mambo haya.
umue muli vasaidi va isi sooni,
49 Angalia, nawapelekea ahadi ya Baba yangu juu yenu. Lakini subirini hapa jijini, mpaka mtakapovishwa nguvu kutoka juu.
lolagha, nikuvatwalila ulufingo lwa baba ghwango kulyumue neke mughule mu mpulo ughu, kuhanga mufyala ingufu kuhuma kukyanya kwa mwene.
50 Kisha Yesu akawaongoza nje mpaka walipokaribia Bethania. Akainua mikono yake juu, na akawabariki.
pepano u yesu akavalongosia kunji kuhanga pano valyale pipi na ku Betania. akatosia amavoko ghake kukyanya, na kuvafunyila.
51 Ikatokea kwamba, wakati alipokuwa akiwabariki, aliwaacha na akabebwa juu kuelekea mbinguni.
jikahumila kuuti, unsiki ye ikuvafunyila akapindilue n'kyanya kuluta na kukuvaleka.
52 Basi wakamwabudu, na kurudi Yerusalemu na furaha kuu.
pe vakamfunya nu lukelo ulukome, na kugomoka ku Yelusalemu.
53 Waliendelea kuwepo hekaluni, wakimbariki Mungu.
vakaghendela kumughinia uNguluve mu nyumba inyimike ja kufunyila.

< Luka 24 >