< Luka 23 >

1 Mkutano wote wakasimama, wakampeleka Yesu mbele ya Pilato.
And having risen up all the multitude of them (they led *N(k)O*) Him to Pilate.
2 Wakaanza kumshutumu, wakisema, “Tumemkuta mtu huyu akipotosha taifa letu, kwa kukataza tusitoe kodi kwa Kaisari, na akisema kwamba yeye mwenyewe ni Kristo, Mfalme.”
They began then to accuse Him saying; This [man] we found misleading the nation (of us *NO*) and forbidding tribute to Caesar to be given (and *no*) declaring Himself Christ a king to be.
3 Pilato akamuuliza, akisema, “Je wewe ni Mfalme wa Wayahudi?” Na Yesu akamjibu akisema, “Wewe wasema hivyo”.
And Pilate (asked *N(k)O*) Him saying; You yourself are the King of the Jews? And answering him He was saying; You yourself say.
4 Pilato akamuambia kuhani mkuu na makutano, “Sioni kosa kwa mtu huyu”.
And Pilate said to the chief priests and the crowds; No [thing] find I guilty in man this.
5 Lakini wao wakasisitiza, wakisema, “Amekuwa akiwachochea watu, akifundisha katika Uyahudi yote, kuanzia Galilaya na sasa yuko hapa.”
But they were insisting saying that He stirs up the people teaching throughout all of Judea (and *no*) He has begun from Galilee until here.
6 Pilato aliposikia haya, akaulizia kama mtu huyo ni wa Galilaya?
Pilate now having heard (Galilee *KO*) asked whether the man a Galilean is,
7 Alipotambua kuwa alikuwa chini ya utawala wa Herode, akampeleka Yesu kwa Herode, ambaye naye alikuwa Yerusalemu kwa siku hizo.
and having learned that from the jurisdiction of Herod He is, he sent up Him to (*o*) Herod being also he himself in Jerusalem in those days.
8 Herode alipomuona Yesu, alifurahi sana kwasababu alitaka kumuona kwa siku nyingi. Alisikia habari zake na alitamani kuona moja ya miujiza ikifanywa na yeye.
And Herod having seen Jesus [was] glad exceedingly; he was for of (long *N(k)O*) time wishing to see Him because of hearing (many things *K*) concerning Him and he was hoping some sign to see by Him done.
9 Herode alimhoji Yesu kwa maneno mengi, lakini Yesu hakumjibu chochote.
He was questioning then Him in words many; He himself however no [thing] answered him.
10 Makuhani wakuu pamoja na waandishi walisimama kwa ukali wakimshitaki.
Had been standing by now the chief priests and the scribes vehemently accusing Him.
11 Herode pamoja na maaskari wake, walimtukana na kumdhihaki, na kumvika mavazi mazuri, kisha akamrudisha Yesu kwa Pilato.
Having set at naught then Him (also *no*) Herod with the troops of him and having mocked [and] having put on (Him *ko*) apparel splendid, sent back Him to Pilate.
12 Herode na Pilato wakawa marafiki kuanzia siku hiyo, (kabla ya hapo walikuwa maadui).
Became then friends both Herod and Pilate on that day with one another; they were formerly for at enmity they were between (them. *N(k)(o)*)
13 Pilato akawaita pomoja makuhani wakuu na watawala na umati wa watu,
Pilate then having called together the chief priests and the rulers and the people
14 Akawaambia, “Mmeniletea mtu huyu kama mtu anaye waongoza watu wafanye mabaya, na tazama, baada ya kuwa nimemhoji mbele yenu, sikuona kosa kwa mtu huyu kuhusu mambo yote ambayo ninyi mnamshitaki yeye.
said to them; You brought to me man this as misleading the people; and behold I myself before you having examined [Him] no [thing] found in man this guilty of that accusation you are bringing against Him;
15 Hapana, wala Herode, kwa maana amemrudisha kwetu, na tazama hakuna chochote alichokifanya kinachostahili adhabu ya kifo.
But not even [did] Herod; (he sent back *N(K)O*) for Him to (us *N(K)O*) And behold no [thing] worthy of death is done by Him.
16 Kwahiyo basi nitamuadhibu na kumuachilia.
Having chastised therefore Him I will release [Him].
17 (Sasa, Pilato anawajibika kumuachilia mfungwa mmoja kwa wayahudi wakati wa sikukuu).
(necessity *KO*) (now had to release to them according to feast one. *K*)
18 Lakini wote wakapiga kelele pamoja, wakisema, “Mwondoe huyo, na tufungulie Baraba!”
(They cried out *N(k)O*) however all together saying; do remove this [man], do release now to us Barabbas;
19 Baraba alikuwa ni mtu ambaye amewekwa gerezani kwa sababu ya uasi fulani katika jiji na kwa kuua.
who was on account of insurrection a certain having been made in the city and murder (being cast into *N(k)O*) (the *no*) (prison. *N(k)O*)
20 Pilato akawaambia tena, akitamani kumwachilia Yesu.
Again (therefore *N(k)O*) Pilate called to them wishing to release Jesus.
21 Lakini wao wakapiga kelele, wakisema, “Msulibishe, msulibishe.”
But they were crying out saying; (do crucify do crucify *N(k)O*) Him.
22 Akawauliza kwa mara ya tatu, “kwa nini, huyu mtu amefanya maovu gani? Sikupata kosa linalostahili adhabu ya kifo kwake. Kwahiyo nitakapo maliza kumuadhibu nitamuachilia.”
And a third [time] he said to them; What for evil did commit this [man]? No [thing] worthy of death found I in Him. Having chastised therefore Him I will release [Him].
23 Lakini wakasisitiza kwa sauti ya juu, wakitaka asulubiwe. Na sauti zao zikamshawishi Pilato.
But they were urgent with voices loud asking for Him to be crucified, And were prevailing the voices of them (and of the chief priests. *KO*)
24 Hivyo Pilato akaamua kuwapatia matakwa yao.
(*k*) (and *N(k)O*) Pilate sentenced to be done the demand of them.
25 Akamuachilia yule waliyemtaka ambaye alifungwa kwa kusababisha ghasia na kuua. Lakini akamtoa Yesu kwa matakwa yao.
He released then (to them *k*) the [one] on account of insurrection and murder cast into (*k*) prison whom they were asking for; and Jesus he delivered to the will of them.
26 Walipokuwa wakimpeleka, walimkamata mtu mmoja aitwaye Simoni wa Ukirene, akitokea katika nchi, wakamtwika msalaba ili abebe, akimfuata Yesu.
And as they led away Him, having laid hold on (Simon a certain from Cyrene *N(k)O*) (who *k*) (is coming *N(k)O*) from [the] country they put upon him the cross to carry behind Jesus.
27 umati mkubwa wa watu, na wanawake ambao walihuzunika na kuomboleza kwa ajili yake, walikuwa wakimfuata.
Were following now Him a great multitude of the people and of women who (also *k*) were mourning and they were lamenting for Him.
28 Lakini akawageukia, Yesu akawaambia, 'Mabinti wa Yerusalemu, msinililie mimi, bali jililieni ninyi wenyewe na kwa ya ajili watoto wenu.
Having turned then to them Jesus said; Daughters of Jerusalem, not do weep for Me myself, but for yourselves do weep and for the children of you.
29 Tazama, siku zinakuja ambazo watasema, “Wamebarikiwa walio tasa na matumbo yasiyozaa, na matiti ambayo hayakunyonyesha.
For behold are coming days in which they will say; Blessed [are] the barren and (the *no*) wombs that never did bear and breasts that never (they feed. *N(k)O*)
30 Ndipo watakapo anza kuiambia milima, 'Tuangukieni,' na vilima, 'Mtufunike.'
Then They will begin to say to the mountains; do fall upon us; and to the hills; do cover us.
31 Maana kama wakifanya mambo haya ikiwa mti mbichi, itakuwaje ukiwa mkavu?”
For if in the green tree these things they do, in the dry what may happen?
32 wanaume wengine, wahalifu wawili, walipelekwa pamoja naye ili wauwawe.
Were being led away now also other criminals two with Him to be executed.
33 Walipofika mahali paitwapo Fuvu la kichwa, ndipo wakamsulubisha pamoja na wale wahalifu, mmoja upande wa kulia na mwingine upande wa kushoto.
And when (they came *N(k)O*) to the place which is being called [The] Skull, there they crucified Him and the criminals, the one on [the] right, another and on [the] left.
34 Yesu alisema, “Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo. “Nao wakapiga kura, kugawa mavazi yake.
And Jesus was saying; Father, do forgive them; not for they know what they do. Dividing then the garments of Him they cast (lots. *NK(o)*)
35 Watu walikuwa wamesimama wakiangalia huku watawala wakimdhihaki, wakisema, “Aliwaokoa wengine. Sasa ajiokoe mwenyewe, kama yeye ni Kristo wa Mungu, mteule”.
And had stood the people beholding. Were deriding [Him] then also the rulers (with them *k*) saying; Others He saved, he should save Himself if this is the Christ (*ko*) of God (the *no*) Chosen [One].
36 Askari pia walimdharau, walimkaribia yeye na wakumpa siki,
(Mocked *N(k)O*) then Him also the soldiers coming near, (and *k*) sour wine offering to Him
37 wakisema, “Kama wewe ni Mfalme wa Wayahudi jiokoe mwenyewe”
and saying; If You yourself are the King of the Jews, do save Yourself!
38 Kulikuwa pia na alama juu yake iliyoandikwa “HUYU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI.”
There was now also an inscription (written *K(o)*) over Him (writings in Greek and in Latin and in Hebrew; is *K*) the King of the Jews This [is].
39 Mmoja wa wahalifu aliyesulubishwa alimtukana akisema, “Wewe si Kristo? jiokoe mwenyewe na sisi”
One now of those having been hanged criminals he was denigrating Him saying: (Surely *N(K)O*) you yourself are the Christ? do save Yourself and us!
40 Lakini yule mwingine akajibu, akimkemea na akisema, “Je wewe humuogopi Mungu, nawe uko katika hukumu hiyo hiyo?
Answering now the other (rebuking *N(k)O*) him (was speaking; *N(k)O*) Not even do fear you yourself God that under the same judgment you are?
41 Sisi tupo hapa kwa haki, kwa maana sisi tunapokea kile tunachostahili kwa matendo yetu. Lakini mtu huyu hakufanya chochote kibaya.”
and we ourselves indeed justly, Worthy for of what we did we are receiving; [this] man however no [thing] wrong did.
42 Na aliongeza, “Yesu, nikumbuke utakapoingia katika ufalme wako.”
And he was saying: (*k*) Jesus, do remember me (Lord *K*) when You may come (into *N(k)O*) (the kingdom *NK(o)*) of You!
43 Yesu akamwambia, “Amini nakuambia, leo hii utakuwa pamoja nami Paradiso.”
And He said to him (Jesus: *ko*) Amen to you I say: today with Me you will be in Paradise.
44 Hapo ilikuwa karibu saa ya sita, giza likaja juu ya nchi yote hadi saa ya tisa,
(And *no*) it was (now *k*) (already *no*) about [the] hour sixth, and darkness came over all the land until [the] hour ninth
45 Mwanga wa jua ulizimika. Kisha pazia la hekalu likagawanyika katikati kuanzia juu.
(and *ko*) (The sun darkened. *N(k)O*) (and *ko*) was torn (then *no*) the veil of the temple in [the] middle.
46 Akilia kwa sauti kuu, Yesu alisema, “Baba mikononi mwako naiweka roho yangu,” baada ya kusema haya, akafa.
And having called out in a voice loud Jesus said; Father, into [the] hands of You (I myself commit *N(k)O*) the Spirit of Mine. (This now *N(k)O*) having said He breathed His last.
47 Wakati Akida alipoona yaliyotendeka alimtukuza Mungu akisema, “Hakika huyu alikuwa mtu mwenye haki.”
Having seen now the centurion that having taken place (he was glorifying *N(k)O*) God saying; Certainly man this righteous was.
48 Wakati umati wa watu waliokuja pamoja kushuhudia walipoona mambo yaliyofanyika, walirudi huku wakipiga vifua vyao.
And all the having come together crowds to spectacle this, (having seen *N(k)O*) the [things] having taken place, beating (their own *k*) breasts were returning [home].
49 Lakini marafiki zake, na wanawake waliomfuata toka Galilaya, walisimama kwa mbali wakiangalia hayo mambo.
Had stood now all those who knew (with Him *N(k)O*) (from *no*) afar off also women those (having followed *N(k)O*) Him from Galilee beholding these things.
50 Tazama, palikuwepo na mtu aitwaye Yusufu, ambaye ni mmoja wa baraza, mtu mzuri na mwenye haki,
And behold a man named Joseph a Council member being (also *n*) a man good and righteous;
51 (alikuwa hajakubaliana na maamuzi au matendo yao), kutoka Armathaya, mji wa Kiyahudi, ambao ulikua ukisubiria ufalme wa Mungu.
he not was having consented to the counsel and to the deed of them; from Arimathea a city of the Jews, who (and *k*) he was waiting for (and himself *k*) the kingdom of God,
52 Mtu huyu, alimkaribia Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu.
He having gone to Pilate asked [for] the body of Jesus.
53 Alimshusha, na akauzungushia sanda, na akaumweka katika kaburi lililokuwa limechongwa katika jiwe, ambalo hakuna aliyewahi kuzikwa.
And having taken down (it *k*) he wrapped it in a linen cloth and placed (it *N(k)O*) in a tomb cut in a rock in which no were no [one] (not yet *N(k)O*) laid.
54 Ilikuwa ni siku ya maandalizi, na Sabato inakaribia.
And [the] Day it was (of Preparation, *NK(o)*) and Sabbath was just beginning.
55 Wanawake, waliokuja nao kutoka Galilaya, walimfuata, na wakaona kaburi na jinsi mwili wake ulivyolazwa.
Having followed then (and *k*) (the *no*) women who were having come from Galilee with Him saw the tomb and how was laid the body of Him.
56 Walirudi na kuanza kuandaa manukato na marashi. Kisha siku ya sabato walipumzika kwa mujibu wa sheria.
Having returned then they prepared spices and anointing oils And on the indeed Sabbath they rested according to the commandment.

< Luka 23 >