< Luka 23 >

1 Mkutano wote wakasimama, wakampeleka Yesu mbele ya Pilato.
ᏂᎦᏛᏃ ᎾᏍᎩ ᎤᏂᏣᏘ ᎨᏒ ᏚᎾᎴᏅ ᏆᎴᏗ ᏫᎬᏩᏘᏃᎮᎴᎢ.
2 Wakaanza kumshutumu, wakisema, “Tumemkuta mtu huyu akipotosha taifa letu, kwa kukataza tusitoe kodi kwa Kaisari, na akisema kwamba yeye mwenyewe ni Kristo, Mfalme.”
ᎠᎴ ᎤᎾᎴᏅᎮ ᎬᏭᎯᏍᏗᏍᎨ ᎯᎠ ᎾᏂᏪᏍᎨᎢ, ᎯᎠ ᎾᏍᎩ ᏙᏥᏩᏛᎲᎩ ᏕᏓᎴᎾᏍᏗᏍᎬᎩ ᏴᏫ, ᎠᎴ ᏕᎧᏅᏍᏓᏕᎲᎩ ᎠᏰᎵ ᎠᏕᎸ ᏏᏌ ᎠᎫᏴᎡᏗᏱ, ᎯᎠ ᏂᎧᏪᏍᎬᎩ, ᎠᏴ ᎠᎩᎬᏫᏳᎯ, ᎦᎶᏁᏛ.
3 Pilato akamuuliza, akisema, “Je wewe ni Mfalme wa Wayahudi?” Na Yesu akamjibu akisema, “Wewe wasema hivyo”.
ᏆᎴᏗᏃ ᎤᏛᏛᏁ, ᎯᎠ ᏄᏪᏎᎢ, ᏂᎯᏍᎪ ᏣᎬᏫᏳᎯ ᎠᏂᏧᏏ ᎤᎾᏤᎵᎦ? ᎤᏁᏤᎴᏃ ᎯᎠ ᏄᏪᏎᎢ, ᎾᏍᎩ ᏂᏫ.
4 Pilato akamuambia kuhani mkuu na makutano, “Sioni kosa kwa mtu huyu”.
ᏆᎴᏗᏃ ᎯᎠ ᏂᎦᏪᏎᎴ ᏄᏂᎬᏫᏳᏒ ᎠᏥᎸ-ᎠᏁᎶᎯ ᎠᎴ ᏴᏫ, ᎥᏝ ᏱᏥᏩᏘ ᎤᏍᎦᏅᏨ ᎯᎠ ᎠᏍᎦᏯ.
5 Lakini wao wakasisitiza, wakisema, “Amekuwa akiwachochea watu, akifundisha katika Uyahudi yote, kuanzia Galilaya na sasa yuko hapa.”
ᎠᏎᏃ ᎤᏂᏍᏓᏱᏕ ᎯᎠ ᎾᏂᏪᏍᎨᎢ, ᏓᏖᎸᎲᏍᎦ ᎯᎠ ᏴᏫ, ᏓᏕᏲᏂᏙᎭ ᏧᏗᏱ ᏂᎬᎾᏛᎢ, ᎨᎵᎵ ᏅᏓᎬᏩᏓᎴᏅᏛ ᎠᏂ ᎢᏯᏍᏘ.
6 Pilato aliposikia haya, akaulizia kama mtu huyo ni wa Galilaya?
ᏆᎴᏗᏃ ᎤᏛᎦᏅ ᎨᎵᎵ ᎠᏂᏁᎢᏍᏗᏍᎬ ᎤᏛᏛᏁ, ᎨᎵᎵᏍᎪ ᎡᎯ ᎯᎠ ᎠᏍᎦᏯ, ᎤᏛᏁᎢ.
7 Alipotambua kuwa alikuwa chini ya utawala wa Herode, akampeleka Yesu kwa Herode, ambaye naye alikuwa Yerusalemu kwa siku hizo.
ᎤᏙᎴᎰᏒᏉᏃ ᎡᎶᏛ ᎤᎬᏫᏳᎯ ᎨᏒ ᎾᎿᎭᎡᏗ ᎨᏒᎢ, ᎡᎶᏛ ᏭᏪᎧᏁᎴᎢ, ᎾᏍᎩ ᎡᎶᏛ ᎤᏩᏒ ᏥᎷᏏᎵᎻ ᎡᏙᎮ ᎾᎯᏳᎢ.
8 Herode alipomuona Yesu, alifurahi sana kwasababu alitaka kumuona kwa siku nyingi. Alisikia habari zake na alitamani kuona moja ya miujiza ikifanywa na yeye.
ᎡᎶᏛᏃ ᎤᎪᎲ ᏥᏌ, ᎤᏣᏘ ᎣᏎ ᎤᏰᎸᏁᎢ; ᎪᎯᏗᏳᏰᏃ ᏅᏩᏚᎵᏍᎨ ᎤᎪᏩᏛᏗᏱ, ᏅᏗᎦᎵᏍᏗᏙᏗᏍᎨ ᎤᏣᏘ ᏧᏓᎴᏅᏛ ᎠᏥᏃᎮᏍᎬ ᎤᏛᎦᏅᎢ, ᎠᎴ ᎤᏚᎩ ᎤᏩᏎ ᎤᎪᏩᏛᏗᏱ ᎪᎱᏍᏗ ᎤᏍᏆᏂᎪᏗ ᏚᎸᏫᏍᏓᏁᎲᎢ.
9 Herode alimhoji Yesu kwa maneno mengi, lakini Yesu hakumjibu chochote.
ᎤᏛᏛᎮᎸᏁᏃ ᎤᏣᏘ ᏧᏓᎴᏅᏛ, ᎠᏎᏃ ᎥᏝ ᏳᏁᏤᎴᎢ.
10 Makuhani wakuu pamoja na waandishi walisimama kwa ukali wakimshitaki.
ᏄᏂᎬᏫᏳᏒᏃ ᎠᏥᎸ-ᎠᏁᎶᎯ ᎠᎴ ᏗᏃᏪᎵᏍᎩ ᏓᏂᏙᎨ ᎤᎵᏂᎩᏛ ᎬᏭᎯᏍᏗᏍᎨᎢ.
11 Herode pamoja na maaskari wake, walimtukana na kumdhihaki, na kumvika mavazi mazuri, kisha akamrudisha Yesu kwa Pilato.
ᎡᎶᏛᏃ ᎠᎴ ᏧᏤᎵ ᎠᏂᏯᏫᏍᎩ ᎦᎬᏩᏐᏢᏔᏁᎢ, ᎠᎴ ᎬᏩᏕᎰᏔᏁᎢ, ᎠᎴ ᏗᎬᏩᎸᏌᏛ ᎠᏄᏬ ᎤᏂᏄᏬᎥ ᏆᎴᏗ ᏔᎵᏁ ᏭᏂᎧᏁᎴᎢ.
12 Herode na Pilato wakawa marafiki kuanzia siku hiyo, (kabla ya hapo walikuwa maadui).
ᎾᎯᏳᏃ ᎢᎦ ᏆᎴᏗ ᎠᎴ ᎡᎶᏛ ᎤᎾᎵᎢᏕᎢ; ᏗᎾᏓᏍᎦᎩᏳᏰᏃ ᎢᏳᎵᏍᏔᏅᎯ ᎨᏎ ᎾᎯᏳ ᎢᏯᏍᏘ.
13 Pilato akawaita pomoja makuhani wakuu na watawala na umati wa watu,
ᏆᎴᏗᏃ ᏚᎳᏫᏛ ᏄᏂᎬᏫᏳᏒ ᎠᏥᎸ-ᎠᏁᎶᎯ, ᎠᎴ ᏄᏂᎬᏫᏳᏌᏕᎩ, ᎠᎴ ᎤᏂᏣᏘ ᎨᏒ ᏴᏫ,
14 Akawaambia, “Mmeniletea mtu huyu kama mtu anaye waongoza watu wafanye mabaya, na tazama, baada ya kuwa nimemhoji mbele yenu, sikuona kosa kwa mtu huyu kuhusu mambo yote ambayo ninyi mnamshitaki yeye.
ᎯᎠ ᏂᏚᏪᏎᎴᎢ, ᏍᎩᏯᏘᏃᎮᎸ ᎯᎠ ᎠᏍᎦᏯ ᏴᏫ ᏚᎾᏓᏅᏛ ᏗᎴᎾᏍᏗᏍᎩ ᎾᏍᎩᏯᎢ; ᎬᏂᏳᏉᏃ ᏥᎪᎵᏰᎥᎯ ᏥᎩ ᎢᏥᎦᏔᎲᎢ, ᎥᏝ ᎪᎱᏍᏗ ᏱᏥᏩᏘ ᎤᏍᎦᏅᏨ ᎯᎠ ᎠᏍᎦᏯ ᎾᏍᎩ ᏄᏍᏛ ᎡᏧᎢᏍᏗᏍᎬᎢ;
15 Hapana, wala Herode, kwa maana amemrudisha kwetu, na tazama hakuna chochote alichokifanya kinachostahili adhabu ya kifo.
ᎡᎶᏛ ᎠᎴ ᎾᏍᏉ ᎥᏝ; ᎾᎿᎭᏰᏃ ᎢᏤᏅᏍᏗᏱ ᎢᏨᏁᏤᎸᎩ; ᎬᏂᏳᏉᏃ ᎥᏝ ᎪᎱᏍᏗ ᏰᎵ ᎬᏩᏲᎱᎯᏍᏗ ᎨᏒ ᏱᏄᏛᏁᎸ.
16 Kwahiyo basi nitamuadhibu na kumuachilia.
ᎾᏍᎩ ᎢᏳᏍᏗ ᏥᎵᎥᏂᎸᎭ ᏓᏥᏯᎧᏂ.
17 (Sasa, Pilato anawajibika kumuachilia mfungwa mmoja kwa wayahudi wakati wa sikukuu).
ᎠᏎᏰᏃ ᏌᏉ ᏧᏲᎯᏎᏗ ᎨᏐ ᏗᎵᏍᏓᏴᏗᏱ ᎨᏒ ᎢᏳᎢ.
18 Lakini wote wakapiga kelele pamoja, wakisema, “Mwondoe huyo, na tufungulie Baraba!”
ᎤᏁᎷᏁᏃ ᏌᏉ ᎢᎦᎦᏛ, ᎯᎠ ᏄᏂᏪᏎᎢ, ᎯᎷᎦ ᎯᎠ ᎠᏍᎦᏯ, ᏆᎳᏆᏃ ᏗᏍᎩᏲᎯᏏ.
19 Baraba alikuwa ni mtu ambaye amewekwa gerezani kwa sababu ya uasi fulani katika jiji na kwa kuua.
ᎾᏍᎩ ᏆᎳᏆ ᎤᏓᏑᏰᏛ ᎤᎾᎵᏖᎸᏅ ᎾᎿᎭᎦᏚᎲ ᎠᎴ ᎤᏓᎸᎢ ᎠᏥᏍᏛᏗᏍᏔᏁ ᏗᏓᏍᏚᏗᏱ ᎠᏥᏴᏔᏅᎯ ᎨᏎᎢ.
20 Pilato akawaambia tena, akitamani kumwachilia Yesu.
ᏆᎴᏗᏃ ᎤᏚᎵᏍᎬ ᏥᏌ ᎤᏪᎪᏗᏱ ᏅᏧᎵᏍᏙᏔᏁ ᏔᎵᏁ ᏚᏁᏤᎴᎢ.
21 Lakini wao wakapiga kelele, wakisema, “Msulibishe, msulibishe.”
ᎠᏎᏃ ᎤᏁᎷᏁ ᎯᎠ ᏄᏂᏪᏎᎢ, ᎯᏍᏛᎥᎦ, ᎯᏯᏛᎥᎦ.
22 Akawauliza kwa mara ya tatu, “kwa nini, huyu mtu amefanya maovu gani? Sikupata kosa linalostahili adhabu ya kifo kwake. Kwahiyo nitakapo maliza kumuadhibu nitamuachilia.”
ᏦᎢᏁᏃ ᎯᎠ ᏂᏚᏪᏎᎴᎢ, ᎦᏙᏃ, ᎦᏙ ᎤᏍᏗ ᎤᏲ ᏚᎸᏫᏍᏓᏁᎸ? ᎥᏝ ᏱᏥᏩᏛᎡᎭ ᎪᎱᏍᏗ ᏰᎵ ᎬᏩᏲᎱᎯᏍᏗ ᎨᏒᎢ; ᎾᏍᎩ ᎢᏳᏍᏗ ᏓᏥᎵᎥᏂᎵ ᎠᎴ ᏙᏓᏥᏲᏏ.
23 Lakini wakasisitiza kwa sauti ya juu, wakitaka asulubiwe. Na sauti zao zikamshawishi Pilato.
ᎠᏎᏃ ᎤᎾᏟᏂᎬᏁᎴ ᎠᏍᏓᏯ ᎠᏂᏁᎬᎢ, ᎠᏂᏔᏲᎯᎮ ᎠᎦᏛᏗᏱ. ᎾᏍᎩᏃ Ꮎ ᎠᎴ ᏄᏂᎬᏫᏳᏒ ᎠᏥᎸ-ᎠᏁᎶᎯ ᎠᏂᏁᎬ ᎤᎬᏫᏳᏤᎢ.
24 Hivyo Pilato akaamua kuwapatia matakwa yao.
ᏆᎴᏗᏃ ᎤᏁᏤ ᏄᏍᏛ ᎤᎾᏚᎵᏍᎬ ᎢᏳᎵᏍᏙᏗᏱ.
25 Akamuachilia yule waliyemtaka ambaye alifungwa kwa kusababisha ghasia na kuua. Lakini akamtoa Yesu kwa matakwa yao.
ᎠᎴ ᏚᏪᎧᏁᎴ ᎾᏍᎩ ᏧᏂᏔᏲᎴᎢ, ᏗᏓᏍᏚᏗᏱ ᎠᏥᏴᏔᏅᎯ ᏥᎨᏎᎢ ᏧᏍᏛᏗᏍᎨ ᎤᏓᏑᏰᏛ ᎤᎾᎵᏖᎸᏅ ᎠᎴ ᎤᏓᎸᎢ; ᏥᏌᏍᎩᏂ ᏚᏲᎯᏎᎴ ᎤᎾᏚᎵᏍᎬ ᎢᏳᏅᏁᏗᏱ.
26 Walipokuwa wakimpeleka, walimkamata mtu mmoja aitwaye Simoni wa Ukirene, akitokea katika nchi, wakamtwika msalaba ili abebe, akimfuata Yesu.
ᎬᏩᏘᏂᏎᏃ ᎤᏂᏂᏴᎮ ᎩᎶ ᎢᏳᏍᏗ ᏌᏩᏂ ᏧᏙᎢᏛ, ᏌᎵᏂ ᎡᎯ, ᏙᏗᎦᎶᎨᏒ ᏅᏓᏳᎶᏒᎯ, ᎾᏍᎩᏃ ᎤᎾᏃᏝᏗᏍᏔᏁ ᏧᏓᎿᎭᏩᏛ, ᎾᏍᎩ ᏥᏌ ᎠᎢᏒ ᎣᏂᏗᏢ ᎤᏪᏅᏍᏗᏱ.
27 umati mkubwa wa watu, na wanawake ambao walihuzunika na kuomboleza kwa ajili yake, walikuwa wakimfuata.
ᎬᏩᏍᏓᏩᏗᏎᏃ ᎤᏂᏣᏘ ᏴᏫ, ᎠᎴ ᎠᏂᎨᏴ, ᎾᏍᎩ ᎾᏍᏉ ᏓᏂᏴᎨ ᎠᎴ ᎬᏩᏍᎪᏂᎮᎢ.
28 Lakini akawageukia, Yesu akawaambia, 'Mabinti wa Yerusalemu, msinililie mimi, bali jililieni ninyi wenyewe na kwa ya ajili watoto wenu.
ᏥᏌᏃ ᏚᎦᏔᎲᎡᎸ ᎯᎠ ᏄᏪᏎᎢ, ᎢᏥᎨᏴ ᏥᎷᏏᎵᎻ ᏧᏪᏥ, ᏞᏍᏗ ᎠᏴ ᏍᎩᏍᎪᏂᎸᎩ, ᎢᏨᏒᏍᎩᏂ ᏗᏣᏓᏍᎪᏂᎦ, ᎠᎴ ᏗᏤᏥ ᏗᏥᏍᎪᏂᎦ.
29 Tazama, siku zinakuja ambazo watasema, “Wamebarikiwa walio tasa na matumbo yasiyozaa, na matiti ambayo hayakunyonyesha.
ᎬᏂᏳᏰᏃ ᏛᎵᏰᎢᎶᎵ ᎢᎦ, ᎾᎯᏳ ᎯᎠ ᏅᏛᏂᏪᏏ, ᎣᏏᏳ ᎢᏳᎾᎵᏍᏓᏁᏗ ᏗᎾᎷᎸᎥᏍᎩ ᏂᎨᏒᎾ, ᎠᎴ ᏧᎾᏓᎾᏄᎪᏫᏒᎯ ᏂᎨᏒᎾ, ᎠᎴ ᏧᎾᏓᏍᏛᏅᎯ ᏂᎨᏒᎾ.
30 Ndipo watakapo anza kuiambia milima, 'Tuangukieni,' na vilima, 'Mtufunike.'
ᎿᎭᏉᏃ ᏛᎾᎴᏅᎯ ᎯᎠ ᏂᏙᏛᏂᏪᏎᎵ ᏙᏓᎸᎢ, ᏍᎩᏯᏐᎥᎦ; ᎠᎴ ᏚᏌᎯᎸᎢ, ᏍᎩᏳᏢᎥᎦ.
31 Maana kama wakifanya mambo haya ikiwa mti mbichi, itakuwaje ukiwa mkavu?”
ᎢᏳᏰᏃ ᎢᏤ ᏡᎬ ᎾᏍᎩ ᏱᏅᏛᏅᏁᎵ, ᎦᏙ ᎬᏁᏗ ᎨᏎᏍᏗ ᎤᎧᏲᏛ ᏡᎬᎢ?
32 wanaume wengine, wahalifu wawili, walipelekwa pamoja naye ili wauwawe.
ᎠᎴ ᎾᏍᏉ ᎠᏂᏔᎵ ᏅᏩᎾᏓᎴ ᎤᏲ ᏧᏂᎸᏫᏍᏓᏁᎯ ᎢᏧᎳᎭ ᏕᎨᎦᏘᏅᏎ ᏗᎨᏥᎢᏍᏗᏱ.
33 Walipofika mahali paitwapo Fuvu la kichwa, ndipo wakamsulubisha pamoja na wale wahalifu, mmoja upande wa kulia na mwingine upande wa kushoto.
ᏭᏂᎷᏨᏃ ᎧᏫᎵ ᏚᏙᎥᎢ, ᎾᎿᎭᏓᏓᎿᎭᏩᏍᏛ ᎬᏩᏛᏁᎢ, ᎠᎴ ᏚᎾᏛᏁ ᎤᏲᏧᏂᎸᏫᏍᏓᏁᎯ, ᎠᏏᏴᏫ ᎠᎦᏘᏏᏗᏢ, ᏐᎢᏃ ᎠᎦᏍᎦᏂ ᎢᏗᏢ.
34 Yesu alisema, “Baba, uwasamehe, kwa kuwa hawajui watendalo. “Nao wakapiga kura, kugawa mavazi yake.
ᎿᎭᏉᏃ ᏥᏌ ᎯᎠ ᏄᏪᏎᎢ, ᎡᏙᏓ, ᏘᏙᎵᎩ; ᎥᏝᏰᏃ ᏯᏂᎦᏔᎭ ᎾᎾᏛᏁᎲᎢ. ᎤᏂᏯᏙᎴᏃ ᎤᏄᏬ ᎠᎴ ᎠᎾᏎᏍᏗᏍᎨᎢ.
35 Watu walikuwa wamesimama wakiangalia huku watawala wakimdhihaki, wakisema, “Aliwaokoa wengine. Sasa ajiokoe mwenyewe, kama yeye ni Kristo wa Mungu, mteule”.
ᏴᏫᏃ ᎤᎾᎴᎾᏫᏍᏕ ᏚᎾᎦᏙᏍᏕᎢ. ᏄᏂᎬᏫᏳᏌᏕᎩᏃ ᎾᏍᏉ ᏚᎾᎵᎪᏁᎴ ᎢᎬᏩᏕᎰᏔᏁᎢ, ᎯᎠ ᎾᏂᏪᏍᎨᎢ, ᎠᏂᏐᎢ ᏓᏍᏕᎵᏍᎬᎩ; ᎤᏩᏒ ᏩᎵᏍᏕᎸ ᎢᏳᏃ ᎦᎶᏁᏛ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎤᏑᏰᏛ ᎨᏎᏍᏗ.
36 Askari pia walimdharau, walimkaribia yeye na wakumpa siki,
ᎠᎴ ᎠᏂᏯᏫᏍᎩ ᎿᎭᏍᏉ ᎦᎬᏩᏐᏢᏕᎢ, ᎬᏩᎷᏤᎮ ᎠᎴ ᎬᏩᏁᏁᎮ ᏧᏂᏦᏯᏍᏗ,
37 wakisema, “Kama wewe ni Mfalme wa Wayahudi jiokoe mwenyewe”
ᎠᎴ ᎯᎠ ᎾᏂᏪᏍᎨᎢ, ᎢᏳᏃ ᏂᎯ ᎠᏂᏧᏏ ᎤᎾᏤᎵ ᎤᎬᏫᏳᎯ ᎨᏎᏍᏗ, ᏨᏒ ᎭᎵᏍᏕᎸ.
38 Kulikuwa pia na alama juu yake iliyoandikwa “HUYU NDIYE MFALME WA WAYAHUDI.”
ᎠᎴ ᎾᏍᏉ ᎪᏪᎴ ᎤᎵᏍᏓᏛ ᎦᎸᎳᏗᏢ ᎠᏂᎪᎢ ᎤᏂᏬᏂᎯᏍᏗ, ᎠᎴ ᎠᏂᎶᎻ ᎤᏂᏬᏂᎯᏍᏗ, ᎠᎴ ᎠᏂᏈᎷ ᎤᏂᏬᏂᎯᏍᏗ ᎪᏪᎴ ᎯᎠ ᏂᎬᏁᎢ; ᎯᎠ ᎤᎬᏫᏳᎯ ᎠᏂᏧᏏ ᎤᎾᏤᎵᎦ.
39 Mmoja wa wahalifu aliyesulubishwa alimtukana akisema, “Wewe si Kristo? jiokoe mwenyewe na sisi”
ᎠᏏᏴᏫᏃ ᎾᏍᎩ ᎤᏲ ᏧᏂᎸᏫᏍᏓᏁᎯ ᎾᏍᎩ ᏗᎨᎦᏛᏅᎯ ᎦᎬᏩᏐᏢᏕᎢ, ᎯᎠ ᏂᎦᏪᏍᎨᎢ, ᎢᏳᏃ ᏂᎯ ᎦᎶᏁᏛ ᎨᏎᏍᏗ, ᎭᎵᏍᏕᎸ ᏨᏒ ᎠᎴ ᎠᏴ ᏍᎩᏂᏍᏕᎸ.
40 Lakini yule mwingine akajibu, akimkemea na akisema, “Je wewe humuogopi Mungu, nawe uko katika hukumu hiyo hiyo?
ᏐᎢᏍᎩᏂ ᏧᏁᏨ ᎤᎬᏍᎪᎸᏁᎢ, ᎯᎠ ᏄᏪᏎᎢ, ᏝᏍᎪ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᏱᎾᏰᏍᎦ ᎤᏠᏱᏉ ᏕᏣᏚᎪᏓᏁᎸ ᏥᎩ?
41 Sisi tupo hapa kwa haki, kwa maana sisi tunapokea kile tunachostahili kwa matendo yetu. Lakini mtu huyu hakufanya chochote kibaya.”
ᎠᏴᏍᎩᏂ ᎤᏙᎯᏳᎯ ᏚᏳᎪᏛᎢ; ᎠᏴᏰᏃ ᏕᎩᏂᎸᏫᏍᏓᏁᎸ ᏚᏳᎪᏛ ᎩᏂᏍᏛᏗᎭ, ᎯᎠᏍᎩᏂ ᎥᏝ ᎪᎱᏍᏗ ᎤᏣᏘᏂ ᎢᏳᏛᏁᎸᎯ ᏱᎩ.
42 Na aliongeza, “Yesu, nikumbuke utakapoingia katika ufalme wako.”
ᎯᎠᏃ ᏄᏪᏎᎴ ᏥᏌ, ᏣᎬᏫᏳᎯ, ᏍᏆᏅᏓᏛᎭ ᏫᎷᏨᎭ ᏣᏤᎵᎪᎯ.
43 Yesu akamwambia, “Amini nakuambia, leo hii utakuwa pamoja nami Paradiso.”
ᏥᏌᏃ ᎯᎠ ᏄᏪᏎᎴᎢ, ᎤᏙᎯᏳᎯᏯ ᎬᏲᏎᎭ, ᎪᎯ ᎢᎦ ᏥᎩ ᏫᏁᏙᎮᏍᏗ ᏅᏩᏙᎯᏯᏛ ᏗᎨᏒᎢ.
44 Hapo ilikuwa karibu saa ya sita, giza likaja juu ya nchi yote hadi saa ya tisa,
ᏔᎳᏚᏃ ᎢᏴᏛ ᎢᏳᏟᎶᏛ ᎧᎳᏩᏗᏒ ᎨᏎᎢ, ᎠᎴ ᏂᎬᎾᏛ ᎠᏂ ᎦᏙᎯ ᎤᎵᏏᎲᏎ ᏦᎢᏁ ᎢᏳᏟᎶᏛ ᎢᏯᏍᏘ.
45 Mwanga wa jua ulizimika. Kisha pazia la hekalu likagawanyika katikati kuanzia juu.
ᎠᎴ ᏅᏙ ᎤᎵᏏᎲᏎᎢ, ᎠᎴ ᎠᏄᏬ ᎠᏰᏙᎳᏛ ᎤᏛᎾ-ᏗᎦᎳᏫᎢᏍᏗᏱ ᎠᏰᎵ ᏚᎵᏍᏡᏰᎢ.
46 Akilia kwa sauti kuu, Yesu alisema, “Baba mikononi mwako naiweka roho yangu,” baada ya kusema haya, akafa.
ᏥᏌᏃ ᎠᏍᏓᏯ ᎤᏁᏨ ᎯᎠ ᏄᏪᏎᎢ, ᎡᏙᏓ, ᏂᎯ ᏕᎬᏲᎯᏏ ᎠᏆᏓᏅᏙᎩ; ᎾᏍᎩᏃ ᏄᏪᏒ ᎤᎵᏍᏆᏕᎴᎢ.
47 Wakati Akida alipoona yaliyotendeka alimtukuza Mungu akisema, “Hakika huyu alikuwa mtu mwenye haki.”
ᎠᏍᎪᎯᏧᏈᏃ ᏗᏓᏖᏁᎯ ᎤᎪᎲ ᏄᎵᏍᏔᏂᏙᎸᎢ ᎤᎸᏉᏔᏁ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎯᎠ ᏄᏪᏎᎢ, ᎤᏙᎯᏳᎯᏯ ᎤᏓᏅᏗ ᎠᏍᎦᏯ ᎨᏎ ᎯᎠ.
48 Wakati umati wa watu waliokuja pamoja kushuhudia walipoona mambo yaliyofanyika, walirudi huku wakipiga vifua vyao.
ᏂᎦᏛᏃ ᏴᏫ ᎾᎿᎭᎠᎪᏩᏛᏗ ᎨᏒ ᎤᎾᎦᏙᏍᏔᏂᎸᎯ, ᎤᏂᎪᎲ ᏄᎵᏍᏔᏂᏙᎸ ᏚᏅᏂᎴ ᏗᏂᏁᏥᏱ, ᎠᎴ ᎤᎾᏨᏎᎢ.
49 Lakini marafiki zake, na wanawake waliomfuata toka Galilaya, walisimama kwa mbali wakiangalia hayo mambo.
ᏂᎦᏛᏃ ᎬᏩᎦᏔᎯ ᎨᏒ ᎠᎴ ᎠᏂᎨᏴ ᎨᎵᎵ ᏅᏓᎬᏩᏍᏓᏩᏛᏛ ᎢᏅ ᏧᎾᎴᏅᏁᎢ ᎠᏂᎪᏩᏘᏍᎨ ᎾᏍᎩ ᎯᎠ.
50 Tazama, palikuwepo na mtu aitwaye Yusufu, ambaye ni mmoja wa baraza, mtu mzuri na mwenye haki,
ᎬᏂᏳᏉᏃ ᎠᏍᎦᏯ ᏦᏩ ᏧᏙᎢᏛ, ᏗᎦᎳᏫᎩ, ᎤᏓᏅᏘ ᎠᏍᎦᏯ, ᎠᎴ ᏚᏳᎪᏛ ᎢᏯᏛᏁᎯ,
51 (alikuwa hajakubaliana na maamuzi au matendo yao), kutoka Armathaya, mji wa Kiyahudi, ambao ulikua ukisubiria ufalme wa Mungu.
( ᎾᏍᎩ ᎥᏝ ᎣᏏᏳ ᏳᏰᎸᏁ ᎾᏍᎩ ᏄᏍᏛ ᏚᏄᎪᏔᏅ ᎠᎴ ᏄᎾᏛᏁᎸᎢ, ) ᎠᎵᎹᏗᏱ ᎡᎯ ᎨᏎᎢ, ᎾᏍᎩ ᎠᏂᏧᏏ ᎤᏂᏚᎲᎢ, ᎾᏍᎩ ᎾᏍᏉ ᎠᎦᏘᏰ ᎤᏁᎳᏅᎯ ᎤᎬᏫᏳᎯ ᎨᏒᎢ, —
52 Mtu huyu, alimkaribia Pilato, akaomba apewe mwili wa Yesu.
ᎯᎠ ᎾᏍᎩ ᎠᏍᎦᏯ ᏆᎴᏗ ᏭᎷᏤᎴ ᎠᎴ ᎤᏔᏲᏎᎴ ᏥᏌ ᎠᏰᎸᎢ.
53 Alimshusha, na akauzungushia sanda, na akaumweka katika kaburi lililokuwa limechongwa katika jiwe, ambalo hakuna aliyewahi kuzikwa.
ᎠᎴ ᎤᏕᏒ ᏙᎴᏛ ᎠᏄᏬ ᎤᏪᏣᏄᎶᏔᏁᎢ, ᎠᎴ ᎠᏤᎵᏍᏛ ᎤᏅᏁ ᎾᏍᎩ ᏅᏲᎯ ᎠᏔᎴᏛ, ᎾᏍᎩ ᎾᎿᎭᎢᎸᎯᏳ ᎩᎶ ᎾᏥᏅᏅᎾ ᎨᏒᎢ.
54 Ilikuwa ni siku ya maandalizi, na Sabato inakaribia.
ᎾᎯᏳᏃ ᎢᎦ ᎠᏛᏅᎢᏍᏙᏗᏱ ᎨᏎᎢ, ᎤᎾᏙᏓᏆᏍᎬᏃ ᎿᎭᏉ ᎤᎩᏥᏍᎨᎢ.
55 Wanawake, waliokuja nao kutoka Galilaya, walimfuata, na wakaona kaburi na jinsi mwili wake ulivyolazwa.
ᎠᏂᎨᏴᏃ ᎾᏍᏉ ᎨᎵᎵ ᏅᏓᎬᏩᏍᏓᏩᏛᏛ, ᎣᏂ ᎠᎾᎵᏍᏓᏩᏗᏎᎢ, ᎠᎴ ᎤᏂᎪᎮ ᎠᏤᎵᏍᏛᎢ, ᎠᎴ ᏂᎬᏅ ᎤᏂᏅᏅ ᎠᏰᎸᎢ.
56 Walirudi na kuanza kuandaa manukato na marashi. Kisha siku ya sabato walipumzika kwa mujibu wa sheria.
ᎤᎾᏨᏎᏃ ᎠᎴ ᎤᎾᏓᏁᎳᏁ ᎦᏩᏒᎩ ᎠᎴ ᎠᏠᏁᏗ; ᎠᎴ ᎤᏂᏯᏪᏐᎴ ᎤᎾᏙᏓᏆᏍᎬ ᎾᏍᎩᏯ ᏂᎬᏅ ᏗᎧᎿᎭᏩᏛᏍᏗ.

< Luka 23 >