< Luka 22 >

1 Basi Sikukuu ya Mkate Usiyotiwa Chachu ilikuwa imekaribia, ambayo inaitwa Pasaka.
Nghngen am bawi khaia buhpawhnaka pawi; lätnakpawi ami ti ng'et lawki.
2 Makuhani wakuu na waandishi wakajadiliana namna ya kumuua Yesu, kwa sababu waliwaogopa watu.
Ktaiyü ngvai he la thum ksing he naw ami mkhyühnak vaia lam sui tekie khyang he jah kyüh u lü anghmüa hnim khai hea ami bü.
3 Shetani akaingia ndani ya Yuda Iskariote, mmoja wa wale wanafunzi Kumi na mbili.
Acunüng, xaleinghngih üngka Judah Iskarot ami tia k'uma khawyam lut se,
4 Yuda akaenda kujadiliana na wakuu wa makuhani na wakuu namna ambavyo atamkabidhi Yesu kwao.
ktaiyü ngvai he la Temple ngängki hea veia cit lü, Jesuh ikba man vai tia a jah va cengpüi.
5 Walifurahi, na kukubaliana kumpa fedha.
Amimi naw jekyai u lü ngui ami pet vaia ami mkhyäp.
6 Yeye aliridhia, na alitafuta fursa ya kumkabidhi Yesu kwao mbali na kundi la watu.
Acunüng Judah Iskarot naw ngaisim lü khyang he am ami ve üng a jah mansak vaia lam suiki.
7 Siku ya mikate isiyotiwa chachu ikafika, ambapo kondoo wa Pasaka lazima atolewe.
Acunüng nghngen am bawikia buhpawh mhmüp, lätnakpawi vaia toca hnimnaka mhmüp pha law se,
8 Yesu akawatuma Petro na Yohana, akasema, “Nendeni mkatuandalie chakula cha Pasaka ili tuje tukile.”
Jesuh naw, Pita la Johana veia, Lätnakpawi buh mi einak vai va pawh ni,” ti lü a jah tüih.
9 Wakamuuliza, “Wapi unataka tuyafanyie hayo maandalizi?”
Anini naw, “Hawia pawh vai ni na ngjak hlü?” ani ti.
10 Akawajibu, “Sikilizeni, mtakapokuwa mmeingia mjini, mwanamume ambaye amebeba mtungi wa maji atakutana na ninyi. Mfuateni kwenye nyumba ambayo ataingia.
Jesuh naw, Mlüh the nani va luh üng, kpami k'am üng tui kawtki naw ning jah na khyum khai ni, a luhnaka ima nani läk vai.
11 Kisha mwambieni bwana wa nyumba, “Mwalimu anakwambia, “Kiko wapi chumba cha wageni, mahali ambapo nitakula Pasaka na wanafunzi wangu?”
“Imaha veia, ‘Saja naw, ka xüisaw he am lätnakpawi buh kami einak vaia khinim hawia ni? ti ve,’ nani ti vai.
12 Atawaonyesha chumba cha ghorofani ambacho kiko tayari. Fanyeni maandalizi humo.”
“Ani naw khin im angsawng kcang, ahmäi am kümki im khan ning jah mhmuh khai; acunüng va ngtüna ni,” a ti.
13 Hivyo wakaenda, na wakakuta kila kitu kama alivyowaambia. Kisha wakaandaa chakula cha Pasaka.
A jah mtheha kba cit ni lü ani va hmuh, acuia lätnakpawi buh ani va ngtünak.
14 Muda ulipofika alikaa na wale mitume.
Acunüng Jesuh la a ngsä he eikbe üng atänga ei hmaihki he.
15 Kisha akawaambia, “Nina shauku kubwa ya kula sikukuu hii ya Pasaka na ninyi kabla ya kuteswa kwangu.
Jesuh naw, “Am ka thih hlan üng hina lätnakpawi buh atänga ka ning jah eipüi vai ka ngja hlü leng lengki,
16 Kwa maana nawaambieni, sitakula tena mpaka itakapotimizwa katika ufalme wa Mungu.”
“Ka ning jah mthehki, Pamhnama khawa hin akcanga am a kya hlana küt üng am ei hlü be ti veng,” a ti.
17 Kisha Yesu akachukua kikombe, na alipokwisha kushukuru, akasema, “Chukueni hiki, na mgawane ninyi kwa ninyi.
Acunüng khawt lo lü Pamhnama veia jekyainak ngthu pyen lü, “Hin hin lo u lü, ng’yet ua;
18 Kwa maana nawaambia, sitakunywa tena mzao wa mzabibu, mpaka ufalme wa Mungu utakapokuja.”
ka ning jah mthehki, atuh üng tün lü Pamhnama khaw am a pha law cäpa capyitui am ka aw be ti khai,” a ti.
19 Kisha akachukua mkate, na alipokwisha kushukuru, akaumega, na kuwapa, akisema, “Huu ni mwili wangu ambao umetolewa kwa ajili yenu. Fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi.”
Acunüng muk lo lü Pamhnama veia jekyainaka ngthu a pyen law päng üng, boki naw jah pe lü, “Hin hin nami hama peta ka mtisa ni, nami na sümnak vaia pawh ua” a ti.
20 Akachukua kikombe vivyo hivyo baada ya chakula cha usiku akisema, “Kikombe hiki ni agano jipya katika damu yangu, ambayo imemwagika kwa ajili yenu.
Müei a ei law päng üng, acunkba bäa khawt lo lü, “Hina khawt hin ka thisen, nami hama ngsawikia Pamhnama ngthumkhän kthaia kyaki.
21 Lakini angalieni. Yule anisalitie yuko pamoja nami mezani.
“Acunakyasepi, na mansak khaia khyang cun hina eikbea khana kani awm hmaihki ni!
22 Kwa maana Mwana wa Adamu kwa kweli aenda zake kama ilivyokwisha amuliwa. Lakini ole kwa mtu yule ambaye kupitia yeye Mwana wa Adamu asalitiwa!”
Khyanga Capa hin Mhnama mkhyaha kba cit khai, cunsepi jah mansak khaia cengkia khyang ta a jo se ve,” a ti.
23 Wakaanza kuulizana wao kwa wao, nani miongoni mwao ambaye angefanya jambo hili.
Acunüng axüisaw he amimät, “Acukba kya khai ta u ni?” tia, ngthäh kyuki he.
24 Kisha yakatokea mabishano katikati yao kwamba ni nani anaye dhaniwa kuwa mkuu kuliko wote.
Axüisaw he amimät, u ni akyäp säih tia ngcuh u se,
25 Akawaambia, “Wafalme wa watu wa mataifa wana ubwana juu yao, na wale mwenye mamlaka juu yao wanaitwa waheshimiwa watawala.
Jesuh naw, “Am jumeiki hea sangpuxang he cun khyang hea khana aktäa bawi khawiki he, khaw uki he naw ‘Khyang hea püi he’ tia ami jah khü jawngnaki he.
26 Lakini haitakiwi kabisa kuwa hivi kwenu ninyi. Badala yake, acha yule ambaye ni mkubwa kati yenu awe kama mdogo. Na yule ambaye ni wa muhimu sana awe kama atumikaye.
“Cunsepi, nangmi ta acunkba ä awm u, nangmi üng kyäp säihki cen jaw säihkia kba, mkhawng säiki cen m'yaa kba ve se.
27 Kwa sababu yupi mkubwa, yule akaaye mezani au yule anayetumika? Je si yule aketie mezani? Na mimi bado ni kati yenu kama atumikaye.
“U ni a kyäp säih? Ngaw lü buh eiki japaw a kyäp säih? Buh khünki aw a kyäp säih? Ngaw lü buh eikia am kya aih se? Cunsepi, kei ta nami veia ning jah khüihkia kba ka awmki.
28 Lakini ninyi ndio ambao mmeendelea kuwa nami katika majaribu yangu.
“Khuikha lü ka awm üng nami na awmpüiki.
29 Nawapa ninyi ufalme, kama vile Baba alivyonipa mimi ufalme,
“Ka Pa naw uknak thei a na peta kba kei naw pi ka ning jah pe khai.
30 kwamba mpate kula na kunywa mezani kwangu kwenye ufalme wangu. Na mtakaa kwenye viti vya enzi mkizihukumu kabila kumi na mbili za Israel.
Nangmi cun ka eikbe üng ngaw u lü ka khawa nami ei aw hnga khai. Bawingawhnak he üng ngaw u lü Isarel pakhui xaleinghngih he ngthu nami jah mkhyah khai.
31 Simoni, Simoni, fahamu kwamba, Shetani ameomba awapate ili awapepete kama ngano.
“Sihmon, Sihmon, Ngaia! lomah naw angsi kphya am a mkhyaha kba, khawyam naw a ning hlawhlepnak vaia akhawn yah päng ve,
32 Lakini nimekuombea, kwamba imani yako isishindwe. Baada ya kuwa umerudi tena, waimarishe ndugu zako.”
“Cunsepi, na jumnak am a khyühnak vaia, ka ning ktaiyü peki ni; ka veia na nghlat law be üng, na bena he jah khängsak kaw pi,” a ti.
33 Petro akamwambia, “Bwana, niko tayari kwenda na wewe gerezani na hata katika mauti.”
Pita naw, “Bawipa aw, na veia ta thawngim la thihnak üng pi ka ceh vai ling veng,” a ti.
34 Yesu akajibu, “Nakwambia, Petro, Jogoo hatawika leo, kabla hujanikana mara tatu kwamba unanijua.”
Jesuh naw, “Pita aw, ka ning mthehki, tuhngawi ai am khawng pha se, ‘Ani am ksing nawng’ ti lü kthum vei na ngcim khai,” a ti.
35 Kisha Yesu akawaambia, “Nilipowapeleka ninyi bila mfuko, kikapu cha vyakula, ua viatu, je mlipungukiwa na kitu?” Wakajibu “Hakuna.”
Jesuh naw, “Ajana, nguiip, ngja, khawdawk, am nami cehei khaia ka ning jah tüih üng, nami hlü ei i awmki aw?” ti se amimi naw, “I am hlü naw,” ami ti.
36 Kisha akawaambia, “Lakini sasa, kila mwenye mfuko, na auchukue pamoja na kikapu cha vyakula. Yule ambaye hana upanga imempasa auze joho lake anunue mmoja.
Acunüng Jesuh naw, “Atuh ta aupi nguiip la ngja taki naw cehei se; kcim am taki naw a suisak jawi lü kheihei se.
37 Kwa sababu nawaambia, yote ambayo yameandikwa kwa ajili yangu lazima yatimilike, 'Na alichukuliwa kama mtu ambaye anavunja torati.' Kwa sababu kile kilichotabiriwa kwa ajili yangu kinatimizwa.”
“Ka ning jah mthehki, ‘Ani cun khyangka he mah maha ami täh si’ tia, ng’yuki ka khana kümkawi law khaia kyaki; keia mawngma ngthu he kümkawi law bäih ve u,” a ti.
38 Kisha wakasema, “Bwana, tazama! Hizi hapa panga mbili.” Na akawaambia”yatosha.”
Amimi naw, “Bawipa aw, tenga! kcim nghngih awmki,” ti u se, Jesuh naw, “Khäk ve” a ti.
39 Baada ya chakula cha usiku, Yesu aliondoka, kama ambavyo amekuwa akifanya mara kwa mara, akaenda mlima wa Mzeituni, na wanafunzi wakamfuata.
Jesuh cun a thum khawia kba, Olip mcunga ktawih se, axüisaw he naw ami läk hnga.
40 Walipofika, aliwaambia, “Ombeni kwamba msiingie majaribuni.”
Ahmün a va pha üng, “Hlawhlepnaknak üngka naw nami lätnak vaia, ktaiyü ua,” a ti.
41 Akaenda mbali na wao kama mrusho wa jiwe, akapiga magoti akaomba,
Lung vawi lü aphanak cäpa va cit lü; a mkhuk ngdäng lü,
42 akisema, “Baba, kama unataka, niondolee kikombe hiki. Lakini si kama nitakavyo mimi, lakini mapenzi yako yafanyike.”
“Ka pa aw, na hlüei üng ta hina khuikhanak khawt ka vei üngka naw loin kawpi, cunsepi keia ngjak hlüa am kya lü, namäta ngjak hlüa kya se,” ti lü ktaiyüki.
43 Kisha malaika kutoka mbinguni akamtokea, akamtia nguvu.
Khankhaw üngka khankhawngsä mat Jesuh kthayüi pe khaia ngdang lawki.
44 Akiwa katika kuugua, akaomba kwa dhati zaidi, na jasho lake likawa kama matone makubwa ya damu yakidondoka chini.
Aktä leng lenga khuikha lü, kthana kcang lü, ktaiyü se a ngkhyantui thisena mäiha mdek üng ngsawi lawki.
45 Wakati alipoamka kutoka katika maombi yake, alikuja kwa wanafunzi, na akawakuta wamelala kwa sababu ya huzuni yao,
A ktaiyü law päng üng tho law lü axüisaw hea veia cit teki ami mlunga nata phäha a na ip u se a jah hmuh.
46 na akawauliza, “Kwanini mnalala? Amkeni muombe, kwamba msiingie majaribuni.”
Jesuh naw, “Ise nami ipki ni? Hlawhlepnak üngka naw nami lätnak vaia tho law u lü ktaiyü ua,” a ti.
47 Wakati alipokuwa bado akiongea, tazama, kundi kubwa la watu likatokea, na Yuda, mmoja wa mitume kumi na wawili akiwaongoza. Akaja karibu na Yesu ili ambusu,
Acukba a na ngthuhei k’um üng, xaleinghngih he üngka Judah ami ti naw jah xüi lü, khyang he jah lawpüiki naw, Jesuh mhnam khai bü lü a pan law.
48 lakini Yesu akamwambia, “Yuda, je unamsaliti Mwana wa Adamu kwa busu?”
Jesuh naw, “Judah aw khyanga Capa hin mhnam khaia bü lü na jah man sak khai aw?” a ti.
49 Wakati wale waliokuwa karibu na Yesu walipoona hayo yanayotokea, wakasema, “Bwana, je tuwapige kwa upanga?”
Acunüng axüisaw he a peia awmki he naw, ia akya law vai sim u lü, “Bawipa aw, kcim am kami jah pawh khai aw?” ami ti.
50 Kisha mmoja wao akampiga mtumishi wa kuhani mkuu, akamkata sikio lake la kulia.
Acunüng mat naw ktaiyü ngvai säiha m'yaa nghngakawi kpat lam a ksawm pat.
51 Yesu akasema, “hii inatosha. Na akagusa sikio lake, akamponya.
Jesuh naw, “Khäk ve,” ti lü a nghngakawi hnet se daw beki.
52 Yesu akasema kwa kuhani mkuu, na kwa wakuu wa hekalu, na kwa wazee waliokuja kinyume chake, “Je mnakuja kana kwamba mnakuja kupambana na mnyang'anyi, na marungu na mapanga?
Jesuh naw a veia lawki hea ktaiyü ngvai he, Temple üng ngvai he la, axüngvai he üng, “Mthikcim la kpaihmäng jah kawtei u lü m'yukei man khai hea kba nami na lawsiki aw?
53 Nilipokuwa pamoja nanyi siku zote kwenye hekalu, hamkuweka mikono yenu juu yangu. Lakini hii ni saa yako, na mamlaka ya giza.”
Temple üng amhmüp tä nami veia ve ni se am nami na manki. Cunsepi atuh hin nami kcüna kya lü nghmüpa khyaihnaka kya ve,” a ti.
54 Wakamkamata, wakamuongoza, wakamleta nyumbani mwa kuhani mkuu. Lakini Petro akamfuatilia kwa mbali.
Jesuh kpang u lü cehpüiki he naw ktaiyü ngvaia ima ami luhpüi. Acunüng, Pita naw athuknak üngka naw a läk hnga.
55 Baada ya kuwa wamewasha moto katika ule uwanda wa ndani na walipokwisha kukaa chini pamoja, Petro akakaa katikati yao.
Imngvawng mkawt nglung üng mei awm u lü ngaw u se Pita ami ksunga va ngaw hngaki.
56 Mtumishi mmoja wa kike akamuona Petro alipokuwa amekaa katika mwanga utokanao na moto, akamtazama akamwambia, “Huyu mtu pia alikuwa pamoja naye.”
Meikdäi peia ngaw se nglaca mat naw hmu lü a hmai üng teng kyetki naw, “Hina khyang pi Jesuh am awm khawiki xawi ni,” a ti.
57 Lakini Petro akakana, akasema, “mwanamke, mimi simjui.”
Pita naw, “Nghnumi aw, ani am ksing nawng,” ti lü, ngcimki.
58 Baada ya muda kidogo, mtu mwingine akamuona akasema “Wewe pia ni mmoja wao”. Lakini Petro akajibu, “Mwanaume, mimi siyo.”
Acunkäna, khyang kce mat naw hmu lü, “Nang pi acun he üngka mat ni,” ti se, Pita naw, “Khyang aw, am kya nawng,” a ti.
59 Baada ya kama saa moja hivi, mwanaume mmoja akasisitiza akasema, “Kweli kabisa huyu mtu pia alikuwa pamoja naye, maana ni Mgalilaya.”
Acunüng naji mat ngsawk se khyang mat naw, “Hina khyang pi Jesuha hlawnga awm khawiki ni; Kalile khaw khyanga kya ye se,” a ti.
60 Lakini Petro akasema, “Mwanaume, sijui usemalo.” Na mara, wakati akiongea, jogoo akawika.
Acunüng, Pita naw, “Khyang aw na pyen am ksing nawng,” a ti. A na ngcim k’um üng angxita ai khawng law ktäihki.
61 Akageuka, Bwana akamtazama Petro. Na Petro akalikumbuka neno la Bwana, pale alipomwambia, “Kabla ya jogoo kuwika leo, utanikana mimi mara tatu.”
Jesuh naw nghlat lü Pita a teng. Pita naw Jesuha pyen, “Tuhngawi, ai am khawng pha se kthum vei, ‘Am ksing nawng’ ti lü na ngcim khai,” a ti cun süm law beki.
62 Akienda nje, Petro akalia kwa uchungu mwingi.
Acunüng, Pita kpunga cit lü aktäa kyapki.
63 Kisha wale wanaume waliokuwa wakimlinda Yesu, wakamdhihaki na kumpiga.
Jesuh ngängki he naw yaiha pawh u lü ami kpaih.
64 Baada ya kumfunika macho, wakamuuliza, wakisema, “Tabiri! Ni nani aliyekupiga?”
A mik bu u lü, “U naw ning kpaiki, pyena?” tia ami kthäh.
65 Wakaongea mambo mengine mengi kinyume cha Yesu na kumkufuru yeye.
Ngthu khawjah am kse na u lü ami jüih.
66 Mara ilipokuwa asubuhi, wazee wa watu walikusanyika pamoja, wakuu wa makuhani na waandishi. Wakampeleka kwenye Baraza,
Khaw a thaih law la khyang ngvai he, ktaiyü ngvai he la, thum ksing he avang ngcun lawki he naw ami Kawngcia cehpüi u lü,
67 wakisema, “Kama wewe ni Kristo, tuambie.” Lakini yeye akawaambia, “Kama nikiwaambia, hamtaniamini,
“Mesijaha na kya kcang üng jah mtheh law,” ami ti. Acunüng, Jesuh naw, “Ning jah mtheh ni se pi am nami na kcang na khai;
68 na kama nikiwauliza hamtanijibu.”
ning jah kthäh ni se pi am nami na msang khai.
69 Lakini kuanzia sasa na kuendelea, Mwana wa Adamu atakuwa amekaa mkono wa kuume wa nguvu ya Mungu.”
Cunsepi, atuh üng tün lü khyanga Capa cun hlüngtai kyäpsawkia Pamhnama kpat da ngaw khai,” a ti.
70 Wote wakasema, “Kwa hiyo wewe ni Mwana wa Mungu?” Na Yesu akawaambia, “Ninyi mmesema mimi ndiye.”
Acunüng ami van naw, “Nang hin Pamhnama Capa kya aih lü?” ami ti. Acunüng Jesuh naw, “Ä, nami pyena kba kya veng,” a ti.
71 Wakasema, “Kwa nini bado tunahitaji tena ushahidi? Kwa sababu sisi wenyewe tumesikia kutoka katika kinywa chake mwenyewe.”
Amimi naw, “Ia saksi akce hlü be se ni? Amäta mka ye üng mi ngja ve,” ami ti.

< Luka 22 >