< Luka 21 >
1 Yesu alitazama akawaona wanaume matajiri waliokuwa wanaweka zawadi zao kwenye hazina.
Yesu alangili abhabhuene bhagosi matajiri bhabhabhekeghe zawadi sya bhene mu hazina.
2 Akamuona mjane mmoja masikini akiweka senti zake mbili.
Akambona mjane mmonga maskini ibheka senti sya muene sibhele.
3 Hivyo akasema, “Kweli nawaambieni, huyu Mjane maskini ameweka nyingi kuliko wengine wote.
Hivyo akajobha, kweli nikabhajobhela, ojhu mjane maskini abhekili simehele kuliko bhangi bhoha.
4 Hawa wote wametoa hizi zawadi kutoka katika vingi walivyonavyo. Lakini huyu mjane, katika umaskini wake, ametoa fedha zote alizokuwa nazo kwa ajili ya kuishi kwake.”
Abha bhoha bhahomisi zawadi ese kuhoma mu fingi fyabhajhe nefu. Lakini ojho mjane, mu umasikini bhwa muene ahomisi hela syoha syaajhe nasu kwa ndabha jha kuishi kwa muene.”
5 Wakati wengine walipokuwa wakisema juu ya hekalu, namna lilivyokuwa limepambwa na mawe mazuri na matoleo, alisema,
Wakati bhamana bho bhijobha panani pa hekalu, namna kyalikepambibhu ni maganga manofu ni matoleo, ajobhili,
6 “Kwa habari ya mambo haya mnayoyaona, siku zitakuja ambazo hakuna jiwe moja ambalo litaachwa juu ya jiwe jingine ambalo halitabomolewa.”
“Kwa habari jha mambo agha ghamkaghabhona, magono ghibetakuhida ambagho lijhelepi liganga limonga ambalyo libeta kulekibhwa panani pa lenge ambalyo libeta lepi kubomolibhwa.”
7 Hivyo wakamuuliza, wakasema, “Mwalimu, mambo haya yatatokea lini? Na nini ni itakuwa ishara kwamba haya mambo yako karibu kutokea?”
Hivyo bhakan'kota, bhakajobha, “Mwalimu, mambo agha ghibeta kutokela ndali? Ni kiki kibeta kujha ishara kwamba agha mambo gha jhobhi karibu kutokela?”
8 Yesu akajibu, “Muwe waangalifu kwamba msidanganywe. Kwa sababu wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, 'Mimi ndiye, 'na 'Muda umekaribia'. Msiwafuate.
Yesu ajibili, “Mujhelayi bhaangalifu kwamba musikofibhu. Kwandabha bhingi bhibeta kuhida kwa lihina lya nene, ni kujobha, 'Nene ndo muene, ni muda ukaribili'. Musibhabesi.
9 Mkisikia vita na vuruguvurugu msiogope, kwa sababu haya mambo lazima yatokee kwanza, lakini mwisho hautatokea upesi.”
Mukapelekayi vita ni fuju musitili, kwandabha mambo agha lazima ghatokelayi hoti, lakini mwisho wibetalepi kuhomela manyata.”
10 Kisha akawaambia, “Taifa litainuka kupigana na taifa jingine, na ufalme juu ya ufalme mwingine.
Kisha akabhajobhela, “Taifa libeta kujhinuka kukomana ni taifa lenge, ni ufalme juu jha ufalme bhongi.
11 Kutakuwa na matetemeko makubwa, na njaa na tauni katika maeneo mbalimbali. Kutakuwa na matukio ya kutisha na ishara za kutisha kutoka mbinguni.
Kubetakujha ni matetemeku mabhaha ni njala ni tauni mu maeneo mbalimbali. Kubetakujha ni matukio gha kutisya ni ishara sya kutisya kuhoma kumbinguni.
12 Lakini kabla ya mambo haya yote, wataweka mikono yao juu yenu na kuwatesa, kuwapeleka kwenye masinagogi na magereza, kuwaleta mbele za wafalme na wenye mamlaka kwa sababu ya jina langu.
Lakini kabla jha mambo agha ghoha, bhibeta kubheka mabhoko ghe bhene panani pa muenga ni kubhatisya, kubhapeleka mu masinagogi ni magereza, kubhaleta mbele jha bhafalme ni bhenye mamlaka kwandabha jha lihina lya nene.
13 Hii itawafungulia fursa kwa ushuhuda wenu.
Ijhe jhibeta kufungulibhwa fursa kwa ushuhuda bhwa jhomu.
14 Kwahiyo amueni mioyoni mwenu kutoandaa utetezi wenu mapema,
Henu muamulayi mu mioyo ghya jhomu kubela kuandala utetezi bhwinu manyata,
15 kwa sababu nitawapa maneno na hekima, ambayo adui zenu wote hawataweza kuipinga au kuikana.
Kwandabha nibeta kubhapela malobhi gha hekima, ambagho bhaadui bhinu bhoha bhibeta bhwesya lepi kujhipinga ni kujhibela.
16 Lakini mtakataliwa pia na wazazi wenu, ndugu zenu, jamaa zenu na rafiki zenu, na watawaua baadhi yenu.
Lakini mwibeta kubelibhwa kabhele ni bhazazi bha jhomu, bhalongo bhinu, jamaa bhinu ni marafiki bhinu, ni kubhakoma baadhi jha muenga.
17 Mtachukiwa na kila mmoja kwa sababu ya jina langu.
Mwibeta kudadibhwa ni khila mmonga kwandabha jha lihina lya nene.
18 Lakini hakuna hata unywele mmoja wa vichwa vyenu utakaopotea.
Lakini lwibeta lepi kujha unywele wa vichwa vyenu utakaopotea.
19 Katika kuvumilia mtaziponya nafsi zenu.
katika kuvumilia mtaziponya nafsi zenu.
20 Mtakapoona Yerusalemu imezungukwa na majeshi, basi jueni kwamba uharibifu wake umekaribia.
Pamwibeta kubhona Yerusalemu jhisyonguiki ni majeshi, basi mumanyayi kujha uharibifu bhuake bhukaribili.
21 Hapo wale walioko Yudea wakimbilie milimani, na wale walioko katikati ya jiji waondoke, na msiwaache walioko vijijini kuingia.
Apu bhala bhabhajhele Yudea bhajumbililayi kukidonda, ni bhala bhabhajhele pagati pa jiji bhabhokayi, na musibhaleki bhabhajhele mu fijijini kujhingila.
22 Maana hizi ni siku za kisasi, ili kwamba mambo yote yaliyoandikwa yapate kutimilika.
Mana agha ndo magono gha kisasi, ili kwamba mambo ghoha ghaghabembibhu ghatimilalayi.
23 Ole ni kwa wale walio na mimba na kwa wale wanyonyeshao katika siku hizo! Kwa maana kutakuwa na adha kuu juu ya nchi, na ghadhabu kwa watu hawa.
Ole ni kwa bhala bha bhajhele ni luleme ni kwa bhala bhafiele mu magono aghu! Kwa mana kubetakujha ni adha mbaha panani pa nchi, ni gadhabu kwa bhanu abha.
24 Na wataanguka kwa ncha ya upanga na watachukuliwa mateka kwa mataifa yote, na Yerusalem itakanyagwa na watu wa mataifa, mpaka wakati wa watu wa mataifa utakapotimilika.
Na bhibeta kubina kwa ncha jha upanga na bhibeta kitolibhwa mateka kwa mataifa ghoha, ni Yerusalemu jhibetakukanyibhwa ni bhanu bha mataifa, mpaka wakati bhwa bhanu bha mataifa pamwibeta kutimilika.
25 Kutakuwa na ishara katika jua, mwezi na nyota. Na katika nchi kutakuwa na dhiki ya mataifa, katika kukata tamaa kutokana na mlio wa bahari na mawimbi.
Kubetakujha ni ishara mu lijobha, muesi ni mat'ondo. Ni mu nchi kubetakujha ni dhiki jha mataifa, mu kakata tamaa kutokana ni mwamujhele bha bahari ni manyegha.
26 Kutakuwa na watu wakizimia kwa hofu na katika kutarajia mambo yatakoyo tokea juu ya dunia. Kwa maana nguvu za mbingu zitatikiswa.
Kubetakujha ni bhanu bhabhizimila kwa hofu ni katika kutalajila mambo ghaghibeta kuhomela panani pa dunia kwa maana nghofu sya mbigu sibetakutikisibhwa.
27 Kisha watamwona Mwana wa Adamu akija mawinguni katika nguvu na utukufu mkuu.
Kisha bhibeta kumbona mwana ghwa Adamu ihida mu mabhengu mu ngofu ni utukufu mbaha.
28 Lakini mambo haya yatakapoanza kutokea, simameni, inueni vichwa vyenu, kwa sababu ukombozi wenu umesogea karibu.”
Lakini mambo agha paghibeta kujhanda kuhomela, mujhemayi, mujhinulayi mitu ghya jhomu, kwandabha ukombozi bhwa jhomu uhegelili karibu.
29 Yesu akawaambia kwa mfano, “Uangalieni mtini, na miti yote.
Yesu akabhajobhela kwa mfano, “Mubhulangayi mtini, ni mabhehe ghoha.
30 Inapotoa machipukizi, mnajionea wenyewe na kutambua kwamba kiangazi tayari kiko karibu.
Pajhihome sya machipukizi, mukilolela mwebhene ni kumanya kujha kilolelu tayari kijhe karibu.
31 Vivyo hivyo, mnapoona mambo haya yanatokea, ninyi tambueni ya kwamba ufalme wa Mungu umekaribia.
Mebhu, pamwibhona mambo agha ghihomela, muenga mumanyayi jha kujha ufalme bhwa K'yara uhegelili.
32 Kweli, nawaambieni, kizazi hiki hakitapita, mpaka mambo haya yote yatakapotokea.
Kweli, nikabhajobhela, kizazi ekhe kibetalepi kupeta, mpaka mambo agha ghoha paghibeta kuhomela.
33 Mbingu na nchi zitapita, lakini maneno yangu hayatapita kamwe.
Mbingu ni nchi sibetakup'eta, lakini malobhi ghangu ghibeta lepi kup'eta kamwe.
34 Lakini jiangalieni wenyewe, ili kwamba mioyo yenu isije ikalemewa na ufisadi, ulevi, na mahangaiko ya maisha haya. Kwa sababu ile siku itawajia ghafla
Lakini mulangayi mwabhene, ili kwamba mioyo ghya jhomu isihidi kudemebhwa ni ufisadi, ulevi, ni mahangaiku gha maisha agha. Kwandabha ligono lela libetakubhahidila ghafla.
35 kama mtego. Kwasababu itakuwa juu ya kila mmoja aishiye katika uso wa dunia nzima.
Kama n'teghu. kwa ndabha ibeta kujha panani pa khila mmonga jhaitama mu uso bhwa dunia jhioha.
36 Lakini mwe tayari wakati wote, mwombe kwamba mtakuwa imara vya kutosha kuyaepuka haya yote yatakayotokea, na kusimama mbele za Mwana wa Adamu.”
Lakini mujhelayi tayari muda bhuoha, mus'okayi kujha mwibeta kujha imara fya kutosha kughajhepa agha ghoha ghaghibeta kuhomela, ni kujhemela mbele sya mwana ghwa Adamu.”
37 Hivyo wakati wa mchana alikuwa akifundisha hekaluni na usiku alitoka nje, na kwenda kukesha katika mlima unaoitwa wa Mzeituni.
Hivyo wakati wa pamusi ajhele ifundisya mu hekalu ni pakilu ahomili kwibhala, ni kulota kukesha pa kidonda kya kikutibhweghe kya Mzeituni.
38 Watu wote walimjia asubuhi na mapemaili kumsikiliza ndani ya hekalu.
Bhanu bhoha bhan'hidili lukhela lubhuliku ili kumpelekesya mugati mu. hekalu.