< Luka 2 >
1 Sasa katika siku hizo, ikatokea kwamba Kaisari Agusto alitoa agizo akielekeza kwamba ichukuliwe sensa ya watu wote wanaoishi duniani.
V té době nařídil císař Augustus, aby bylo provedeno sčítání lidu v celé římské říši.
2 Hii ilikuwa ni sensa ya kwanza iliyofanyika wakati Krenio akiwa gavana wa Siria.
Byl to první soupis a prováděl ho římský místodržitel v Sýrii Quirinius.
3 Hivyo kila mmoja akaenda mjini kwake kuandikishwa sensa.
Každý byl povinen dát se zapsat v místě, odkud pocházel jeho rod.
4 Naye Yusufu aliondoka pia katika mji wa Nazareti huko Galilaya na akasafiri Yudea katika mji wa Bethlehemu, ujulikanao kama mji wa Daudi, kwa sababu alitokea katika ukoo ya Daudi.
Tak se vydal na cestu i Josef s Marií, která byla již ve vysokém stupni těhotenství. Putovali z galilejského Nazaretu do judského městečka Betléma, rodiště krále Davida; Josef totiž pocházel z jeho rodu.
5 Alikwenda huko kujiandikisha pamoja na Mariamu, ambaye alikuwa amemposa na alikuwa akitazamia mtoto.
6 Sasa ilitokea kwamba, wakiwa kule wakati wake wa kujifungua mtoto ukawadia.
Sotva tam došli, naplnil se Mariin čas
7 Akajifungua mtoto wa kiume, mzaliwa wake wa kwanza, akamzungushia nguo mwilini kumkinga na baridi mtoto. Ndipo akamweka kwenye kihori cha kulishia wanyama, kwa sababu haikuwepo nafasi kwenye nyumba za wageni.
a porodila svého prvorozeného syna. Zabalila ho do plenek a položila do jeslí, protože v hostinci bylo plno a jinde než ve chlévě už na ně nezbylo místo.
8 Katika eneo hilo, walikuwapo wachungaji walioishi mashambani wakilinda makundi ya Kondoo wao usiku.
Nedaleko Betléma pásli pastýři ovce. V noci se střídali v hlídkách u svých stád.
9 Ghafla, malaika wa Bwana akawatokea, na utukufu wa Bwana ukang'aa kuwazunguka, na wakawa na hofu sana.
Najednou se před nimi objevil anděl a celá krajina se rozzářila odleskem Boží slávy. Velice se ho ulekli,
10 Ndipo malaika akwaambia, “Msiogope, kwasababu nawaletea habari njema ambayo italeta furaha kuu kwa watu wote.
ale anděl je uklidňoval: „Nebojte se, nesu vám dobrou zprávu, ze které se mohou radovat všichni lidé.
11 Leo Mwokozi kazaliwa kwaajili yenu mjini mwa Daudi! Yeye ndiye Kristo Bwana!
V Betlémě, ze kterého před dávnými časy vyšel David, se vám dnes narodil Kristus, Spasitel poslaný od Boha.
12 Hii ndiyo ishara ambayo mtapewa, mtamkuta mtoto amefungwa nguo na amelala kwenye hori la kulishia wanyama.”
Jak ho poznáte? Najdete malé dítě v plenkách, položené do jeslí v chlévě.“
13 Ghafla kukawa na jeshi kubwa la mbinguni likaungana na malaika huyo wakamsifu Mungu, wakisema,
Potom se k andělu připojilo mnoho dalších andělů a všichni provolávali:
14 “Utukufu kwa Mungu aliye juu sana, na amani iwe duniani kwa wote ambao anapendezwa nao.”
„Sláva Bohu na nebi! Pokoj lidem na zemi! Zjevil lásku všem!“
15 Ikawa kwamba malaika walipokwisha kuondoka kwenda mbinguni, wachungaji wakasemezena wao kwa wao, “Twendeni sasa kule Bethlehemu, na tukaone hiki kitu ambacho kimetokea, ambacho Bwana ametufahamisha.”
Andělé je opustili a pastýři si řekli: „Pojďme do Betléma a přesvědčme se o tom, co nám anděl oznámil.“
16 Wakaharakisha kule, na wakamkuta Mariamu na Yusufu, na wakamuona mtoto amelala kwenye hori la kulishia wanyama.
Rychle se vydali na cestu a skutečně našli Marii s Josefem i novorozeňátko položené v jeslích.
17 Na walipoona hivi, wakawajulisha watu kile walichokuwa wameambiwa kumhusu mtoto.
Když je uviděli, začali vyprávět, co jim bylo pověděno o tom dítěti.
18 Wote waliosikia habari hii wakashangazwa na kile kilichosemwa na wachungaji.
Všichni, kdo je slyšeli, se divili.
19 Lakini Mariamu akaendelea kufikiri kuhusu yote aliyokwisha kuyasikia, akiyatunza moyoni mwake.
Marie si to zapamatovala a přemýšlela o tom.
20 Wachungaji wakarudi wakimtukuza na kumsifu Mungu kwa ajili ya kila kitu walichokwisha sikia na kuona, kama tu ilivyokuwa imenenwa kwao.
Pastýři se vrátili ke svým stádům, radovali se a děkovali Bohu, že našli všechno tak, jak jim anděl oznámil.
21 Ilipofika siku ya nane na ilikuwa ni wakati wa kumtahiri mtoto, wakamwita jina Yesu, jina alilokwishapewa na yule malaika kabla mimba haijatungwa tumboni.
Osmý den dali Marie s Josefem chlapce obřezat. Dostal jméno Ježíš, jak to anděl určil ještě před jeho narozením.
22 zao zilizotakiwa za utakaso zilipopita, kulingana na sheria ya Musa, Yusufu na Mariamu wakampeleka hekaluni kule Yerusalemu kumweka mbele za Bwana.
Mojžíšův zákon přikazoval, aby každá žena čtyřicátý den po narození chlapce přinesla oběť do chrámu.
23 Kama ilivyoandikwa katika sheria ya Bwana, “Kila mwanaume anayefungua tumbo ataitwa aliyetolewa wakfu kwa Bwana.”
24 Wao vilevile walikuja kutoa sadaka kulingana na kile kinachosemwa katika sheria ya Bwana, “Jozi ya njiwa au makinda mawili ya njiwa.”
Proto i Marie po této době splnila tuto povinnost. Zároveň s sebou vzali i dítě, aby ho podle jiného Mojžíšova předpisu jako prvorozeného syna zasvětili Bohu.
25 Tazama, palikuwa na mtu katika Yerusalemu ambaye jina lake alikuwa akiitwa Simeoni. mtu huyu alikuwa mwenye haki na mcha Mungu. Yeye alikuwa akisubiri kwa ajili ya mfariji wa Israeli, na Roho Mtakatifu alikuwa juu yake.
V Jeruzalémě žil zbožný stařec jménem Simeon. Řídil se Božími přikázáními a očekával Mesiáše.
26 Ilikuwa imekwisha funuliwa kwake kupitia Roho Mtakatifu kwamba yeye hangelikufa kabla ya kuwomwona Kristo wa Bwana.
Byl veden Duchem svatým, který ho také ujistil, že nezemře dříve, dokud Mesiáše na vlastní oči neuzří.
27 Siku moja alikuja ndani ya hekalu, akiongozwa na Roho Mtakatifu. Ambapo wazazi walimleta mtoto, Yesu, kumfanyia yale yaliyopasa kawaida ya sheria,
Na pokyn Ducha přišel do chrámu právě ve chvíli, kdy rodiče zasvěcovali Ježíše Bohu.
28 ndipo Simeoni alimpokea mikononi mwake, na akamsifu Mungu na kusema,
Simeon vzal dítě do náruče a modlil se:
29 “Sasa ruhusu mtumishi wako aende kwa amani Bwana, kulingana na Neno lako.
„Pane, děkuji ti, že jsi splnil svůj slib. Nyní mohu klidně zemřít,
30 Kwa kuwa macho yangu yameuona wakovu wako,
protože jsem na vlastní oči viděl Spasitele,
31 ambao umeonekana kwa macho ya watu wote.
kterého dáváš celému světu.
32 Yeye ni nuru kwa ajili ya ufunuo kwa Wamataifa na utukufu wa watu Israeli.”
Pohanům bude světlem a Izraeli slávou.“
33 Baba na Mama wa mtoto walishangazwa kwa mambo ambayo yalizungumzwa juu yake.
Josef a Marie se podivili tomu, co Simeon pověděl o dítěti.
34 Ndipo Simeoni akawabariki na akasema kwa Mariamu mama yake, “Sikiliza kwa makini! Mtoto huyu atakuwa sababu ya kupotea na kuokoka kwa watu wengi katika Israeli na ni ishara ambayo watu wengi wataipinga.
Potom jim požehnal a Marii ještě řekl: „Toto dítě bude příčinou pádu jedněch a vyvýšení druhých v Izraeli. On je znamení z nebe, proti kterému se mnozí postaví a tak prozradí svoje nejvnitřnější smýšlení.
35 Pia ni upanga utakaochoma nafsi yako mwenyewe, ili kwamba mawazo ya mioyo ya wengi yadhihirike”.
Tvé vlastní srdce pronikne bolest jako meč.“
36 Nabii mwanamke aliyeitwa Ana pia alikuwako hekaluni. Yeye alikuwa binti wa Fanueli kutoka kabila la Asheri. Alikuwa na miaka mingi sana. Naye aliishi na mume wake kwa miaka saba baada ya kuoana,
Byla tam také prorokyně Anna, dcera Fanuelova z rodu Ašerova. Po sedmiletém manželství ovdověla a nyní jí bylo čtyřiaosmdesát let. Nevycházela už vůbec z chrámu a její dny i noci byly naplněny službou Bohu, modlitbami a častými posty.
37 na ndipo akawa mjane kwa miaka themanini na minne. Naye hakuwahi kuondoka hekaluni na alikuwa akiendelea kumwabudu Mungu pamoja na kufunga na kuomba, usiku na mchana.
38 Na kwa wakati huo, alikuja pale walipo akaanza kumshukuru Mungu. Aliongea kumhusu mtoto kwa kila mtu ambaye alikuwa akisubiri ukombozi wa Yerusalemu.
V tu chvíli k nim přistoupila i ona a děkovala za to dítě. Všem, kteří v Jeruzalémě vyhlíželi Spasitele, oznamovala, že očekávaný Mesiáš je již zde.
39 Walipomaliza kila kitu walichotakiwa kufanya kuligana na na sheria ya Bwana, walirudi Galilaya, mjini kwao, Nazareti.
A tak Josef s Marií splnili, co přikazoval zákon. Později se vrátili do Nazaretu v Galileji.
40 Mtoto alikua, na akawa na nguvu, akiongezeka katika hekima, na neema ya Mungu ilikuwa juu yake.
Dítě rostlo, sílilo a bylo velice moudré. Všichni mohli poznat, že ho Bůh miluje.
41 Wazazi wake kila mwaka walikwenda Yerusalemu kwaajili ya sikukuu ya Pasaka.
Ježíšovi rodiče putovali každý rok do Jeruzaléma slavit velikonoční svátky.
42 Alipokuwa na umri wa miaka kumi na miwili, walikwenda tena wakati mwafaka kidesturi kwa ajili ya sikukuu.
Když bylo Ježíšovi dvanáct let, vzali ho poprvé s sebou.
43 Baada ya kubaki siku zote kwa ajili ya sikukuu, walianza kurudi nyumbani. Lakini mvulana Yesu alibaki nyuma mle Yerusalemu na wazazi wake hawakujua hili.
Po slavnosti se všichni vydali na cestu domů, ale Ježíš zůstal bez vědomí rodičů v Jeruzalémě.
44 Walidhani kwamba yumo kwenye kundi walilokuwa wakisafiri nalo, hivyo walisafiri safari ya siku. Ndipo wakaanza kumtafuta miongoni wa ndugu na marafiki zao.
Ti ho zpočátku ani nepohřešovali. Domnívali se, že zůstal někde vzadu mezi poutníky, kteří s nimi měli stejnou cestu. Protože se však celý den neukázal, sháněli ho mezi příbuznými a známými.
45 Waliposhindwa kumpata, walirudi Yerusalemu na wakaanza kumtafuta humo.
Když ho nenašli, vrátili se do Jeruzaléma a hledali ho tam.
46 Ikatokea kwamba baada ya siku tatu, wakampata hekaluni, akiwa ameketi katikati ya waalimu, akiwasikiliza na kuwauliza maswali.
Po třech dnech ho objevili v chrámu, jak sedí mezi učiteli zákona, naslouchá jim a hovoří k nim.
47 Wote waliomsikia walishangazwa na ufahamu wake na majibu yake.
Všichni, kdo ho slyšeli, žasli nad moudrostí, se kterou odpovídal na otázky.
48 Walipomwona, walistaajabu. Mama yake akamwambia, “Mwanangu, kwa nini umetutendea hivi? Sikiliza, baba yako na mimi tumekuwa tukikutafuta kwa wasiwasi mkubwa.”
Rodiče tím byli překvapeni a matka mu vyčítala: „Chlapče, proč nám děláš takové starosti? Otec a já jsme tě hledali celí zoufalí.“
49 Akawaambia, “Kwa nini mmekuwa mkinitafuta? Hamkujua kwamba lazima niwe kwenye nyumba ya Baba yangu?
Ježíš jim odpověděl: „Proč jste mne hledali? Cožpak nevíte, že musím být tam, kde se jedná o záležitosti mého Otce?“
50 Lakini hawakuelewa nini alichomaanisha kwa maneno hayo.
Ale oni nepochopili, co tím mínil.
51 Ndipo akaenda pamoja nao mpaka nyumbani Nazareti na alikuwa mtii kwao. Mama yake alihifadhi mambo yote moyoni mwake.
Ježíš se pak s rodiči vrátil do Nazaretu a poslouchal je. Jeho matka si všechny takové události dobře zapamatovala.
52 Lakini Yesu aliendelea kukua katika hekima na kimo, na akazidi kupendwa na Mungu na watu.
S Ježíšovým věkem rostla i jeho moudrost a byl milý Bohu i lidem.