< Luka 19 >

1 Yesu aliingia na kupita katikati ya Yeriko.
یَدا یِیشُ رْیِرِیہوپُرَں پْرَوِشْیَ تَنْمَدھْیینَ گَچّھَںسْتَدا
2 Na hapo palikuwa na mtu mmoja aitwaye Zakayo. Ambaye alikuwa mkuu wa watoza ushuru tena mtu tajiri.
سَکّییَناما کَرَسَنْچایِناں پْرَدھانو دھَنَوانیکو
3 Alikuwa anajaribu kumwona Yesu ni mtu wa namna gani, lakini hakuweza kuona kwa sababu ya umati wa watu, kwa kuwa alikuwa mfupi wa kimo.
یِیشُح کِیدرِگِتِ دْرَشْٹُں چیشْٹِتَوانْ کِنْتُ کھَرْوَّتْوالّوکَسَںگھَمَدھْیے تَدَّرْشَنَمَپْراپْیَ
4 Hivyo, alitangulia mbio mbele za watu, akapanda juu ya mkuyu ili aweze kumwona, kwa sababu Yesu alikaribia kupita njia hiyo.
یینَ پَتھا سَ یاسْیَتِ تَتْپَتھےگْرے دھاوِتْوا تَں دْرَشْٹُمْ اُڈُمْبَرَتَرُمارُروہَ۔
5 Wakati Yesu alipofika mahali pale, aliangalia juu akamwambia, 'Zakayo, shuka upesi, maana leo ni lazima nishinde nyumbani mwako.'
پَشْچادْ یِیشُسْتَتْسْتھانَمْ اِتْوا اُورْدّھوَں وِلوکْیَ تَں درِشْٹْواوادِیتْ، ہے سَکّییَ تْوَں شِیگھْرَمَوَروہَ مَیادْیَ تْوَدْگیہے وَسْتَوْیَں۔
6 Akafanya haraka, akashuka na kumkaribisha kwa furaha.
تَتَح سَ شِیگھْرَمَوَرُہْیَ ساہْلادَں تَں جَگْراہَ۔
7 Watu wote walipoona hayo, wakalalamika, wakisema, 'Amekwenda kumtembelea mtu mwenye dhambi.'
تَدْ درِشْٹْوا سَرْوّے وِوَدَمانا وَکْتُماریبھِرے، سوتِتھِتْوینَ دُشْٹَلوکَگرِہَں گَچّھَتِ۔
8 Zakayo akasimama akamwambia Bwana, Tazama Bwana nusu ya mali yangu nawapa maskini, na ikiwa nimemnyang'anya mtu yeyote kitu, nitamrudishia mara nne. '
کِنْتُ سَکّییو دَنْڈایَمانو وَکْتُماریبھے، ہے پْرَبھو پَشْیَ مَمَ یا سَمْپَتِّرَسْتِ تَدَرْدّھَں دَرِدْریبھْیو دَدے، اَپَرَمْ اَنْیایَں کرِتْوا کَسْمادَپِ یَدِ کَداپِ کِنْچِتْ مَیا گرِہِیتَں تَرْہِ تَچَّتُرْگُنَں دَدامِ۔
9 Yesu akamwambia, 'Leo wokovu umefika katika nyumba hii, kwa sababu yeye pia ni mwana wa Ibrahimu.
تَدا یِیشُسْتَمُکْتَوانْ اَیَمَپِ اِبْراہِیمَح سَنْتانوتَح کارَنادْ اَدْیاسْیَ گرِہے تْرانَمُپَسْتھِتَں۔
10 Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa watu waliopotea. '
یَدْ ہارِتَں تَتْ مرِگَیِتُں رَکْشِتُنْچَ مَنُشْیَپُتْرَ آگَتَوانْ۔
11 Waliposikia hayo, aliendelea kuongea na alitoa mfano, kwa sababu alikuwa karibu na Yerusalemu, na wao walidhani ya kuwa ufalme wa Mungu ulikuwa karibu kuonekana mara moja.
اَتھَ سَ یِرُوشالَمَح سَمِیپَ اُپاتِشْٹھَدْ اِیشْوَرَراجَتْوَسْیانُشْٹھانَں تَدَیوَ بھَوِشْیَتِیتِ لوکَیرَنْوَبھُویَتَ، تَسْماتْ سَ شْروترِبھْیَح پُنَرْدرِشْٹانْتَکَتھامْ اُتّھاپْیَ کَتھَیاماسَ۔
12 Hivyo akawaambia, 'Ofisa mmoja alikwenda nchi ya mbali ili apokee ufalme na kisha aurudi.
کوپِ مَہالّوکو نِجارْتھَں راجَتْوَپَدَں گرِہِیتْوا پُنَراگَنْتُں دُورَدیشَں جَگامَ۔
13 Aliwaita watumishi wake kumi, akawapa mafungu kumi, akawaambia, 'fanyeni biashara mpaka nitakaporudi.'
یاتْراکالے نِجانْ دَشَداسانْ آہُویَ دَشَسْوَرْنَمُدْرا دَتّوا مَماگَمَنَپَرْیَّنْتَں وانِجْیَں کُرُتیتْیادِدیشَ۔
14 Lakini wananchi wake walimchukia na hivyo wakatuma wajumbe waende kumfuata na kusema, 'Hatutaki mtu huyu atutawale.'
کِنْتُ تَسْیَ پْرَجاسْتَمَوَجْنایَ مَنُشْیَمینَمْ اَسْماکَمُپَرِ راجَتْوَں نَ کارَیِوْیامَ اِماں وارْتّاں تَنِّکَٹے پْریرَیاماسُح۔
15 Ikawa aliporudi nyumbani baada ya kufanywa mfalme, akaamuru wale watumishi aliokuwa amewaachia fedha waitwe kwake, apate kujua faida gani waliyoipata kwa kufanya biashara.
اَتھَ سَ راجَتْوَپَدَں پْراپْیاگَتَوانْ ایکَیکو جَنو بانِجْیینَ کِں لَبْدھَوانْ اِتِ جْناتُں ییشُ داسیشُ مُدْرا اَرْپَیَتْ تانْ آہُویانیتُمْ آدِدیشَ۔
16 Wa kwanza akaja, akasema, `Bwana, fungu lako limefanya mafungu kumi zaidi. '
تَدا پْرَتھَمَ آگَتْیَ کَتھِتَوانْ، ہے پْرَبھو تَوَ تَیَیکَیا مُدْرَیا دَشَمُدْرا لَبْدھاح۔
17 Huyo Ofisa akamwambia, Vema, mtumishi mwema. Kwa sababu ulikuwa mwaminifu katika jambo dogo, utakuwa na madaraka juu ya miji kumi. '
تَتَح سَ اُواچَ تْوَمُتَّمو داسَح سْوَلْپینَ وِشْواسْیو جاتَ اِتَح کارَناتْ تْوَں دَشَنَگَرانامْ اَدھِپو بھَوَ۔
18 Wa pili akaja, akasema, 'Bwana, fungu lako limefanya mafungu matano.'
دْوِتِییَ آگَتْیَ کَتھِتَوانْ، ہے پْرَبھو تَوَیکَیا مُدْرَیا پَنْچَمُدْرا لَبْدھاح۔
19 Huyo Afisa akamwambia, 'Chukua mamlaka juu ya miji mitano.'
تَتَح سَ اُواچَ، تْوَں پَنْچاناں نَگَرانامَدھِپَتِ رْبھَوَ۔
20 Na mwingine akaja, akasema, `Bwana hii hapa fedha yako, ambayo niliihifadhi salama katika kitambaa,
تَتونْیَ آگَتْیَ کَتھَیاماسَ، ہے پْرَبھو پَشْیَ تَوَ یا مُدْرا اَہَں وَسْتْرے بَدّھواسْتھاپَیَں سییَں۔
21 kwa maana niliogopa kwa sababu wewe ni mtu mkali. Unaondoa kile usichokiweka na kuvuna usichopanda. '
تْوَں کرِپَنو یَنّاسْتھاپَیَسْتَدَپِ گرِہْلاسِ، یَنّاوَپَسْتَدیوَ چَ چھِنَتْسِ تَتوہَں تْوَتّو بھِیتَح۔
22 Huyo Ofisa akamwambia, 'Kwa maneno yako mwenyewe, nitakuhukumu, ewe mtumishi mbaya. Ulijua kwamba mimi ni mtu mkali, nachukua nisichokiweka na kuvuna ambacho sikupanda.
تَدا سَ جَگادَ، رے دُشْٹَداسَ تَوَ واکْیینَ تْواں دوشِنَں کَرِشْیامِ، یَدَہَں ناسْتھاپَیَں تَدیوَ گرِہْلامِ، یَدَہَں ناوَپَنْچَ تَدیوَ چھِنَدْمِ، ایتادرِشَح کرِپَنوہَمِتِ یَدِ تْوَں جاناسِ،
23 Basi, mbona hukuweka fedha yangu katika benki, ili nikirudi niichukue pamoja na faida?
تَرْہِ مَمَ مُدْرا بَنِجاں نِکَٹے کُتو ناسْتھاپَیَح؟ تَیا کرِتےہَمْ آگَتْیَ کُسِیدینَ سارْدّھَں نِجَمُدْرا اَپْراپْسْیَمْ۔
24 Ofisa akawaambia watu waliokuwa wamesimama hapo, 'Mnyang'anyeni hilo fungu na kumpa yule mwenye mafungu kumi.'
پَشْچاتْ سَ سَمِیپَسْتھانْ جَنانْ آجْناپَیَتْ اَسْماتْ مُدْرا آنِییَ یَسْیَ دَشَمُدْراح سَنْتِ تَسْمَے دَتَّ۔
25 Wakamwambia, `Bwana, yeye ana mafungu kumi. '
تے پْروچُح پْرَبھوسْیَ دَشَمُدْراح سَنْتِ۔
26 'Nawaambia, kila mtu ambaye anacho atapewa zaidi, lakini ambaye hana, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.
یُشْمانَہَں وَدامِ یَسْیاشْرَیے وَدّھَتے دھِکَں تَسْمَے دایِشْیَتے، کِنْتُ یَسْیاشْرَیے نَ وَرْدّھَتے تَسْیَ یَدْیَدَسْتِ تَدَپِ تَسْمانْ نایِشْیَتے۔
27 Lakini hawa maadui zangu, ambao hawakutaka niwe Mfalme wao, waleteni hapa na kuwaua mbele yangu. ''
کِنْتُ مَمادھِپَتِتْوَسْیَ وَشَتْوے سْتھاتُمْ اَسَمَّنْیَمانا یے مَمَ رِپَوَسْتانانِییَ مَمَ سَمَکْشَں سَںہَرَتَ۔
28 Baada ya kusema hayo, aliendelea mbele akipanda kwenda Yerusalemu.
اِتْیُپَدیشَکَتھاں کَتھَیِتْوا سوگْرَگَح سَنْ یِرُوشالَمَپُرَں یَیَو۔
29 Ikawa alipokaribia Bethfage na Bethania, karibu na mlima wa Mizeituni, aliwatuma wanafunzi wake wawili,
تَتو بَیتْپھَگِیبَیتھَنِییاگْرامَیوح سَمِیپے جَیتُنادْریرَنْتِکَمْ اِتْوا شِشْیَدْوَیَمْ اِتْیُکْتْوا پْریشَیاماسَ،
30 akisema: `Nendeni katika kijiji cha jirani. Mkiingia, mtakuta mwana-punda hajapandwa bado. Mfungueni, mkamlete kwangu.
یُوامَمُں سَمُّکھَسْتھَگْرامَں پْرَوِشْیَیوَ یَں کوپِ مانُشَح کَداپِ ناروہَتْ تَں گَرْدَّبھَشاوَکَں بَدّھَں دْرَکْشْیَتھَسْتَں موچَیِتْوانَیَتَں۔
31 Kama mtu akiwauliza, `Mbona mnamfungua? ' Semeni, “Bwana anamhitaji. ''
تَتْرَ کُتو موچَیَتھَح؟ اِتِ چیتْ کوپِ وَکْشْیَتِ تَرْہِ وَکْشْیَتھَح پْرَبھےرَتْرَ پْرَیوجَنَمْ آسْتے۔
32 Wale waliotumwa wakaenda wakamwona mwana-punda kama Yesu alivyokuwa amewaambia.
تَدا تَو پْرَرِتَو گَتْوا تَتْکَتھانُسارینَ سَرْوَّں پْراپْتَو۔
33 Walipokuwa wanamfungua mwana punda wamiliki wakawaambia, 'Kwa nini mnamfungua mwana punda huyu?'
گَرْدَبھَشاوَکَموچَنَکالے تَتْوامِنَ اُوچُح، گَرْدَبھَشاوَکَں کُتو موچَیَتھَح؟
34 Wakasema, `Bwana anamhitaji. '
تاوُوچَتُح پْرَبھورَتْرَ پْرَیوجَنَمْ آسْتے۔
35 Basi, wakampelekea Yesu, wakatandika nguo zao juu ya mwana punda na wakampandisha Yesu juu yake.
پَشْچاتْ تَو تَں گَرْدَبھَشاوَکَں یِیشورَنْتِکَمانِییَ تَتْپرِشْٹھے نِجَوَسَنانِ پاتَیِتْوا تَدُپَرِ یِیشُماروہَیاماسَتُح۔
36 Alipokuwa akienda watu wakatandaza mavazi yao barabarani.
اَتھَ یاتْراکالے لوکاح پَتھِ سْوَوَسْتْرانِ پاتَیِتُمْ آریبھِرے۔
37 Alipokuwa anateremka mlima wa Mizeituni, jumuiya yote ya wanafunzi wakaanza kushangilia na kumtukuza Mungu kwa sauti kubwa, kwa sababu ya mambo makuu waliyoyaona,
اَپَرَں جَیتُنادْریرُپَتْیَکامْ اِتْوا شِشْیَسَںگھَح پُورْوَّدرِشْٹانِ مَہاکَرْمّانِ سْمرِتْوا،
38 wakisema, 'Ndiye mbarikiwa Mfalme ajaye kwa jina la Bwana! Amani mbinguni, na utukufu juu!'
یو راجا پْرَبھو رْنامْنایاتِ سَ دھَنْیَح سْوَرْگے کُشَلَں سَرْوّوچّے جَیَدھْوَنِ رْبھَوَتُ، کَتھامیتاں کَتھَیِتْوا سانَنْدَمْ اُچَیرِیشْوَرَں دھَنْیَں وَکْتُماریبھے۔
39 Baadhi ya Mafarisayo katika mkutano wakamwambia, Mwalimu, wanyamazishe wanafunzi wako. '
تَدا لوکارَنْیَمَدھْیَسْتھاح کِیَنْتَح پھِرُوشِنَسْتَتْ شْرُتْوا یِیشُں پْروچُح، ہے اُپَدیشَکَ سْوَشِشْیانْ تَرْجَیَ۔
40 Yesu akajibu, akasema, `Nawaambieni, kama hawa wakinyamaza, mawe yatapaza sauti. '
سَ اُواچَ، یُشْمانَہَں وَدامِ یَدْیَمِی نِیرَواسْتِشْٹھَنْتِ تَرْہِ پاشانا اُچَیح کَتھاح کَتھَیِشْیَنْتِ۔
41 Yesu alipoukaribia mji aliulilia,
پَشْچاتْ تَتْپُرانْتِکَمیتْیَ تَدَوَلوکْیَ ساشْرُپاتَں جَگادَ،
42 akisema, laiti ungelijua hata wewe, katika siku hii mambo ambayo yanayokuletea amani! Lakini sasa yamefichika machoni pako.
ہا ہا چیتْ تْوَمَگْرےجْناسْیَتھاح، تَواسْمِنّیوَ دِنے وا یَدِ سْوَمَنْگَلَمْ اُپالَپْسْیَتھاح، تَرْہْیُتَّمَمْ اَبھَوِشْیَتْ، کِنْتُ کْشَنیسْمِنْ تَتَّوَ درِشْٹیرَگوچَرَمْ بھَوَتِ۔
43 Kwa kuwa siku zinakuja ambapo adui zako watajenga boma karibu na wewe, na kukuzunguka na kukukandamiza kutoka kila upande.
تْوَں سْوَتْرانَکالے نَ مَنو نْیَدھَتّھا اِتِ ہیتو رْیَتْکالے تَوَ رِپَوَسْتْواں چَتُرْدِکْشُ پْراچِیرینَ ویشْٹَیِتْوا روتْسْیَنْتِ
44 Watakuangusha chini wewe na watoto wako. Hawatakuachia hata jiwe moja juu ya jingine, kwa sababu haukutambua wakati Mungu alipokuwa anajaribu kukuokoa'.
بالَکَیح سارْدّھَں بھُومِساتْ کَرِشْیَنْتِ چَ تْوَنْمَدھْیے پاشانَیکوپِ پاشانوپَرِ نَ سْتھاسْیَتِ چَ، کالَ اِیدرِشَ اُپَسْتھاسْیَتِ۔
45 Yesu aliingia Hekaluni, akaanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza,
اَتھَ مَدھْییمَنْدِرَں پْرَوِشْیَ تَتْرَتْیانْ کْرَیِوِکْرَیِنو بَہِشْکُرْوَّنْ
46 akiwaambia, “Imeandikwa, 'Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,' lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang'anyi”.
اَوَدَتْ مَدْگرِہَں پْرارْتھَناگرِہَمِتِ لِپِراسْتے کِنْتُ یُویَں تَدیوَ چَیراناں گَہْوَرَں کُرُتھَ۔
47 Kwa hiyo, Yesu alikuwa akifundisha kila siku hekaluni. Makuhani wakuu na walimu wa Sheria na viongozi wa watu walitaka kumuua,
پَشْچاتْ سَ پْرَتْیَہَں مَدھْییمَنْدِرَمْ اُپَدِدیشَ؛ تَتَح پْرَدھانَیاجَکا اَدھْیاپَکاح پْراچِیناشْچَ تَں ناشَیِتُں چِچیشْٹِرے؛
48 lakini hawakuweza kupata njia ya kufanya hivyo, kwa sababu watu wote walikuwa wakimsikiliza kwa makini.
کِنْتُ تَدُپَدیشے سَرْوّے لوکا نِوِشْٹَچِتّاح سْتھِتاسْتَسْماتْ تے تَتْکَرْتُّں ناوَکاشَں پْراپُح۔

< Luka 19 >