< Luka 17 >

1 Yesu akawaambia wanafunzi wake, “mambo yasababishayo watu watende dhambi hayana budi kutokea, Lakini ole wake mtu anayeyasababisha!
Wabhabhola asambelezewa bhakwe, “evisyo sevi nebudi ahwenze lelo ole wakwe omntu ola ambaye gahwenza afwatane nomwahale!
2 Ingekua ni heri kama mtu huyo angefungiwa jiwe zito la kusagia shingoni na kutubwa baharini, kuliko kumfanya mmoja wa hawa wadogo atende dhambi.
Yakhondeye zaidi omntu oyo iwe elyasyole lipinyeve msingo yakwe aponywe mwidimi, ashile abhavisye miongoni mwadodo ebha.
3 Jilindeni. Kama ndugu yako akikukosea mwonye, naye akitubu msamehe.
Hwirindi. Nkashile ohoro waho nkakoseye sunde, nkarambe sajire.
4 Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, 'ninatubu,' msamehe!”
Nankashile akosire mara saba katika isiku limo, nawele hwiliwe mara saba nkayanje, 'erabha,' sajire!”
5 Mitume wake wakamwambia Bwana, “tuongezee imani yetu.”
Atumwa bhabhola Gosi, “Tonjezye oweteho.”
6 Bwana akasema, “kama mgekuwa na imani kama punje ya haradarii, mngeweza kuuambia mti huu wa mkuyu, 'n'goka na ukaote baharini,' nao ungewatii.
Ogosi wayanga, “nkashele mgari no lweteho ekiasi eshe chembe eye haradali, mwezaga alibhole iko eli senyeha, 'utotwe mwidimi,' wope ungewaheshimu.
7 Lakini nani miongoni mwenu, ambaye ana mtumishi anayelima shamba au anayechunga kondoo, atamwambia arudipo shambani, 'Njoo haraka na keti ule chakula?
Lelo wenu hwilimwe, omwanesho obhomba yalima au yadima ing'ombe, yabhalubho nawera afume hugonda, 'Enzaa epa nanali khara olye eshalye?
8 Je hatamwambia, 'Niandalie chakula nile, na jifunge mkanda na unitumikie mpaka nitakapo maliza kula na kunywa. Baada ya hapo uta kula na kunywa?
Je sabhahulobhe mbombele tayari eshalye endwe, hwipinye ombombele hata endwe na mwele. Nawe pobhalya na mwele?
9 Hata mshukuru mtumishi huyo kwasababu katimiza yale aliyoamriwa?
Je abhahupere emwasalipa ola obhomba mbombo afwanaje abhombile galajiziwe?
10 Vivyo hivyo nanyi mkiisha kufanya mliyoagizwa semeni 'Sisi tu watumishi tusiostahili. Tumefanya tu yale tuliyopaswa kufanya.'
Shesho namwe namwayibha mumari abhombe gonti gamlajiziwe yangaje 'Ate tili bhasontezewa bhasebhali ne faida. Tibhombile wene gaganziwaga tibhombe.'
11 Ilitokea kwamba alivyokua akisafiri kwenda Yerusalemu, alipita mpakani mwa Samaria na Galilaya.
Yabha nabhali mwidara nabhala hu Yerusalemu, ali ashira mhati eye Samaria na Galilaya.
12 Alipokua akiingia kwenye kijiji kimoja, huko alikutana na watu kumi waliokuwa na ukoma. Wakasimama mbali
Nawinjira mshijiji shimo, atangene nu bhantu kumi bhali no ukoma. Bhemelela sahutari
13 wakapaza sauti wakasema “Yesu, Bwana tuhurumie.”
bhakhora humaza bhayanga “Ee Yesu, Gosi owa Gosi otisajire.”
14 Alipowaona akawaambia, “Nendeni mkajionyeshe kwa makuhani.” nao walipokua wakienda wakatakasika.
Nawabhalola wabhabhola, “Eshi bhalaji mhwibhonezye hwa kohani.” yabha nabhali bhabhale bhahozyewe.
15 Mmoja wao alipoona kwamba amepona, akarudi kwa sauti kuu akimsifu Mungu.
Na omo miongoni mwabho nawalola aje aponile awelile, ohuu ahutukuzya Ongolobhe hwizu igosi.
16 Akapiga magoti miguuni mwa Yesu akamshukuru. Yeye alikua msamaria.
Wagwa fugamila pamagaga gakwe na husalifwe wapa ali msamaria.
17 Yesu akajibu, akasema, “Je hawakutakasika wote kumi? Wako wapi wale wengine tisa?
O Yesu wagalura, wayanga, “Sebhatakasyewe wonti kumi? Bhala tisa bhalihwi?
18 Hakuna hata mmoja aliyeonekana kurudi ili kumtukuza Mungu, isipokuwa huyu mgeni?”
Eshi sebhabhonesha bhabhawelile hupele Ongolobhe, outukufu ila ojenyi ono?”
19 Akamwambia, “Inuka na uende zako imani yako imekuponya.”
Wabhora, “Imelela walaga wewe olweteho lwaho lumwauye.”
20 Alipoulizwa na mafarisayo ufalme wa Mungu utakuja lini, Yesu akawajibu akisema, “Ufalme wa Mungu sio kitu ambacho kinaweza kuonekana.
Nabhozyewaga na mafarisayo umwene owa Ngolobhe wayenza ndii, Aglula wabhabhola, “Umwe owa Ngolobhe seuhwenza agodezyegozye.
21 Wala watu hawatasema, 'Angalia hapa!' au, 'Angalia kule!' kwa maana ufalme wa Mungu umo ndani yenu.”
Wala sebhayiyanga, 'Enya uhweli ohwo!' au, 'Hula!' afwanaje enya umwene owa Ngolobhe uhweli mhati yenyu.”
22 Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Wakati utafika ambapo mtatamani kuiona moja ya siku ya Mwana wa Adamu, lakini hamtaiona.
Wabhabhola asambeleziwa bhakwe, “Ensiku zihwenza namwitamani alole isiku limo katika ensiku zyakwe Omwana wa Adamu, samwaizilola.
23 Watawaambia, 'Angalia, kule! Angalia, hapa!' Lakini msiende kuangalia, wala kuwafuafata,
Antele bhayibhabhola, 'Enyi, ohu! Mganje, sogole pala!' Paruhweli wala msabharondozye,
24 kama umeme wa radi umulikao katika anga kuanzia upande mmoja hadi mwingine. Hivyo hata Mwana wa Adamu atakuwa ivyo katika siku yake.
afwanaje neshe shila oumeme shaukhozya hata upande ou owensi eye mwanya. Esho shashayiha Omwana owa Adamu katika ensiku zyakwe.
25 Lakini kwanza itampasa kuteseka katika mambo mengi na kukataliwa na kizazi hiki.
Lelo ahwanda sali nebudi apate marabha aminji na khanwe neshikholo.
26 Kama ilivyokuwa siku za Nuhu, ndivyo itakavyokua katika siku ya Mwana wa Adam.
Ila nkashele shashahali ensiku ezya Nuhu, esho shashayibha katika ensiku zyakwe Omwana owa Adamu.
27 Walikula, walikunywa, wakioa na kuolewa mpaka siku ile ambayo Nuhu alipoingia katika safina na gharika ikaja na kuwaangamiza wote.
Bhali bhalya na mwele na hweje na hwegwe hata isiku ila o Nuhu yahinjile katika mwisafina amakhoshi gahishile gabhangamizizye wonti.
28 Ndivyo ilivyokua katika siku za Lutu, walikula, kunywa, wakinunua na kuuza, kulima na walijenga.
Na nkashile shahali katika ensiku zya Lutu, bhali bhalya na mwele, wali bhakala na kazye, bhatotaga nazenje.
29 Lakini siku ile Lutu alipoondoka Sodoma, ikanyesha mvua ya moto na kiberiti kutoka mbinguni ikawaangamiza wote.
Lelo isiku lila Lutu yafumile Msodoma, gwahishile omwoto neshibiriti afume amwanya gwabhatezizye wonti.
30 Hivyo ndivyo itakavyo kuwa siku ile ya Mwana wa Adamu atakapofunuliwa.
Esho shashayibha isiku lila lyayibhonesyewa owa Omwana owa Adamu.
31 Siku hiyo, usimruhusu aliye kwenye dari ya nyumba ashuke kuchukue bidhaa zake ndani ya nyumba. Na usimruhusu aliyeko shambani kurudi nyumbani.
Katika isiku lila yali juu yogoro na evyelelo vyakuwa vili mhati eyenyumba agaje hwishe ili ayeje. Nantele yali hugonda ga jewele hwisalo.
32 Mkumbuke mke wa Lutu.
Izuhaji oshe wa Lutu.
33 Ye yote anaejaribu kuyaokoa maisha yake atayapoteza, lakini ye yote atakayeyapoteza maisha yake atayaokoa.
Omntu yoyonti yabhaponje enafisi yakwe abhayitezye nayoyonti yayitezye, abhayiponie.
34 Nakwambia, usiku huo kutakua na watu wawili katika kitanda kimoja. Mmoja atachukuliwa, na mwingine ataachwa.
Wabhabhola, osiku owo abhantu bhabhele bhayibha ishitara shimo. Omo ayegwe omo ayilehwa.
35 Kutakua na wanawake wawili wanasaga nafaka pamoja, mmoja atachukuliwa na mwingine ataachwa.”
Abhashe bhabhele bhayibha bhasya pandwemo, omo ayegwe omo ayilehwa.” Abhantu bhabheke bhayibha hugonda omo ayegwa omo ayirehwa.”
37 Wakamwuliza, “Wapi, Mungu?” Akawaambia, “Pale ulipo mzoga, ndipo tai hukusanyika kwa pamoja.”
Bhagalula bhabhozya, “Woshi, Gosi?” Wabhabhola, “Peli efwe nyene pepo pabhayitanganila enyonyi.”

< Luka 17 >