< Luka 16 >

1 Yesu aliwaambia tena wanafunzi wake, “Palikuwa na mtu mmoja tajiri aliyekuwa na meneja, na alitaarifiwa ya kwamba meneja huyu anatapanya mali zake.
A Yeshu gubhaalugulilenje bhaajiganywa bhabho, “Ashinkupagwa tajili jumo na nyapala jwakwe. Tajili jula ashinkulugulilwa, kuti nyapala jwabho anatapanya indu yabho.
2 Hivyo tajiri akamwita, akamwambia, “Ni nini hii ninayo isikia juu yako? Toa hesabu ya umeneja wako, kwa kuwa huwezi kuwa meneja tena.'
Tajili jula gwanshemile, nikummuya, ‘Indu yashi yako ugwe ingupilikanai? Utende malonda ga indu yangu yuposhele na yulile, pabha ukaapinjikwa kubha nyapala kabhili.’
3 Yule meneja akasema moyoni mwake, Nifanye nini, maana bwana wangu ananiondolea kazi yangu ya umeneja? Sina nguvu za kulima, na kuomba naona haya.
Nyapala jula gwaganishiye, ‘Bhakulungwa bhangu bhanaminga liengo lya unyapala, shindende bhuli? Nangali mashili ga lima, pita juga ngunakola oni.
4 Najua nitakalotenda ili nitakapotolewa katika kazi yangu ya uwakili watu wanikaribishe nyumbani mwao.
Elo, nishimanyi sha tenda nkupinga pushimingwe liengopo, bhandunji bhanjemelanje kunngwabhonji.’”
5 Hivyo wakili akawaita wadeni wa bwana wake kila mmoja akamwambia wa kwanza, 'unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?'
“Bhai, gwabhashemilenje jumo jumo, bhakwetenje magambo bhowe kubhakulungwa bhakwe, gwammushiye jwa ntai jula, ‘Yukulongwa na bhakulungwa ilingwa?’
6 Akasema vipimo mia moja vya mafuta akamwambia 'chukua hati yako keti upesi andika hamsini.'
Jwalakwe gwajangwile, ‘Nndobho 180 ya mauta ga sheituni.’ Nyapala jula gwannugulile, ‘Tola shipande sha ligambo lyako, shangu ujandishe nndobho makumi tisha.’
7 kisha akamwambia mwingine na wewe unadaiwa kiasi gani?' akasema 'vipimo mia moja vya unga vya ngano.' Akamwambia 'twaa hati yako andika themanini.'
Na gwammushiye akwete ligambo jwa bhili, ‘Ugwe ulongwa nndi?’ Jwalakwe gwajangwile, ‘Magunia 1,000 ga ngano.’ Nyapala jula gwannugulile, ‘Tola shipande sha ligambo lyako, shangu ujandishe magunia mia nane.’”
8 Yule bwana akamsifu meneja dhalimu kwa vile alivyotenda kwa wereu. Kwakua watoto wa ulimwengu huu ni werevu nyingi na hushughulika kwa ujanja na watu wa upande wao kuliko walivyo watoto wa nuru. (aiōn g165)
Bhai tajili jula gwannumbilile nyapala jula, kwa penya kwakwe. Pabha bhandunji bha pa shilambolyo pano bhanapenyanga pubhatendanga indu na ashaajabhonji, kupunda bhandunji bha Upalume gwa a Nnungu. (aiōn g165)
9 Nami nawaambia jifanyieni marafiki kwa mali ya udhalimu ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. (aiōnios g166)
Na bhalabho a Yeshu gubhapundile kubheleketa, “Na nne ngunakummalanjilanga, mpanganje mbwiga na bhandunji kwa mali ga pa shilambolyo, nkupinga gamalaga, mposhelwanje kundamo ja pitipiti. (aiōnios g166)
10 Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia. na aliye dhalimu katika lililo dogo huwa dhalimu katika lililo kubwa pia.
Jojowe shakulupalilwe kwa indu yaishoko, shakulupalilwe nkali kwa indu yaikulungwa, na jojowe akaakulupalika kwa indu yaishoko, akaakulupalika nkali kwa indu yaikulungwa.
11 Kama ninyi hamkuwa waaminifu katika mali ya udhalimu ni nani atakayewaamini katika mali ya kweli?
Bhai ibhaga, mmanganya nkakulupalikanje kwa mali ga pa shilambolyo, gani shampanganje mali ga kweli?
12 Na kama hamkuwa waaminifu katika kutumia mali ya mtu mwingine ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe?
Na nkakulupalikanje kwa mali gaka mundu juna, gani shankamuyanje mali genunji mwaashayene?
13 Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili, kwamaana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamuwezi kumtumikia Mungu na mali.”
“Jwakwapi ntumishi akombola kwaatumishilanga bhakulungwanji bhabhili, pabha shanshime jumo nikumpinga junajo, eu shanng'ishimiye jumo na junajo nikunnyegaya. Nkakombolanga kwaatumishila a Nnungu pamo na mali.”
14 Basi Mafarisayo, ambao walikuwa wanapenda fedha waliyasikia haya yote na wakamdhihaki.
Ashimapalishayo bhalinginji bhaapinganga mmbiya, bhakapilikananjeje genego, gubhaeshilenje nkwaanyegaya.
15 Na akawaambia, “Ninyi ndiyo mnaojidai haki mbele ya wanadamu, lakini Mungu anaijua mioyo yenu. Kwa kuwa lililotukuka kwa wanadamu huwa chukizo mbele za Mungu.
A Yeshu gubhaalugulilenje, “Mmanganya nnakwitendanga nkwetenje aki pa bhandu, ikabheje a Nnungu bhajimanyi mitima jenunji, pabha shene shibhoneka sha mmbone kubhandu, a Nnungu pubhakushibhona sha bhiyabhiya.
16 Sheria na manabii vilikuwapo mpaka Yohana alivyokuja. Tangu wakati huo, habari njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujaribu kujiingiza kwa nguvu.
“Shalia na ashinkulondola, yaapali mpaka malanga ga a Yowana Bhabhatisha. Kutandubhila penepo, ngani ja mmbone ja Upalume gwa a Nnungu jinalunguywa, na kila mundu anakwiijinjiya kwa mashili.
17 Lakini ni rahisi kwa mbingu na nchi vitoweke kuliko hata herufi moja ya sheria ikosekane.
Ikabheje ikakola ukomu kunnungu na shilambolyo kupita, kupunda nkali shipande shishoko sha Shalia kushoywa.
18 Kila amwachaye mkewe na kumwoa mke mwingine azini, naye amwooaye yeye aliyeachwa na mumewe azini.
“Jojowe akunneka nkagwe nilomba juna, analabhalabha, na jojowe ankunnomba jwankongwe aleshilwe, analabhalabha.”
19 Palikua na mtu mmoja tajiri aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi na alikua akifurahia kila siku utajiri wake mkubwa.
Ashinkupagwa mundu jumo tajili, awalaga nngubho ya mmbiya yaigwinji ya langi ja shambalau na ya kitani ja takata, alipoka mobha gowe.
20 Na maskini mmoja jina lake Lazaro aliwekwa getini pake, na ana vidonda.
Na pannango gwakwe atendaga tama nkulaga jumo, lina lyakwe Lashalo, akwete ilonda shiilu showe.
21 Naye alikua akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri hata mbwa wakaja wakamlamba vidonda vyake.
Lashalo atendaga lokolila malepei gaagwaga pa mesha jika tajili jula, nkali mbwa yatendaga kwiya kunnambanga ilonda yakwe!
22 Ikawa yule maskini alikufa na akachukuliwa na Malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa akazikwa.
Bhai nkulaga jula akuwaga, ashimalaika bha kunnungu gubhantolilenje, nikwenda kummika pubhaliji a Bhulaimu. Na tajili na jwalakwe gwawile, nishikwa.
23 Na kule kuzimu alipokua katika mateso aliyainua macho yake akamuona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake. (Hadēs g86)
Tajili jula ali mmboteko ya punda kundamo ja bhawilenje, gwajinwile meyo, gwabhabhweni a Bhulaimu kwataliya bhali nagwe Lashalo, (Hadēs g86)
24 Akalia akasema, 'Baba Ibrahimu, nihurumue umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.
Bhai, gwabhashemile kwa utiya, “Ambuje a Bhulaimu, mmonele shiya, muntume Lashalojo kapela shikowe ashubhishe mmashi, andolishiye nnulimi lwangu, pabha ngunapotekwa kwa kaje pamoto pano.”
25 Lakini Ibrahimu akasema, 'Mwanangu kumbuka ya kwamba katika maisha yako uliyapokea mambo yako mema, na Lazaro vivyo alipata mabaya. Ila sasa yupo hapa anafarijiwa na wewe unaumizwa.
Ikabheje a Bhulaimu gubhajangwile, “Kumbushila mwanangu, kuti ugwe ushinkupoka nndamo jako, na Lashaloju ashinkulaga. Ikabheje nnaino, jwalakwe anapoka na ugwe unapotekwa kwa kaje.
26 Na zaidi ya hayo, kumewekwa shimo kubwa na refu kati yetu, ili wale wanaotaka kutoka huku kwenda kwenu wasiweze wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.'
Kupunda genego, pakatipakati jetu uwe na mmanganya, lishibhikwa liimbo likulungwa, nkupinga bhapinganga kwiya kunngwenunji kukoposhela akuno bhanakombolanje, na bhapinganga kwiya kwetu uwe kukoposhela kweneko bhanakombolanje.”
27 Yule tajiri akasema, 'Nakuomba Baba Ibrahimu, kwamba umtume nyumbani kwa baba yangu
Tajili jula gwashite, “Bhai ambuje a Bhulaimu, shonde bhai muntume Lashalo ajende kulikaja lya atati,
28 kwa kuwa ninao ndugu watano ili awaonye, kwa hofu kwamba wao pia watkuja mahali hapa pa mateso. '
pabha njikola ashapwanga nng'ano, akaalungushiyanje nkupinga bhanaikangane kumboteko kuno.”
29 Lakini Ibrahimu akasema, 'Wanao Musa na manabii. Waache wawasikilize wao.
Ikabheje a Bhulaimu gubhajangwile, “Ashapwako bhakwetenje a Musha na ashinkulondola, bhaapilikalanje bhanganyabho.”
30 Yule tajiri akasema, 'hapana, Baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu watatubu.'
Ikabheje na jwalakwe gwashite kabhili, “Nngabha nneyo ambuje a Bhulaimu, ikabhe mundu ayukaga nikwaajendelanga, shibhaipetanje.”
31 Lakini Ibrahimu akamwambia, 'wasipowasikia Musa na manabii hawatashawishiwa hata mtu akifufuka katika wafu.
Na bhalabho a Bhulaimu gubhajangwile, “Ibhaga bhakaapilikanilanje a Musha na ashinkulondola bha a Nnungu, bhakakundanga nkali mundu akayushile.”

< Luka 16 >