< Luka 16 >
1 Yesu aliwaambia tena wanafunzi wake, “Palikuwa na mtu mmoja tajiri aliyekuwa na meneja, na alitaarifiwa ya kwamba meneja huyu anatapanya mali zake.
Jesuh naw axüisaw hea veia hina ngthu a pyen be tü, “Khyang bawimangki mat naw, a khawh mceiki mat a tak. Acuna khawh mceiki naw a mahpaa khawh kpäkcaihsak ve tia mawng a mahpa üng mtheh law u se,
2 Hivyo tajiri akamwita, akamwambia, “Ni nini hii ninayo isikia juu yako? Toa hesabu ya umeneja wako, kwa kuwa huwezi kuwa meneja tena.'
acunüng, a mahpa naw, ‘a khawh mceikia m'ya cun khü lü, na mawng ka ngjak hin ia suilam ni? Khawhtheme khana na bilawh na mtheh lawa. Atuh üng tün lü khawh mceikia am na kya ti khai’ a ti.
3 Yule meneja akasema moyoni mwake, Nifanye nini, maana bwana wangu ananiondolea kazi yangu ya umeneja? Sina nguvu za kulima, na kuomba naona haya.
“Acunüng, khawh mceiki naw a mlung k’uma ngai kyu lü, ‘Ka mahpa naw, a khawh ka mceinak üngka naw na pyaisak ve, lai co lü pi am ka nghlawh theiki, ka kthähei hü vaia pi ka ngkekhyakeiki, ikba ka awm khai ni?’
4 Najua nitakalotenda ili nitakapotolewa katika kazi yangu ya uwakili watu wanikaribishe nyumbani mwao.
“Khawh mceinak üngka naw ami na pyaisak käna, ami ima na awmpüi khai hea püi ka tak üng daw khai ti ka ksingki,’ ti lü,
5 Hivyo wakili akawaita wadeni wa bwana wake kila mmoja akamwambia wa kwanza, 'unadaiwa kiasi gani na bwana wangu?'
acunüng a mahpaa khawh leinakia khyang he jah khü lü, akcüka veia, ‘Ka mahpaa khawh i kän na lei naki ni?’ a ti.
6 Akasema vipimo mia moja vya mafuta akamwambia 'chukua hati yako keti upesi andika hamsini.'
“Acun naw, ‘Situi pung a phya lei na veng’ ti se, khawh mceiki naw, ‘angxita cajin lawpüi, ngaw lü, mhmakipa yua,’ a ti.
7 kisha akamwambia mwingine na wewe unadaiwa kiasi gani?' akasema 'vipimo mia moja vya unga vya ngano.' Akamwambia 'twaa hati yako andika themanini.'
“Acunüng, akce mata veia, ‘Nang mä i kän na lei naki ni?’ a ti, ani naw, ‘cang tawng thawng at lei na veng’ ti se, khawh mceiki naw, ‘angxita na cajin lawpüi, ngaw lü, phya khyeta yua,’ a ti.
8 Yule bwana akamsifu meneja dhalimu kwa vile alivyotenda kwa wereu. Kwakua watoto wa ulimwengu huu ni werevu nyingi na hushughulika kwa ujanja na watu wa upande wao kuliko walivyo watoto wa nuru. (aiōn )
“Acunüng, am dawkia khawh mceiki naw acunkba a jah pawhmsah law a mahpa naw hmu lü, aktäa, a ngak. Khawmdek khyang he amimäta hama ami bilawhnak üng, akvai üng awmki hea kthaka khyaih bawki he ni,” a ti. (aiōn )
9 Nami nawaambia jifanyieni marafiki kwa mali ya udhalimu ili itakapokosekana wawakaribishe katika makao ya milele. (aiōnios )
Acunüng Jesuh bä naw, “Ka ning jah mthehki, nami hama khawmdek khawhthem püi na ua, acunüng ni acun a bäih law üng anglät xünak ima ning jah do khai he. (aiōnios )
10 Aliye mwaminifu katika lililo dogo sana huwa mwaminifu katika lililo kubwa pia. na aliye dhalimu katika lililo dogo huwa dhalimu katika lililo kubwa pia.
“Upi ajawcaa khana üpangak vaia awmki cun khawjaha khana pi üpangnak vaia ve khaia kyaki. Upi ajawca khana am üpangnak vaia awmki cun khawjaha khana pi üpangnak vaia am kya.
11 Kama ninyi hamkuwa waaminifu katika mali ya udhalimu ni nani atakayewaamini katika mali ya kweli?
“Acunakyase, khyük theikia khawmdek khawhthema khana pi am üpangnak vaia nami ve üng, u naw khawhthem kcang ning jah khämsak khai aw?
12 Na kama hamkuwa waaminifu katika kutumia mali ya mtu mwingine ni nani atakayewapa iliyo yenu wenyewe?
“Khyang kcea khawhthema khana pi üpangnak vaia am nami awm üng, u naw nami ka vaia ning jah pe khai aw?
13 Hakuna mtumishi awezaye kutumikia mabwana wawili, kwamaana atamchukia mmoja na kumpenda mwingine, ama atashikamana na huyu na kumdharau huyu. Hamuwezi kumtumikia Mungu na mali.”
M'ya u naw mahpa nghngih am khüih khawi naw, mat ä ngja hlü lü, mat jawng na khai, am acunüng mat kü na lü mat kse na khai. Pamhnam la ngui atänga am nami jah khüih thei khai,” a ti.
14 Basi Mafarisayo, ambao walikuwa wanapenda fedha waliyasikia haya yote na wakamdhihaki.
Acunüng, ngui jawngnaki hea Pharise he naw acuna ngthu ngja u lü, ami yaihei.
15 Na akawaambia, “Ninyi ndiyo mnaojidai haki mbele ya wanadamu, lakini Mungu anaijua mioyo yenu. Kwa kuwa lililotukuka kwa wanadamu huwa chukizo mbele za Mungu.
Jesuh naw jah msang lü, “Khyanga hmuha nami cingcaihkia nami ngseki, cunsepi Pamhnam naw nami mlung ning jah ksingki ni; khyanga hmuha ami mküih cun Pamhnama hmuha msetei phyaki ni.
16 Sheria na manabii vilikuwapo mpaka Yohana alivyokuja. Tangu wakati huo, habari njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujaribu kujiingiza kwa nguvu.
“Mosia thum la sahma hea yuke cun Johana am a pha law hlan üng awmki, Johan üngka naw tün lü Pamhnama khaw thangkdaw cun sanga kyaki. Acunüng, khyang avan amthuia lut khawiki he.
17 Lakini ni rahisi kwa mbingu na nchi vitoweke kuliko hata herufi moja ya sheria ikosekane.
“Cunsepi, thum anglungcaa khyüh theia kthaka ta, khawmdek la khankhawa khyüh vai jäi bawk khai.
18 Kila amwachaye mkewe na kumwoa mke mwingine azini, naye amwooaye yeye aliyeachwa na mumewe azini.
“Upi a khyu mtai lü, nghnumi akce khyu naki cun a khyu mkhyekatki ni. Ami mtaia nghnumi khyu naki pi a khyu mkhyekat naki ni.
19 Palikua na mtu mmoja tajiri aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi na alikua akifurahia kila siku utajiri wake mkubwa.
“Aktäa bawimangkia mangpa, aküi säiha thüi awi lü, amhmüp tä se hlimtui leng leng khaia ei aw lü awmki mat awmki.
20 Na maskini mmoja jina lake Lazaro aliwekwa getini pake, na ana vidonda.
“Acunüng, khuikha leng lengkia khyang, Lazaruh ngming naki pi mat, a pumsa üng mnehkse am be se, mangpaa mkawt peia ami lawpüi,
21 Naye alikua akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri hata mbwa wakaja wakamlamba vidonda vyake.
mangpa buhkbe peia kbuhkbaw ei khaia, a mkawt peia ngjän se ui he naw a mneh ami mleh law pet khawi.
22 Ikawa yule maskini alikufa na akachukuliwa na Malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa akazikwa.
“Acunüng, hinkba kyaki, Lazaruh thi se khankhawngsä he naw Abrahama peia ngaw khaia ami cehpüi. Acunüng, mangpa pi thi se k’uta kyaki.
23 Na kule kuzimu alipokua katika mateso aliyainua macho yake akamuona Ibrahimu kwa mbali na Lazaro kifuani mwake. (Hadēs )
“Acunüng, khyang kthikhawa aktäa khuikha lü hang mdeiki naw athuknaka Abraham, a peia Lazaruh ngaw se hmu lü, (Hadēs )
24 Akalia akasema, 'Baba Ibrahimu, nihurumue umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.
‘Aw ka pa Abraham, na m'yeneia. Lazaruh naw a kutmdawngca tui üng hnet lü, ka mlei a ye law sak vaia ka awmnaka tui lawa, hina meikdäi üng khuikha leng leng veng’ ti lü ngpyangki.
25 Lakini Ibrahimu akasema, 'Mwanangu kumbuka ya kwamba katika maisha yako uliyapokea mambo yako mema, na Lazaro vivyo alipata mabaya. Ila sasa yupo hapa anafarijiwa na wewe unaumizwa.
“Acunüng Abraham naw, ‘Ka capa aw, na xün k’um üng akdaw yah lü, acunkba Lazaruh naw am dawki a yah cen süma; cunsepi, atuh ani dim’yenak am ve se, nang khuikha veki,
26 Na zaidi ya hayo, kumewekwa shimo kubwa na refu kati yetu, ili wale wanaotaka kutoka huku kwenda kwenu wasiweze wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.'
acuna thea, hin üngka naw nami veia cit hlüki he am ami cehnak thei vai la upi nangmia awmnak üngka naw keimi veia am ami lawnak thei vaia, mi nglaka nghawinu awmki’ a ti.
27 Yule tajiri akasema, 'Nakuomba Baba Ibrahimu, kwamba umtume nyumbani kwa baba yangu
“Acunüng mangpa naw, ‘Am acunüng, ka pa aw, ka pa ima Lazaruh na tüih vaia hleng ning nghui na veng,
28 kwa kuwa ninao ndugu watano ili awaonye, kwa hofu kwamba wao pia watkuja mahali hapa pa mateso. '
ka hnunpüi kpami mhma awmki, hina khuikhanaka ä law msawk khai hea a jah va mtheh vaia’ a ti.
29 Lakini Ibrahimu akasema, 'Wanao Musa na manabii. Waache wawasikilize wao.
“Acunüng Abraham naw, ‘Mosi la sahma he awmki he, acun hea jah mtheh ngai khai he ni,’ a ti.
30 Yule tajiri akasema, 'hapana, Baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu watatubu.'
“Acunüng, mangpa naw, ‘Ka pa Abraham aw, acunkba am kya, khyang kthi he üngka mat, tho law be lü ngthu a pyen üng ta ami katnak nghlat ta khai he ni,’ a ti.
31 Lakini Ibrahimu akamwambia, 'wasipowasikia Musa na manabii hawatashawishiwa hata mtu akifufuka katika wafu.
“Acunüng Abraham naw, ‘Mosi la sahma hea ngthu am ami ngaih üng, khyang kthi üngka tho law be se pi am kcang na u,’ a ti” a ti.