< Luka 14 >

1 Iltokea siku ya Sabato, alipokua akienda nyumbani kwa mmoja wa viongozi wa Mafarisayo kula mkate, nao walikuwa wakimchunguza kwa karibu.
Aeipumie luhiku lakumukulya, naulongoe munyumba ang'wi ao nuatongeli a Mafarisayo kulya mukate, neenso akumugoza kwa pakupe.
2 Tazama, pale mbele yake alikuwa mtu ambaye anasumbuliwa na uvimbe.
Goza, pantongelakwe aukole muntu nuanso aukagigwa nuuimbwa.
3 Yesu aliuliza wataalam katika sheria ya Wayahudi na Mafarisayo, “Je, ni halali kumponya siku ya Sabato, au sivyo?”
U Yesu wakaakolya eamanyi kupuma milago la Ayahudi ne Mafarisayo, “Ite izane kumukomya umuntu uluhiku lakukulya, anga singauu?”
4 Lakini wao walikuwa kimya, kwahiyo Yesu akamshika, akamponya na kumruhusu aende zake.
Lakini nianso akilagilye ihetwe, kuite u Yesu wakamuamba, wekamukomya wikamulekela alongole yakwe.
5 Naye akawaambia, “Ni nani kati yenu ambaye ana mtoto au ng'ombe anatumbukia kisimani siku ya Sabato hata mvuta nje mara moja?”
Nung'wenso wikamuila, “Nyenyi apaite nukite ung'wana ang'wi ng'ombe wagwila muluze luhiku la kukulya shanga ukumuluta kunzi wapume?”
6 Wao hawakuwa na uwezo wa kutoa jibu kwa mambo haya.
Nianso aeagila anga uhumi wakupumya ulukani kunkani niyanso.
7 Wakati Yesu alipogundua jinsi wale walioalikwa kwamba wamechagua viti vya heshima, akawaambia mfano, akiwaambia,
Imatungo u Yesu nauagundue naile naalekilwe kina asagae intu niyaheshima, akaaila, kupyani akaaila.
8 “Wakati mnapoalikwa na mtu harusini, usiketi katika nafasi za heshima, kwa sababu inawezekana amealikwa mtu ambaye ni wakuheshimiwa zaidi kuliko wewe.
Imatungo nimalekilwe numuntu kuwinga, ukekikie munafasi naheshima, kunsoko iwezekanile walikilwe muntu mungiza nukite heshima kukila uewe.
9 Wakati mtu aliyewaalika ninyi wawili akifika, atakuambia wewe, “mpishe mtu huyu nafasi yako,” na kisha kwa aibu utaanza kuchukua nafasi ya mwisho.
Imatungo umuntu nualekilwe unye nimeabiile angawapike, ukuela uewe, “muhegele uyu enafasi ako” kuite kwa minyala ukonza kuhega nukikie kunyuma.
10 Lakini wewe ukialikwa, nenda ukakae mahali pa mwisho, ili wakati yule aliyekualika akija, aweze kukuambia wewe, `Rafiki, nenda mbele zaidi.” ndipo utakuwa umeheshimika mbele ya wote walioketi pamoja nawe mezani.
Lakini uewe angawalekwe, longola wikie kumwisho ite imatungo angawaza nukualekile, uhumile kuuila uewe, muhumba miane, longola kuntongela kukila.” Kuite ukutula uheshimiwe ntongela aehi neikie palung'wi nuewe pameza.
11 Kwa maana kila ajikwezaye atashushwa, na yeye ajishushae atakwezwa. '
Kundogoilyo uyu nuikulya wisimigwa, nuyu nuisimya wikuligwa.
12 Yesu pia alimwambia mtu aliyemwalika, 'Unapotoa chakula cha mchana au cha jioni, usiwaalike rafiki zako au ndugu zako au jamaa zako au majirani zako matajiri, ili kwamba wao wasije wakakualika wewe ukapata malipo.
U Yesu akamuila umuntu naumalekile, “Nukupumya indya ya mung'wi ang'wi yampende, lakukualeka eahumba eako ang'wi anya ndugo ako ang'wi antu ang'wi anyakisale ako neatajili, ite kunsoko neaenso akekualika uewe upate ilipo.
13 Badala yake, unapofanya sherehe, waalike maskini, vilema, viwete na vipofu,
Kuleka ite, nukuanya isherehe, aaleke eamasikini, ealema, akewete, niapoku,
14 na wewe utabarikiwa, kwa sababu hawawezi kukulipa. Kwa maana utalipwa katika ufufuo wa wenye haki.”
nuewe ukukembetwa, kunsoko shangaakulipa. Kundogoelyo ukulipwa muwioki watai.”
15 Wakati mmoja wa wale walioketi mezani pamoja na Yesu aliposikia hayo, naye akamwambia, “Amebarikiwe yule atakayekula mkate katika Ufalme wa Mungu!”
Imatungo ung'wi ao aewikie mumeza palung'wi nu Yesu naewigule aya, nung'wenso wikaaela, “Ukembetilwe nuanso nuekulya umukute muutemi wang'wi Tunda.
16 Lakini Yesu akamwambia, “Mtu mmoja aliandaa sherehe kubwa, akaalika watu wengi.
Lakini u Yesu wikaaila, “Muntu ung'we auzepilye sherehe nkulu, akaitanga antu eedu.”
17 Wakati sherehe ilipokuwa tayari, alimtuma mtumishi wake kuwaambia wale walioalikwa, `'Njooni, kwa sababu vitu vyote vimekwisha kuwekwa tayari.'
Matungo isherehe naekole tayari, aumutumike umitumi akwe aaele awa naalekilwe, “Pembyi mihi kunsoko iintu yehi ikole tayali.
18 Wote, wakaanza kuomba radhi. Wa kwanza akamwambia mtumishi, 'Nimenunua shamba, lazima niende kuliona. Tafadhali unisamehe.'
Ehi, ekatulalompa radhi. Nuang'wandyo akamuila umitumi, ngoile mugunda, lazima nende nulegoze. Itunu unsamile.
19 Na mwingine akasema, `'Nimenunua jozi tano za ng'ombe, na mimi naenda kuwajaribu. Tafadhali uniwie radhi.'
Numuya wikalunga, Nguile majoki ataano na ng'ombe, nunene niinzu kuagema, itunu unkoelwe.
20 Na mtu mwingine akasema, 'Nimeoa mke, kwa hiyo siwezi kuja.'
Nu muntu mungiza wekalunga, “Ntenile musungu, kuite shanga nzile.”
21 Mtumishi akarudi na kumwambia bwana wake mambo hayo. Yule mwenye nyumba alikasirika akamwambia mtumishi wake, `'Nenda upesi mitaani na katika vichochoro vya mji ukawalete hapa maskini, vilema, vipofu na walemavu.”
Umitumi akasuka akamuila umukulu wakwe emakani nanso. Umukola nyumba wikataka akamuila umitumi wakwe, “Longokaya muisale numukona akisale ualete hapa iamasikini, niakelema, niapoku nawa nialemilwe.”
22 Mtumimishi akasema, `Bwana, hayo uliyoagiza yamekwisha tendeka, na hata sasa bado kuna nafasi.'
Umitumi wikalunga, mkulu aya nazundagiye ehi namituma, ganitungile ga enafasi kele ekole.”
23 Bwana akamwambia mtumishi, 'Nenda katika njia kuu na vichochoro na uwashurutishe watu waingie, ili nyumba yangu ijae.
Mukulu wikamuila umitumi, longola munzila nenkulu uahimize eantu ingiile, ite enyumba ne izule.
24 Kwamaana nawaambia, katika wale walioalikwa wa kwanza hapana atakayeonja sherehe yangu. '
Kundogoelyo kumuila, kuite awa nialekilwe nung'wandyo shangaukuonza esherehe ane.
25 Sasa umati mkubwa walikuwa wanakwenda pamoja naye, naye akageuka na akawaambia,
Ite umati ukulu aealongoe palung'wi nung'wenso, nung'wenso wikapiluka, wikaaila,
26 'Kama mtu akija kwangu naye hamchukii baba yake, mama yake, mke wake, watoto wake, ndugu zake waume na wanawake- ndio, na hata maisha yake pia -hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
Angize muntu wizile kitalane nung'wenso shangaumubipiwe utata akwe, musungu wakwe, anaaakwe, anyandugu akwe, agoha nawa niasungu ee, ga nuwikale wakwe ga shanga ukutula mumanyisigwa wane.
27 Mtu asipochukua msalaba wake na kuja nyuma yangu hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
Umuntu nushanga ukuhola umusalaba wakwe waze kunyuma ane shanga uhumile kutula mumanyisigwa wane.
28 Maana ni nani kati yenu, ambaye anatamani kujenga mnara hataketi kwanza akadirie gharama kwa mahesabu kama ana kile anachohitaji ili kukamilisha hilo?
Kundogoelyo nyenyu ung'wi anyu, nuhumilwe insula akuzenga umunola shanga ukikie hanza wakadilie engalama kumahesabu kina ukite eke nutakile wahu kukamisha nelanso?
29 Vinginevyo, baada ya kuweka msingi na kushindwa kumaliza, wote walioona wataanza kumdhihaki,
Kuite, baada akuika umusingi nukuleng'wa kumala, ehi naineakanza kumugema.
30 wakisema, Mtu huyu alianza kujenga, akawa hana nguvu za kumaliza.'
Akutambula umuntu uyu aewandilye kuzenga, wekatula mugila anga ngulu akumailya.”
31 Au mfalme gani, akitaka kwenda kupigana na mfalme mwingine katika vita, ambae hatakaa chini kwanza na kuchukua ushauri kuhusu kama ataweza, pamoja na watu elfu kumi kupigana na mfalme mwingine anayekuja juu yake na watu elfu ishirini?
Ite mutemike, nutakile kenda kikua nuutemi nuungiza kumbita, shanga uhumile kikie hanza pihe nukuhola imasigo angize uhumile, palung'wi ni antu elfu ikumi kikua nuutemi nuungiza nuukiza migulya akwe neantu elfu ishilini?
32 Na kama sivyo, wakati jeshi la wengine bado liko mbali, hutuma balozi kutaka masharti ya amani.
Kang'wi shangauu, matungo ijeshi nilaangiza kile lekole kule, wetuma momboi kutaka emashariti aamani.
33 Kwa hiyo basi, yeyote kati yenu ambaye hataacha vyote alivyo navyo, hawezi kuwa mwanafunzi wangu.
Kuite gwa, wehi ung'wi ao neshanga ukuleka ehi nanso nukete, shanga uhumile kutula mumanyisigwa ane.
34 Chumvi ni nzuri, lakini ikiwa Chumvi imepoteza ladha yake, jinsi gani inaweza kuwa chumvi tena?
Umunyu uza, lakini anga umunyu angaulimilye lauha akwe, ikutula ule utule munyu hange?
35 Haina matumizi kwa udongo au hata kwa mbolea. hutupwa mbali. Yeye aliye na masikio ya kusikia, na asikie.”
Ngila anga matumizi muudogo hata mumbolea uyu nakite iakutwe ahija nuije.”

< Luka 14 >