< Luka 13 >

1 Kwa wakataihuo huo, kulikuwa na baadhi watu waliomtaarifu juu ya Wagalilaya ambao Pilato aliwaua na kuchanganya damu yao na sadaka zao.
Ma lâiahan mi senkhatngei an oma, ha ngei han Galilee mingei Pathien kôma an inbôl lâia Pilat'n, mi a that thurchi Jisua an rila.
2 Yesu akajibu na kuwaambia, “Je mwadhani kuwa Wagalilaya hao walikuwa na dhambi kuliko Wagalilaya wengine wote ndiyo maana wamepatwa na mabaya hayo?
Jisua'n a thuona, “Ha anga, ithata an om hah Galilee rama midang ngei nêkin a nunsie uolin nin mindon mo?”
3 Hapana, nawaambia, lakini msipotubu, nanyi mtaangamia vivyo hivyo.
“Ni tet mak! Nangni ki ril, nangni khom nin sietna nin insîr nônchu, anni ngei angin nin thi var rang.
4 Au wale watu kumi na nane katika Siloamu ambao mnara ulianguka na kuwaua, mnafikiri wao walikuwa wenye dhambi zaidi kuliko watu wengine katika Yerusalemu?
Mi sômleiriet ngei Siloam in insâng achima athi ngei hah Jerusalema midang ngei murdi nêkin an saloi uolin nin be mo?
5 Hapana, mimi nasema, lakini kama msipotubu, ninyi nyote pia mtaangamia.
Ni tet mak! Nangni ki ril nin sietna nin insîr nônchu anni ngei anghan thîng nin tih,” a tia.
6 Yesu aliwaambia mfano huu, “Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake na alikwenda kutafuta matunda juu yake lakini hakupata.
Hanchu, Jisua'n hi chongmintêk hih a misîra, “Mi inkhatin a grape ruhuona theichang kung a linga. A mara a juong ena man maka.
7 Akamwambia mtunza bustani, 'Tazama, kwa miaka mitatu nimekuja na kujaribu kutafuta matunda kwenye mtini huu lakini sikupata. Uukate. Kwani ulete uharibifu wa ardhi?
Hanchu, ruhuon enkolpu kôma, ‘En roh, kumthum piel hih hi theichang kunga hin amara ku juong roka, inkhat luo man mu-ung.’ Phûrpai roh, ithomo mun ai luo tit ranga,” a tia.
8 Mtunza bustani akajibu na kusema, 'uache mwaka huu ili niupalilie na kuweka mbolea juu yake.
Ania ruhuon enkolpu han, “O pu, kumkhat mamang la om hi rese, a revêl tuk ka ta, a urna rangin vur ki tih.
9 Kama ukizaa matunda mwaka ujao, ni vema; lakini kama hautazaa, uukate!”'
Nakuma ânrân chu sa ok a ta, ânra nôn chu phûrpai roh” tiin a thuona.
10 Sasa Yesu alikuwa akifundisha katika mojawapo ya Masinagogi wakati wa Sabato.
Sabathni voikhat chu Jisua'n, synagog ina a minchua.
11 Tazama, alikuwepo mama mmoja ambaye kwa miaka kumi na minane alikuwa na rohomchafu wa udhaifu, na yeye alikuwa amepinda na hana uwezo kabisa wa kusimama.
Ramkhori sûr nupang inkhat kum sômleiriet damloi a oma, inkona injîk thei loi ani.
12 Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umewekwa huru kutoka kwenye udhaifu wako.”
Hanchu, Jisua'n a mûn chu a koia, “Nuvengtenu na natna renga no jôk zoi” a tipea.
13 Akaweka mikono yake juu yake, na mara mwili wake akajinyoosha na akamtukuza Mungu.
A chunga a kut a minngama, harenghan ân jîkzata, Pathien a minpâk zoi.
14 Lakini mkuu wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo mtawala akajibu akawambia makutano, “Kuna siku sita ambazo ni lazima kufanya kazi. Njoni kuponywa basi, si katika siku ya Sabato. '
Hanchu, Jisua'n Sabathnîn mi a mindam sikin synagog taka ulienpu a ning a thika, mipui ngei kôma, “Sûnruk sin ei thona rang a om, ha nia han hong ungla dam roi, Sabathnîn chu ni no rese” a tia.
15 Bwana akamjibu na akasema, “wanafiki! Hakuna kila mmoja wenu kufungua punda wako au ng'ombe kutoka zizini na kuwaongoza kumpeleka kunywa siku ya Sabato?
Pumapa'n a thuona, “Nangni, asarotholngei, nin serâtchal mo, nin sakuording mo, Sabathnin sûntin tui min nêk rangin nin tuong ngâi ni mak mo?
16 Hivyo pia binti wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga kwa miaka kumi na minane, je haikumpasa kifungo chake kisifunguliwe siku ya sabato?”
Hi nupang, Abraham jâisuon, kum sômleiriet, satanin ai khit hih, Sabathnin min jôk rang ni mak mo?” a tia.
17 Alipokuwa akisema maneno hayo, wale wote waliompinga waliona aibu, bali makutano wote wa wengine walishangilia kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyotenda.
A chongthuon han a râlngei mâimôk an tonga, mipui lakin a sininkhêl sin sikin an râisâna.
18 Yesu akasema, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini, na naweza kuulinganisha na nini?
Jisua'n a rekela, “Pathien Rêngram hih imo ai ang? Ileh mo ki mintêk rang?
19 Ni kama mbegu ya haradari aliyoitwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake, na ikamea ikawa mti mkubwa, na ndege wa mbinguni wakajenga viota vyao katika matawi yake.
Ancham ru, mi inkhatin a lâka loilâia a tua. A kung ahonn insôna, thingkung ahong changa, a machangngeia han vangeiin rubu an phan anghan ani” a tia.
20 Tena akasema, “Niufananishe na nini ufalme wa Mungu?
Jisua'n a rekel nôka, “Ileh mo Pathien Rêngram ki mintêk rang ani zoi?
21 Ni kama chachu ambayo mwanamke aliichukua na kuchanganyakwenye vipimo vitatu vya unga hata ukaumuka.”
Nupang inkhat chol a lâka, vâipôl, liter sômminli leh a minpola athoi mâka tâidôna ai bil angha ani” a tia.
22 Yesu alitembelea kila mji na kijiji njiani akielekea Yerusalemu na kuwafundisha.
Jisua'n Jerusalema a se malamin, khopuingei le khuotengeia mi a minchu ngeia.
23 Mtu mmoja akauliza, “Bwana, ni watu wachache tu watakaookolewa?” Hivyo akawaambia,
Tumakhatin, O pu, mi tômte vai mo sanminjôka om rang? tiin a rekela.
24 “Jitahidi kuingia kwa kupitia mlango mwembamba, kwa sababu wengi watajaribu na hawataweza kuingia.
Jisua'n a thuona, “Inkot in-epa lût rang ranak song roi, mi tamtakin bôk an ta chu lût thei no ni ngei.
25 Mara baada ya mmiliki wa nyumba kusimama na kufunga mlango, basi mtasimama nje na kupiga hodi mlangoni na kusema, Bwana, Bwana, tufungulie yeye atajibu na kuwaambia, siwajui ninyi wala mtokako.'
A in pumapa ânthoia inkhâr akal suole chu, pêntieng indingin inkhâr tôk nin ta, ‘A pumapa, inkhâr mi mo-ong pe roh’ tîng nin ta, ama lakin, ‘Khotienga mi mo nin ni, nangni riet mu-ung, ko kôm renga rotpai roi,’ nangni tîng a tih.
26 Ndipo mtasema, Tulikula na kunywa mbele yako na wewe ulifundisha katika mitaa yetu.”
Maleh, nangnin, munkhatin ei sâka, ei nêka, kin khopuia khom mi ni minchu ngâi duo! la tîng nin tih.”
27 Lakini yeye atawajibu, `nawaambia, siwajui mtokako, ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!'
Nikhomrese, ama han, “Khotienga mi mo nin ni, nangni riet ngâi mu-ung, Ko kôm renga rotpai roi, mipuoloi ngei nangni ti nôk a tih.”
28 Kutakuwa na kilio na kusaga meno wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka, Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mumetupwa nje.
“Ipaia nin om tikin chu chapin, hâ riel nin ta, Abraham ngei Isaac ngei, Jokob ngei le dêipungei murdi chu Pathien Rêngrama omin mûng nin tih.
29 Watafika kutoka Mashariki, Magharibi, Kaskazini na Kusini, na kupumzika katika meza ya chakula cha jioni katika ufalme wa Mungu.
Mingei sak le thang, sim le mâr renga hongin Pathien Rêngram ruolhoia insung an tih.
30 Na tambua hili, wa mwisho ni wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho.”
Hanchu atûna nûktak ânta ngei khom hih motontak la nîng an ta, motontak ngei khom nûktak la nîng an tih,” a tia.
31 Muda mfupi baadaye, baadhi ya Mafarisayo walikuja na kumwambia, “Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua.”
Ha lâitaka han, Pharisee senkhat an honga, Jisua kôma, “Jôk inla hi mun renga hih mun danga rot ta roh, Herod'n nang that rang ai ti kêng,” an tipea.
32 Yesu akasema, “Nendeni mkamwambie yule mbweha, `Tazama, ninawafukuza pepo na kufanya uponyaji leo na kesho, na siku ya tatu nitatimiza lengo langu.
Jisua'n, “Se ungla ha sial hah varil roi, avien, nangtûk ramkhori rujûlpai ka ta, a sûnthum nîn ki sin zoi ki tih.”
33 Katika hali yoyote, ni muhimu kwa ajili yangu kuendelea leo, kesho, na siku iliyofuata, kwa vile haikubaliki kumuua nabii mbali na Yerusalemu.
Ikhomnisenla, avien, nangtûk, hatûk ke se tit rang ani, Jerusalem pêntieng dêipu that ngâi ni mak an tia.
34 Yerusalemu, Yerusalemu, nani anawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu. Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wenu kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake, lakini humkulitaka hili.
“O, Jerusalem, Jerusalem! Dêipungei thatpu, no kôma Pathien'n a hongtîr ngei lung leh dêng thatpu, ârpuinûn a mantha nuoia ate ngei ai op ngâi anghan, voizet mo nang opbûm rang ko bôk zoi, ania nuom mak che.
35 Tazama, nyumba yako imetelekezwa. Nami nawaambia, hamuwezi kuniona hata mtakaposema 'Amebarikiwa huyo ajaye kwa jina la Bwana.'”
Masikin, Pumapa riminga hong chu ‘Pathien'n satvur rese’ nin ti mâka chu nin Biekin ram a ta, ni mu nôk khâi no tunui,” a tia.

< Luka 13 >