< Luka 13 >

1 Kwa wakataihuo huo, kulikuwa na baadhi watu waliomtaarifu juu ya Wagalilaya ambao Pilato aliwaua na kuchanganya damu yao na sadaka zao.
Na wakati ou na ou, bhahali abhantu bhabhabholele enongwa eya Bhagalilaya bhala ambabho oPilato asangenye idanda lyabho na dhabihu zyabho.
2 Yesu akajibu na kuwaambia, “Je mwadhani kuwa Wagalilaya hao walikuwa na dhambi kuliko Wagalilaya wengine wote ndiyo maana wamepatwa na mabaya hayo?
Wabhagagula wabhabhola, “Eshi msebhe eyaje Agalilaya ebho bhali bhabhibhi ashile Agalilaya wonti hata gabhajile amambo ego gonti?
3 Hapana, nawaambia, lakini msipotubu, nanyi mtaangamia vivyo hivyo.
Embabhola, siyo, lelo nkashile semlamba amwe mwenti mwaitega shesho.
4 Au wale watu kumi na nane katika Siloamu ambao mnara ulianguka na kuwaua, mnafikiri wao walikuwa wenye dhambi zaidi kuliko watu wengine katika Yerusalemu?
Au bhala kumi na nane bhabhagwelewe no mnara ohwo hu Siloamu wabhagojile msebha eye je abhahale ali bhakosaji ashile abhantu bhonti bhabhakheyee hu Yerusalemu?
5 Hapana, mimi nasema, lakini kama msipotubu, ninyi nyote pia mtaangamia.
Embabhola, siyo lelo nkashile semlamba amwe mwenti mwaitega shesho.
6 Yesu aliwaambia mfano huu, “Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake na alikwenda kutafuta matunda juu yake lakini hakupata.
Wayanga ofwano ogu, “Omuntu omo ali nikwi lyatotilwe mgonda gwakwe elya mizabibu wabhala awanze amadondo juu yakwe sewa gaga.
7 Akamwambia mtunza bustani, 'Tazama, kwa miaka mitatu nimekuja na kujaribu kutafuta matunda kwenye mtini huu lakini sikupata. Uukate. Kwani ulete uharibifu wa ardhi?
Wabhola omtunzaji owe gonda elye mazabibu enya amaha gatatu ega nenza ahwanze amadondo juu ye yikwi eli. Senahajile ahantu. Oudumre mbona hata ensi enachicha?
8 Mtunza bustani akajibu na kusema, 'uache mwaka huu ili niupalilie na kuweka mbolea juu yake.
Wagalula wabhola ogosi oureshe omwaha ogu gwape, 'hata egufugutile enguponyezye eburi.
9 Kama ukizaa matunda mwaka ujao, ni vema; lakini kama hautazaa, uukate!”'
Lyape ugapapa amadodo pamande, shinza; nkashile sewaipapa ndipo odumraje!”'
10 Sasa Yesu alikuwa akifundisha katika mojawapo ya Masinagogi wakati wa Sabato.
Isiku elya tozye ali asambelezya msjiabhanza eshamwabho.
11 Tazama, alikuwepo mama mmoja ambaye kwa miaka kumi na minane alikuwa na rohomchafu wa udhaifu, na yeye alikuwa amepinda na hana uwezo kabisa wa kusimama.
Na enya, pali noshe yali ni pepo lye udhaifu omda ogwe maha kumi naminane wape agolombene sawezizye ahwigolozye tee.
12 Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umewekwa huru kutoka kwenye udhaifu wako.”
O Yesu nawalola akwizizye, wabholo, Maye, oyauliwe katika oudhaifu waho.”
13 Akaweka mikono yake juu yake, na mara mwili wake akajinyoosha na akamtukuza Mungu.
Wabheha amakhono gakwe juu yakwe wape wagoroha pepo watukuzya Ongolobhe.
14 Lakini mkuu wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo mtawala akajibu akawambia makutano, “Kuna siku sita ambazo ni lazima kufanya kazi. Njoni kuponywa basi, si katika siku ya Sabato. '
Eshi ogosi oweshibhanza avitilwe afwanaje oYesu aponizye omntu isiku elyatozye agalura wabhobhola mabongano zihweli esiku sita zyazihwaziwa abhombe embombo. Basi enzaji mponywe msiku ezyo wala siyo mnsiku ezyatoye.
15 Bwana akamjibu na akasema, “wanafiki! Hakuna kila mmoja wenu kufungua punda wako au ng'ombe kutoka zizini na kuwaongoza kumpeleka kunywa siku ya Sabato?
Lelo Ogosi wagalula wayanga amwe, “wanafiki! Shila omo wenyu je sahwigulika eng'ombe yakwe isiku elyatoye mwigoma abhale nayo amwelezye?
16 Hivyo pia binti wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga kwa miaka kumi na minane, je haikumpasa kifungo chake kisifunguliwe siku ya sabato?”
Vono oshe yali shikholo sha Ibulahimu, ambaye oshetani apinyile amaha kumi na minane ega, sehwanziwa aje ayaulwe evifungo evi isiku elya toye?”
17 Alipokuwa akisema maneno hayo, wale wote waliompinga waliona aibu, bali makutano wote wa wengine walishangilia kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyotenda.
Nawayanga ego bhasauhana wonti bhadalihanaga nabho amabongano wonti bha shimo afwanaje eye mambo aminza gagabhombeshe no mwehale.
18 Yesu akasema, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini, na naweza kuulinganisha na nini?
Esho ayanjile oumwene owa Ngolobhe ulengene ne yenu, nane embulenganisye ne yenu?
19 Ni kama mbegu ya haradari aliyoitwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake, na ikamea ikawa mti mkubwa, na ndege wa mbinguni wakajenga viota vyao katika matawi yake.
Ulengane ne punje eye haradali yayejile omntu wasasa mgonda gakwe yamela yabha likwii enyonyi ezya mwanya zakhala msamba zyakwe.
20 Tena akasema, “Niufananishe na nini ufalme wa Mungu?
Wayanga olya bhele engulenganisye neyenu oumwene owa Ngolobhe?
21 Ni kama chachu ambayo mwanamke aliichukua na kuchanganyakwenye vipimo vitatu vya unga hata ukaumuka.”
Ulengane ne chachu yahejile oshe wayifisa mhati eye pishi zitatu ezye usu hatgwasapa gwonti nantele.”
22 Yesu alitembelea kila mji na kijiji njiani akielekea Yerusalemu na kuwafundisha.
Wope ali shila mmaboma nu mvijiji asambelezya esafari yakwe eyabhale hu Yerusalemu.
23 Mtu mmoja akauliza, “Bwana, ni watu wachache tu watakaookolewa?” Hivyo akawaambia,
Omntu omo wabhozya eshi, “Gosi, abhantu bhabhahwaulwa bhadodo?” Wabhola,
24 “Jitahidi kuingia kwa kupitia mlango mwembamba, kwa sababu wengi watajaribu na hawataweza kuingia.
“Hwitahidi ahwinjile mlyango gula onyela, afanaje embabhola eyaje abhinji bhayanza ahwinjile bhayipotwa.
25 Mara baada ya mmiliki wa nyumba kusimama na kufunga mlango, basi mtasimama nje na kupiga hodi mlangoni na kusema, Bwana, Bwana, tufungulie yeye atajibu na kuwaambia, siwajui ninyi wala mtokako.'
Wakati omwanesho nyumba nayemelela na galile olyango namwe mwayanda ahwemelele hwonze nakhome ehodi palyango, na yanje ee Gosi, tigulile omwahale abhagalule na bhabhole sembamenye hwamufuma.'
26 Ndipo mtasema, Tulikula na kunywa mbele yako na wewe ulifundisha katika mitaa yetu.”
Esho mwayanda ayanje, Taliye na mweele hwitagalile lyaho nawe wasambelezyezye idala elyetu.”
27 Lakini yeye atawajibu, `nawaambia, siwajui mtokako, ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!'
Wape abhayanje embabhola, `sembamenye hwamfumele sogalaji hwiline amwe mwenti mwemuli bhabhomba!'
28 Kutakuwa na kilio na kusaga meno wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka, Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mumetupwa nje.
Esho shashabha shililo nasye amino namwanyihulo oIbulahimu no Isaka, no Yakobo na khakuwa wonti abhe umwene owa Ngolobhe namwe mwemwe mponyezyewe hwonze.
29 Watafika kutoka Mashariki, Magharibi, Kaskazini na Kusini, na kupumzika katika meza ya chakula cha jioni katika ufalme wa Mungu.
Wope bhayenza abhantu afume hu Mashariki, na hu Magharibi, nafume hu Kaskazini na hu Kusini, wape bhayikhara pashalye pa umwene owa Ngolobhe.
30 Na tambua hili, wa mwisho ni wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho.”
Na enya, wahweli bhali bhamwisho bhayibha bhahwanda na abha hwanda bhayibha bha mwisho.”
31 Muda mfupi baadaye, baadhi ya Mafarisayo walikuja na kumwambia, “Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua.”
Esaa yeyo Amafarisayo bhamo bhamo bhabhariye, “Bhabhola fuma epe, obhale pamwabho, afwanaje oHerode ahwanza hugoje.”
32 Yesu akasema, “Nendeni mkamwambie yule mbweha, `Tazama, ninawafukuza pepo na kufanya uponyaji leo na kesho, na siku ya tatu nitatimiza lengo langu.
Wabhabhola, “Bhalaji mbhore ola ombela, `Enya, sanyono na sandabho efumila epepo na ponye empongo, isiku elyatatu ekamiliha.
33 Katika hali yoyote, ni muhimu kwa ajili yangu kuendelea leo, kesho, na siku iliyofuata, kwa vile haikubaliki kumuua nabii mbali na Yerusalemu.
Pandwemo nego enanziwe akhate idala lyane sanyono na shendabho na renda sandabho, afwanaje sehwaziwa aje okuwa atejele hwonze eye Yerusalemu.
34 Yerusalemu, Yerusalemu, nani anawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu. Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wenu kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake, lakini humkulitaka hili.
Ee Yerusalemu, u Yerusalemu, wogoga abhakuwa na bhakhome na mawe bhabhasontezyewe, mara halenga enanzile abhabhonganye abhana bhaho nenshe shila ekuku nebhoganya evyana vyakwe pansi eya mapiho gakwe, wala semwahanzile.
35 Tazama, nyumba yako imetelekezwa. Nami nawaambia, hamuwezi kuniona hata mtakaposema 'Amebarikiwa huyo ajaye kwa jina la Bwana.'”
Enyaji, mreshewe enyumba yenyu. Nane embabhola, se mwailondola nante na mwaha, hata namwayiyanga asalwe yalwenza hwitawa elya Gosi.”

< Luka 13 >