< Luka 13 >

1 Kwa wakataihuo huo, kulikuwa na baadhi watu waliomtaarifu juu ya Wagalilaya ambao Pilato aliwaua na kuchanganya damu yao na sadaka zao.
Amo esoga, dunu esafulu da Yesuma sia: olelei. Ga: lili dunu da Godema gobele salasu hou hamonanoba, Bailade da amo dunu huluane medole legele, ilia maga: me amo gobele salasu liligi amoma gilisi.
2 Yesu akajibu na kuwaambia, “Je mwadhani kuwa Wagalilaya hao walikuwa na dhambi kuliko Wagalilaya wengine wote ndiyo maana wamepatwa na mabaya hayo?
Yesu da ilima amane adole ba: i, “Amo Ga: lili dunu da agoane bogobeba: le, dili adi dawa: bela: ? Ilia Ga: lili dunu eno ilia wadela: i hou baligiba: le bogobela: ?
3 Hapana, nawaambia, lakini msipotubu, nanyi mtaangamia vivyo hivyo.
Hame mabu! Na dilima sia: sa. Dilia wadela: i hou hame yolesisia, dilia amola da agoanewane bogomu.
4 Au wale watu kumi na nane katika Siloamu ambao mnara ulianguka na kuwaua, mnafikiri wao walikuwa wenye dhambi zaidi kuliko watu wengine katika Yerusalemu?
Eno da Siloua: me diasu gado gagagula heda: i amo mugululi sa: ili, dunu 18 agoane fane, bogogia: i. Dilia adi dawa: bela: ? Ilia wadela: i hou da Yelusaleme dunu eno huluane ilia wadela: i hou baligiba: le, bogobela: ?
5 Hapana, mimi nasema, lakini kama msipotubu, ninyi nyote pia mtaangamia.
Hame mabu! Be Na da dilima sia: sa. Dilia wadela: i hou hame fisiagasea, dilia amola da agoanewane bogomu.”
6 Yesu aliwaambia mfano huu, “Mtu mmoja alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake na alikwenda kutafuta matunda juu yake lakini hakupata.
Amalalu, Yesu da ilima fedege sia: olelei, “Eso afaega dunu afae da ea ifabi ganodini figi ifa bugi dialu. E da amoga fage legei hogola asi, be hamedafa ba: i.
7 Akamwambia mtunza bustani, 'Tazama, kwa miaka mitatu nimekuja na kujaribu kutafuta matunda kwenye mtini huu lakini sikupata. Uukate. Kwani ulete uharibifu wa ardhi?
Amaiba: le, e da ea ifabi ouligisu dunuma amane sia: i ‘Waiye! Na da ode udiana ganodini figi ifa amo fage legebayale hogole ba: loba, hamedei galu. Amo ifa abima! E da udigili bugi dialumu da defea hame galebe!’
8 Mtunza bustani akajibu na kusema, 'uache mwaka huu ili niupalilie na kuweka mbolea juu yake.
Be ifabi ouligisu dunu da bu adole i, ‘Ode afadafa eno fawane yolele, amo ifa da lelumu da defea. Na da osobo dogone gagala: le, bulamagau iga legemu.
9 Kama ukizaa matunda mwaka ujao, ni vema; lakini kama hautazaa, uukate!”'
Amasea, amo ifa da ode enoga fage legesea, defea, yolema. Be hame legesea, defea, abima!’
10 Sasa Yesu alikuwa akifundisha katika mojawapo ya Masinagogi wakati wa Sabato.
Sa: bade eso afaega, Yesu da sinagoge diasu ganodini sia: olelelalu.
11 Tazama, alikuwepo mama mmoja ambaye kwa miaka kumi na minane alikuwa na rohomchafu wa udhaifu, na yeye alikuwa amepinda na hana uwezo kabisa wa kusimama.
Uda afadafa esalu, amo ea dogo ganodini Fio liligi aligila sa: iba: le, e da ode 18 agoane oloi galu. E da: i selefagala: le, bu molomu hamedei ba: i.
12 Yesu alipomwona, alimwita, akamwambia, “Mama, umewekwa huru kutoka kwenye udhaifu wako.”
Yesu da amo uda ba: beba: le, Ema misa: ne sia: nanu, bu amane sia: i, “Uda! Dia oloi da uhi dagoi.”
13 Akaweka mikono yake juu yake, na mara mwili wake akajinyoosha na akamtukuza Mungu.
Yesu da Ea lobo amo uda ea da: iga ligisili, uda da bu molole, Godema nodone sia: i.
14 Lakini mkuu wa sinagogi alikasirika kwa sababu Yesu alikuwa amemponya siku ya Sabato. Hivyo mtawala akajibu akawambia makutano, “Kuna siku sita ambazo ni lazima kufanya kazi. Njoni kuponywa basi, si katika siku ya Sabato. '
Be Yesu da Sa: bade esoga uhisu hou hamobeba: le, sinagoge ouligisu dunu da dunu esafulubi ilima amane sia: i, “Hawa: hamosu eso hi ganodini da gafeyale fawane. Amo esoga uhinisimusa: misa: Be Sa: bade esoga mae misa!”
15 Bwana akamjibu na akasema, “wanafiki! Hakuna kila mmoja wenu kufungua punda wako au ng'ombe kutoka zizini na kuwaongoza kumpeleka kunywa siku ya Sabato?
Yesu da ema bu adole i, “Dilia ogogosu dunu! Sa: bade esoga dilia bulamagau o dougi diasu ganodini lefulubi, dilia da ea la: gi fadegale, hano moma: ne oule ahoa.
16 Hivyo pia binti wa Abrahamu, ambaye Shetani amemfunga kwa miaka kumi na minane, je haikumpasa kifungo chake kisifunguliwe siku ya sabato?”
Be A: ibalaha: me idiwi waha esala, e da ode 18 agoane Sa: ida: nema la: gi dagoi. Amaiba: le, ea la: gi Sa: bade esoga abuliba: le hame fadegale fasima: bela: ?”
17 Alipokuwa akisema maneno hayo, wale wote waliompinga waliona aibu, bali makutano wote wa wengine walishangilia kwa ajili ya mambo ya ajabu aliyotenda.
Amo sia: sia: beba: le, Ema ha lai dunu huluane bagadewane gogosia: i. Be eno dunu huluane, Ea hadigi hou hamoi ba: loba, hahawane nodone sia: i.
18 Yesu akasema, “Ufalme wa Mungu unafanana na nini, na naweza kuulinganisha na nini?
Yesu E amane sia: i, “Gode Ea Hinadafa Hou da habodaila: ? Amo hou olelemusa: , Na da adi fedege sia: olelema: bela: ?
19 Ni kama mbegu ya haradari aliyoitwaa mtu mmoja na kuipanda shambani mwake, na ikamea ikawa mti mkubwa, na ndege wa mbinguni wakajenga viota vyao katika matawi yake.
Gode Ea Hinadafa Hou da agoane diala. Dunu da masada hawa: lale, ea ha: i manu bugisu soge ganodini bugisa. Masada da heda: le, ifa agoane alebeba: le, sio fi da ea amodaga bibisa.”
20 Tena akasema, “Niufananishe na nini ufalme wa Mungu?
Yesu da eno adole ba: i, “Gode Ea Hinadafa Hou olelemusa: , Na da adi fedege sia: olelema: bela: ?
21 Ni kama chachu ambayo mwanamke aliichukua na kuchanganyakwenye vipimo vitatu vya unga hata ukaumuka.”
Gode Ea Hinadafa Hou da agoane diala. Uda da falaua 40 lida agoane, amo ganodini yisidila biogosa. Yisidi da falaua amo ganodini fodobeba: le, ga: gi da bagadewane alesa.”
22 Yesu alitembelea kila mji na kijiji njiani akielekea Yerusalemu na kuwafundisha.
Yesu da asili, moilai eno fonobahadi amola eno bagade amoga doaga: le, sia: olelelalu, asili, Yelusaleme moilai bai bagadega doaga: musa: ahoanu.
23 Mtu mmoja akauliza, “Bwana, ni watu wachache tu watakaookolewa?” Hivyo akawaambia,
Dunu afae da Yesuma amane adole ba: i, “Hina! Dunu bagahame fawane da dia gaga: su hou ba: ma: bela: ?”
24 “Jitahidi kuingia kwa kupitia mlango mwembamba, kwa sababu wengi watajaribu na hawataweza kuingia.
Yesu E bu adole i, “Logo holei fonobahadi amoga golili dasu logo hogoi helema. Dunu bagohame da amo ganodini golili sa: imusa: dawa: sea, hamedei ba: mu.
25 Mara baada ya mmiliki wa nyumba kusimama na kufunga mlango, basi mtasimama nje na kupiga hodi mlangoni na kusema, Bwana, Bwana, tufungulie yeye atajibu na kuwaambia, siwajui ninyi wala mtokako.'
Diasu Hina da wa: legadole, logo ga: simu. Amasea, dilia da gadili leluwane logoga lulufigili agoane sia: mu, ‘Hina! Ninia misa: ne, logo doasima!’ Be E da bu adole imunu, ‘Dilia da habidili misibela: ? Na da dili hame dawa:’
26 Ndipo mtasema, Tulikula na kunywa mbele yako na wewe ulifundisha katika mitaa yetu.”
Amasea, dilia da amane sia: mu, ‘Di amola ninia gilisili ha: i amola hano nasu. Dia da ninia moilaiga sia: olelei!’
27 Lakini yeye atawajibu, `nawaambia, siwajui mtokako, ondokeni kwangu, ninyi watenda maovu!'
Be E da bu eno sia: mu, ‘Dilia amola dilia misi soge Na da hame dawa: Wadela: i hou hamosu dunu huluane! Dilia masa!’
28 Kutakuwa na kilio na kusaga meno wakati mtakapowaona Abrahamu, Isaka, Yakobo na manabii wote katika ufalme wa Mungu, lakini ninyi wenyewe mumetupwa nje.
A: ibalaha: me, Aisage, Ya: igobe amola balofede dunu huluane, ilia Gode Ea Hinadafa Hou ganodini esalebe, be dilia da gadili ha: digi dagoi ba: mu. Amo hou ba: sea, dilia da bese ini dinanumu.
29 Watafika kutoka Mashariki, Magharibi, Kaskazini na Kusini, na kupumzika katika meza ya chakula cha jioni katika ufalme wa Mungu.
Dunu da gusugoe amola guma: goe amola gagoe (south) amola gagoe, (north) amoga misini, ilia Gode Ea Hinadafa Hou lolo Nasu amoga hahawane fimu.
30 Na tambua hili, wa mwisho ni wa kwanza na wa kwanza atakuwa wa mwisho.”
Amasea, mogili waha fa: no agoane mabe dunu da bisili doaga: mu, amola eno mogili waha bisili mabe da fa: no doaga: mu.”
31 Muda mfupi baadaye, baadhi ya Mafarisayo walikuja na kumwambia, “Nenda na ondoka hapa kwa sababu Herode anataka kukuua.”
Amogala, Fa: lisi dunu Yesuma doaga: le, amane sia: i, “Helode da Di medole legemu hanaiba: le, Di hobea: le eno sogega masunu da defea.”
32 Yesu akasema, “Nendeni mkamwambie yule mbweha, `Tazama, ninawafukuza pepo na kufanya uponyaji leo na kesho, na siku ya tatu nitatimiza lengo langu.
Be Yesu da bu adole i, “Amo fogisi olelema, ‘Na da wali amola aya, Fio a: silibu fadegalala amola oloi uhinisilala. Gasida Na da Na hawa: hamosu dagomu.
33 Katika hali yoyote, ni muhimu kwa ajili yangu kuendelea leo, kesho, na siku iliyofuata, kwa vile haikubaliki kumuua nabii mbali na Yerusalemu.
Be wali amola aya amola gasida, Na da hawa: hamomu. Bai balofede dunu da eno moilaiga bogomu da defea hame. E da Yelusaleme moilai bai bagadega fawane bogomu da defea.
34 Yerusalemu, Yerusalemu, nani anawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwenu. Mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wenu kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mbawa zake, lakini humkulitaka hili.
Yelusaleme fi! Yelusaleme fi! Dilia da balofede dunu medole lelegesa. Dilia da dilima asunasi dunu igiga medole lelegesa. Na da eso bagohame, gagala da ea mano hina: ougiaha gilisibi, amo defele dili gaga: ma: ne gilisimu hanai galu. Be dilia higa: i.
35 Tazama, nyumba yako imetelekezwa. Nami nawaambia, hamuwezi kuniona hata mtakaposema 'Amebarikiwa huyo ajaye kwa jina la Bwana.'”
Amaiba: le, Gode da dilia Debolo Diasu yolesimu. Amola dilia Na mae ba: le galeawane amoganini dilia amane sia: sa, “Gode da Hina Gode Ea Dioba: le mabe dunu hahawane dogolegemu da defea!”

< Luka 13 >