< Luka 12 >

1 Kwa wakati huo, maelfu mengi ya watu walikusanyika pamoja, kiasi cha kuanza kukanyagana, akaanza kusema na wanafunzi wake kwanza, “Jihadharini na chachu ya Mafarisayo ambayo ni unafiki”
Wakati owo amabungano nabhatangene elfu elfu hata bhakhanyanaga, ahandile abhabhole asambe leziwa bhakwe nantele, “Hwilindi ne chachu eya Mafarisayo ambayo unafiki.”
2 Na hapatakuwepo na siri iliyofichika ambayo haitafunuliwa, wala jambo lililofichwa ambalo halitajulikana.
Lelo nalimo izu lyalifisishe lyasalyaibhonaha wala lyalifisilye lyaselyayi julihana. Eshi gagonti gamuyanjile hunkisi gabhahwovwehwe pawelele.
3 Na lolote mlilolisema katika giza, litasikiwa katika mwanga. Na yoyote mliyoyasema kwenye sikio ndani ya vyumba vyenu vya ndani vilivyofungwa yatatangazwa juu ya paa la nyumba.
Na gamuyanjile mmakutu mwa bhantu katika mpanda ezya mhati gayitu mbele wa pamwanya eye golu.
4 Nawaambieni rafiki zangu, msiwaogope wale wauao mwili na kisha hawana kitu kingine cha kufanya,
Nane ambabhola amwa rafiki bhane, mgaje bhaogapa ebho bhabhagoga oele afwanaje baada eyeso sebhanowezo abhombe zaidi.
5 Lakini nitawaonya mtakaye mwogopa. Mwogopeni yule ambaye baada ya kuwa ameua, ana mamlaka ya kutupa jehanamu. Ndiyo, nawaambiani ninyi, mwogopeni huyo. (Geenna g1067)
Lelo embabhasunda owahumwogope. Mwogopaji ola ambaye nkashele wagoga omntu anakwezo huponye hujehanamu. Antele embabhola mwogapaji oyo. (Geenna g1067)
6 Je shomoro watano hawauzwi kwa sarafu mbili? hata hivyo hakuna hata mmoja wao atakayesahaulika mbele za Mungu.
Nkashe mshomolo gasanu segakatiwa husenti zibhele? Wala sebhahwewehwa hata om hwitagalila elya Ngolobhe.
7 Lakini mjue kuwa, nywele za vichwa vyenu vimehesabiwa. Msiogope. Ninyi ni wa thamani kubwa kuliko shomoro wengi.
Lelo hata lisisi eya mwi atwa genyu zibhaziwe zyonti, mganje ahwa gape esho. Nafu amwe ashile amashomolo gaminji.
8 Ninawaambia, yeyote atakayenikiri Mimi mbele za watu, Mwana wa Adamu atamkiri mbele za malaika wa Mungu.
Nane embabhola, nkashele yayineteha hwitagalile elya bhantu, omwana owa Adamu wapa ayihumweteha hwitagalila elya malaika owa Ngolobhe.
9 Lakini yeyeyote atakayenikana mbele za watu naye atakanwa mbele ya Malaika wa Mungu.
Wape wahana hwitagalila elya bhantu, oyo ayikhanwa hwitagalila elya malaika owa Ngolobhe.
10 Yeyote atakayesema neno baya juu ya Mwana wa Adamu, atasamehewa, lakini yeyote atakayemkufuru Roho Mtakatifu, hatasamehewa.
Na shila mntu yayiyanga enongwa juu ya omwana wa Adamu, ayisajilwa, nkashele yayihuliga opepo uzelu sagayisajilwa.
11 Watakapowapeleka mbele za wakuu wa masinagogi, watawala, na wanye mamlaka, msiogope juu na namna ya kuongea katika kujitetea au nini mtakachosema,
Nabhayibhatwala amwe hwitagalila elye mabhanza, na hwaliwali na hwaongozi, msazugumile asebhe enongwa zyenyu shamwayigalula au ayanje,
12 kwa kuwa Roho Mtakatifu atawafundisha namna mtakavyosema kwa wakati huo.”
afwanaje opepo ozeru ayibhasambelezya, esaa zyezyo zyazihwaziwa aziyanje.”
13 Mtu mmoja katika kusanyiko akamwambia, “Mwalimu, mwambie ndugu yangu anigawie sehemu ya uruthi wangu.”
Omntu omo katika mabungano wabhola, “Sambelezi bhole oholo wane angabhile vulithi wetu.”
14 Yesu akamjibu, ni nani aliye niweka kuwa mwamuzi na mpatanishi kati yenu?
Wabhola, womntu awe, wenu yambeshele ane aje endi watazanye au wagabhanya juu yenyu?
15 Ndipo akawaambia, Jihadharini na kila namna ya tamaa, kwa sababu uzima wa mtu hauko katika wingi wa vitu alivyo navyo.”
Wabhabhola enyaji, hwilindaji no wimi afwanaje owomi wamntu sauhuvintu evinji evya mntu vyu unavyo.”
16 Yesu akawaambia mfano, akisema, Shamba la mtu mmoja tajiri lilizaa sana,
Wabhabhola eshilale wayanga ogonda ogwa mntu omo otajili lyali lipepe tee,
17 na akajiuliza ndani yake, akisema, nitafanyaje kwani sina mahali pa kuhifadhi mazao yangu?
wanda asebhe humwoyo gwakwe, wayanga, embombo wele, afwanaje sendi nupabheshe eshanga eshe viyabho vyane?
18 Akasema, nitafanya hivi. Nitavunja ghala zangu ndogo na kujenga iliyo kubwa, na kuyahifadhi mazao yangu yote na vitu vingine.
Wayanga embabhombe eshi, embabozolanye evyanga vyane, ezenje eshamwabho eshi gosi tee, nomwo embabheshe evyelewa vyane vyonti nevintu vyane.
19 Nitaiambia nafsi yangu, “Nafsi, umejiwekea akiba ya vitu vingi kwa miaka mingi. Pumzika, ule, unywe na kustarehe.”
Nantele, nayihwibhozya, awe womwoyo gwane olinevintu evinza vinji vyo hwibheye mbuto humaha gaminji. Toyo eshi, alye, omwele, osongwe.”
20 Lakini Mungu akamwambia, ewe mtu mpumbavu, usiku wa leo wanahitaji roho kutoka kwako, na vitu vyote ulivyoviandaa vitakuwa vya nini?
Lelo Ongolobhe wabhozya, olilema awe, osiku ou owasanyono bhahwanza owomi waho, nevintu vyohwibhesheye vibhabhe vyananu?
21 Ndivyo itakavyokuwa kwa kila mtu anayejiwekea mali na si kujitajirisha kwa ajili ya Bwana.
Shesho shali omntu yahwibheye omwoyo gwakwe mbuto, asahwitajilisye hwa Ngolobhe.
22 Yesu akawaambia wanafunzi wake, Kwa hiyo nawaambia msihofu juu ya maisha yenu ya kuwa mtakula nini au juu ya miili yenu ya kuwa mtavaa nini
Wabhabhola asambelezwa bhakwe, afwatana nesho embabhozya mgaje ahwihangayishile amayisha genyu mbhalya yenu wala amabele genyu mbhakwate yenu.
23 Kwa kuwa maisha ni zaidi ya chakula, na mwili ni zaidi ya mavazi.
Afwanaje amayisha gazaidieyeshu lya nobele zaidi yemenda.
24 Angalieni ndege wa angani, hawalimi wala hawavuni. Hawana chumba wala ghala ya kuhifadhia, lakini Baba yenu huwalisha. Ninyi si bora zaidi kuliko ndege!
Bhasebhaji enkogolo eyaje sebhato tuwala sebhayabhila, seline shanga wa eshitala, no Ngolobhe abhalisya, mrinafu amwe shila enyonyi!
25 Ni yupi kati yenu ambaye akijisumbua ataweza kuongeza dhiraa moja katika maisha yake?
Yonanu hwilimwe yabhajiye ahwi ngayisye nawezye ahwiyonjezye otali wakwe hata okhono gumo?
26 Ikiwa basi hamuwezi kufanya hicho kitu kidogo kilicho rahisi kwa nini basi kusumbukia hayo mengine?
Eshi nkashele semwezizye hata lizu lyalili lidodo, yenu mhwiyazya kwajili yegamwabho?
27 Angalieni maua -yanavyomea. Hayafanyi kazi wala hayasokoti. Lakini nawaambia, hata Sulemani katika utukufu wake wote hakuvikwa kama mojawapo ya haya,
Gasebhelaji amawowa ejinsi shamela segahuhambo embombo wala segabhilinga, neane embubhola yaje hata Osulemani katika efahali yakwe yonti saga kwatiziwe shinza kama neshe eyego,
28 Kama Mungu huyavika vizuri majani ya kondeni, ambayo leo yapo, na kesho hutupwa kwenye moto. Je si zaidi atawavika ninyi? enyi wa imani haba!
Eshi nkebhe Ongolobhe akwatizya eshi amasole agamwipali, gagali sanyo no na sandabho gatagwa papepe. Je sagayibhabhombela amwe? Enyi amwe mwemli imani endodo!
29 Msisumbukie juu ya kuwa mtakula nini au mtakunywa nini, wala msiwe na hofu.
Amwe msahwanza shamwayilya wala shamwaimwele wala mgaje abhombe nowoga.
30 Kwa kuwa Mataifa yote ya dunia husumbukia mambao yao. Na Baba yenu anajua ya kuwa mnahitaji hayo.
Afwanaje egogonti ebhamnsi omu. Lelo o yise wenyu amenye aje mganza ego.
31 Lakini tafuteni ufalme wake kwanza, na hayo mengine mtazidishiwa,
Eshi anzaji omwene owa NGOLOBHE, nego mwayonjezewa,
32 msiogope, enyi kundi dogo, kwa sababu Baba yenu anafurahia kuwapa ninyi huo ufalme.
Mganje hwogope, amwe mwikundi idodo, afanaje oYise wenyu alolile shinza abhapele ula oumwene.
33 Uzeni mali zenu na mkawape maskini, mjifanyie mifuko isiyoishiwa hazina ya mbinguni isiyokoma, sehemu ambapo wezi hawatakaribia wala nondo haitaweza kuharibu.
Kazi vyamlinavyo mfumye sadaka, hwibheshalaji amafuko yasagalala—embuto yasepogoha, humwanya pasaga afiha omwibha wala no ndo sana nkaya.
34 Kwa kuwa palipo na hazina yako, ndipo na roho yako itakapokuwepo.
Afanaje embuto yenyu, pehweli pagayibha gahweli na moyo genyu.
35 Nguo zenu ndefu ziwe zimefungwa kwa mkanda, na taa zenu zihakikishwe kuwa zinaendelee kuwaka,
Amasana genyu gabhe gapinyilya nehozyo, zyenyu zibhe zihwaha,
36 na muwe kama watu wanaomtazamia Bwana wao kutoka kwenye sherehe ya harusi, ili kwamba akija na kupiga hodi, wataweze kumfungulia mlango kwa haraka.
Namwe bhanji neshe abhantu bhabhahugolezya OGOSI wabho naiwela afume huweji, ili na hwenza na khome ehodi bhamwigulile.
37 Wamebarikiwa wale watumishi, ambao Bwana atawakuta wako macho. Hakika atafunga nguo yake ndefu kwa mkanda, kisha atawaketisha chini kwa chakula, na kisha kuwahudumia.
Nafu asontezewa bhala, ambao OGOSI wabho nayenza ayibhaga bhagonezezye. Eteshi embabhola abhahwipinye nabhakaribizye pa shalye, ayenza nabhavwe.
38 Kama Bwana atakuja kwa zamu ya pili ya ulinzi ya usiku, au hata zamu ya tatu ya ulinzi, na kuwakuta wakiwa tayari, itakuwa ni heri kwa hao watumishi.
Nankayenze olyondizanyo olwa bhele, au nkayenza olwandiznyo olwatatu nabhaje eshi, nafu ontezewa ebho.
39 Zaidi ya hayo, mjue hili, kama bwana mwenye nyumba angelijua saa ambayo mwivi anakuja, asingeliruhusu nyumba yake ifunjwe.
Lelo mmanye, izu eli, aje omwane sho nyumba agamenye esaa ya bhahwenze omwibha, handa agone zyezye, wala handa sagaleshele enyumba yakwe ebozolwe.
40 Iweni tayari pia kwani hamjui ni wakati gani mwana wa Adamu atarudi.
Namwe hwibhehaji tayari afwanaje esaa yasagammenye shesho sha hwenza omwana wa Adamu.
41 Petro akasema, “Bwana, watuambia sisi wenyewe hii mifano, au unamwambia kila mtu?
OPetro wabhola, “GOSI, eshilale esho otibholele tele wene, au abhantu bhonti antele?
42 Bwana akawaambia, “Ni nani mtumwa mwaminifu au mwenye hekima ambaye bwana wake atamweka juu ya watumishi wengine, ili awagawie chakula chao kwa wakati mwafaka?
OGOSI wayanga, “Wenu eshi yali mtunzaji mwinza yali nebusara ambaye ogosi wakuwe abhahubheshe bhombambombo wakwe wonti, abhapele abhantu eposho huwakati wakwe?
43 Amebarikiwa mtumishi yule, ambaye bwana wake akija atamkuta akifanya yale aliyoagizwa.
Nafu osontezi ola, ambaye gosi wakwe nahwenza awahumwaje abhomba esho.
44 Hakika nawaambia ninyi ya kuwa atamweka juu ya mali yake yote.
Lyoli embabhola abhahubheshe juu yevintu vyakwe vyonti.
45 Lakini Mtumishi yule akisema moyoni mwake, “bwana wangu anachelewa kurudi; hivyo akaanza kuwapiga wale watumishi wa kiume na wa kike, kisha akaanza kula, kunywa na kulewa,
Lelo osontelezewa ola nkayanje humwoyo gwakwe, “OGOSI wane wakhala ahwenze wanda; abhakhome aholo bhakwe, alume na bhashe, alya na mwele na kholwe,
46 bwana wake yule mtumwa atakuja katika siku asiyotegemea na saa asiyoijua, naye atamkata vipande vipande na kumuweka katika sehemu pamoja na wasiokuwawaaminifu'
Ogosi wakwe otumwa oyo ayenza isiku lyasategemeye nesaa yasayimenye, abhahudumranye evipande vibhele nahubheshe ifungu lyakwe pandwemo na bhasaga bhalino lyeteho'
47 Mtumishi, anayejua mapenzi ya bwana wake, naye hakujiandaaa wala hakufanya sawa sawa na mapenzi yake, atapigwa viboko vingi.
No tumwa, ola yagamenye omapenzi ga gosi wakwe, sahwibhe tayari wala agabhombe amapenzi gakwe, ayikhomwa tee.
48 Lakini mtumishi asiyejua mapenzi ya bwana wake, lakini akafanya yanayostahili adhabu, atapigwa viboko vichache. Kwa kuwa yeye aliyepewa vingi, vingi hudaiwa kutoka kwake, na yeye aliyeaminiwa kwa vingi, kwake vitadaiwa vingi zaidi.
No ola yasagamenye wape abhombile gagahwanziwa akhomwe, akhomwa hashe. Na shila yapewewe evinji, hwamwahale oyo bhanza wanze vivinji, wape wabhesheye amana evintu evinji hwamwahale oyo wabhanza ahwanze zaidi.
49 Nimekuja kuwasha moto duniani, na natamani iwe umekwishawaka,
Enenzere aponye omwoto pansi, na nkashile gwandue ahwanshe lyenu lyehwanza zaidi,
50 Lakini nina ubatizo ambao nitabatizwa, na nina huzuni mpaka utkapokamilika!
Lelo endi no wonzwe wauhwanziwa ahwoziwe, nene endi namalabha neshe eyenu ili gatimizwe!
51 Je mnafikiri kuwa nimekuja kuleta amani duniani? Hapana, Nawaambieni, badala yake nimeleta mgawanyiko.
Eshi! mwadhani eyaje enenzele alete eamani? Pansi, embabhola, la seshashesho eshi Mafarakano.
52 Tangu sasa na kuendelea kutakuwa na watu watano katika nyumba moja wamegawanyika, na watatu watakuwa kinyume na wawili, na wawili watakuwa kinyume na watatu.
Afwanaje afume eshi enyumba emo bhayibha abhantu bhasanu bhavisenye, bhantu hwabhabhele, bhabhele hwa bhantu.
53 Watagawanyika, baba atakuwa kinyume na mwanae, na mwanae atakuwa kinyume na babaye, mama atakuwa kinyume na binti yake, na binti atakuwa kinyume na mama yake, Mama mkwe atakuwa kinyume na mkwe wake naye mkwe atakuwa kinyume na mama mkwe wake.
Bhayivisanya, oYise no mwana no mwana no Yise wakwe, onyino no lendu wakwe, khoyi wakwe, okhamwana no khamwana wa mntu.
54 Yesu akawa anawaambia makutano pia, “Mara muonapo mawingu yakitokea magharibi, mnasema nyakati za mvua zimewadia; na ndivyo inavyo kuwa,
Wabhabhola amabungano nantele, “Shila namlola ibhengo nkalifumile oupanda wa magharibi tiyanga, evula ehwenza, ibha shesho,
55 Na upepo wa kusini ukivuma, mnasema, Patakuwepo na joto kali, na ndivyo inavyokuwa.
Na shila nevugula hukuskazini, liyanga, hubhabhe nilyoto, na shashi hweli.
56 Enyi wanafiki, mnaweza kutafsiri mwonekano wa nchi na anga, lakini inakuwaje hamuwezi kuutafsiri wakati uliopo?
Amwe mwanafiki, mmenye atambule amaso agensine mwanya, shiliwele eshi abhe semumenye atambule amajira ega?
57 Ni kwa nini kila mmoja wenu asipambanue lililo sahihi kwake kulifanya wakati ambapo angali na nafasi ya kufanya hivyo?
Na mbona amwe mwemwe hunafsi zyenu semu hwamla gagali gelyoli?
58 Maana mkienda na mshitaki wako mbele ya hakimu, jitahidi kupatana na mshitaki wako mungali bado mko njiani asije akakupeleka kwa hakimu, na hakimu akupeleka kwa ofisa, na ofisa akakutupa gerezani.
Eshi namulongozenye no mshitaki waho abhale hwa lonzi, epo pidala bhomba ebidii akondane nawo, asabhe agaburuzya mpaka hwitagalila elya lonzi, ola olonzi wakhata mmakhono gakwe, hwamwenesho yagalipizya nola owalipizye asije agafunga mwijela.
59 Nakuambia, hutatoka huko hadi umelipa mpaka senti ya mwisho.
Ehubhola, sofuma omwo nkahashe hata omale asombe esenti eya mwisho.

< Luka 12 >